Operation hope three. Operasheni ya mlima wa matumaini
@IshipalemyPaskoСағат бұрын
wangeenda huko huko urusi kuiiba waone muziki wake
@MustaphaManoleСағат бұрын
Awa Chad ni machawa wa magharibi
@elimachusjulius347910 сағат бұрын
Sio njia ya hewa ni njia ya anga
@donaldmgunda4970Сағат бұрын
😂😂😂
@Mindset_99-mСағат бұрын
Nmeona taarifa ya wanajeshi 2 wa Tanzania kufa Congo ila cjaamin mpaka nione SNS
@ibrahimsheha215Сағат бұрын
Usi amini ivoivo wewe
@GucciJackson-q1n9 сағат бұрын
Ivi wanawake wanapenda wanaume wenye sifa zipi 😢
@RonnieBertin9 сағат бұрын
Ukijua kuwanyonya
@MichaelMathew-j3f9 сағат бұрын
Hahahahahahahaaa
@Emanueli-vz6fd8 сағат бұрын
Pesa tu
@zengeummu95758 сағат бұрын
Anaepumua tu
@athumaniamani99058 сағат бұрын
Nenda kweny Mr right utapata majibu mazuri
@aminasittusaid38305 сағат бұрын
Ufasaha ni "Kipindi hicho" na sio .......(hiko)
@salimali-rf9erСағат бұрын
Sahihi kabisa
@jumamussantuiche7 сағат бұрын
Kama unasema ukweli tupe abali kuhusu vifalu vya marekani ameteka urusi uko ukreine.
@FxL_876 сағат бұрын
Huyu jamaa yuko upande wa Marekani 😅
@deusmtiri634110 сағат бұрын
tuko pamoja na fuse
@mohayussuf205756 минут бұрын
Fake
@hassangaddafi234710 сағат бұрын
Sai Putin baba leo💪🇷🇺🇷🇺🔥
@lakasid38609 сағат бұрын
Baba lao anapelekewa moto na ka Ukraine 🚮
@davidihaonga12449 сағат бұрын
Duuuuuh @@lakasid3860
@sonnyr18999 сағат бұрын
@@lakasid3860 😂😂😂😂😂😂 vijana wa 2000
@minicooper96429 сағат бұрын
@@lakasid3860msikilize Trump anasemaje utajua hii vita ikoje yaani mtu anapigana vita alafu anazidi kua tajiri 😂😂😂 alafu angalia alichokifanya jana huko Ukraine yaani Russia pekee yake anapambana na NATO yote jielewe ndugu mitandao iko wazi sasahivi acha kusikiliza propaganda
@graysonpastory19189 сағат бұрын
@@lakasid3860nani kasema we shoga, nenda kaona Ukraine kukoje huko ndio uje na ujinga wako hapa