shukran shekh nakupenda sana kwa ajili ya allah my brother
@fatimahussen32345 жыл бұрын
Mashaallah shekhe kuvuzi kwake anakufahamisha ,mawaidha mpaka ukaelewa ,,Allah akuhifadhi
@salimummy8525 жыл бұрын
Shekh nakupenda sana kiasi ambacho nahitaj kuwa mwanafunzi wako kwakuwa ukiishakumaliza tu na Mimi nakwenda kuwasimulia rafiki zangu ila wakwanza ni Mke Wang..IN SHAA ALLAH ipo siku ntakufuata
@TeamKRX5 жыл бұрын
Fanya ivyo
@khamisramadhan51335 жыл бұрын
Ma Sha Allah... Una fasaha Allah akuongezee Elimu zaidi tufaidi katka Elimu🙏🙏🙏
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
masha Allah Naomba majibu waziwazi
@saidalsalmi93133 жыл бұрын
Siwezi kutafautisha Sh Othman Michael na Sh. OTHMAN MAALIM, wanafanana vitu vingi.
@umuhemd49082 жыл бұрын
Shekh masha allah unanifurahisha kweli ukitowa mawaidhaa
@mamanabdoul4397 Жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH.Jazza kAllahu khayri
@majdimpaka1079 Жыл бұрын
Maalim mungu akuweke kwa mawaidha yako mazuri
@jasminyiddysulaiman98075 жыл бұрын
Maashallah tabaraqarahman wallah nakupenda kwa ajil ya Allah
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
mm Nataka pesa sikukataa kazi
@francinensavyimana56015 жыл бұрын
Masha Allah unatufafanuliyaga fresh
@aljalilatiba98735 жыл бұрын
Mashallah shekh yupo vizur kwa mawaidha Mwenyewezi mungu akujaaliye elimu na hekima zaidi ya hapo
@rashidysullyman65163 жыл бұрын
Mashaallah shekhe nampenda sana hakika mawaiza yake ni swadakta haswa na allah amjalie ampe uzima na umri mrefu aendelee kutupa vitu vitam na allah amzidishie upeo mkubwa wa kutoa mawaiza inshaallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Authuman umechambua vizuri sana mungu akupe umry mwema Ameen yarab
@abdullahhashimu23805 жыл бұрын
Maa sha Allah kisa kizuri na nimejifundisha
@bellbell92945 жыл бұрын
Maashaa Allah sheikh Allah akubariki Sana
@afric014 жыл бұрын
Mashaaa Allah!!! Darsa na kiswa kizuri sana. Allah atupeleke na sisi peponi. Wivu ndio mapenzi. Allah akupeleke pepo firdaus Sheikh wetu.
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalamaleyhi warahmatullahi
@faizasaid82625 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@saidmsuya94204 жыл бұрын
MashAllah
@zainabuzainabu43725 жыл бұрын
Mashaallah sheikh
@hanunarashid46775 жыл бұрын
Alhamdulilah tumefata faida Jazaka Allah kheir
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Kitisho sinitie kabisa unipe pesa aokataa
@batulisalumidrisa95885 жыл бұрын
JazakaAllah lkheir sheikh Othman
@korirelias32725 жыл бұрын
ahsante sheikh, othman
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Shukran wajazaka llahu heri
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Manshallah sisiwot wazuri
@samanthaali8735 жыл бұрын
Subhna Allah
@muhammadahmedaliyyu38545 жыл бұрын
WA alaykum salam warahmaturah wabarakatuh
@inabikorwaneema88155 жыл бұрын
Walaikum salaam warahmatullah wabarakatuh
@salmaalkyumi22705 жыл бұрын
Salallahu alaihi wasalam 💘
@mwaamwetahussain99475 жыл бұрын
Mmmh makubwa shekh
@mussaboy33793 жыл бұрын
Mashallah
@djumanjike3256 Жыл бұрын
aslmlkm ustadhuwangu allahu akulipe kheri dunia na akhera
@سعدالمنجي5 жыл бұрын
Maashaallah shukran kwa mawaidha allah akulipe kheri inshaallah
@mwanaishayusuf99685 жыл бұрын
mashaallh. shukran.
@salumswaibu99655 жыл бұрын
Allah akuogoze
@rukiaalfa63384 жыл бұрын
nakupenda
@HABIBULLAH-nd9ft5 жыл бұрын
Sub han Allah wal hamdulillah wa laa ilaha ila allah Allah Akbar.
@aishaibrahim56074 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍
@faizasaid82625 жыл бұрын
Uwiii😁
@aishaibrahim56074 жыл бұрын
Shekhe unanini lkn apo zoazoa🤣🤣🤣ila napenda sana mawaiza yko allah akupe umri mrefu tupate kuelimika
@medicalphysicsbiomedicalen17075 жыл бұрын
MashaaAllah
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi
@azizamerere9859 Жыл бұрын
Jmn ndgu Zang ktk Imani ni kwel nabii Idris aliacha kiatu peponi?
@inabikorwaneema88155 жыл бұрын
Mashaa Allah. Ssa NABII IDRISSA alienda peponi bila kufa?
@hasanhaji87145 жыл бұрын
Wwe mawaidha hukuyasikiliza vilivyo kutokana na swali lako rejea tena utaeleawa vizuri
@inabikorwaneema88155 жыл бұрын
@@hasanhaji8714Naam niliskia kma alipo fika mbingu ya inne izrail acukuwa roho yake. Alafu alifka peponi akaambia arudi nyuma akakataa ssa njo ilikua moja kwa moja kifo cake? Samahani kwa usumbufu 👏👏👏
@hasanhaji87145 жыл бұрын
Baada ya kufa alipelekwa peponi kiroho na sio kimwili, yupo mbingu ya 4 ila kiroho yupo peponi hta ktk safari ya Miraj Mtume (saw) aliwaona mitume wte ktk mbingu tafauti na yye alimtaja kuw yupo hpo. Ukiw mja mwema unastarehe peponi kiroho na kaburini kinabakia kiwiliwili na ukiwa mbaya against yke
@inabikorwaneema88155 жыл бұрын
@@hasanhaji8714 Barak'Allahu fiiQ
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Aoniruhusu nifanye kazi namwengine
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Na channel yangu musitumie
@ashuraashura8825 жыл бұрын
Tunaomba utupe kisa ca nabiyulah yusuf
@hamismalimungu99595 жыл бұрын
Shekh nasikia kuna hadithi zinasema kuwa picha ni haram
@bynstudio4175 жыл бұрын
Shekhee mungu akujalye mawadha mazuri Taafadhali.tunaomba utuweke kwenye flash hata mgeni akija kuliko kuangalia vitu vya ajabu ajabu unaweka hadithi kama hivi tujifnza na nifada kwa vizazi vyetu
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Assalam aleykum
@aliidrisahmadhuvavaruu49183 жыл бұрын
Kuanzia Leo mm siko katika kazi yako ujuwe huwezi kuniua Allah ndie auwae