JINSI YA KUPIKA MIKATE LAINI NYUMBANI/HOW TO BAKE SOFT BREAD

  Рет қаралды 389,879

Mziwanda Bakers

Mziwanda Bakers

Күн бұрын

Пікірлер: 558
@stevenlulangasy3554
@stevenlulangasy3554 2 жыл бұрын
Mimi nimekuelewa vizuri sana dada pia niishawahi kufanya kazi bakery hii kazi naipenda sana inalipa sana ila nilikuwa sifaham jins ya uchomaji kwenye mkaa ila naona umenifumbua macho vitu vingi sana, ila kitu kimoja tuu sijajua ni kiasi gani cha dawa inayochanganywa kwenye mkate ili usiharibike ukiwa sokoni, mimi nataka nijiajiri kabisa kupitia hii kazi, sasa nakuomba sana ningepata namba ya simu ili inisaidie pale nitakapohitaji ushauri asante.
@abdulwahiddayal-fz7hh
@abdulwahiddayal-fz7hh Жыл бұрын
Nahitaji kujuwa vimo vyote KWA gm kilakitu
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 8 ай бұрын
Mimi nahitaji kujua hii kazi sijui wapi wanafundisha
@aliceringo523
@aliceringo523 8 ай бұрын
@Royalcakespoint
@Royalcakespoint 4 жыл бұрын
Thanx kwa video..pls naomba elimu kuhusu bread improver???
@mshumqueen7825
@mshumqueen7825 4 жыл бұрын
Mungu akuweke wewe dada naona kabisa ndoto yangu inavyoenda kutimia ubarikiwe sana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Amiin
@PaskalinaPaskalinamasawe
@PaskalinaPaskalinamasawe 11 ай бұрын
Asanten sana mziwanda .nomejifunza niko kwenye mazoezi
@gracenkongo199
@gracenkongo199 4 жыл бұрын
Mungu akubariki dada,siyo jambo la kawaida mtu kujitoa elimu yake hivi hivi.Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Amiin
@sabrinamohamed7416
@sabrinamohamed7416 Жыл бұрын
Asante kwa mapshi mazuri tusiojua tumejifunza
@anneanne8476
@anneanne8476 4 жыл бұрын
From Kenya🇰🇪 tunasema upishi wako ni mzuri mno👌
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Ahsante darling
@relatable-withlucyk1085
@relatable-withlucyk1085 4 жыл бұрын
Where do I buy the mixer?
@GraceMethuselaNtwale
@GraceMethuselaNtwale 2 ай бұрын
Uko vizuri sana
@RoseMlay-d9j
@RoseMlay-d9j Ай бұрын
Jamani dàda na Mimi nimejalibu kupika imetoka lakini kweli Asante sana dada mungu àkubaliki sana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Ай бұрын
Hongera kwa uthubutu dear
@gracejulius1914
@gracejulius1914 4 жыл бұрын
Thanks love uko good sana. Asante kwakua sio mchoyo
@masoudrajab3614
@masoudrajab3614 4 жыл бұрын
Asante kwa ujuzi wa kutengeneza mikate na skonsi
@janetnthenya9235
@janetnthenya9235 4 жыл бұрын
Nimejivunza so much kutoka kwako.may God bless you
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Amiin
@priscamutendamwaipopo7120
@priscamutendamwaipopo7120 4 жыл бұрын
Nimeipenda sana recipe yako ya hii mikate. Big up Mziwanda Bakers!!
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Thank you
@mwanjaamalinza8256
@mwanjaamalinza8256 2 жыл бұрын
Mashaallah mikate mizuri sana hongera
@vickympwepwa
@vickympwepwa 10 ай бұрын
Moto umeweka ngapi
@agnesmagehema576
@agnesmagehema576 2 жыл бұрын
Nakupenda mpendwa wangu napika nami huu mkate kwa kufuata maelekezo yk
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Karibu sana ❤
@florencechaz1714
@florencechaz1714 4 жыл бұрын
Wow..., mpka raha inaonekana mitamu sana hongera na asante kwa kutuelimisha dear.
@magrethmbagga9502
@magrethmbagga9502 3 жыл бұрын
Waaaa mkate mzuri sana. Bina swali nl lazima uweke amira pamoja na baking powder.?
@lavalava3304
@lavalava3304 4 жыл бұрын
Asante sana habibty tufundishe sambusa za unga wa mach el
@dhulfaabbasi1917
@dhulfaabbasi1917 4 жыл бұрын
My Dada wallah wafanya vzur,,, Allah akufanyie wepesi katika kazi zako akucmamie km unavyotuelimisha love u 😍 !
@lamiessaed1092
@lamiessaed1092 4 жыл бұрын
Dhulfa Abbasi karibu kweny channel yangu ili usipitwe n kila video yangu ya urembo ☺️
@dhulfaabbasi1917
@dhulfaabbasi1917 4 жыл бұрын
@@lamiessaed1092 Asante Dada tuko pamoja ntakuja jifunza mengi ktk channel ako ucjal thanks so much ee
@lamiessaed1092
@lamiessaed1092 4 жыл бұрын
Dhulfa Abbasi aww thank u lovie
@RachelPalls-ry6bl
@RachelPalls-ry6bl 11 ай бұрын
Kazi nzuri dada nimependa,bt nna swal,...recipe ya scones haifai Kwa mikate?
@esterkapimba-tc8wk
@esterkapimba-tc8wk Ай бұрын
Pishi zuri Sana,asante Kwa elimu nzuri
@wazamziray2055
@wazamziray2055 3 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa mapishi Mazuri. Naomba unifahamishe hii Amprove inayosaidia kuhumuka mkate. Inaitwaje Kwa Kiswahili ili nitafute Madukan.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Shukran, hii jina lake ni hivyo hivyo bread improver
@RaphaelKavishe-js3ty
@RaphaelKavishe-js3ty Жыл бұрын
Nimeipenda sana na piah natamn nianzishe kaz kama hii sema bado sijajua vifaa vitakavyotumika
@marygyumi4237
@marygyumi4237 2 жыл бұрын
Habari za kazi napenda sana darasa laki, Mimi nataka kuwa napika vitafunwa, lakini nipo Dodoma, unaweza kuja kujifunza kwako? Halafu nataka unielekeze mahali ninapoweza kupata oven ya kupokea mikate mingi na keki nijue na bei.
@mbarakahamis1282
@mbarakahamis1282 Жыл бұрын
Mambo dada, hongera sana kwa kazi nzur napenda sana yani na unanisaidia sana, mm natengeneza mikate km ivo lakini mm yakwangu mara nyingi inakuwa milaini sana kiasi kwamba inajikata kata spoch yake haiwi ya kushikamana inakuwa km mfano was cake sasa sijui nn shida nisaidie mpenz.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Unakanda kwa kutumia machine?
@sadasaleh8359
@sadasaleh8359 4 жыл бұрын
Asante kwa kutusikiza wapenz wako nakitujali mm dua zangu n nying kwako saanaaa saaanaa yarab takabal duaa
@lamiessaed1092
@lamiessaed1092 4 жыл бұрын
Sada Saleh hi love karibu kweny channel yangu u subscribe ujifunze urembo
@abdulkhamis4955
@abdulkhamis4955 Жыл бұрын
Kazi nzuri nahitaji huo mzani napata wapi
@marymushi7923
@marymushi7923 4 жыл бұрын
Waaawow! Ahsante sana kwa darasa zuri, endelea kutufundisha zaidi mpendwa.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Amiin dear
@SnatusKweka-gh3um
@SnatusKweka-gh3um Жыл бұрын
Uko vizuri ahsante nimejifunza
@mwajabumshana6877
@mwajabumshana6877 4 жыл бұрын
Asante sana kwa somo,hadi nimetamani ,nahisi harufubhadi huku. Naomba kujua huu mkate waweza kudumu kwa mda gani?kuna wengine wanaweka calcium,naomba unieleweshe Pia hiyo trei ni size gani kama nataka nitengenezeshe?
@mbelemmunga-ps4df
@mbelemmunga-ps4df Жыл бұрын
Napenda kujua kiasi hicho cha Tbsp yaani nikijiko cha gram ngapi?
@fatmahashim4394
@fatmahashim4394 4 жыл бұрын
Ahsante sana Dada kwa kushare nasi unajua sana kuelezea na pia kazi nzuri Hongera, samahani Dada bread improver naweza kupata wapi mm Niko dar
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Kariakoo kwa kipara dear
@Faiza-fm9fl
@Faiza-fm9fl 4 жыл бұрын
what's bread improver
@MoreenNdalu
@MoreenNdalu 8 ай бұрын
Nimependa na mm nataka nijifunze kupika mkate nifungue bekaly
@mwajumaomari4774
@mwajumaomari4774 3 ай бұрын
Kuna bread ibmprover ya maji?
@LeilaIddy-s5k
@LeilaIddy-s5k 2 ай бұрын
Km sina tina ya shep ya hivo nafanyaje au hata shepu yoyote tu
@amadirispa8382
@amadirispa8382 4 жыл бұрын
Santee sana mumy kua nahiyo moyo wakufuza vizuri hivyo ubarikiwe
@DayanaKanani
@DayanaKanani Жыл бұрын
Asante kwa darasa zuri dada,natamani kujifunza ningepata namba yako ingekua poa sana
@sadyqruhhy2073
@sadyqruhhy2073 2 жыл бұрын
hae..mikate hio inapendeza kiukweli...
@vumiliahamisi7046
@vumiliahamisi7046 4 жыл бұрын
Kazi nzuri pia naomba kujua mashine yako umenunua shilingi ngapii nijibu tafazali
@SurprisedDuck-vg9hc
@SurprisedDuck-vg9hc 8 ай бұрын
Samahani Ivi oven iyo kubwa inauzwa sh ngapi
@mwasizame6712
@mwasizame6712 2 жыл бұрын
Mpo vizuri sana kwenye mafunzo Hongera sana
@hajrahalfan5302
@hajrahalfan5302 3 жыл бұрын
Moto unaweka kiac gn??naomb vipimo vya unga wanusu kilo plz nijalib
@faithnjeri-zt3uk
@faithnjeri-zt3uk Жыл бұрын
Hie naitwa. Faith na ninatamani kujua nanna ya kupika mandazi ya biashala nangumu nahitaji kipimo gani kwa kilo mbili ya ngano kwa mandazi
@odetadaniel1744
@odetadaniel1744 2 жыл бұрын
Asante dada ila katika viungo mi Sina sukari ya unga pamoja nahicho kiungo ulichosema kinaumua,je bila hivyo haiwezekani kuwa mkate?
@lucylucumay9683
@lucylucumay9683 Жыл бұрын
Ili mkate usiharibike haraka Nini kinawekwa???
@BashiruNjonjo-cm3fv
@BashiruNjonjo-cm3fv Жыл бұрын
Nashukuru kwa mafunzo haya kwa hakika munatusaidia sana
@philipadrian8534
@philipadrian8534 3 жыл бұрын
Asante kwa video nzur,,Samahan lakin dada ningeomba unisaidie kufaham izo measuring cups ktk grams/kgs ikoje...na bread improver zpo aina ngap...Asante
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Bread improver naijua moja tu pia measuring cups inategemea unapima kitu gani hiyo ujazo na uzito hutofautiana kwa mfano unga 1 cup haiwezi kuwa sawa uzito na sukari 1 cup hivyo hamna njia yakukwepa kuwa na measuring cups
@philipadrian8534
@philipadrian8534 3 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 nashukuru sana dada..🙏🏾🙏🏾
@rosekitosi5990
@rosekitosi5990 2 жыл бұрын
Nimependa hii video..hivi nikihitaji vifaa kama Oven ,mixer. Kubwa,na vifaa vya kuokea mikate napataje...naomba msaada tafadhali
@restutakagya2057
@restutakagya2057 2 жыл бұрын
Samahani napaka margarine juu bado yangu inakuwaga ngumu au napaka kidogo Sana huwa naweka kijiko kimoja
@HusnaSimba-ml5ov
@HusnaSimba-ml5ov Жыл бұрын
Umetisha naomba no yko dear.
@ndimiyakejoseph5293
@ndimiyakejoseph5293 2 жыл бұрын
Asante nimefurahi kujifunza
@evelinankayamba217
@evelinankayamba217 4 жыл бұрын
Naomba kuelewa vzr hiyo uliyopaka juu baada ya kubake. Ni aina ya mafuta au ninini?
@joycemasanja4130
@joycemasanja4130 2 жыл бұрын
Asante hakika nimejifuza
@gaudensiabunga9017
@gaudensiabunga9017 2 жыл бұрын
Àsante sana kwa somo , nimejifunza kitu
@siriyangu4724
@siriyangu4724 4 жыл бұрын
Mashaallah hiyo bread improve twaweza pata wp?alfu naomba tafadhali utuonyeshe box ya kuifadhu keki swa da
@ilhamprecious8816
@ilhamprecious8816 4 жыл бұрын
Wow
@maimunaabduly6739
@maimunaabduly6739 4 жыл бұрын
Mashaallh Mkate mzuri
@RehemaWiseman
@RehemaWiseman 5 ай бұрын
Mkate mzuri kesho nitajaribu kupika
@giftkimwayeya6635
@giftkimwayeya6635 Жыл бұрын
Kwani ukishaupika unakaa sk ngapi Hafu unaharibika?
@florachegere1259
@florachegere1259 4 жыл бұрын
Dada hongela sana mkate wako nimeupenda japo namimi napika lakini sio laini kama wakwako
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Chukua recipe dear,hongera kwa upishi pia
@florencemichael97
@florencemichael97 Жыл бұрын
Swali ni lazima maziwa iwe ya unga???
@sitiochu9367
@sitiochu9367 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana . Allah akuzidishie. Je hiyo.sukari ya unga ndio ile sukari kali ua unesaga tu sukari yakawaida?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Nimesaga ya kawaida dear
@khadijaali3688
@khadijaali3688 4 жыл бұрын
Mashllh nzuri sna vile mm napenda ku beak
@florahmathew3510
@florahmathew3510 4 жыл бұрын
Bila bread improver hauwezi tengeneza mkate?
@pendoashery255
@pendoashery255 2 жыл бұрын
Samahan dada hizi trei za kupikia mkate zinapatikana maduka ya aina gan
@LaurentyRoman-zc9pz
@LaurentyRoman-zc9pz 8 ай бұрын
Nimependa Sana nitajifunza
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
Asante sn love, naomba unifahamishe ni wapi ile bread cutter inapatkana na ni sh. ngap? be blessed in advance!
@restutaemmanuel7858
@restutaemmanuel7858 2 жыл бұрын
1 cxta
@nightsamji4673
@nightsamji4673 2 жыл бұрын
Masha Allah nimependa sana nitajaribu 🥰🥰🥰🥰
@CatherineRichard-n6k
@CatherineRichard-n6k 9 ай бұрын
Samahani unaweka kwenye oven dk ngapi na Moto inakua kiasi gani oven zile kubwa Euro Strong
@mapishinarose2415
@mapishinarose2415 Жыл бұрын
Unga umetumia pff au ?
@philipadrian8534
@philipadrian8534 3 жыл бұрын
Asanten mziwanda bakery..👏🏾👏🏾
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Karibu 🙏🙏
@philipadrian8534
@philipadrian8534 3 жыл бұрын
Asante sana
@neemamseti2251
@neemamseti2251 3 жыл бұрын
Una nibariki sana dear natamani nijue kutengeneza hivi ngano ni ppf
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Shukran, ngano nimetumia Azania HBF
@neemamseti2251
@neemamseti2251 3 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 poa asante sana naweza kufikaje kwako nikitaka kujifunza na bei pia
@marywillson3311
@marywillson3311 Жыл бұрын
Thanks my dear ❤️
@lydianjeri4417
@lydianjeri4417 3 жыл бұрын
Good job mama i love ur video
@priscamasawe1061
@priscamasawe1061 2 жыл бұрын
Woo nimependa mno naomba namba zako za sim please
@jenivamushi1007
@jenivamushi1007 Жыл бұрын
Dada naomba namba Yako please...nataka kujifunza zaidi
@habibamsoloni5582
@habibamsoloni5582 4 жыл бұрын
Mungu akuzidishie we Dada unaelekeza vzr sana hd tunaelewa,,,naomba unielekeze jinsi yakutengeneza foundant maana video km umetoa imenipita
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Shukran, andika jinsi ya KUTENGENEZA Fondant Rahisi sana
@habibamsoloni5582
@habibamsoloni5582 4 жыл бұрын
Na hiyo bread prove hupatikana maduka gani
@ahmedelalawi6143
@ahmedelalawi6143 4 жыл бұрын
Kuna kitu kimoja umejalizia umesema cha kuumuka naomba unitumie jina lake nikaitafute supermaket
@HamisFengu-lz7hq
@HamisFengu-lz7hq Жыл бұрын
Nimependa video yenu kwai mnapatikana wapi?
@OmanOman-u3o
@OmanOman-u3o 8 ай бұрын
Nimeipenda sana nakama ninatrei laovena
@muniramtika3614
@muniramtika3614 4 жыл бұрын
Unaelekeza vzur sn .Asante mnooo😍
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
😘
@asiabeauty9851
@asiabeauty9851 4 жыл бұрын
Sijuti kuungana nawe, asante my dada penda sana wewe
@rayakhalfansaleh4889
@rayakhalfansaleh4889 4 жыл бұрын
bread improver tutaipata wap znz
@lamiessaed1092
@lamiessaed1092 4 жыл бұрын
Asia Beauty hi love karibu kweny channel yangu u subscribe ujifunze urembo
@JanethSamwel-rj7vp
@JanethSamwel-rj7vp Жыл бұрын
Kwny cookies tupe vipimo vya gram
@nahumumgwama2280
@nahumumgwama2280 4 жыл бұрын
Nimepnda ila sijasikia mafuta na majali ni nini?
@pwrhero6529
@pwrhero6529 Жыл бұрын
Mubarikiwe sana kabisa asante mama
@sidikazungu2374
@sidikazungu2374 4 жыл бұрын
Bread improver ni ipi? From kenya
@bongokatuni
@bongokatuni 4 жыл бұрын
Mbona mm nikipika skoz zinatoka ngumi sana naomba namba zako plz
@zainakiza9093
@zainakiza9093 3 жыл бұрын
Iyo machine ulinunulia wapi dada angu?
@naimanurdin8984
@naimanurdin8984 4 жыл бұрын
Hiyo Bread Prove naipataje?
@pulcheriamayombo5780
@pulcheriamayombo5780 2 жыл бұрын
Asante wewe ni mwalimu
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
Habari gani naomba kipimo cha mkate mmoja asante sana
@shhdndhdjsjs-em4kd
@shhdndhdjsjs-em4kd 11 ай бұрын
Kazi nzuri dada ❤❤❤
@fahimahajji3544
@fahimahajji3544 2 жыл бұрын
Bread improver and cake improver is different???
@abuubakarkichimbo9957
@abuubakarkichimbo9957 4 жыл бұрын
Mashallah hongera kwa ujuzi wako
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
🙏
@shuukuchy6350
@shuukuchy6350 3 жыл бұрын
Ntaanza buzness jmn... Asante Mziwanda
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 3 жыл бұрын
Usiache ahadi hii ya biashara hakikisha unaifanya
@shuukuchy6350
@shuukuchy6350 3 жыл бұрын
Aww my... Ntarud n mrejesho nkishaianza 😘😘
@mwantumumnzava5441
@mwantumumnzava5441 Жыл бұрын
Nimeupenda sana km unagrupu niunge
@alinemusenge4737
@alinemusenge4737 4 жыл бұрын
asante sana dada but sija elewa vizuru hasa kwa kukanda nima itaji ya viugo gani hasa muhimu
@latifa7358
@latifa7358 2 жыл бұрын
Hiyo mashine inaunzawa bei gani please 👍
@colethangusulu4564
@colethangusulu4564 4 жыл бұрын
Hongera ni nzuri
@lizyguye2629
@lizyguye2629 4 жыл бұрын
Tafadhali hujasema umebake mkate kwa moto ngap na dk ngap pia je moto wako ktk oven ni juu na chin au chin pekeake
@winfridavicent-gp1my
@winfridavicent-gp1my Жыл бұрын
Samahani Mziwanda naomba uliza kuna improver ipo kama mafuta ya mgando?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Hizo ni gel , hasa kwa matumizi yake huwa ni cake
@winfridavicent-gp1my
@winfridavicent-gp1my Жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 naweza tumia hata kwa mkate maana niliagiza mtu improver ndo kaniletea hiyo
@Teaching356
@Teaching356 6 ай бұрын
Nimejaribu kutengeneza ila shida ipo kwenye kuchoma zinaungua chini zinakuwa nyeusi sijui kwa Nini 😢
@christinabenedictjacob9077
@christinabenedictjacob9077 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana my dear,nimefurahia sana hili darasa.
Jinsi Ya Kupika Mkate Mzuri Nyumbani/How To Bake Bread At Home
10:01
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 100 М.
Japanese Milk Bread|Shokupan|Apron
10:12
Apron
Рет қаралды 14 МЛН
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 11 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 58 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН
HUTONUNUA MKATE TENA  BAADA YA KUANGALIA VIDEO HII
6:21
keki plus
Рет қаралды 1,6 МЛН
JINSI YA KUPIKA MIKATE LAINI KWA NJIA RAHISI
5:56
MAPISHI TV
Рет қаралды 43 М.
HUYU NDIYE BINGWA WA KUTENGENEZA MIKATE YA BOFLO ZANZIBAR
8:47
JAI ONLINE TV
Рет қаралды 1,7 М.
MKATE LAINI WA MAZIWA 🍞 SOFT MILK BREAK (2021)
8:01
Ika Malle
Рет қаралды 181 М.
KEKI YA UNGA ROBO TATU 750g FLOUR CAKE
14:04
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 10 М.
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 11 МЛН