Mimi nimekuelewa vizuri sana dada pia niishawahi kufanya kazi bakery hii kazi naipenda sana inalipa sana ila nilikuwa sifaham jins ya uchomaji kwenye mkaa ila naona umenifumbua macho vitu vingi sana, ila kitu kimoja tuu sijajua ni kiasi gani cha dawa inayochanganywa kwenye mkate ili usiharibike ukiwa sokoni, mimi nataka nijiajiri kabisa kupitia hii kazi, sasa nakuomba sana ningepata namba ya simu ili inisaidie pale nitakapohitaji ushauri asante.
@abdulwahiddayal-fz7hh Жыл бұрын
Nahitaji kujuwa vimo vyote KWA gm kilakitu
@زيتونتنزانيا8 ай бұрын
Mimi nahitaji kujua hii kazi sijui wapi wanafundisha
@aliceringo5238 ай бұрын
❤
@Royalcakespoint4 жыл бұрын
Thanx kwa video..pls naomba elimu kuhusu bread improver???
@mshumqueen78254 жыл бұрын
Mungu akuweke wewe dada naona kabisa ndoto yangu inavyoenda kutimia ubarikiwe sana
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Amiin
@PaskalinaPaskalinamasawe11 ай бұрын
Asanten sana mziwanda .nomejifunza niko kwenye mazoezi
@gracenkongo1994 жыл бұрын
Mungu akubariki dada,siyo jambo la kawaida mtu kujitoa elimu yake hivi hivi.Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Amiin
@sabrinamohamed7416 Жыл бұрын
Asante kwa mapshi mazuri tusiojua tumejifunza
@anneanne84764 жыл бұрын
From Kenya🇰🇪 tunasema upishi wako ni mzuri mno👌
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Ahsante darling
@relatable-withlucyk10854 жыл бұрын
Where do I buy the mixer?
@GraceMethuselaNtwale2 ай бұрын
Uko vizuri sana
@RoseMlay-d9jАй бұрын
Jamani dàda na Mimi nimejalibu kupika imetoka lakini kweli Asante sana dada mungu àkubaliki sana
@mziwandabakers8297Ай бұрын
Hongera kwa uthubutu dear
@gracejulius19144 жыл бұрын
Thanks love uko good sana. Asante kwakua sio mchoyo
@masoudrajab36144 жыл бұрын
Asante kwa ujuzi wa kutengeneza mikate na skonsi
@janetnthenya92354 жыл бұрын
Nimejivunza so much kutoka kwako.may God bless you
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Amiin
@priscamutendamwaipopo71204 жыл бұрын
Nimeipenda sana recipe yako ya hii mikate. Big up Mziwanda Bakers!!
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Thank you
@mwanjaamalinza82562 жыл бұрын
Mashaallah mikate mizuri sana hongera
@vickympwepwa10 ай бұрын
Moto umeweka ngapi
@agnesmagehema5762 жыл бұрын
Nakupenda mpendwa wangu napika nami huu mkate kwa kufuata maelekezo yk
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Karibu sana ❤
@florencechaz17144 жыл бұрын
Wow..., mpka raha inaonekana mitamu sana hongera na asante kwa kutuelimisha dear.
@magrethmbagga95023 жыл бұрын
Waaaa mkate mzuri sana. Bina swali nl lazima uweke amira pamoja na baking powder.?
@lavalava33044 жыл бұрын
Asante sana habibty tufundishe sambusa za unga wa mach el
@dhulfaabbasi19174 жыл бұрын
My Dada wallah wafanya vzur,,, Allah akufanyie wepesi katika kazi zako akucmamie km unavyotuelimisha love u 😍 !
@lamiessaed10924 жыл бұрын
Dhulfa Abbasi karibu kweny channel yangu ili usipitwe n kila video yangu ya urembo ☺️
@dhulfaabbasi19174 жыл бұрын
@@lamiessaed1092 Asante Dada tuko pamoja ntakuja jifunza mengi ktk channel ako ucjal thanks so much ee
@lamiessaed10924 жыл бұрын
Dhulfa Abbasi aww thank u lovie
@RachelPalls-ry6bl11 ай бұрын
Kazi nzuri dada nimependa,bt nna swal,...recipe ya scones haifai Kwa mikate?
@esterkapimba-tc8wkАй бұрын
Pishi zuri Sana,asante Kwa elimu nzuri
@wazamziray20553 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa mapishi Mazuri. Naomba unifahamishe hii Amprove inayosaidia kuhumuka mkate. Inaitwaje Kwa Kiswahili ili nitafute Madukan.
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Shukran, hii jina lake ni hivyo hivyo bread improver
@RaphaelKavishe-js3ty Жыл бұрын
Nimeipenda sana na piah natamn nianzishe kaz kama hii sema bado sijajua vifaa vitakavyotumika
@marygyumi42372 жыл бұрын
Habari za kazi napenda sana darasa laki, Mimi nataka kuwa napika vitafunwa, lakini nipo Dodoma, unaweza kuja kujifunza kwako? Halafu nataka unielekeze mahali ninapoweza kupata oven ya kupokea mikate mingi na keki nijue na bei.
@mbarakahamis1282 Жыл бұрын
Mambo dada, hongera sana kwa kazi nzur napenda sana yani na unanisaidia sana, mm natengeneza mikate km ivo lakini mm yakwangu mara nyingi inakuwa milaini sana kiasi kwamba inajikata kata spoch yake haiwi ya kushikamana inakuwa km mfano was cake sasa sijui nn shida nisaidie mpenz.
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Unakanda kwa kutumia machine?
@sadasaleh83594 жыл бұрын
Asante kwa kutusikiza wapenz wako nakitujali mm dua zangu n nying kwako saanaaa saaanaa yarab takabal duaa
@lamiessaed10924 жыл бұрын
Sada Saleh hi love karibu kweny channel yangu u subscribe ujifunze urembo
@abdulkhamis4955 Жыл бұрын
Kazi nzuri nahitaji huo mzani napata wapi
@marymushi79234 жыл бұрын
Waaawow! Ahsante sana kwa darasa zuri, endelea kutufundisha zaidi mpendwa.
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Amiin dear
@SnatusKweka-gh3um Жыл бұрын
Uko vizuri ahsante nimejifunza
@mwajabumshana68774 жыл бұрын
Asante sana kwa somo,hadi nimetamani ,nahisi harufubhadi huku. Naomba kujua huu mkate waweza kudumu kwa mda gani?kuna wengine wanaweka calcium,naomba unieleweshe Pia hiyo trei ni size gani kama nataka nitengenezeshe?
@mbelemmunga-ps4df Жыл бұрын
Napenda kujua kiasi hicho cha Tbsp yaani nikijiko cha gram ngapi?
@fatmahashim43944 жыл бұрын
Ahsante sana Dada kwa kushare nasi unajua sana kuelezea na pia kazi nzuri Hongera, samahani Dada bread improver naweza kupata wapi mm Niko dar
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Kariakoo kwa kipara dear
@Faiza-fm9fl4 жыл бұрын
what's bread improver
@MoreenNdalu8 ай бұрын
Nimependa na mm nataka nijifunze kupika mkate nifungue bekaly
@mwajumaomari47743 ай бұрын
Kuna bread ibmprover ya maji?
@LeilaIddy-s5k2 ай бұрын
Km sina tina ya shep ya hivo nafanyaje au hata shepu yoyote tu
@amadirispa83824 жыл бұрын
Santee sana mumy kua nahiyo moyo wakufuza vizuri hivyo ubarikiwe
@DayanaKanani Жыл бұрын
Asante kwa darasa zuri dada,natamani kujifunza ningepata namba yako ingekua poa sana
@sadyqruhhy20732 жыл бұрын
hae..mikate hio inapendeza kiukweli...
@vumiliahamisi70464 жыл бұрын
Kazi nzuri pia naomba kujua mashine yako umenunua shilingi ngapii nijibu tafazali
@SurprisedDuck-vg9hc8 ай бұрын
Samahani Ivi oven iyo kubwa inauzwa sh ngapi
@mwasizame67122 жыл бұрын
Mpo vizuri sana kwenye mafunzo Hongera sana
@hajrahalfan53023 жыл бұрын
Moto unaweka kiac gn??naomb vipimo vya unga wanusu kilo plz nijalib
@faithnjeri-zt3uk Жыл бұрын
Hie naitwa. Faith na ninatamani kujua nanna ya kupika mandazi ya biashala nangumu nahitaji kipimo gani kwa kilo mbili ya ngano kwa mandazi
@odetadaniel17442 жыл бұрын
Asante dada ila katika viungo mi Sina sukari ya unga pamoja nahicho kiungo ulichosema kinaumua,je bila hivyo haiwezekani kuwa mkate?
@lucylucumay9683 Жыл бұрын
Ili mkate usiharibike haraka Nini kinawekwa???
@BashiruNjonjo-cm3fv Жыл бұрын
Nashukuru kwa mafunzo haya kwa hakika munatusaidia sana
@philipadrian85343 жыл бұрын
Asante kwa video nzur,,Samahan lakin dada ningeomba unisaidie kufaham izo measuring cups ktk grams/kgs ikoje...na bread improver zpo aina ngap...Asante
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Bread improver naijua moja tu pia measuring cups inategemea unapima kitu gani hiyo ujazo na uzito hutofautiana kwa mfano unga 1 cup haiwezi kuwa sawa uzito na sukari 1 cup hivyo hamna njia yakukwepa kuwa na measuring cups
@philipadrian85343 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 nashukuru sana dada..🙏🏾🙏🏾
@rosekitosi59902 жыл бұрын
Nimependa hii video..hivi nikihitaji vifaa kama Oven ,mixer. Kubwa,na vifaa vya kuokea mikate napataje...naomba msaada tafadhali
@restutakagya20572 жыл бұрын
Samahani napaka margarine juu bado yangu inakuwaga ngumu au napaka kidogo Sana huwa naweka kijiko kimoja
@HusnaSimba-ml5ov Жыл бұрын
Umetisha naomba no yko dear.
@ndimiyakejoseph52932 жыл бұрын
Asante nimefurahi kujifunza
@evelinankayamba2174 жыл бұрын
Naomba kuelewa vzr hiyo uliyopaka juu baada ya kubake. Ni aina ya mafuta au ninini?
@joycemasanja41302 жыл бұрын
Asante hakika nimejifuza
@gaudensiabunga90172 жыл бұрын
Àsante sana kwa somo , nimejifunza kitu
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mashaallah hiyo bread improve twaweza pata wp?alfu naomba tafadhali utuonyeshe box ya kuifadhu keki swa da
@ilhamprecious88164 жыл бұрын
Wow
@maimunaabduly67394 жыл бұрын
Mashaallh Mkate mzuri
@RehemaWiseman5 ай бұрын
Mkate mzuri kesho nitajaribu kupika
@giftkimwayeya6635 Жыл бұрын
Kwani ukishaupika unakaa sk ngapi Hafu unaharibika?
@florachegere12594 жыл бұрын
Dada hongela sana mkate wako nimeupenda japo namimi napika lakini sio laini kama wakwako
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Chukua recipe dear,hongera kwa upishi pia
@florencemichael97 Жыл бұрын
Swali ni lazima maziwa iwe ya unga???
@sitiochu93674 жыл бұрын
Kazi nzuri sana . Allah akuzidishie. Je hiyo.sukari ya unga ndio ile sukari kali ua unesaga tu sukari yakawaida?
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Nimesaga ya kawaida dear
@khadijaali36884 жыл бұрын
Mashllh nzuri sna vile mm napenda ku beak
@florahmathew35104 жыл бұрын
Bila bread improver hauwezi tengeneza mkate?
@pendoashery2552 жыл бұрын
Samahan dada hizi trei za kupikia mkate zinapatikana maduka ya aina gan
@LaurentyRoman-zc9pz8 ай бұрын
Nimependa Sana nitajifunza
@janegeogre32342 жыл бұрын
Asante sn love, naomba unifahamishe ni wapi ile bread cutter inapatkana na ni sh. ngap? be blessed in advance!
@restutaemmanuel78582 жыл бұрын
1 cxta
@nightsamji46732 жыл бұрын
Masha Allah nimependa sana nitajaribu 🥰🥰🥰🥰
@CatherineRichard-n6k9 ай бұрын
Samahani unaweka kwenye oven dk ngapi na Moto inakua kiasi gani oven zile kubwa Euro Strong
@mapishinarose2415 Жыл бұрын
Unga umetumia pff au ?
@philipadrian85343 жыл бұрын
Asanten mziwanda bakery..👏🏾👏🏾
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Karibu 🙏🙏
@philipadrian85343 жыл бұрын
Asante sana
@neemamseti22513 жыл бұрын
Una nibariki sana dear natamani nijue kutengeneza hivi ngano ni ppf
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Shukran, ngano nimetumia Azania HBF
@neemamseti22513 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 poa asante sana naweza kufikaje kwako nikitaka kujifunza na bei pia
@marywillson3311 Жыл бұрын
Thanks my dear ❤️
@lydianjeri44173 жыл бұрын
Good job mama i love ur video
@priscamasawe10612 жыл бұрын
Woo nimependa mno naomba namba zako za sim please
@jenivamushi1007 Жыл бұрын
Dada naomba namba Yako please...nataka kujifunza zaidi
@habibamsoloni55824 жыл бұрын
Mungu akuzidishie we Dada unaelekeza vzr sana hd tunaelewa,,,naomba unielekeze jinsi yakutengeneza foundant maana video km umetoa imenipita
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Shukran, andika jinsi ya KUTENGENEZA Fondant Rahisi sana
@habibamsoloni55824 жыл бұрын
Na hiyo bread prove hupatikana maduka gani
@ahmedelalawi61434 жыл бұрын
Kuna kitu kimoja umejalizia umesema cha kuumuka naomba unitumie jina lake nikaitafute supermaket
@HamisFengu-lz7hq Жыл бұрын
Nimependa video yenu kwai mnapatikana wapi?
@OmanOman-u3o8 ай бұрын
Nimeipenda sana nakama ninatrei laovena
@muniramtika36144 жыл бұрын
Unaelekeza vzur sn .Asante mnooo😍
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
😘
@asiabeauty98514 жыл бұрын
Sijuti kuungana nawe, asante my dada penda sana wewe
@rayakhalfansaleh48894 жыл бұрын
bread improver tutaipata wap znz
@lamiessaed10924 жыл бұрын
Asia Beauty hi love karibu kweny channel yangu u subscribe ujifunze urembo
@JanethSamwel-rj7vp Жыл бұрын
Kwny cookies tupe vipimo vya gram
@nahumumgwama22804 жыл бұрын
Nimepnda ila sijasikia mafuta na majali ni nini?
@pwrhero6529 Жыл бұрын
Mubarikiwe sana kabisa asante mama
@sidikazungu23744 жыл бұрын
Bread improver ni ipi? From kenya
@bongokatuni4 жыл бұрын
Mbona mm nikipika skoz zinatoka ngumi sana naomba namba zako plz
@zainakiza90933 жыл бұрын
Iyo machine ulinunulia wapi dada angu?
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Hiyo Bread Prove naipataje?
@pulcheriamayombo57802 жыл бұрын
Asante wewe ni mwalimu
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
❤
@leokamil62844 жыл бұрын
Habari gani naomba kipimo cha mkate mmoja asante sana
@shhdndhdjsjs-em4kd11 ай бұрын
Kazi nzuri dada ❤❤❤
@fahimahajji35442 жыл бұрын
Bread improver and cake improver is different???
@abuubakarkichimbo99574 жыл бұрын
Mashallah hongera kwa ujuzi wako
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
🙏
@shuukuchy63503 жыл бұрын
Ntaanza buzness jmn... Asante Mziwanda
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Usiache ahadi hii ya biashara hakikisha unaifanya
@shuukuchy63503 жыл бұрын
Aww my... Ntarud n mrejesho nkishaianza 😘😘
@mwantumumnzava5441 Жыл бұрын
Nimeupenda sana km unagrupu niunge
@alinemusenge47374 жыл бұрын
asante sana dada but sija elewa vizuru hasa kwa kukanda nima itaji ya viugo gani hasa muhimu
@latifa73582 жыл бұрын
Hiyo mashine inaunzawa bei gani please 👍
@colethangusulu45644 жыл бұрын
Hongera ni nzuri
@lizyguye26294 жыл бұрын
Tafadhali hujasema umebake mkate kwa moto ngap na dk ngap pia je moto wako ktk oven ni juu na chin au chin pekeake
@winfridavicent-gp1my Жыл бұрын
Samahani Mziwanda naomba uliza kuna improver ipo kama mafuta ya mgando?
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Hizo ni gel , hasa kwa matumizi yake huwa ni cake
@winfridavicent-gp1my Жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 naweza tumia hata kwa mkate maana niliagiza mtu improver ndo kaniletea hiyo
@Teaching3566 ай бұрын
Nimejaribu kutengeneza ila shida ipo kwenye kuchoma zinaungua chini zinakuwa nyeusi sijui kwa Nini 😢
@christinabenedictjacob90774 жыл бұрын
Mungu akubariki sana my dear,nimefurahia sana hili darasa.