Jifunze jinsi ya kutumia pressure cooker, kwa namna raisi sana pia somo ili unaweza kulipata kwenye channel yetu ya raba one
Пікірлер: 48
@FatumaMbaruok2 күн бұрын
Mm yangu inaandika dakika35
@AgnesMarikiАй бұрын
Jamani mimi nimepoteza hicho kifuniko kidogo cha kutolea mvuke naweza kukipata wapi? Mdada jamani
@user-bj2xs3tc7h3 ай бұрын
Being Gabi na iwapo nipo tanganitaipata vipi
@VeeCute-ql4sk2 ай бұрын
Inauzwa sh ngap
@meereggfd5574Ай бұрын
Jamani Bei ningapi
@HabibaKippaАй бұрын
Kama Maharage hayajaiva unafanyaje??
@hillderrodgers52783 ай бұрын
yangu hicho kitobo cha pressure kuna chuma kimetoka nafanyaje apo
@MWANAHAWABAKARI-h4zАй бұрын
Bei gani?
@JwempoWaterInstitute3 ай бұрын
Kuna madhara kutumia cable au mpaka socket enyewe
@dades20243 ай бұрын
hapana, hakuna madhara yoyote
@user-tk5sr6wt7i4 ай бұрын
Naomba unisaidie ya kwangu ukiwasha inaandika E 4 Alfu ukitaka kuseti kwenye kupika inagoma shida inakuwa wapi
@dades20244 ай бұрын
umejaribu ku reset?
@user-it1hv9vh8q2 ай бұрын
6litre ni sawa na kg ngap
@dades20242 ай бұрын
kilo 3 hadi 4 za nchele
@RosePolikaАй бұрын
Yagu inatoa mvuke semzote adikwenye mfuniko
@dades2024Ай бұрын
uwe unaibana vizuri au angalia kama ina itilafu kuanzia kwenye mfuniko na sehemu zote
@dinacharokiwa48494 ай бұрын
Huyu mtu anatupa hadith maana anasema dakika 40 harage Haliwezi kuiva best,umetupiga hapo. Tueleze ukweli.
@dades20243 ай бұрын
Pole sana ndugu ulimwengu wa sasa upo mbio sana usikubali kubaki nyumba, kila unacho kiona hapo ni 100% kweli na hakuna editing
@jessicamichael62883 ай бұрын
ni kwel mpenz
@julianamuga3892 ай бұрын
😂Mtu hujui kitu tulia ujifunze unabishana haya kachochee na mkaa masaa saba
@user-tr3zb4ct1gАй бұрын
Hy mbn ni dakk 30 jamn😂
@AishaMohamed-wh9bs2 ай бұрын
Yangu inatoa mvuke tu hata nikifunga hicho kimfuniko haikubali
@dades20242 ай бұрын
ibane vizuri kuna sehemu inauwazi
@user-ur2ep7ep9b4 ай бұрын
Ninapo iwasha kupika muda ukiisha haifunguki
@dades20244 ай бұрын
Haiwezi kufunguka kama kama hujatoa preasha iliopo ndani
@lightnessdaniel28204 ай бұрын
Ya kwangu nikishaset dakika, haiivishi ndani ya hizo dakika, pia dakika hazipungui zinaganda hapo hapo alafu mvuke hapo juu hautoki hata ukizima ili utoe mvuke hapo juu hautoki shida itakua nini?
@dades20243 ай бұрын
ili tatizo mtafute fundi aliopo karbu yako anaweza kusaidia
@swahililyrics4635Ай бұрын
Pressure cooker haina dakika ... ina pressure na sio dakika .. mfano ikiandika p:15 , au p:35 means ndani yake pressure inatakiwa kua 35 au 15 .. inaamaa pressure ikijaa ndani mpaka uo ujazo wa 15, 35 au 40 .. ndo inaanza kushuka tena chini
@swahililyrics4635Ай бұрын
Na mvuke hautakiwi kutoka kipindi linapika ... pressure ikishuka chini bb ndo unatoa mvuke
@HabibaKippaАй бұрын
Kama Maharage hayajaiva unafanyaje?? 3:28
@dades2024Ай бұрын
unarudia tena japo kwa mara ya pili usiache imalize dakika mara harage litatepeta sana ikifika utakadiria kama dakika 20 ivi kisha una cancel
@aishaomar4179Ай бұрын
Ukitaka kuongeza dakika ikiwa kitu hakija iva wafanyaje
@dades2024Ай бұрын
unanza upya tena
@tumainirwela64883 ай бұрын
Unaiuzaje? Naweza ipataje?
@dades20243 ай бұрын
izi hadi kuagiza
@user-tr3zb4ct1gАй бұрын
Shingap hii
@dades2024Ай бұрын
izi zinatofautiana bei unaweza kupata kwa tsh 180,000 na kuendelea
@KaziloLulabhi29 күн бұрын
Mbn yangu ukiset kwenye maharage inaleta 3 ss apo naona 40
@dades202425 күн бұрын
laba inatumia mifumo tofauti
@user-sh5me6si5n5 ай бұрын
Naomba unielekeze jinsi ya kupikia maharage hio pressure cooker
@dades20244 ай бұрын
angalia video hadi mwisho utaona jinsi inavyo pika maharage.
@moriastore3 ай бұрын
Yangu dakika azipungui na mvuke unatoka
@dades20243 ай бұрын
shindilia kwa chini icho kitufe cha kutolea hewa
@kudrankumbi5875Ай бұрын
Asante yangu pia ilikuwa inatoa mvuke nikashindilia ikaacha
@user-gu8mr6ko8m5 ай бұрын
Hpo.kwwnye kuwasha cjaelewa
@dades20244 ай бұрын
ukiweka tu kwenye umeme inawaka
@hillderrodgers52783 ай бұрын
yangu hicho kitobo cha pressure kuna chuma kimetoka nafanyaje apo