JINSI YAKUTENGEZA VILEJA VITAMU NA RAHISI SANA | KATAI | VILEJA.

  Рет қаралды 115,621

Rukia Laltia

Rukia Laltia

Күн бұрын

Пікірлер: 73
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
KWA VILEJA HIVI IKIWA UNA SUKARI YAKUSAGA ITAKUWA BORA ZAIDI.❤️❤️😋🙏
@rahmangosha3602
@rahmangosha3602 4 жыл бұрын
Wooow yani nimevipika na mimi nimevipatia kabisa asante sana dada
@mariamramadhan4296
@mariamramadhan4296 Жыл бұрын
Mashallah shukran
@awenahmohammed7067
@awenahmohammed7067 4 жыл бұрын
Asanteh sana.dada.👌👌👌👌👄
@Ndumbas.b
@Ndumbas.b Жыл бұрын
Samly unamimia ikiwa ya moto kwenye unga au hadi ipoe ndo vizuri
@KsaKsa-rd5wy
@KsaKsa-rd5wy 5 жыл бұрын
Asante SASA hivi nimefanya vikawa vizuri
@habibaawadh3901
@habibaawadh3901 5 жыл бұрын
Shukran habbty
@melkiorymarandu1850
@melkiorymarandu1850 4 жыл бұрын
Sio baada ya masaa 30 bwn, sema dakika 30. Masaa 30 kwenye oven?? Duh hapana dada, ila ahsante kwa elimu, Hongera uko vizuri ktk mapishi.
@ashunmohd9182
@ashunmohd9182 3 жыл бұрын
kwani binadam hakuna kukosea?? kahhh!!!
@hadijaamran1554
@hadijaamran1554 6 жыл бұрын
Ayee3....thanks for the recipe....kesho navipikaa
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Haha inshaallah shukran maa ❤️❤️❤️
@neemajordan317
@neemajordan317 3 жыл бұрын
Mumy Kama huna hayo mafuta unatumia nini?
@hellensembe5371
@hellensembe5371 4 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri mm sina oven natumiaga mkaa napalia juu moto mwingi chini mdogo na mambo yanakwenda
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 4 жыл бұрын
Kabsaa sisi pia tumeanza na majiko ,maoven ya majuzijuzi
@shamsiamsaghati
@shamsiamsaghati 4 жыл бұрын
Nice one
@berinakima5536
@berinakima5536 6 жыл бұрын
Asante Sana. 😍😍😍😍
@mariamissaahmed7675
@mariamissaahmed7675 6 жыл бұрын
Vizuri kwa wajukuu Shukran
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Shukran aunty
@shammoha5297
@shammoha5297 6 жыл бұрын
MashaAllah. Asante.
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Afwaan🙏
@zainamgonja8273
@zainamgonja8273 4 жыл бұрын
Mafuta ya moto au bard dada
@بنتحضرموت-ب9ق
@بنتحضرموت-ب9ق 5 жыл бұрын
Unaweza kutumia manjano as rangi kama huna hyo rangi? I love your cookings sister..
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 5 жыл бұрын
Yes u can
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 5 жыл бұрын
Thank u dear
@بنتحضرموت-ب9ق
@بنتحضرموت-ب9ق 5 жыл бұрын
Ahaa okay welcome dear
@ashajongo9278
@ashajongo9278 4 жыл бұрын
às alaykum hayo madura ni robo kilo au6nusu chupa??
@ramamohammed1438
@ramamohammed1438 4 жыл бұрын
Looks yummy
@saidamahmud144
@saidamahmud144 6 жыл бұрын
Shukran nitajaribu
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Inshaallah
@fatmamselem-eu3mz
@fatmamselem-eu3mz Жыл бұрын
Aa nataka unifundishe ubuyu wa UNGA lkn ukishapika waufanya Kama ladu wafanyaje
@mwanaishakhatib4388
@mwanaishakhatib4388 2 жыл бұрын
Nangatai
@angelmagesa9868
@angelmagesa9868 6 жыл бұрын
nakufatilia sana Dada hongera sana
@lovenesmbembela6762
@lovenesmbembela6762 2 жыл бұрын
Kwa tunao pikia mkaa je tuweke moto kiac gan
@halimasulaiman3229
@halimasulaiman3229 5 жыл бұрын
Shukurani
@mwanaidimohamed9307
@mwanaidimohamed9307 2 жыл бұрын
Naweza kuchoma najiko la mkaa?
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 2 жыл бұрын
Ndio
@nurusalim8976
@nurusalim8976 3 жыл бұрын
Rangi ni jam?
@halmamuhajj7910
@halmamuhajj7910 6 жыл бұрын
Thanks for sharing habibty but sipati notification and nimesubscribe
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
U have to click the notification button
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Afwaan habibty ❤️
@athmanbello380
@athmanbello380 6 жыл бұрын
Aslm alkm , huwa huziwachi kushikana ikiwa ziko kwa oven ,cz nimefanya ikawa bd nikaregesha zikaunguwa
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Umetumia hii recipe yangu
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Nimeweka tu dakika 30 kwa moto wa 150 usizidishe
@Chimu54567
@Chimu54567 6 жыл бұрын
Huwa ziko ivo zikiwa moto kila ikipoa itashikana.
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Ndio kabisa shukran kwa kueleza
@mamaerick1783
@mamaerick1783 5 жыл бұрын
Unakandia mafuta tu Dada
@fatmankya3055
@fatmankya3055 5 жыл бұрын
Wafanyabiashara wa vileja kilo moja ya unga inatoka vireja vingapi pia vina uwezo wakukaa siku ngap na km hauna sukar ya kusaga je yakawaida inawezekana
@SesiliaShilima
@SesiliaShilima Жыл бұрын
Kama sina sukar ya kusaga nitafanyaje?
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia Жыл бұрын
Chukua sukari saga kwa blender utapata sukari yakusaga
@HalimaSelemani-u2h
@HalimaSelemani-u2h Жыл бұрын
Je ukiwa hauna oven
@zanfastfood7300
@zanfastfood7300 2 жыл бұрын
Hukuweka maj hata kdg ?
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 2 жыл бұрын
Hapana siagi tu
@zainamgonja8273
@zainamgonja8273 4 жыл бұрын
Mafuta ya moto au bard
@mwajamusa5425
@mwajamusa5425 4 жыл бұрын
Nilikuwa navitamani nivijuwe hasante na Mimi nitatengeneza
@damirage2010
@damirage2010 4 жыл бұрын
Is vileja buscuit in swahili
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 4 жыл бұрын
Ndio
@mwinyimkuumohamed1856
@mwinyimkuumohamed1856 2 жыл бұрын
kwani dada iyo sukari gani
@timafarid4189
@timafarid4189 4 жыл бұрын
Moto ni wa juu na chini?
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 4 жыл бұрын
Both
@fatmashaffy9335
@fatmashaffy9335 5 жыл бұрын
Unaweza kutumia blue band
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 5 жыл бұрын
Sijawahi tumia blueband sijuw zitakuwa vpi
@ramadhanimbarouk5822
@ramadhanimbarouk5822 3 жыл бұрын
Samahn hicho ni kifuniko au ni kifaa maalumu Kwa ajili hiyo???
@JamilaSMbegu
@JamilaSMbegu 3 жыл бұрын
Kifuniko cha dumu
@elsonrweikizamedard822
@elsonrweikizamedard822 3 жыл бұрын
Madaa 30 🤔
@MaryamSalim-q9c
@MaryamSalim-q9c 6 ай бұрын
Niulizee mafuta haiekwi Kwa moto ili IME moto
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 ай бұрын
Noo hapana hivyo hivyo barid
@halimakilo1368
@halimakilo1368 2 жыл бұрын
Sukari tunasaga au tunaweka hiyo hyo
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 2 жыл бұрын
Saga
@herbibybaksh9038
@herbibybaksh9038 6 жыл бұрын
Mfano hauna oven unafanyajeee
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Choma kwa makaa dear
@evamsemwaupendo9346
@evamsemwaupendo9346 4 жыл бұрын
Dada km huna oven unaweza kutumia sufuria?
@angelmagesa9868
@angelmagesa9868 6 жыл бұрын
Dada ukitaka kuoka Nikon sufuria unapaka mafuta
@RukiaLaltia
@RukiaLaltia 6 жыл бұрын
Ndio
KATAI | KUTENGENEZA VILEJA KWA MAHITAJI MATATU TU! Tamu Tamu Za EID
5:21
#behindthescenes @CrissaJackson
0:11
Happy Kelli
Рет қаралды 27 МЛН
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН
Какой я клей? | CLEX #shorts
0:59
CLEX
Рет қаралды 1,9 МЛН
CHEC PUFOS CU CACAO - Reteta super simpla si economica
5:21
Bucataras TV
Рет қаралды 954
VISHETI { VIKOKOTO } VITAMU PIKA HIVI KWA URAHISI.
5:13
Foodlovers Tz
Рет қаралды 64 М.
KATAI ZA BIASHARA TAMU SANA NA ZENYE FAIDA   KUBWA #Biasharayachakula
6:32
Jinsi ya kuoka vileja au biskuti bila oven wala mayai
5:10
Shuna's Kitchen
Рет қаралды 80 М.
Jinsi Ya Kutengeneza Icecream Lita 20 Rahisi Sana
7:22
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 721 М.
#behindthescenes @CrissaJackson
0:11
Happy Kelli
Рет қаралды 27 МЛН