MAENEO MANNE AMBAYO FEDHA IMEJIFICHA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 22,889

Joel Nanauka

Joel Nanauka

9 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 55
@salomemrembo7482
@salomemrembo7482 9 ай бұрын
Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
@eliamartine4720
@eliamartine4720 9 ай бұрын
Naitaji connection ya kununua nguo na kuuza
@challyclassictz5929
@challyclassictz5929 9 ай бұрын
Uko wapi
@fundivigaetzchannel1899
@fundivigaetzchannel1899 9 ай бұрын
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe
@user-yx3zh8ks2s
@user-yx3zh8ks2s Ай бұрын
Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you
@elishathepapaapeter
@elishathepapaapeter 2 ай бұрын
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
@dizzojozer6137
@dizzojozer6137 8 ай бұрын
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
@user-iq3sw9ud2j
@user-iq3sw9ud2j 9 ай бұрын
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
@BennyPhilip-zq7vb
@BennyPhilip-zq7vb 2 ай бұрын
Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa
@DaenoPol
@DaenoPol 2 ай бұрын
God bless you 🎉
@saidmwangasama
@saidmwangasama Ай бұрын
Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune
@taramakimaty5902
@taramakimaty5902 9 ай бұрын
Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...
@NyalagiMalando-cj4jf
@NyalagiMalando-cj4jf 4 ай бұрын
Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk
@ENOSOUND
@ENOSOUND Ай бұрын
From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 9 ай бұрын
Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf 9 ай бұрын
Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.
@DavidNdosa-mj4ei
@DavidNdosa-mj4ei 2 ай бұрын
Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza
@mhandondahani2656
@mhandondahani2656 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu
@EmmanuelGillux-uw1th
@EmmanuelGillux-uw1th 9 ай бұрын
Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 9 ай бұрын
Unaakili nyingi sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 9 ай бұрын
Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢
@user-bk6ue5zl5t
@user-bk6ue5zl5t 2 ай бұрын
😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 ай бұрын
@@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘
@mayanishamila6349
@mayanishamila6349 Ай бұрын
Tupo wengi
@ediphonceedwin1482
@ediphonceedwin1482 2 ай бұрын
Asante, mungu akubariki
@EmmanuelGillux-uw1th
@EmmanuelGillux-uw1th 9 ай бұрын
Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa
@KinanaLemaiba
@KinanaLemaiba 8 ай бұрын
Mungu akuongoze
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 9 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@johnbanda6601
@johnbanda6601 9 ай бұрын
Marafiki kuwa wateja
@stanleysome8821
@stanleysome8821 9 ай бұрын
Thank you so much Sir!
@user-bp6ue2sz8d
@user-bp6ue2sz8d 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@user-oi9hc6cs3m
@user-oi9hc6cs3m 9 ай бұрын
God blessed through you
@FrancisGerold
@FrancisGerold 9 ай бұрын
Following from songea
@amesalum3636
@amesalum3636 9 ай бұрын
Big up broo❤
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 9 ай бұрын
Baba ubarikiww
@mhandondahani2656
@mhandondahani2656 9 ай бұрын
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
@RivaKilimo
@RivaKilimo 2 ай бұрын
I like it
@user-jt3yw1gz2j
@user-jt3yw1gz2j 2 ай бұрын
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
@user-gh3zf4ow4c
@user-gh3zf4ow4c 2 ай бұрын
Penye Nia Pana njia
@BenisiaTitus
@BenisiaTitus Ай бұрын
Asant kak
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 9 ай бұрын
Asante sana
@niriacatering172
@niriacatering172 9 ай бұрын
Shukrani
@user-xv5kb5pe8h
@user-xv5kb5pe8h 9 ай бұрын
nimejifunza kitu hapo kaka
@user-bx5wg9nz8g
@user-bx5wg9nz8g 4 ай бұрын
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
@user-ty6qx5bp3x
@user-ty6qx5bp3x 9 ай бұрын
🙏🙏🙏kaka
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 9 ай бұрын
Asante
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 9 ай бұрын
Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.
@sirleemally5314
@sirleemally5314 9 ай бұрын
Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮
@user-xv5kb5pe8h
@user-xv5kb5pe8h 9 ай бұрын
5:51 nimejifunza point ya 4
@Paschalmachang
@Paschalmachang 9 ай бұрын
Kwelikabisa unachokisema
@arriyamistamp4945
@arriyamistamp4945 9 ай бұрын
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
@niriacatering172
@niriacatering172 9 ай бұрын
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 9 ай бұрын
Hapo ni kweli kabisa
@MIBWA
@MIBWA 9 ай бұрын
😅😅😅
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 117 М.
LIFE WISDOM:MASOMA 6 KUTOKA KWA BILIONEA JACK MA - JOEL NANAUKA
12:02
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 11 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 181 МЛН
VIGEZO VYA KUJUA WATU SAHIHI - JOEL NANAUKA
7:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 47 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 155 М.
LIFE WISDOM : KWA NINI WANAKUCHUKULIA POA - JOEL NANAUKA
13:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 33 М.
BAJETI BINAFSI - JOEL NANAUKA
6:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 50 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН