Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
@eliamartine47209 ай бұрын
Naitaji connection ya kununua nguo na kuuza
@challyclassictz59299 ай бұрын
Uko wapi
@fundivigaetzchannel18999 ай бұрын
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
@jonfredkewe34519 ай бұрын
Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe
@user-yx3zh8ks2sАй бұрын
Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you
@elishathepapaapeter2 ай бұрын
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
@dizzojozer61378 ай бұрын
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
@user-iq3sw9ud2j9 ай бұрын
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
@BennyPhilip-zq7vb2 ай бұрын
Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa
@DaenoPol2 ай бұрын
God bless you 🎉
@saidmwangasamaАй бұрын
Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune
@taramakimaty59029 ай бұрын
Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...
@NyalagiMalando-cj4jf4 ай бұрын
Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk
@ENOSOUNDАй бұрын
From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa
@bernadetachari76489 ай бұрын
Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf9 ай бұрын
Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.
@DavidNdosa-mj4ei2 ай бұрын
Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza
@mhandondahani26569 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu
@EmmanuelGillux-uw1th9 ай бұрын
Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri
@zabrongermanus-co1jj9 ай бұрын
Unaakili nyingi sana
@faudhiasalum72799 ай бұрын
Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢
@user-bk6ue5zl5t2 ай бұрын
😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi
@faudhiasalum72792 ай бұрын
@@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘
@mayanishamila6349Ай бұрын
Tupo wengi
@ediphonceedwin14822 ай бұрын
Asante, mungu akubariki
@EmmanuelGillux-uw1th9 ай бұрын
Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa
@KinanaLemaiba8 ай бұрын
Mungu akuongoze
@shukranjulius95269 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@johnbanda66019 ай бұрын
Marafiki kuwa wateja
@stanleysome88219 ай бұрын
Thank you so much Sir!
@user-bp6ue2sz8d9 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@user-oi9hc6cs3m9 ай бұрын
God blessed through you
@FrancisGerold9 ай бұрын
Following from songea
@amesalum36369 ай бұрын
Big up broo❤
@NuratyAlly-lq7xc9 ай бұрын
Baba ubarikiww
@mhandondahani26569 ай бұрын
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
@RivaKilimo2 ай бұрын
I like it
@user-jt3yw1gz2j2 ай бұрын
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
@user-gh3zf4ow4c2 ай бұрын
Penye Nia Pana njia
@BenisiaTitusАй бұрын
Asant kak
@MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын
Asante sana
@niriacatering1729 ай бұрын
Shukrani
@user-xv5kb5pe8h9 ай бұрын
nimejifunza kitu hapo kaka
@user-bx5wg9nz8g4 ай бұрын
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
@user-ty6qx5bp3x9 ай бұрын
🙏🙏🙏kaka
@aderiderkihupi72409 ай бұрын
Asante
@simonmalegesi4149 ай бұрын
Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.
@sirleemally53149 ай бұрын
Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮
@user-xv5kb5pe8h9 ай бұрын
5:51 nimejifunza point ya 4
@Paschalmachang9 ай бұрын
Kwelikabisa unachokisema
@arriyamistamp49459 ай бұрын
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
@niriacatering1729 ай бұрын
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani