Wakati mwingine unapokua mtu wa kutendwa mara kwa mara inabidi ukae utafakari kwa kina , kwanza uanze kujisafisha wewe kimwili na kiroho ukishajikamilisha geukia upande wa ukoo pengine Kuna laana za ukoo ndo zinakutesa uwe mtu wa kutendwa mara kwa mara , lakini pia ujitafakari katika safari Yako ya kimahusiano pengine ulishawahi kumtendamtu bila sababu ya msingi halafu machozi yake mungu akayapokea na yakakuweka katika wakati mgumu Tena usiosameheka yote hayo inabidi tujiulize , usilaumutu kua mbona unakua wa kuachwa Kila wakati, jitafakari ukipata majibu mkimbilie mungu, Kila changamoto inakisababishi, Asante CHIEF JOEL
@JasintaManingili5 сағат бұрын
Bro nawezaje kujoin madarasa yako
@jamesshirima335 сағат бұрын
....I'm waiting for it 🤝🏿🙏🏽
@SHILECKIZACHARIA6 сағат бұрын
Kaka wewe Mungu akubariki
@khalidiabasi24217 сағат бұрын
Njia ya kwanza it's better more
@NekesaAnnie8 сағат бұрын
🎉
@DalkhasKitchen11 сағат бұрын
Ahsante kwa kuzidi kutuelimisha vijana tuliojizatiti kuifanya biashara japo ni ndogo ila nimejifunza jinsi ya kuifanya kua kubwa ubarikiwe
@Tadeo-s4h13 сағат бұрын
Joo samahan naitaj kufaham elim ya fedha ili niweze kuinuka kiuchum na kulinda kipato changu
@user-oq4fv5ed7u13 сағат бұрын
Emeen Mungu nisaidie
@ElisiaTenga13 сағат бұрын
Big up bro
@ShemsaKombo14 сағат бұрын
Asante kwa ushauri wake mzur
@siwazurikondo14 сағат бұрын
Asant. Kaka. Nimekatalwa nandugu. Malafki. Adi watoto nilio. Zaaa siijui. Nifanyaje
@florahgodifrey5312Күн бұрын
Bado najifunza😊
@MayallaMathias-tu5yzКүн бұрын
Njia nilioipenda ni bank na kikoba
@shukranjulius9526Күн бұрын
Barikiwa zaidi kaka yangu, mimi kwenye muda yani Mungu anisaidie
@shukranjulius9526Күн бұрын
Asante kaka yangu Mungu akubariki sana ❤❤
@EmilyMwalongo-sg4ruКүн бұрын
Hao wanaosema pesa zio mhimu wanafiki kwasababu (ukitoa hewa ya oxygen kinacho futia kwa kuhitajika nipesa Ili izae (chakula na vinginevyo vinavyo patikana duniani vikiwa vimetayalishwa 😊- so bro Joel tupeElimu mpaka tuelewe au mpaka ikitajwa pesa lije jina la Joel kwenye Ubongo Thank you for the lesson
@DeoEmmanuel-tq7zlКүн бұрын
Oooh thanks so much
@monicakauky8914Күн бұрын
Kuepuka,gossip club.
@mahambagislain9618Күн бұрын
🎉🎉🎉✍️✍️✍️🙏🇨🇩
@brackskinyozi3280Күн бұрын
Asante kaka Joel nimejifunza kitu asante sana 🇧🇭
@mahambagislain9618Күн бұрын
Ndio Kaka una sema ukweli mwana damu Niki u mbe hatari sana, Mungu azidi Kuku Linda 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
Huyo mjomba apewe sekta ya vijana sababu vijana wanamwitaji zaidi kuliko maji
@HellenaIdamaКүн бұрын
Amen
@YosiaYohanaКүн бұрын
Ubalikiwe san kk unajuakufundish
@yothampetro50972 күн бұрын
Aiseee thanks for all you toking about
@paulsibu57702 күн бұрын
Mungu akupe Maisha Marefu na yenye Baraka tele
@MarryJulius-wq3eg2 күн бұрын
Naendelea kupona kaka Joel🙏
@DerickMayunga2 күн бұрын
Asante Sana, elimu nzuri Sana nimeipata
@DerickMayunga2 күн бұрын
Asante Sana, elimi nzuri Sana nimeipata
@marthageorge50432 күн бұрын
Asante 🙏🏻❤️
@user-zf8hg8yz1x2 күн бұрын
Bravo Joel, I am learning a lot from you on daily basis. Blessings Always❤
@SHILECKIZACHARIA2 күн бұрын
Kaka Mungu akubariki sana!
@Frank-q2f2 күн бұрын
Naitaji kitabu cha kugailisha Mambo
@IbrahimuAmiry2 күн бұрын
Wote nishakutana nao
@Joãofedelix2 күн бұрын
respect
@Semsango2 күн бұрын
Kwanini Wateja wana left sana kwenye Groups ?
@mohamedKudura2 күн бұрын
Asante sana MUNGU AKUBARIKI
@AbdulUjenje2 күн бұрын
Nachukiwa bila sababu ila nakuelewa sana
@user-sf8sr1sg5y2 күн бұрын
Kaka Joeli nakufatilia lila siku nikiwa na furahaa, lakini leo ni tofauti. Nimekuja uku moyo wangu ukiwaka moto😢 Lakini niseme tu ili somo limenisaidia sana sasa najua sababu🙏🙏 sasa tunawezaje kuishi na awa watu