MBUNGE ANATAKA TENA

  Рет қаралды 560,571

Joti TV

Joti TV

Күн бұрын

Kipindi hiki kila mtu anakufa na chake, maana hata wananchi wamekua wajanja...

Пікірлер: 549
@samchacha2320
@samchacha2320 3 жыл бұрын
Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei Big up SOPA
@babasandra638
@babasandra638 4 жыл бұрын
Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment
@kidonsagrayson9769
@kidonsagrayson9769 4 жыл бұрын
Chukua hyo
@juliethmsoka2234
@juliethmsoka2234 4 жыл бұрын
Pole ndoukubwa Uwo Mtanzania mbaka Akukubali utafanya kazi kubwa sana Baby😂😂
@babasandra638
@babasandra638 4 жыл бұрын
Thanks
@samsonisaack833
@samsonisaack833 4 жыл бұрын
Pole
@kenethtembo673
@kenethtembo673 4 жыл бұрын
Ckukua hyo
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 4 жыл бұрын
Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾
@kingbashar4293
@kingbashar4293 4 жыл бұрын
Wakongo bolingo! 🤓
@ghostelmendez7206
@ghostelmendez7206 4 жыл бұрын
Hahaha vizuri
@omarramadhani2324
@omarramadhani2324 4 жыл бұрын
Nakubari sana jot
@fredrickwcbmbeyasiriboy4418
@fredrickwcbmbeyasiriboy4418 4 жыл бұрын
Good brother
@mhinautunge5942
@mhinautunge5942 3 жыл бұрын
@@kingbashar4293 ⁰
@starridge3615
@starridge3615 4 жыл бұрын
From Kenya likes za kuchelewa ufike
@tembomnyamaOG
@tembomnyamaOG 4 жыл бұрын
Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏
@rashidahmed7504
@rashidahmed7504 4 жыл бұрын
yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋
@StarBoy-oi7vx
@StarBoy-oi7vx 4 жыл бұрын
Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 3 жыл бұрын
Wenzio wakubwa umeelewa maana yake
@msugalatz1112
@msugalatz1112 3 жыл бұрын
,pambna mwanang
@John_Msambya
@John_Msambya 4 жыл бұрын
Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂
@doreenmushi3859
@doreenmushi3859 4 жыл бұрын
Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa
@jonasmongi7811
@jonasmongi7811 4 жыл бұрын
Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂
@friendsinternet-oz1fi
@friendsinternet-oz1fi 2 жыл бұрын
and his team too
@misapinamiswi5751
@misapinamiswi5751 4 жыл бұрын
Hahaha joti hiyo nguo balaaa Mama dame Kenya tunakupenda tembea 254...
@djbee257
@djbee257 4 жыл бұрын
Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs
@maishacenter-eastafricatv3976
@maishacenter-eastafricatv3976 4 жыл бұрын
Wajinga ma DJ wote wa Burundi, wasiopenda vya kwao, pumbavu zenu😏😏
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 4 жыл бұрын
Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣
@johnnabie5445
@johnnabie5445 3 жыл бұрын
"Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 4 жыл бұрын
"Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.
@adiahassan2416
@adiahassan2416 4 жыл бұрын
Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣
@Keymambo_
@Keymambo_ 4 жыл бұрын
Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂
@samsonsimon7882
@samsonsimon7882 4 жыл бұрын
Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like
@CertifiedStoic
@CertifiedStoic 4 жыл бұрын
Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂
@omaryrashid1873
@omaryrashid1873 4 жыл бұрын
Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa
@CertifiedStoic
@CertifiedStoic 4 жыл бұрын
Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !
@abdiaziz2978
@abdiaziz2978 4 жыл бұрын
My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true
@khizralghawy9489
@khizralghawy9489 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita
@affaanothmaan6287
@affaanothmaan6287 4 жыл бұрын
Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 жыл бұрын
@@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 жыл бұрын
Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.
@nashaissa3804
@nashaissa3804 4 жыл бұрын
Aamin
@jessicabrown5885
@jessicabrown5885 4 жыл бұрын
Napenda mbunge anavyocheka😁
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 4 жыл бұрын
Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!
@alpherhaule179
@alpherhaule179 4 жыл бұрын
Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣
@خسنموس
@خسنموس 4 жыл бұрын
Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!
@tulsepeter3372
@tulsepeter3372 4 жыл бұрын
UK;;;; is;:;;;
@ashaathman4355
@ashaathman4355 3 жыл бұрын
Joti hoyeeee
@naomirobert4867
@naomirobert4867 4 жыл бұрын
Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌
@setinswila9499
@setinswila9499 3 жыл бұрын
Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 4 жыл бұрын
Je *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?* *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?* 3. Una U.T.I sugu ? 4. Umepungukiwa na Damu mwilini ? 5. Una Kisukari (Diabetes) ? 6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ? 7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ? 8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ? 9. Una shida ya mifupa ? 10. Una aleji (Allergy) ? 11. Una matatizo ya macho ? 12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ? 13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ? 14. Una tatizo la nguvu za kiume ? 15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake? 16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ? Piga0629280027 WhatsApp+255629395655
@simonmahundo1735
@simonmahundo1735 4 жыл бұрын
Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu
@eastafricabrokerkiller8028
@eastafricabrokerkiller8028 4 жыл бұрын
Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂
@salehechuma3970
@salehechuma3970 4 жыл бұрын
Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 жыл бұрын
Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@abdallahmohammed7947
@abdallahmohammed7947 4 жыл бұрын
United states apa California nawaona gonga like hujachelewa
@simonsweka7305
@simonsweka7305 4 жыл бұрын
Mhe..sopaa....duh hii ni kampen...real life in tz
@iscobuzness7153
@iscobuzness7153 4 жыл бұрын
Kipande Yupo Wap Mbona Sikuizi Aonekan
@teclasimba5389
@teclasimba5389 4 жыл бұрын
Leo sijasikia mtoto akilia 😂😂 Wapi tangazo letu la giggles
@pauljosephmashaur3118
@pauljosephmashaur3118 4 жыл бұрын
Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa
@lareineminah1353
@lareineminah1353 4 жыл бұрын
Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣
@sabinistephano3207
@sabinistephano3207 Жыл бұрын
Mkovizuli sana kk zangu endeeni ivoivo munguata wabaliki
@gideonsmzuka596
@gideonsmzuka596 4 жыл бұрын
Big up Jot unafanya kukumbuxha jamii wachague viongoz wanao faaa
@severinatyphone6122
@severinatyphone6122 4 жыл бұрын
KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!
@mohamedmziray6669
@mohamedmziray6669 4 жыл бұрын
Umeona
@youngchillags998
@youngchillags998 4 жыл бұрын
Nanukuu 7:30 ``kwani huyo anataka kugombea huyo" Joti bana..😂😂
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 4 жыл бұрын
Tarehe 28 ni moto naisubiri Mungu anipe uzima tuuuh
@hopechami521
@hopechami521 4 жыл бұрын
Vitu iv nlivipata kwenye ndoa Yang ya 1saiv nandoa 8,😃😃😃
@sulaymanwaziri4455
@sulaymanwaziri4455 4 жыл бұрын
Joti ukitoaga kitu kizuri nakosa hata kukomenti. 😂😂😂😂 eti mvua ikinyesha 120 moaka ndani
@kenmute7737
@kenmute7737 4 жыл бұрын
Hahaaa..wee unakuja na kushikashika miguu kuna watu wanatambaa kama kenge 🤣🤣🤣 wapi like ya joti kama unamkubali..
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 4 жыл бұрын
Mvua zote zikipiga 120 ndani 😂😂😂
@khadijaamour7654
@khadijaamour7654 4 жыл бұрын
Nimelielewa ilo gari tu apo😂😂😂
@abelmusyani4583
@abelmusyani4583 4 жыл бұрын
Lexus hio
@michaeljoseph6586
@michaeljoseph6586 4 жыл бұрын
Hiyo ni LX570
@tz7976
@tz7976 4 жыл бұрын
Kukuangusha inategemea na uzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti hatariiiii
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Kweli trh 28 Mwendo WA kujiajiri tu
@claraedwardmalingumu3565
@claraedwardmalingumu3565 3 жыл бұрын
Baba wawili weeee unanifanya nisahau shida zangu zote za mchanaa,suluali hiyoooo baba wawiliiii mie hoi ,mungu azidi.kukupa.ubunifu wako.mzuri mnoooo
@franciskomba4144
@franciskomba4144 3 жыл бұрын
Suti ya mbuge imechanika nani kaona 😂😂😂😂😂😂😂😂
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
Joty bhan umetisha Sana'a na sopa.ila kipande simuoni hapo daaah ela yakeeeeee.
@bmbyamstz9408
@bmbyamstz9408 4 жыл бұрын
Zidisha kutupa raha kaka😁😁
@furahishashaban3422
@furahishashaban3422 4 жыл бұрын
Unajua haya magari meusi ndo yanatekateka watu😂😂😂😂
@ramadhaniramji7048
@ramadhaniramji7048 4 жыл бұрын
Kuna watu wanatambaa kama kengee😂😂😂
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
joti nashindwa niwekeje commert maana hii comedy ya leo kiboko cha wale😂😂😂
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 4 жыл бұрын
Wasiwasi wangu tutawakuta kweli wananchi au tutakuta wamekufa@@@Nimependa hii
@jumamecha
@jumamecha 4 жыл бұрын
Joti wewe mukali big up sanaaa
@harryvice77
@harryvice77 4 жыл бұрын
Broooh joti awajamaa zako skuizi umeshawaambukiza ugojwa wa kuvunjambavu jamaa alipoanza apo mwanzo kwa kucheka kanivunja mbavu sanah
@feisalfarid147
@feisalfarid147 4 жыл бұрын
Mjomba jotiii ukooo juuuu sanaa👍
@templerfx4212
@templerfx4212 4 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻
@simonimwanamasi6527
@simonimwanamasi6527 4 жыл бұрын
Joti wewee Mungu Ana kuona
@danielpallangyo380
@danielpallangyo380 2 жыл бұрын
Nishai the Great one💚
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 жыл бұрын
Sopa 😂😂😂😂😂eti watakua wamekufa au wapo🤣🤣🤣🤣
@davidkashelo7300
@davidkashelo7300 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@josephNdichu879
@josephNdichu879 4 жыл бұрын
Qatar tuko ndani 🇶🇦
@fadhiliignusy3790
@fadhiliignusy3790 3 жыл бұрын
koti la mbuge sopa hapo nyuma ya bega 😂😂😂😂
@naomirobert4867
@naomirobert4867 4 жыл бұрын
Nan ameckia mama Dame anawakilisha mbele 😁😁😁😁😁😁😁
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
Nani kaleta maendeleo huku😂😂😂😂😂😂😂😂
@saidyhamidy286
@saidyhamidy286 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 joti talehe 28 nitalehe ya kuchoma sindano
@thierybien7051
@thierybien7051 4 жыл бұрын
Uyu jamaa cheko yake ya kitajili inaniacha hoi kabisaaa 😀😀😀😀
@producermaiko1762
@producermaiko1762 3 жыл бұрын
Malinyi uranga ahahahahaha😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyumban uko ifakara mbele ukooo
@gabrielmurro7134
@gabrielmurro7134 4 жыл бұрын
Kuna watu wanatambaa Kama kenge 😂😂😂😂😂😂
@zainabzuber1779
@zainabzuber1779 4 жыл бұрын
Vitu hivi nimevipata ndoa yangu ya 1 maana Sasa hivi nipo ya 8😂😂😂
@samytexas
@samytexas 4 жыл бұрын
Man so creative 😂👌🏽🤲🏾🤝🔥
@zulekhamnene9462
@zulekhamnene9462 4 жыл бұрын
Likes zanguu Kama unamkubali mama dame😅
@bonfacemuhammed
@bonfacemuhammed 4 жыл бұрын
zulekha upotea wp? Dadaa 🇰🇪
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
😝😝😝
@tausihasheem5051
@tausihasheem5051 4 жыл бұрын
Hyu n dereva ake hyu n dereva ake...joti kanichekesha wallah🤣🤣🤣
@danielngoza3746
@danielngoza3746 3 жыл бұрын
We
@tecklaadam6146
@tecklaadam6146 4 жыл бұрын
Kicheko cha mbunge 😂😂
@samirimunguawazidishiekher7319
@samirimunguawazidishiekher7319 3 жыл бұрын
Kwani izo like mnazo ziomba mnazipeleka wapi Maana atuwaelewi mmecharuka kuomba like
@daktarij381
@daktarij381 4 жыл бұрын
hii nzuri aisee ujumbe umefika
@anidebezibeautyandlifestyle
@anidebezibeautyandlifestyle 4 жыл бұрын
😂😂mbunge kicheko hilo chamani🤣 yametisha!🤣😆
@NungwanaCastro
@NungwanaCastro 8 ай бұрын
Mda wote naikubali hii clip😂😂😂
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Nitawakuta wananchi au nitakuta wamekufa 😂😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂mbona takrima
@claraedwardmalingumu3565
@claraedwardmalingumu3565 3 жыл бұрын
Mbonaaa Takrimu hiyooooo Baba wawili wangu,mara tunakujaaaa tenaaa wapo wanaokuja wanatambaaa weee
@dearnamypastime2435
@dearnamypastime2435 4 жыл бұрын
Kwan na huyu anataka kugombea. Hahahaaa
@vohaiabilah8900
@vohaiabilah8900 4 жыл бұрын
Hatar
@adamclassictz
@adamclassictz 4 жыл бұрын
Bora leo tangazo halipo mwanzoni
@sumakandosa1064
@sumakandosa1064 4 жыл бұрын
Kwel kbs
@templerfx4212
@templerfx4212 4 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻
@Dinosucre10
@Dinosucre10 4 жыл бұрын
Asante mungu
@salumally3128
@salumally3128 4 жыл бұрын
nilitaka kupeleka mbele nikizani matangazo yapo mwanzo...🤣
@mwanaidhassan4079
@mwanaidhassan4079 4 жыл бұрын
Hahaha me nilisogeza mbele kdg then nikarud nyuma😀😀😀😀
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 4 жыл бұрын
Hahaha saafi sana mleta kitu wakati wa mwafakaa ndio zao hao wabunge wanachagiliwa anahamia mjini awaji hadi kipeni mwaka huu woote walio hamia mijini wasipewe ubunge tena
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 ukweliiiiiii kabisaaa nyie watoto aki ya MUNGU walai
@fetysaidsaid708
@fetysaidsaid708 4 жыл бұрын
😂😂😂 wapili leo joti tv
@templerfx4212
@templerfx4212 4 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻
@salummigezo3729
@salummigezo3729 4 жыл бұрын
Eti kwani huyo nae anataka kugombea😂😂😂😂
@zakomone7672
@zakomone7672 4 жыл бұрын
kuna watu wanatamba kama kenge 😅😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@wazilijuma4738
@wazilijuma4738 4 жыл бұрын
Wabunge wana mambooh hatar😁😁
@samgaya
@samgaya 4 жыл бұрын
Joti fala sana etibumekujaje kujaje mana huku kijijini kumekuwa kama mjini😂😂😂
@omariamiri5556
@omariamiri5556 4 жыл бұрын
Hhhhhhh hhh sopa unapendezea kuwa mbunge
@templerfx4212
@templerfx4212 4 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻
@sandromirroso479
@sandromirroso479 3 жыл бұрын
Kazi nzur xana
@laurianvallentino9958
@laurianvallentino9958 4 жыл бұрын
Kama na wewe leo Joti kakunyoosha, kama mimi hajatanguliza lile tangazo tunalosogezaga mbele, kama mimi like hapa...
@salumally3128
@salumally3128 4 жыл бұрын
haya teyari nime like...
@amirmwashembe4340
@amirmwashembe4340 4 жыл бұрын
Cheki shat la mbunge mwenyewe alivolichomekea Hadi raha 😀😀😀
@Immagineit
@Immagineit 4 жыл бұрын
Joti anajua comedy sio wale wengine kukaa uchii tu
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣joti bhana
MOTO
9:57
Joti TV
Рет қаралды 839 М.
Koko Beach
8:10
Joti TV
Рет қаралды 747 М.
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 88 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
Joseph Mbilinyi 'Sugu' aliposimama kuchangia bungeni leo
4:36
Millard Ayo
Рет қаралды 318 М.
Asha Ngedere: Ze Komedi
6:33
NIPOJUUTV
Рет қаралды 1,5 МЛН
MCHEPUKO
8:46
kicheche
Рет қаралды 1,9 МЛН
KAPATA MSIBA
6:38
Joti TV
Рет қаралды 498 М.
MAMA MDOGO
10:58
Joti TV
Рет қаралды 302 М.
Cha kuazima
7:06
Joti TV
Рет қаралды 543 М.