Kipindi hiki kila mtu anakufa na chake, maana hata wananchi wamekua wajanja...
Пікірлер: 549
@samchacha23203 жыл бұрын
Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei Big up SOPA
@babasandra6384 жыл бұрын
Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment
@kidonsagrayson97694 жыл бұрын
Chukua hyo
@juliethmsoka22344 жыл бұрын
Pole ndoukubwa Uwo Mtanzania mbaka Akukubali utafanya kazi kubwa sana Baby😂😂
@babasandra6384 жыл бұрын
Thanks
@samsonisaack8334 жыл бұрын
Pole
@kenethtembo6734 жыл бұрын
Ckukua hyo
@fiziparadise78084 жыл бұрын
Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾
@kingbashar42934 жыл бұрын
Wakongo bolingo! 🤓
@ghostelmendez72064 жыл бұрын
Hahaha vizuri
@omarramadhani23244 жыл бұрын
Nakubari sana jot
@fredrickwcbmbeyasiriboy44184 жыл бұрын
Good brother
@mhinautunge59423 жыл бұрын
@@kingbashar4293 ⁰
@starridge36154 жыл бұрын
From Kenya likes za kuchelewa ufike
@tembomnyamaOG4 жыл бұрын
Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏
@rashidahmed75044 жыл бұрын
yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋
@StarBoy-oi7vx4 жыл бұрын
Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢
@tatoorashedi17873 жыл бұрын
Wenzio wakubwa umeelewa maana yake
@msugalatz11123 жыл бұрын
,pambna mwanang
@John_Msambya4 жыл бұрын
Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂
@doreenmushi38594 жыл бұрын
Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa
@jonasmongi78114 жыл бұрын
Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂
@friendsinternet-oz1fi2 жыл бұрын
and his team too
@misapinamiswi57514 жыл бұрын
Hahaha joti hiyo nguo balaaa Mama dame Kenya tunakupenda tembea 254...
@djbee2574 жыл бұрын
Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs
@maishacenter-eastafricatv39764 жыл бұрын
Wajinga ma DJ wote wa Burundi, wasiopenda vya kwao, pumbavu zenu😏😏
@brightonchedego81004 жыл бұрын
Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣
@johnnabie54453 жыл бұрын
"Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂
@shantalismailhassan98784 жыл бұрын
"Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.
@adiahassan24164 жыл бұрын
Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣
@Keymambo_4 жыл бұрын
Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂
@samsonsimon78824 жыл бұрын
Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like
@CertifiedStoic4 жыл бұрын
Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂
@omaryrashid18734 жыл бұрын
Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa
@CertifiedStoic4 жыл бұрын
Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !
@abdiaziz29784 жыл бұрын
My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true
@khizralghawy94894 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita
@affaanothmaan62874 жыл бұрын
Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,
@feyzalyusuph144 жыл бұрын
@@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?
@feyzalyusuph144 жыл бұрын
Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.
@nashaissa38044 жыл бұрын
Aamin
@jessicabrown58854 жыл бұрын
Napenda mbunge anavyocheka😁
@brightonchedego81004 жыл бұрын
Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!
@alpherhaule1794 жыл бұрын
Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣
@خسنموس4 жыл бұрын
Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!
@tulsepeter33724 жыл бұрын
UK;;;; is;:;;;
@ashaathman43553 жыл бұрын
Joti hoyeeee
@naomirobert48674 жыл бұрын
Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌
@setinswila94993 жыл бұрын
Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂
@michaelramadhan94664 жыл бұрын
Je *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?* *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?* 3. Una U.T.I sugu ? 4. Umepungukiwa na Damu mwilini ? 5. Una Kisukari (Diabetes) ? 6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ? 7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ? 8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ? 9. Una shida ya mifupa ? 10. Una aleji (Allergy) ? 11. Una matatizo ya macho ? 12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ? 13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ? 14. Una tatizo la nguvu za kiume ? 15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake? 16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ? Piga0629280027 WhatsApp+255629395655
@simonmahundo17354 жыл бұрын
Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu
@eastafricabrokerkiller80284 жыл бұрын
Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂
@salehechuma39704 жыл бұрын
Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha
@mahmoudaziz47174 жыл бұрын
Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@abdallahmohammed79474 жыл бұрын
United states apa California nawaona gonga like hujachelewa
@simonsweka73054 жыл бұрын
Mhe..sopaa....duh hii ni kampen...real life in tz
@iscobuzness71534 жыл бұрын
Kipande Yupo Wap Mbona Sikuizi Aonekan
@teclasimba53894 жыл бұрын
Leo sijasikia mtoto akilia 😂😂 Wapi tangazo letu la giggles
@pauljosephmashaur31184 жыл бұрын
Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa
@lareineminah13534 жыл бұрын
Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣
@sabinistephano3207 Жыл бұрын
Mkovizuli sana kk zangu endeeni ivoivo munguata wabaliki
@gideonsmzuka5964 жыл бұрын
Big up Jot unafanya kukumbuxha jamii wachague viongoz wanao faaa
@severinatyphone61224 жыл бұрын
KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!
Hahaha me nilisogeza mbele kdg then nikarud nyuma😀😀😀😀
@harunimfaume62804 жыл бұрын
Hahaha saafi sana mleta kitu wakati wa mwafakaa ndio zao hao wabunge wanachagiliwa anahamia mjini awaji hadi kipeni mwaka huu woote walio hamia mijini wasipewe ubunge tena
@berthamakortha83872 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 ukweliiiiiii kabisaaa nyie watoto aki ya MUNGU walai
@fetysaidsaid7084 жыл бұрын
😂😂😂 wapili leo joti tv
@templerfx42124 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
@salummigezo37294 жыл бұрын
Eti kwani huyo nae anataka kugombea😂😂😂😂
@zakomone76724 жыл бұрын
kuna watu wanatamba kama kenge 😅😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@wazilijuma47384 жыл бұрын
Wabunge wana mambooh hatar😁😁
@samgaya4 жыл бұрын
Joti fala sana etibumekujaje kujaje mana huku kijijini kumekuwa kama mjini😂😂😂
@omariamiri55564 жыл бұрын
Hhhhhhh hhh sopa unapendezea kuwa mbunge
@templerfx42124 жыл бұрын
🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘♀🙏🙏🏻
@sandromirroso4793 жыл бұрын
Kazi nzur xana
@laurianvallentino99584 жыл бұрын
Kama na wewe leo Joti kakunyoosha, kama mimi hajatanguliza lile tangazo tunalosogezaga mbele, kama mimi like hapa...
@salumally31284 жыл бұрын
haya teyari nime like...
@amirmwashembe43404 жыл бұрын
Cheki shat la mbunge mwenyewe alivolichomekea Hadi raha 😀😀😀
@Immagineit4 жыл бұрын
Joti anajua comedy sio wale wengine kukaa uchii tu