Jamani wanaume tutafute hela, Maana unaweza kuachwa kwenye mataa ukishangaa, Wanaume tujitume tuache tamaa
Пікірлер: 477
@fredluckkitego247410 ай бұрын
Huyu mr khan ametembea mule mule na joti super talented asee mmetushe
@khanamiry177610 ай бұрын
Aisee huyu nishai siyo mtu wa mbingu hiii ila watisha sana ila pesa bhana dondosha like kama unampenda nishai
@nadyasalim795610 ай бұрын
Nakupa
@Aviero_079 ай бұрын
😂
@rosemlacha9 ай бұрын
😅😥😥? LIKUD R4Uy
@jacobmwalituke89819 ай бұрын
Utakujaolewa kupendapenda like acha ujinga
@khanamiry17769 ай бұрын
@@jacobmwalituke8981 Kaa Kwa kutulia boya ww
@nemesapollo484610 ай бұрын
Anaenda kupiga unajua😂😂😂joti chizi
@chrismuganwa863410 ай бұрын
Nishai you're my man!! And thank you for your script!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@Teddy_jones10 ай бұрын
Kama unamkubali Joti weka like yako apa🎉🎉
@pierrebanza75410 ай бұрын
Yule unamjuwa ? Sasa wewe nilikuwa nakujua 😂😂 I love this lady ..she isbac good actor
@TupoComedy10 ай бұрын
One love tm jot pia msalimie sana kaka zito apo naomba sapot yenu wadau na like zen
@zeynaaly194810 ай бұрын
🤣🤣 Samia umemponza Nishai Mtombagile Kitwango
@lilianalmas591110 ай бұрын
Jotiii salute to you 😂😂😂😂. Never disappoint Kama unamkubali Brother Jotiii gonga like 😂😂😂😂
@user-qr7ok5fy5u9 ай бұрын
Kweli mimi Nina mkubali Nisha I sana
@queenandchill9110 ай бұрын
Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo Miguno hutaki HELA 😂😂😂😂😂
@nemesapollo484610 ай бұрын
Noma
@ezymoonworld636910 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@jumaamrani329510 ай бұрын
Nishai mishanga😂😂😂
@saidyhussein463110 ай бұрын
Unaupenda eeh
@amjudith10 ай бұрын
😂😂😂😂
@dashuu529510 ай бұрын
Samia nasema wamowamo ❤❤❤ mashallaah
@yjkbcdghjb10 ай бұрын
Joti igizA tena na mwarabu🎉
@idenaggrey607610 ай бұрын
Zito Unajua sana mwamba kama hauigizi vile 😂
@jeffhard577310 ай бұрын
Ni comedy ila ina funzo kubwa ndani yake Wanawake wa leo asilimia kubwa ndivyo walivyo tena ni bora umdhamini hata Mmasai atakuachia hata golole anavyo kukimbia kuliko hawa madem wa siku hizi acha alama twende sawa kama tuko pamoja !!
@zayumar29559 ай бұрын
Mmmh ata wanaume wa sikuizi mpo hivyohivyo muhim kuomba Mungu tu akupe mtu sahihi
@1gbtheslimgirl2069 ай бұрын
Damn joti mungu akuekee!! Nimecheka kicheko pekee yangu hadi najishuku 😅😅😅😊 from Texas 🇺🇸 🇺🇸 with love ❤️ 😍 💖 ❣️
@allymukhsin29627 ай бұрын
Can we be friend?
@erickmidomsodock871610 ай бұрын
From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa 23 ( 24
Enheee anaenda kupiga😂😂😂😂😂unafanya mchezo😂😂😂😂mjini ujanja kupata sio kuwahi😂😂😂
@emanuelmdaki10 ай бұрын
Eti mbna kalala vzr😂😂
@yollah10 ай бұрын
Hahahaha yaan joti pigo hizi unanauwa ila ukiliwa na pigo za za kimama unaleft group mshuaa😅😅😅
@edsonmunuo711210 ай бұрын
😂😂😂😂ha ha ha yaani nimecheka tena na tena 😂😂
@christophercostantine749710 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Joti kaikimbia laki 3😂😂😂
@bonfilskashaba738110 ай бұрын
Joti wewe jamani😂😂😂 utauwa watu 😅 nipeni like kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@bonfilskashaba73819 ай бұрын
Congo ✈️🇨🇩 piya tunafuata
@kenray932110 ай бұрын
😅😅😅 joti punguza tamaa
@user-gq7bd2di5g10 ай бұрын
Naomba like zangu jamaaaaann wa kwanzaaaa
@simonandrew148910 ай бұрын
Good job Mr Joti with Your Team
@starlonejadamskp822410 ай бұрын
Never disappoint jotiiii😅😅😂😂🎉
@esterdoriye837710 ай бұрын
Joti kachukue hela chumbani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
@user-so6zg7cd6i9 ай бұрын
😂😂wew ungeendaaa
@michaelbob411410 ай бұрын
Joti ungemalizia tu bodaboda wa chamanzi 😂😂😂😂😂
@gametongwe35399 ай бұрын
Joti Is a Living Legend 🔥🎯⚡👑
@darviedeben188510 ай бұрын
Complain zako nd zinafanya boss anaongea helaaa hahahah 😂😂😂💔🖐️
@zulekhangosha53910 ай бұрын
Uwiiiii Jotiiiii😂😂😂😂u made my day
@samuelntaconagize144510 ай бұрын
Hatari unatisha mzee❤
@athumaniomary124510 ай бұрын
Ayaaaaah Hahahaha nishai anajua sana
@sylvestermakasy850810 ай бұрын
Eti mimi Babu ila Joti 😂😂😂 eti mimi sio Bro
@salumuseif332410 ай бұрын
Hehehehehehehehehheehehehe
@abdulyusuph394810 ай бұрын
😂😂😂Joti Maisha😂😂
@Boaz2210 ай бұрын
Haya,wakwanza mimi,wanaomkubali joti gonga like yako hapa na Mungu atakubariki😅
@SuddyAlly10 ай бұрын
😂😂umetisha sana @joti😂
@faidhacute10 ай бұрын
Joti bhna eti Kuna watu wanaishi ila sisi wengne ni wasindikizaji😂😂😂
@shomaryabdul68629 ай бұрын
😂😂😂Siutani
@MrMona_TZ10 ай бұрын
😂😂 my family naver disappointed
@abrahammgonja161710 ай бұрын
sa mbona boss wako anaongeza ela ovyo😂😂😂
@tiktokTviral10 ай бұрын
#KHAN noma sana "NITAMPA_LAKITATU 😅😂😂😂
@tiktokTviral10 ай бұрын
#JOTI MUONGZE NA #KHAN KWENYE GROUP LAKO HUYU MWAMBA TUNAMKUBALI AISEE.!😂😂😂😅
@richardsegovia544810 ай бұрын
I was shock our driver told me this very few minute early in the morning in the market that you're a vlogger a known vlogger here in tanzania. I just wanna drop my full support to you
@issackathman85010 ай бұрын
khani anajuaa
@bashiruhassani101710 ай бұрын
Jot leo umepatkana
@Mr_destiny9 ай бұрын
😂😂😂🤣🤣 we live for the moment so Everytime enjoyment
@Chakulachakiroho9 ай бұрын
CREATIVITY 👌🏿📣
@rogatusmeleki166010 ай бұрын
Kaa hapaaa😂😂😂 Oya umeongea nae vzr au mnataka kunichanganyaa😅😅
@jimmyngala20589 ай бұрын
Uko sawaa joti 😂😂😂
@ayoubkhan43049 ай бұрын
Anaenda kupiga huyu 😂
@SalumJumanne-zk8ei9 ай бұрын
Hahahaaa daah anaenda kupiga unajua
@ericsimfukwe9 ай бұрын
Nakuombea maisha maref sana joti, hakika ukifa pengo lako halitozibika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti kiboko sanaaaaaa
@jamilaathumani548110 ай бұрын
Mmmmhh mambo yakuliwa tena jaman kwanaume mmmh sio sawa
@jameslucas716110 ай бұрын
Ayaa anaenda kupiga uy😂😂
@MaxmillianChagu-xs1sr9 ай бұрын
Ukweli joti upo vizuri hongera
@MCNgakungaJunior9 ай бұрын
Nyoooo!😂😂😂hatari sana!Comedian mje mjifunze kwa joti kuwa wabunifu.
@RjdEfuNny10 ай бұрын
Oyaa wee mpambee😂😂😂😂🎉🎉😅
@nemesapollo484610 ай бұрын
Maliza kabisa😂mhindi Domo zege
@losttribe00710 ай бұрын
Nadeem hongera kaka🔥🔥🔥kama umefika hapa na joti ame confirm, ni hatua kubwa kupiga colabo na joti🔥🔥🔥
@swalehmalik187510 ай бұрын
Wa kwanza mpaka mida hii.. nipeni like zangu team joti..
@user-ms2kf3mf3q10 ай бұрын
Hata mim yamenikuta haya mke wangu wa ndowa nilimfumania akaniambia hanijuwi
@mrjeyjamal628810 ай бұрын
Mr khan katisha ❤❤😊
@eliamwalongo137510 ай бұрын
Wa kwanza kucomment👊👊
@monicageorge218110 ай бұрын
😂😂😂😂 joti fala sana...
@MWEGOHA10 ай бұрын
Duh umeifanya nianze Ijumaa vizuri sanaaa
@user-yb9eb2yp8r10 ай бұрын
😂😂😂chupli chupli umeponea kudadek😅😅😅
@user-vn7co1jd4d9 ай бұрын
Et anaenda kupiga😂😂
@user-xi1pi4zr3b10 ай бұрын
Joti never disappoint 🤣🤣🤣
@jeffhard577310 ай бұрын
Ni comedy ila inafunzo kubwa ndani yake Wanawake wa leo ndivyo walivyo Tena Bora umdhamini hata mmsai atakuachia hata golole lakini sio madem wa leo mnao kubali weka alama twende sawa
@mohammedkidody561810 ай бұрын
Joti ww utabaki kuwa no 1 comedian nimecheka cn mbona umekataa hela😂😂😂😂
@ahmedsdk673610 ай бұрын
Gari ni Gari mamae...!!
@Allyukopa-px3zl10 ай бұрын
So talented
@MaxmillianChagu-xs1sr9 ай бұрын
East Africa television dadaz
@SamuMushi-gk7jy5 ай бұрын
Anaenda kupiga uyuuh 😅😅
@ahmadsaid487810 ай бұрын
😂😂😂Yaaan ya leo angekuepo sopa na kipande ingekua kali zaidiiiiii
@daudimkwela10 ай бұрын
True
@shafiichusi189710 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌,.... Tutafute maokoto jamani...
@makop697810 ай бұрын
leo nimekuwa wa kwanza kuangalia video hii kaka nisha umetisha sana kama korona
@amraniibrahim690610 ай бұрын
😂
@user-hy3pl6ob1j9 ай бұрын
Anaenda kupiga huyu😢
@abdallahathuman949310 ай бұрын
Mualabu kafanya vizuri Nice
@albinusnyaiyo261410 ай бұрын
Kalala vzuli kwa stail hii vijna hku mjini watauponza wnatka kuuza madem zao😂😂
@maufijose229410 ай бұрын
😂😂😂😂 Joti we Kiboko! Dadeeek
@bashiruhassani101710 ай бұрын
Na mm leo nimewai
@MUHOJAMAIGE9 ай бұрын
Kaka Joti tena wala usijiunge na wakinamasanja na mpoki waache kabisa yan wewe unajitosheleza kabisa maana Haubahatishagi Hongera sana unaweza kaka joti nakuomba unifanyie mpango niigize na wewe maana napenda sana komedi niunganishe kwenye kundi lako niwe kijana wako
@user-wk1ho6mr5b10 ай бұрын
joti 🔥🔥🔥🔥
@bintmrisho352610 ай бұрын
Watu hamlali jaman kaah😂😂
@kafumun10 ай бұрын
😂ila uhuru umezidi. Yaani bidada anajiita Samia 😁
@nilla16579 ай бұрын
Kwamba hukuwah kulisikia hilo jina kabla au
@arabianbutter40079 ай бұрын
Oyaaa mwarabu
@muddytv151310 ай бұрын
Nimesameeeee 😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 leo limekukuta mzee wa slop
@azorindege255610 ай бұрын
Ongea na mm hapana mm naongea n huyu ahahahahaha
@mpenzisamaki94888 ай бұрын
Ila joti bhana we fala sana unajua Hadi unaboa
@issackathman85010 ай бұрын
haha et kuchukua helaa weee naijua
@bonifacepontian139110 ай бұрын
Eti Aiyaaaaa😂
@MaxmillianChagu-xs1sr9 ай бұрын
Boni habari
@barakamwango4 ай бұрын
Duuh hawa walikulana aisee
@godwinmwakibibi27410 ай бұрын
Afu kuanzia gari mpka nyumba vya joti hapo hadi dem wake kweli mwarabu chawa wote vijakazii mamae jotii uchizi unapesa😂😂😂