Jamani wanaume kama hutaki kuoa kwanini upoteze gharama ya kusumbua watu, Hapo hakuna muaji...
Пікірлер: 598
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Wanaume wote mnaoomba like bila shaka hamjakamilika hamna nguvu z kiume haiwezekani dume zima et naombs like ulilazimishwa kuangalia?
@Jumashadhil3803 ай бұрын
Paula Umenuna 😂😂😂 Hili Swala Tunatakiwa Tuanzisheni Kamati Tulikemee Kwa Kwelii 😅😅, Au Sijui Ukiwa Na Like KZbin Wakulipa😂😂
@ZandaMelody-cj5te3 ай бұрын
Hataaa Mimi Nawachukia Sanaaa....Anqalia Video Like Comment Then Kaushaaa Lakiniii Daaaahhh....Cjui Wanakuaqa Na Nyeqe Za MIK🗯🗯nd💬
@RajabuHayyan3 ай бұрын
😂😂😂😂kama misheta
@haidarykufakunoga88693 ай бұрын
😂😂😂😂😅😅🤣🤣
@KhairatiSulemani3 ай бұрын
😂😂😂😂sio kama wakenya
@Abdul_Rashidkibet3 ай бұрын
Iko Sawa... Ndoa zifanywe kwa mujib wa dini... Mambo ya Mila Mila nyingi na mambo mengi yanafanya vijana kuogopa kuoa.
@bibiswalehemwanyere54933 ай бұрын
Kweli tena, Mambo mengine Yanaskitisha na ni ya ajabu sana, Joti ametufunza kwa kweli
@Abdul_Rashidkibet3 ай бұрын
@@bibiswalehemwanyere5493 Kuna Maisha baada ya hio siku ya ndoa... Me siwezi gharamika Sana hadi niingie kwa madeni mkubwa ili tu nifurahishe watu siku moja na niishi kwa madeni na ndoa zenyewe za siku hizi hakuna uhakika wa kufika hata miaka 5
..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
@piuskusenge-jf2ob3 ай бұрын
Wapemba nawapendaga hapo tuu, Wana majibu mawili "NO"na "YES"wamemaliza 😂😂😂😂
@thadeogodwin64793 ай бұрын
Wa 20 jmn leo like 10 zanitoshs
@official_Nanga3 ай бұрын
MUNGU TULINDIE HUYU MZEE NI HAZINA YA TAIFA MPE MAISHA MAREFU
@vanessalaizer43632 ай бұрын
Hee joti kawa mzee mara hii? Khaaa jamani
@mohammedkidody56182 ай бұрын
😂😂😂ila nanga
@HamisiChipotele-fl8xo3 ай бұрын
Majemeni mbona nyie wenzangu mnapata likes me sipati 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@HANDSOMEDIA_bukavu3 ай бұрын
bibi arusi sasa😄😄😄😄
@zenamtembezi49213 ай бұрын
Majameni😂
@ambrosenorbert77563 ай бұрын
wakwanza like 10 tu znatosha
@emmanuelsamila14773 ай бұрын
Zinakusaidia kitu gani hizo likes?? Acheni ushoga bana yaani mwanaume mzima naomba likes naomba likes
@lucasAm-mp9sj3 ай бұрын
@@emmanuelsamila1477 tafuta pesa uache makasiriko
@rodgersmwagu2393 ай бұрын
Wangapi tumependa. Uyo demu alivotikisa Tako apo getini🤣🤣🔥🔥💯💯💯
@djsonalee3 ай бұрын
😅😅
@Mr_smart.code_103 ай бұрын
Dah nilijua nimeona peke yangu 😂
@magrethmbuma30453 ай бұрын
Sasa mbona walikosea kumuacha pekeakee😢😢jamanii
@yusuphabubakary20303 ай бұрын
ila camera man alkua na roho mbaya😅😅😅
@BundalaShija-yb4vo3 ай бұрын
Hatariii mkuu mamb hayoo
@KibweOnlineTv3 ай бұрын
Nimekuwa wa 26. Naomba likes zangu please, Lakini huyu joti anajua jamani tumpe maua yake tu 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😅😅😅❤❤❤
@muduboy7263 ай бұрын
Boss niuzie channel
@harrymakongwa11473 ай бұрын
Tafuta pesa wewe 😅
@khadijanurdin31633 ай бұрын
Km zako c uchukue tu mpaka iombe?
@HildaChard-vl1jbАй бұрын
Waliotizama mwez wa nane gonga like apa
@Kijosh8543 ай бұрын
Dada Asha Boko Allah akujalie afya njema InshaAllah
@olicej78373 ай бұрын
Na mimi nimefrah kumuona
@jacksonlyimo14913 ай бұрын
Amina Bwana Yesu akamponye awe mzima tenaa
@Ciza-ferouz13 ай бұрын
Allahuma amiin
@Bintiali-kg3xe3 ай бұрын
Aamin
@azizayassin36232 ай бұрын
Ameen
@ALIMOHD-bk9lr3 ай бұрын
Yaani bwana harusi unaachwa NJE ndugu na wapambe wanaingia ndani😂😂😂😂 si joti tuu hata Mimi hapo siowi kama Mila NI Bora wakae na mtoto wao😂😂😂😂
@eliudmkumbwa56813 ай бұрын
Waomba like wangekuwa wanamwomba Mungu kwa nguvu hiyo hiyo wangekuwa mbali vibaya mno, haya naomba like😂😂😂
@estherpaul38643 ай бұрын
😂😂😂
@SophyMurre3 ай бұрын
😂😂😂
@MwanasityAlly2 ай бұрын
😂😂😂nawashangaaa
@Delux6983 ай бұрын
KUNA hili li shangazi lifupi limevaa kijora cha njan0, mwenye namba please😂😂🙏🙏
@mheheoriginal97123 ай бұрын
Joti TV NDOO comedy namba moja Tanzania nawa penda SANA from America 🙏🙏💪😁
@godfreymsemwa3 ай бұрын
Mhehe mwenzetu
@kalubisubira71823 ай бұрын
Mhehe america wap na wap
@BIGbone.94223 ай бұрын
@@kalubisubira7182🤣🤣
@Mariam-fm8vq3 ай бұрын
@@kalubisubira7182😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody56182 ай бұрын
Kabisa yn❤🎉
@rodgersmwagu2393 ай бұрын
Tulikuwa tunasubili sana joti aigize kama mpemba 💯💯🔥🔥
@mwanamisiramadhan47733 ай бұрын
Hii ni tamaduni tu nakufarahia na unaotoa chochote hata buku fresh barida tu 😂😂😂japokuwa sikuhizi imekuwa karaha sanaa mpk kero kwa bwana harusi
@Shadia5443 ай бұрын
Leo nimekuwa wa 75 😂😂😂😂😂Harusi tunayoooo 😂😂😂mara HAKUNA HARUSI BIARUSI MWENYEWE MWANA😂😂😂😂
@tatoo00983 ай бұрын
NYIEEEEEE bibiharusi sasa 😂😂😂😂😂😂
@EricaBizuru-jp9by3 ай бұрын
Doris Doris Doris unautumia vizur uumbaji wa mungu 😂😂😂hapo getini umeweza mama
@kekiplus1andonly3 ай бұрын
Hivi joti Kuna mengine unakuwa umelenga stori ya mtu au yote maigizo😂😂😂😂😂
@panchobway32453 ай бұрын
Ila uyo mke inasemekana ni ndoa ya mkeka maana si kwa kutafuta sababu iy ili usiow t
@TALLUBOY2 ай бұрын
Na Zanzibar kwa vespa NA MIMI HAPO NDIYO SIOWI KABISAAAAAAAAAA KUMAMMAE HELLA ZAMASHEMEJI
@hamzaIlunga3 ай бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo
@petrochengula94803 ай бұрын
Ndio dawa yao mahali ushalipa halafu mambo ya mila na desturi tena nikuacha tu.
@msolekaonlinemedia3 ай бұрын
sema hiyo mishangazi ya Joti ina balaa😋😋😋😋😋😋
@allybaru3 ай бұрын
Ni uhalisia ambao upo kabisa kweny Jamiii zetu ndoa nying hasa za kiislam huu mtindo upo
@salhawaziri16683 ай бұрын
Hizo ni Mila wala sio uislam..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
@RahmaRadjabu3 ай бұрын
Wao yenyew wamesema Mila nasio dini
@thetrailerzone27913 ай бұрын
Hapana hta za kikristo huingii ukumbini mpka utoe mpunga nje
@allybaru3 ай бұрын
@@thetrailerzone2791 hii mambo inakela isee
@israelkisaila84013 ай бұрын
@@salhawaziri1668sasa mbona wamevaa kiislamu?
@salumchande27023 ай бұрын
Hizi like huwa mnazifanyia nini mukishapewa 😂
@gloriamwenda2 ай бұрын
😮😮😮
@QUEENBEEOG3 ай бұрын
Laki mbili si mahali iyo😂😂😂 ndo pesa ya binadam kuzuia mlango kumuona mwali sasa 😂😂
Sema joti ni bongo moja la comedian sioo hao wapiga kelele wakina mkojanii
@AbdulnasriHamisi3 ай бұрын
Mkojn nae fundi
@kisabihamadi75553 ай бұрын
Hamna kitu kelele tu@@AbdulnasriHamisi
@mohammedkidody56182 ай бұрын
@@AbdulnasriHamisiKabisa yn
@ziggyhendrixx7445Ай бұрын
@@AbdulnasriHamisihamuezi Joti huyu ni Legend mkojani anauza samaki huyu jamaa ashaingia kwenye game
@dollardavid9553 ай бұрын
Wakwanza leo.
@ameirzapy13183 ай бұрын
😂😂 joti hayo mambo kwetu hakuna,, na harusi hakuna😂
@KhalidNa-bn4gp3 ай бұрын
Familia zamabiharus mmeshapata somo😂😂 ole msubutu mtawaowa wenyewe joti umeuwa🎉❤❤❤
@liylahahmed8293 ай бұрын
Mmmh kwaiyo Zanzibar ndo hawafichui au mmmh
@CholoFaizaan3 ай бұрын
Niutani😂 tu Tz hatugombani kwautani wala hatugombani kuhusu makabila
@AraphaCheki3 ай бұрын
Nimewahi Leo kidg khaa😂 nilijua wa kwanza mm
@BisawaBashiru3 ай бұрын
Napenda sana kuangalia comedi ya joti namkubali sana hana baya
@PolycarpeMulumba-ef5if3 ай бұрын
Nakukubali sana bro you are 💪
@liylahahmed8293 ай бұрын
Doooh😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamesmzaki60413 ай бұрын
Naomba like japo mmi ni wa 6421
@bashiruhassani10173 ай бұрын
Jot umetsha
@vibetz99913 ай бұрын
Video inaanza 3:18 😂😂😂
@jaqlinemanyama3 ай бұрын
mweneeee tu mimi
@uwimana65333 ай бұрын
Namuona damwene na mzee mbembe raha sana 😂😂😂😂😂
@eliassteven55753 ай бұрын
Duuuh
@kallumangamhagama9853 ай бұрын
Mapema tu
@ShafiiSoud-b3w3 ай бұрын
shughuli ina watu kweli, nawek pending nitaichek usku nikitulia...😂😂😂
@KisomoKedia2 ай бұрын
Mhhh yaan uyo dada aiseee kweli mungu aliwatengeneza watu kwa maarifa ya juu.Amen
@MsNajma-j7e2 ай бұрын
Ndoa zifanyike kwa mujibu wa sheria ya din izi mila zinazinguwa sana na ndiomana nirivyo horewa me baba yangu mkubwa arisema kabsaa sitaki bwana harusi azuiriwe mrangoni muachen aje achukue mkewe huu jinga mkubwa kabsaa mira za kishamba tu huu?
@SalimMkambila-eo5xl3 ай бұрын
28.06. 24 saa 12 ya asubui,
@edgarjoseph55733 ай бұрын
Like haiombwi/ Like inakuja pale mtu anapopendezwa na Comment yako full stop 🛑
@AllyLukwembe3 ай бұрын
Utanikuta bandari. 😂😂
@farajaalfayo86493 ай бұрын
Jot mwehu sana...unafit sana kwenye Jot kwenye uchekeshaji uko juu😂😂😂