HAKUNA NDOA

  Рет қаралды 350,218

Joti TV

Joti TV

Күн бұрын

Jamani wanaume kama hutaki kuoa kwanini upoteze gharama ya kusumbua watu, Hapo hakuna muaji...

Пікірлер: 598
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 3 ай бұрын
Wanaume wote mnaoomba like bila shaka hamjakamilika hamna nguvu z kiume haiwezekani dume zima et naombs like ulilazimishwa kuangalia?
@Jumashadhil380
@Jumashadhil380 3 ай бұрын
Paula Umenuna 😂😂😂 Hili Swala Tunatakiwa Tuanzisheni Kamati Tulikemee Kwa Kwelii 😅😅, Au Sijui Ukiwa Na Like KZbin Wakulipa😂😂
@ZandaMelody-cj5te
@ZandaMelody-cj5te 3 ай бұрын
Hataaa Mimi Nawachukia Sanaaa....Anqalia Video Like Comment Then Kaushaaa Lakiniii Daaaahhh....Cjui Wanakuaqa Na Nyeqe Za MIK🗯🗯nd💬
@RajabuHayyan
@RajabuHayyan 3 ай бұрын
😂😂😂😂kama misheta
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 3 ай бұрын
😂😂😂😂😅😅🤣🤣
@KhairatiSulemani
@KhairatiSulemani 3 ай бұрын
😂😂😂😂sio kama wakenya
@Abdul_Rashidkibet
@Abdul_Rashidkibet 3 ай бұрын
Iko Sawa... Ndoa zifanywe kwa mujib wa dini... Mambo ya Mila Mila nyingi na mambo mengi yanafanya vijana kuogopa kuoa.
@bibiswalehemwanyere5493
@bibiswalehemwanyere5493 3 ай бұрын
Kweli tena, Mambo mengine Yanaskitisha na ni ya ajabu sana, Joti ametufunza kwa kweli
@Abdul_Rashidkibet
@Abdul_Rashidkibet 3 ай бұрын
@@bibiswalehemwanyere5493 Kuna Maisha baada ya hio siku ya ndoa... Me siwezi gharamika Sana hadi niingie kwa madeni mkubwa ili tu nifurahishe watu siku moja na niishi kwa madeni na ndoa zenyewe za siku hizi hakuna uhakika wa kufika hata miaka 5
@allahisone6386
@allahisone6386 3 ай бұрын
​ 💯%🤝
@YassinGofrey
@YassinGofrey 3 ай бұрын
😂😂😂pole sana ndugu yangu, waulize wazaz wako walipata vipi ndo uongee​@@bibiswalehemwanyere5493
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 3 ай бұрын
..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 3 ай бұрын
Wapemba nawapendaga hapo tuu, Wana majibu mawili "NO"na "YES"wamemaliza 😂😂😂😂
@thadeogodwin6479
@thadeogodwin6479 3 ай бұрын
Wa 20 jmn leo like 10 zanitoshs
@official_Nanga
@official_Nanga 3 ай бұрын
MUNGU TULINDIE HUYU MZEE NI HAZINA YA TAIFA MPE MAISHA MAREFU
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 2 ай бұрын
Hee joti kawa mzee mara hii? Khaaa jamani
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 ай бұрын
😂😂😂ila nanga
@HamisiChipotele-fl8xo
@HamisiChipotele-fl8xo 3 ай бұрын
Majemeni mbona nyie wenzangu mnapata likes me sipati 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@HANDSOMEDIA_bukavu
@HANDSOMEDIA_bukavu 3 ай бұрын
bibi arusi sasa😄😄😄😄
@zenamtembezi4921
@zenamtembezi4921 3 ай бұрын
Majameni😂
@ambrosenorbert7756
@ambrosenorbert7756 3 ай бұрын
wakwanza like 10 tu znatosha
@emmanuelsamila1477
@emmanuelsamila1477 3 ай бұрын
Zinakusaidia kitu gani hizo likes?? Acheni ushoga bana yaani mwanaume mzima naomba likes naomba likes
@lucasAm-mp9sj
@lucasAm-mp9sj 3 ай бұрын
@@emmanuelsamila1477 tafuta pesa uache makasiriko
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 3 ай бұрын
Wangapi tumependa. Uyo demu alivotikisa Tako apo getini🤣🤣🔥🔥💯💯💯
@djsonalee
@djsonalee 3 ай бұрын
😅😅
@Mr_smart.code_10
@Mr_smart.code_10 3 ай бұрын
Dah nilijua nimeona peke yangu 😂
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 3 ай бұрын
Sasa mbona walikosea kumuacha pekeakee😢😢jamanii
@yusuphabubakary2030
@yusuphabubakary2030 3 ай бұрын
ila camera man alkua na roho mbaya😅😅😅
@BundalaShija-yb4vo
@BundalaShija-yb4vo 3 ай бұрын
Hatariii mkuu mamb hayoo
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv 3 ай бұрын
Nimekuwa wa 26. Naomba likes zangu please, Lakini huyu joti anajua jamani tumpe maua yake tu 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😅😅😅❤❤❤
@muduboy726
@muduboy726 3 ай бұрын
Boss niuzie channel
@harrymakongwa1147
@harrymakongwa1147 3 ай бұрын
Tafuta pesa wewe 😅
@khadijanurdin3163
@khadijanurdin3163 3 ай бұрын
Km zako c uchukue tu mpaka iombe?
@HildaChard-vl1jb
@HildaChard-vl1jb Ай бұрын
Waliotizama mwez wa nane gonga like apa
@Kijosh854
@Kijosh854 3 ай бұрын
Dada Asha Boko Allah akujalie afya njema InshaAllah
@olicej7837
@olicej7837 3 ай бұрын
Na mimi nimefrah kumuona
@jacksonlyimo1491
@jacksonlyimo1491 3 ай бұрын
Amina Bwana Yesu akamponye awe mzima tenaa
@Ciza-ferouz1
@Ciza-ferouz1 3 ай бұрын
Allahuma amiin
@Bintiali-kg3xe
@Bintiali-kg3xe 3 ай бұрын
Aamin
@azizayassin3623
@azizayassin3623 2 ай бұрын
Ameen
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 ай бұрын
Yaani bwana harusi unaachwa NJE ndugu na wapambe wanaingia ndani😂😂😂😂 si joti tuu hata Mimi hapo siowi kama Mila NI Bora wakae na mtoto wao😂😂😂😂
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 3 ай бұрын
Waomba like wangekuwa wanamwomba Mungu kwa nguvu hiyo hiyo wangekuwa mbali vibaya mno, haya naomba like😂😂😂
@estherpaul3864
@estherpaul3864 3 ай бұрын
😂😂😂
@SophyMurre
@SophyMurre 3 ай бұрын
😂😂😂
@MwanasityAlly
@MwanasityAlly 2 ай бұрын
😂😂😂nawashangaaa
@Delux698
@Delux698 3 ай бұрын
KUNA hili li shangazi lifupi limevaa kijora cha njan0, mwenye namba please😂😂🙏🙏
@mheheoriginal9712
@mheheoriginal9712 3 ай бұрын
Joti TV NDOO comedy namba moja Tanzania nawa penda SANA from America 🙏🙏💪😁
@godfreymsemwa
@godfreymsemwa 3 ай бұрын
Mhehe mwenzetu
@kalubisubira7182
@kalubisubira7182 3 ай бұрын
Mhehe america wap na wap
@BIGbone.9422
@BIGbone.9422 3 ай бұрын
​@@kalubisubira7182🤣🤣
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 3 ай бұрын
​@@kalubisubira7182😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 ай бұрын
Kabisa yn❤🎉
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 3 ай бұрын
Tulikuwa tunasubili sana joti aigize kama mpemba 💯💯🔥🔥
@mwanamisiramadhan4773
@mwanamisiramadhan4773 3 ай бұрын
Hii ni tamaduni tu nakufarahia na unaotoa chochote hata buku fresh barida tu 😂😂😂japokuwa sikuhizi imekuwa karaha sanaa mpk kero kwa bwana harusi
@Shadia544
@Shadia544 3 ай бұрын
Leo nimekuwa wa 75 😂😂😂😂😂Harusi tunayoooo 😂😂😂mara HAKUNA HARUSI BIARUSI MWENYEWE MWANA😂😂😂😂
@tatoo0098
@tatoo0098 3 ай бұрын
NYIEEEEEE bibiharusi sasa 😂😂😂😂😂😂
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 3 ай бұрын
Doris Doris Doris unautumia vizur uumbaji wa mungu 😂😂😂hapo getini umeweza mama
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 ай бұрын
Hivi joti Kuna mengine unakuwa umelenga stori ya mtu au yote maigizo😂😂😂😂😂
@panchobway3245
@panchobway3245 3 ай бұрын
Ila uyo mke inasemekana ni ndoa ya mkeka maana si kwa kutafuta sababu iy ili usiow t
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 ай бұрын
Na Zanzibar kwa vespa NA MIMI HAPO NDIYO SIOWI KABISAAAAAAAAAA KUMAMMAE HELLA ZAMASHEMEJI
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 3 ай бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo
@petrochengula9480
@petrochengula9480 3 ай бұрын
Ndio dawa yao mahali ushalipa halafu mambo ya mila na desturi tena nikuacha tu.
@msolekaonlinemedia
@msolekaonlinemedia 3 ай бұрын
sema hiyo mishangazi ya Joti ina balaa😋😋😋😋😋😋
@allybaru
@allybaru 3 ай бұрын
Ni uhalisia ambao upo kabisa kweny Jamiii zetu ndoa nying hasa za kiislam huu mtindo upo
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 3 ай бұрын
Hizo ni Mila wala sio uislam..uislam haufundishi hivyo ni haram kabisa na uzushi sasa kazi kwenu kaka zetu kuoa wanawake na familia zinazofata dini na sio Mila ..
@RahmaRadjabu
@RahmaRadjabu 3 ай бұрын
Wao yenyew wamesema Mila nasio dini
@thetrailerzone2791
@thetrailerzone2791 3 ай бұрын
Hapana hta za kikristo huingii ukumbini mpka utoe mpunga nje
@allybaru
@allybaru 3 ай бұрын
@@thetrailerzone2791 hii mambo inakela isee
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 ай бұрын
​@@salhawaziri1668sasa mbona wamevaa kiislamu?
@salumchande2702
@salumchande2702 3 ай бұрын
Hizi like huwa mnazifanyia nini mukishapewa 😂
@gloriamwenda
@gloriamwenda 2 ай бұрын
😮😮😮
@QUEENBEEOG
@QUEENBEEOG 3 ай бұрын
Laki mbili si mahali iyo😂😂😂 ndo pesa ya binadam kuzuia mlango kumuona mwali sasa 😂😂
@besteva499
@besteva499 3 ай бұрын
Yoo mama shereh bure kumbe ndoa hakuna joti bwana😂😂 wangapi mumeipenda hii❤
@mwajayhaxxan5507
@mwajayhaxxan5507 3 ай бұрын
Mnaomba omba likes,,, kuoga aaaah😂😂😂😂
@allyway999
@allyway999 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@Bintiali-kg3xe
@Bintiali-kg3xe 3 ай бұрын
Msemo wangu huo😂😂😂😊
@mwajayhaxxan5507
@mwajayhaxxan5507 2 ай бұрын
@@Bintiali-kg3xe wangu bwana nimewahi
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 ай бұрын
😂😂😂
@saidmo9250
@saidmo9250 3 ай бұрын
Joti talented Kam unaamini like hapa❤
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 3 ай бұрын
Kwan like mnapewa zinakazi gan nyie watu
@gynaa2314
@gynaa2314 3 ай бұрын
yaaaan au likes zinaleta hela jamn tuambiane mapema kila mtu likes😢
@vigezo
@vigezo 3 ай бұрын
Hata mi sielewi mtu unakuta analilia likes
@ibrahimhashim-m8j
@ibrahimhashim-m8j 3 ай бұрын
Wez zjua
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 3 ай бұрын
@@vigezo 🤣🤣🤣😃
@IluMshana-ni8xf
@IluMshana-ni8xf 3 ай бұрын
​@@vigezohalafu unakuta ni mwanaume sasa😂
@fatmahaji7661
@fatmahaji7661 3 ай бұрын
Hizi like watu wanavoomba zinafaida gn, uckute mnapewaga Hela na hamsemi
@neayer
@neayer 2 ай бұрын
Ila joti kukupenda ndo hatuachagi ila crip yako imetuchekesha mmi na mama yangu jamani😂😂😂😂😂😂😂
@mossesngalomba9961
@mossesngalomba9961 3 ай бұрын
Ami J alikuwa anatafuta sababu Tu 😂😂😂😂
@HawaAkida
@HawaAkida 3 ай бұрын
1 nipen like zanguuu joti kaua tunaosubir saa12:00 tulike hapa❤
@jordankikoti1045
@jordankikoti1045 3 ай бұрын
Joti nomaaa
@nemesapollo4846
@nemesapollo4846 3 ай бұрын
si tushatoa mahali😂😂
@BundalaShija-yb4vo
@BundalaShija-yb4vo 3 ай бұрын
😂😂 kanyinyi, zitto na Nanga hii shooo imewafaaa😊
@Marym-iw2wr
@Marym-iw2wr 3 ай бұрын
Mm siku zote nakuliza kwa nn huwa mnaomba like wakt hamumpi joti mwenyew angalau 7k like
@gervasdenis7286
@gervasdenis7286 2 ай бұрын
daah haya mambohuwa hayana maana kabisa hatamimi ilinitokea nilikelekwa sanakiukweli
@maskartedu2422
@maskartedu2422 3 ай бұрын
Reject Ruto say yes to @Joti
@AmriMzeru
@AmriMzeru 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@muddytv1513
@muddytv1513 2 ай бұрын
Mm hii nimeipenda JOTI umetisha.....izi mambo za kudai dai ela ni ujinga xana
@chadrackrunogeza3302
@chadrackrunogeza3302 3 ай бұрын
Toka drc kalemie wa kwanza naombeni likes zangu 🎉🎉😂😂😂❤❤
@OmarSongoro-bp9pn
@OmarSongoro-bp9pn 3 ай бұрын
Kalemie ndani ya soko la katrekwee avenue ngambo ya lukuga
@Dullyman_Classic
@Dullyman_Classic 3 ай бұрын
Wa kwanza leo nipeni Like zangu😂😂. Joti hatar sana
@gregorygreggy9879
@gregorygreggy9879 3 ай бұрын
Utanikuta Bandari hhh
@Jobiso
@Jobiso 3 ай бұрын
Utanikuta bandari
@innocentjohn2142
@innocentjohn2142 3 ай бұрын
joti mwamba kweli kweli nakubali kazi zake❤️❤️❤️
@NTM9320
@NTM9320 3 ай бұрын
zito anavyocheza kama ndio mjombaa mwali😄
@nemesisumbe6840
@nemesisumbe6840 3 ай бұрын
Nimefurahi kumuona Dada mwene😊
@milimaproductions1565
@milimaproductions1565 3 ай бұрын
Laki mbili 😮😂
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 3 ай бұрын
Wanaume mnaomba like eb jaribun kuniangalia tena ndani ya suruali yawezekan mambo hamna tena
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
hata wanawake ...ni uendawazimu kuomba likes
@taqozer
@taqozer 3 ай бұрын
JOTI FANS, UHUSIKA UPI WA JOTI UNAIPENDA ZAIDI? MIMI👇 1. kiboga 2. Amijay 3. Joti Babu 4. Nishai 5. Andunje
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki 3 ай бұрын
Kiboga ni kiboko yao
@taqozer
@taqozer 3 ай бұрын
@@CatherineNzeki yani me kiboga nampenda sana🤣🤣🤣
@LazyGang254
@LazyGang254 3 ай бұрын
Ila kiboga hauna baya
@tumainidaima9879
@tumainidaima9879 3 ай бұрын
Hatariii sio hatariii😂
@jacksonfungo9613
@jacksonfungo9613 3 ай бұрын
Nimekuwa wa kwanza nipeni like zangu
@abuu_town_tz7341
@abuu_town_tz7341 3 ай бұрын
nanga kagoma kufungua geti kabisaa😂😂
@stonnerke7901
@stonnerke7901 3 ай бұрын
Joti😂
@renatusmwaitege2667
@renatusmwaitege2667 3 ай бұрын
Anaetaka like aje geto ntampa idadi anazozitaka😂
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up 3 ай бұрын
Sema joti ni bongo moja la comedian sioo hao wapiga kelele wakina mkojanii
@AbdulnasriHamisi
@AbdulnasriHamisi 3 ай бұрын
Mkojn nae fundi
@kisabihamadi7555
@kisabihamadi7555 3 ай бұрын
Hamna kitu kelele tu​@@AbdulnasriHamisi
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 ай бұрын
​@@AbdulnasriHamisiKabisa yn
@ziggyhendrixx7445
@ziggyhendrixx7445 Ай бұрын
@@AbdulnasriHamisihamuezi Joti huyu ni Legend mkojani anauza samaki huyu jamaa ashaingia kwenye game
@dollardavid955
@dollardavid955 3 ай бұрын
Wakwanza leo.
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 3 ай бұрын
😂😂 joti hayo mambo kwetu hakuna,, na harusi hakuna😂
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 3 ай бұрын
Familia zamabiharus mmeshapata somo😂😂 ole msubutu mtawaowa wenyewe joti umeuwa🎉❤❤❤
@liylahahmed829
@liylahahmed829 3 ай бұрын
Mmmh kwaiyo Zanzibar ndo hawafichui au mmmh
@CholoFaizaan
@CholoFaizaan 3 ай бұрын
Niutani😂 tu Tz hatugombani kwautani wala hatugombani kuhusu makabila
@AraphaCheki
@AraphaCheki 3 ай бұрын
Nimewahi Leo kidg khaa😂 nilijua wa kwanza mm
@BisawaBashiru
@BisawaBashiru 3 ай бұрын
Napenda sana kuangalia comedi ya joti namkubali sana hana baya
@PolycarpeMulumba-ef5if
@PolycarpeMulumba-ef5if 3 ай бұрын
Nakukubali sana bro you are 💪
@liylahahmed829
@liylahahmed829 3 ай бұрын
Doooh😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 3 ай бұрын
Naomba like japo mmi ni wa 6421
@bashiruhassani1017
@bashiruhassani1017 3 ай бұрын
Jot umetsha
@vibetz9991
@vibetz9991 3 ай бұрын
Video inaanza 3:18 😂😂😂
@jaqlinemanyama
@jaqlinemanyama 3 ай бұрын
mweneeee tu mimi
@uwimana6533
@uwimana6533 3 ай бұрын
Namuona damwene na mzee mbembe raha sana 😂😂😂😂😂
@eliassteven5575
@eliassteven5575 3 ай бұрын
Duuuh
@kallumangamhagama985
@kallumangamhagama985 3 ай бұрын
Mapema tu
@ShafiiSoud-b3w
@ShafiiSoud-b3w 3 ай бұрын
shughuli ina watu kweli, nawek pending nitaichek usku nikitulia...😂😂😂
@KisomoKedia
@KisomoKedia 2 ай бұрын
Mhhh yaan uyo dada aiseee kweli mungu aliwatengeneza watu kwa maarifa ya juu.Amen
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 2 ай бұрын
Ndoa zifanyike kwa mujibu wa sheria ya din izi mila zinazinguwa sana na ndiomana nirivyo horewa me baba yangu mkubwa arisema kabsaa sitaki bwana harusi azuiriwe mrangoni muachen aje achukue mkewe huu jinga mkubwa kabsaa mira za kishamba tu huu?
@SalimMkambila-eo5xl
@SalimMkambila-eo5xl 3 ай бұрын
28.06. 24 saa 12 ya asubui,
@edgarjoseph5573
@edgarjoseph5573 3 ай бұрын
Like haiombwi/ Like inakuja pale mtu anapopendezwa na Comment yako full stop 🛑
@AllyLukwembe
@AllyLukwembe 3 ай бұрын
Utanikuta bandari. 😂😂
@farajaalfayo8649
@farajaalfayo8649 3 ай бұрын
Jot mwehu sana...unafit sana kwenye Jot kwenye uchekeshaji uko juu😂😂😂
@Sultan-o7m9s
@Sultan-o7m9s 3 ай бұрын
Mjomba kakazia laki mbili taslim
@sophishebby9678
@sophishebby9678 3 ай бұрын
😂
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 ай бұрын
UTANIKUTA BANDARI!
@NayraTz
@NayraTz Ай бұрын
Ndugu zangu popote mlipo mimi sitaki hiz habari mume wangu apite tuu anichkue 😅
@allysudi4429
@allysudi4429 3 ай бұрын
😂😂😂 umetisha Ami Jay. M mwenyewe izo mila za njaa zinaniboaga kinoma
@harrymakongwa1147
@harrymakongwa1147 3 ай бұрын
Joti kawaweza leo 😅😅
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 3 ай бұрын
AMERUDIA YA CLAM VEVO
@danlinetz2959
@danlinetz2959 2 ай бұрын
Nimeumia kidole sijui ni hiki au hiki joti🙌🙌🙌😁
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 ай бұрын
Wana comment muwe ba busara bas mwakilish wa familia nimetumwa hapa,tunawapenda.
@abelzedon7160
@abelzedon7160 3 ай бұрын
nafasi hii unawezea sana ..
@robertbudodi
@robertbudodi 2 ай бұрын
Eti huyu muoaji kweli? Hilo neno nilikuwa ninalitaka mi sio muoaji😅😅😅!
@hilalihamisi
@hilalihamisi 3 ай бұрын
Mjomba kama Mjomba😂😂😂
@rosejird8606
@rosejird8606 3 ай бұрын
😂😂utanikuta bandar
@neemanyimbi2355
@neemanyimbi2355 2 ай бұрын
Kuna watu wanaweza kukuharibia ndoa jamn tuwe makini mim ujinga huo wa mila wasinifanyie
@publicrelations4600
@publicrelations4600 3 ай бұрын
Leo ni Ami
@BahatiTambula-bz5bs
@BahatiTambula-bz5bs 3 ай бұрын
Joti siyo mchezo
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 3 ай бұрын
Watu hamlali
@NdyamukamaEdmund
@NdyamukamaEdmund 3 ай бұрын
joti hatari sanaaa
@HusseinAhmed-u7s
@HusseinAhmed-u7s 3 ай бұрын
Mtombangile kitwango zimbwe
KITOWEO
10:13
Joti TV
Рет қаралды 375 М.
CHUNGU CHA LEO!
12:48
Joti TV
Рет қаралды 424 М.
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 71 МЛН
MAJUNGU PLESI
10:19
Joti TV
Рет қаралды 286 М.
UCHUNGU WA BIA
10:27
Joti TV
Рет қаралды 582 М.
MKE WA KIPOFU
10:37
Joti TV
Рет қаралды 320 М.
Utacheka Joti akicheza live - Rangi Ya Chungwa (Matingisa King)
2:48
BROTHER KEY NA MPOKI  KIKAO CHA WAPANGAJI
35:43
BONGO LAND
Рет қаралды 29 М.
LEO STEVE NA NDARO MNIGERIA KAWAKOMESHA
9:01
MBAVUMBILI FAMILY
Рет қаралды 359 М.
KILA WIKI NGOMANI
11:03
Joti TV
Рет қаралды 696 М.
VITUKO VYA STEVE MWEUSI NA NDARO MPYAA LEO
8:48
Mweusi Family
Рет қаралды 742 М.
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00
Steve Mweusi
Рет қаралды 785 М.
MGANGA WA MCHONGO
12:50
Joti TV
Рет қаралды 571 М.