JUA NAMNA YAKUSWALI

  Рет қаралды 24,265

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

Күн бұрын

Пікірлер: 41
@azizaghullah610
@azizaghullah610 4 жыл бұрын
Alhamdulillah,Allah akujaalie kila LA kheri na akuepushe na kila la shari Shekh wetu.
@mamapelyekelye9799
@mamapelyekelye9799 3 жыл бұрын
Barakallah.... Ninajifunza sana. Mafunzo yako yanaeleweka vizuri sanaaaa.. Allah akulipe
@swalehahmed5338
@swalehahmed5338 5 жыл бұрын
Shukran ya shekh Mungu akubariki akuhifadhi akupe kila la khery hapa na kesho akhera inashaaalllah Amin!
@chikumohamed3264
@chikumohamed3264 2 жыл бұрын
Mashallah Allah akujaze kwa kutufunza kuswali maana watu wengi tunaswali lakini hatuelewi hasa vipengele vya swala sheikhe
@kausarsaleh708
@kausarsaleh708 5 жыл бұрын
Alhamdulilah Darsa nzuri sana
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 5 жыл бұрын
Jazakallah Allah akufanyiye wepesi kwenye kazi zako
@malususiri4889
@malususiri4889 5 жыл бұрын
Darasa nzuri maashaalah
@bakarimwayaga1003
@bakarimwayaga1003 2 жыл бұрын
Ameen
@adijahmdosi5863
@adijahmdosi5863 Жыл бұрын
Jazzaka Allaah kheri 🤲
@frankie-lh9xo
@frankie-lh9xo 3 жыл бұрын
Jazakallah
@LigileShaabani
@LigileShaabani 27 күн бұрын
Mashaallah Allah akupe maisha marefu
@tatuatut7542
@tatuatut7542 5 жыл бұрын
Shukram Allah bariki
@yassinijumanne1763
@yassinijumanne1763 2 жыл бұрын
Alhamndulillah shekh Allah akuhifadhi
@mishibakarikanwa3055
@mishibakarikanwa3055 4 жыл бұрын
Alhamdulillah nashkuru najifunza mengi kutoka kwako shekh ..Allah akulipe
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 жыл бұрын
Mashallah nimejifunza mengi kutoa kwako
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 жыл бұрын
Maashaallah
@nusralilobwa4752
@nusralilobwa4752 7 жыл бұрын
Jazzakallahu kheri
@zaidumohd3125
@zaidumohd3125 4 жыл бұрын
Shukran
@fatumaramadhanmashaallahal9966
@fatumaramadhanmashaallahal9966 5 жыл бұрын
Amin yarabi
@sarahmohamed337
@sarahmohamed337 5 жыл бұрын
Shukran Sheikh.
@taabohosain3849
@taabohosain3849 7 жыл бұрын
Jazzakallah khayr
@suleimanhemed9234
@suleimanhemed9234 5 жыл бұрын
جزاك اللهُ‎
@shabanisaidi8827
@shabanisaidi8827 5 жыл бұрын
Mashaalh
@saudajulias215
@saudajulias215 7 жыл бұрын
Jazzakumllah khery
@anjunurdin2392
@anjunurdin2392 4 жыл бұрын
Kweli kabisa.marufuku kwenda kula msibani wafiwa wao wanaangaika na mambo ya msiba.sio waangaike na kuwapa wanaokuja chakula jani kuleni kwenu.nendeni mkazike tu.watu wanashinda huko.pengine hawanahela je? Inatakiwa mpeleke chakula nyie wao hawaruhusiwi kupika
@malususiri20amalnikotayar33
@malususiri20amalnikotayar33 5 жыл бұрын
Shukuran
@omani1078
@omani1078 5 жыл бұрын
Masha Allah
@fatmaswaleh1462
@fatmaswaleh1462 5 жыл бұрын
Nauliza.... hapo kwenye sidja yafaa usome dua zako, sasa katika kusoma, wasoma kiarabu ama na lugha yyte.
@anjunurdin2392
@anjunurdin2392 5 жыл бұрын
Kweli kabisa mtu kafiwa wanajazana watu mfiwa aangaike kuwaandalia jamani simajanga haya? Hebu rekebisheni hizi taratibu za kula kwenye misiba.mfiwa aletewe chakula sio nyie mnategemea chakula
@mwashumunassor318
@mwashumunassor318 4 жыл бұрын
Tungekuona sheikh
@mwashumunassor318
@mwashumunassor318 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akujalie kwa kila lilo nakheri
@estamelejomah572
@estamelejomah572 5 жыл бұрын
Shukurani
@jalaalchotile7956
@jalaalchotile7956 4 жыл бұрын
Kwenye kusujudu, wengine husema pua nayo yahusika. Je ni vipi hapo?
@gdjdhdbd5985
@gdjdhdbd5985 7 жыл бұрын
SHEKH mimi nina swali naomba niulize..nikiwa nishafunga salah mtu katokea kuniita yafa nipige makofi ili ajuwe nasali ama kupiga makofi kwenye salah aifai.naomba jibu.
@rumaiyaramadhani5236
@rumaiyaramadhani5236 5 жыл бұрын
Naomba nikujibu instead of sheikh haifai kupiga makofi Wala ishara yeyote ya kumuonyesha mtu kwamba unaswali maana pale unapofanya hivyo itapelekea ubatwili swala yako maana hamna fundisho hilo kwa maana unapofunga swala unakuwa karibu sana na mola wako hutakiwi kufanya kitu chochote tofauti na yale ambayo yamefundishwa na mtume katika swala ahsante
@rehemahusseni4936
@rehemahusseni4936 6 жыл бұрын
shukran Akhiy
@makameibrahim8421
@makameibrahim8421 7 жыл бұрын
Aslm alaykum,jee! yafaa kutia udhu ukiwa bafuni kabla ya kuvaa nguo?(uchi)
@rumaiyaramadhani5236
@rumaiyaramadhani5236 5 жыл бұрын
Naomba nikujibu japokuwa Sina elimu kubwa hyo inafaa kwani hutia zile sehemu ambazo zimewekwa maalumu kwa kutiliwa udhu lkn kama unataka kuheshimu udhu bhas vaa nguo zako then tia udhu ahsante
@rumaiyaramadhani5236
@rumaiyaramadhani5236 5 жыл бұрын
Lkn hakikisha Bismillah usiisemee chooni kwani hutakiwi kumtaja Allah chooni unasema Bismillah inje then unaingia chooni unatia udhu ahsante
@jamilalihassan1125
@jamilalihassan1125 5 жыл бұрын
Je kama mgonjwa ni WA kuvishwa pampers na akishikwa na haja hasemi yeye yuwaendelea kufanya haja zake. Hukumu yake vp Noted ni mama mzee akili za kuingia na kutoka.
@fumoshee2524
@fumoshee2524 2 жыл бұрын
Shaikh with all due respect...mbona kiswa hichi wakitowa tafautitafauti??????mara mamake bb hrc alitoa sadaka ya pesa za harusi maaaara mamake bwn hrc alitoa chakula cha bwn hrc...tujueje?
UBAYA WA HASIRA
1:24:26
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 78 М.
NAMNA YA KUIMALIZA SWALA
1:16:25
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 26 М.
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН
Surah Al Mulk,Surah Ar Rahman,Surah Al Waqiah,Surah Yasin By Saad Al-Ghamdi
3:59:45
TATIZO LA UBACHLA / P - 2
1:15:40
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 18 М.
NAMNA YA KUFUNGA SWALA NA KUSIMAMA
1:02:07
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 37 М.
Surah Al Baqarah Dengan Suara Indah Membuat Hati Tenang | Alaa Yasser
3:40:32
40 Qiso┇40 Qiso Ee Ygu Saameynta Badan 2023ᴴᴰ┇► Sheekh Musdhafa Xaji Ismaciil
3:26:03
HUKMU YA MWANAMKE KUJIPAMBA
1:11:00
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 26 М.
سورة البقرة كاملة, رقية للبيت, وعلاج للسحر | القارئ علاء عقل - Surah Al Baqarah
3:59:20