Sikiliza AFM RADIO 92.9Mh.z Dodoma. Online tunasikika kupitia Tunein .Tufuatilie Kwenye Mitandao Yetu Ya Kijamii. Instagram @afmradiotz @Adigitaltz KZbin:A DIGITAL TZ / @adigitaltz
Пікірлер: 65
@lulukaaya51023 жыл бұрын
Dhu! Kuwa rafiki na Juma inahitaji moyo ase 😂 mnafki kinoma
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
Juma mrongo; dakika moja Paula ana mimba ya miezi miwili, mara hana mimba
@hamedabashir93 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😆
@salmaumazi13323 жыл бұрын
Juma we mbea namba one sijui kama ushapata certificate.....#@kenya
@uwimanauwimana76923 жыл бұрын
😁😁
@aimahmed71493 жыл бұрын
Asema aenda na upepo haha akili Zake azijua mwenyewe 😂 😂 😂
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Team ya wasabi ina Kiki nyingi sana ambazo hazipo hapo kabisa na hatuvioni Team kubwa ya Konde Gang inaweza ata nyimbo zao ziko sawa hazina matusi # Kenya Team Jeshi
@hamedabashir93 жыл бұрын
Kumbuka huyo alitoka wcb
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Wasafi mnatuangusha na kitu moja tu ata majuu hawajisifu ivyo bana Africa sijui shida iko wapi kweli kitubkidogo adi mtu kununua Boxer lazima namboe watu bro iyo sio sawa banaHii leo siamini kama Simba ni yule wa Mbagalaa!!!
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Saizi nimeona umeachilia Audio moja nzuri sana izo ndio nyimbo watu wengi wanataka na pia apunguze matusi kwa nyimbo zake mm ni shabiki wake mkubwa sana sio kua simpendi ila saa zingine anakosea
@elizabethfaustine31143 жыл бұрын
Matusi mnayajua?
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Sio matusi ila nyimbo zao bana ni Team kubwa but wanatatiza imani za watu saa zingine
@khadijaabdullah63283 жыл бұрын
Mshenzi huyu sns kasema vyengine mimba miezi miwili mara ohooo hana mimba😂😂😂😂😂😂😂😂
@kshdbzjnxksksw65673 жыл бұрын
Kama ishatolewa jee
@uwimanauwimana76923 жыл бұрын
Juma muokope mwenyezimungu usimcheke mwenzie kilema unaeza kushangaa ukapata ajali jicho likangoka , chizi mkubwa 😔
@gres11823 жыл бұрын
Aki juma ww😂😂😂😂😂
@asifiwewisayi12633 жыл бұрын
💪💪Jumaaa namkubali saaan
@gorretagatha62673 жыл бұрын
Jumaa we ni mnafik
@salmaabduli7003 жыл бұрын
Jaman hat mm Juma nampend nakinacho nifany nipend miuno nafikili par kwer anakuaje sianakup raha adi una zimiy 🙄🙄🙄
@mahidatatang5213 жыл бұрын
Na kweli bikira maria🤣🤣🤣🤣🤣
@baronandrew38753 жыл бұрын
Juma msimuulize maswali hayo nyiny huyo jamaa hana koo😂🤣🤣
@zabibuamissi11413 жыл бұрын
Juma umejuwa aje kama zuchu ni bikra ao ulimuombaga akukunyima
@kngshassan52023 жыл бұрын
Huyu si mbeya hili senge
@mariellerashidi46493 жыл бұрын
Juma
@margaretbirenge40813 жыл бұрын
I luv u lokole 🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰
@kngshassan52023 жыл бұрын
Zuchu bikra ww nani nyumauko mbwa mbwa
@aa-bk3ej3 жыл бұрын
😂😂😂juma unamambo eti bikra zuchu
@nasaraoman54893 жыл бұрын
Juma Hana akili vooo eti bikra maria
@hadijatambwe91943 жыл бұрын
Bikra ulimtia dole ukajuwa
@pichunakichuna21113 жыл бұрын
Juma muongo akuna helicopter unaweza lipa 10. Thou dollars 😂😂😂 my birthday nililipa dollar mia tatu 30 minutes watanzania wamekuwa. Wamekuwa Maasai kudaganywa na lokole 😂😂😂😂😂
@daynesakulu31693 жыл бұрын
Kumbe una juwa bei ya kukodi ndege bora hivo ume tuambia tulikuwa tumesha danganywa.
@elizabethfaustine31143 жыл бұрын
@@daynesakulu3169 Kwahiyo nawew umekubali kama kweli basi atuwekee ht picha hapa tuone
@pichunakichuna21113 жыл бұрын
@@daynesakulu3169 ukweli kabisa nilikodisha birthday yagu 30 minutes dollar Mia mbili, aki Kwani nini watu udaganya???
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
TEMBO IKO JUU
@ashaali71543 жыл бұрын
Huyu mpaka wamvunje meno awe kibogoyo binti fala eti babu weee mwanaume gani anaongea hivyo stupid njaa itakuuwa tu wewe.
@ghulamjuma28833 жыл бұрын
Huyu anaongea maongezi ya kijinga sana
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Punguzeni uongo bana iwapo ningekua pesa kweli Rich Mavoko asingetoka pale Rich ni mfanyi biashara na anapiga kazi kweli sio kubaatisha tu
@maxozone37623 жыл бұрын
Mavoko haja ka miaka mingi wcb
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Ndio hajakaa sana ila iliona uongozi wa wcb kwake haiendani kama alivyo tarajia
@وردهالحارثي-ز5ه3 жыл бұрын
Yule demu sijuwi kapenda nn huyu juma lokole maana Mh nishida wallah mapenzi kiboko
@kngshassan52023 жыл бұрын
Mnajua kwanini mama mond anampenda huyu kwa sababu anajua kinacho endelea baina ya mond na hili lokole punga la mond
@kngshassan52023 жыл бұрын
Na nyie waandishi hamna kazi kulihoji hili punga la mond lanini
@kngshassan52023 жыл бұрын
Ww senge zuchu usimfananishe na Nandy
@annwanja16213 жыл бұрын
Uyu jamaa mwongo sana ..mara Paula Ana mimba ya miezi mbili mara hana mimba .. uyu hajui anachokisema uyu 🤮
@Mamyalley66663 жыл бұрын
Juma mmmmmh mara mimba ipo mara hamnaaaa
@madinisilasofficial78313 жыл бұрын
Waliavya mimba
@shamalhabsi35633 жыл бұрын
Doo juma manshallah umeshinda kwa uwongo do mara Paula anamimba miezi mara hana mimba umbea umeushinda
@aajeath61463 жыл бұрын
Hujafa hujaumbika kaka usimshtumu ddaako juu ana ugonjwa
@rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын
Ya lukamba hapo ulinifurahisha sana alijitamba lukamba sana watu wamemgongea hahahha
@salmaabduli7003 жыл бұрын
Bwabwaju bwabwaaa 🤣🤣🤣
@winnieumanzi55723 жыл бұрын
😜😜😜😜😜😜😜chukua hiyo juma mwenyewe😝😝😝😝😝
@winnieumanzi55723 жыл бұрын
Zuchu Mariah 😜😜😜😜😜😜😜
@eysheryusuph6253 жыл бұрын
Kumbe had kiburugwa unapajua
@zenabibie50333 жыл бұрын
😀😃😄bikira makubwa
@sedaswai83063 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 tunahelaaa
@saudahassan66673 жыл бұрын
Waaaambieeee haaaaòooooo
@hamedabashir93 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Et BiKR
@amodaneissaamir28303 жыл бұрын
Juma lokoo
@pichunakichuna21113 жыл бұрын
Unamtukana anjela eti ana miguu?? Mugu amekusikia
@elizabethfaustine31143 жыл бұрын
Wanadamu kuelewa sasa hapo kamtukanaje wakati yeye kasema kama angekua na hizo dollar alizonunua cheni kwa nini asingeenda India kutibisha mguu wake hapo tusi liko wapi?
@pichunakichuna21113 жыл бұрын
@@elizabethfaustine3114 mnajua aje sio zawadi unadhani agekuwa na pesa agekweda kutegeneza Kwani chain ni how much ?