Sichoki kusikiliza huu ujumbe, powerful teachings, Mungu tutunzie hawa watumishi!!! Ni baraka na tunu ya kanisa la Tanzania , Africa na Dunia. Utukufu wote kwa Bwana Yesu!!
@neemajacob4183 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusikiliza hili somo limenipa mwangaza wa kujua nini maana ya sadaka na utoaji pia. Mungu awabariki Kijitonyama kwa kutuwezesha kufuatilia masomo yenu hata baada ya miaka kadhaa mtu unapata neno na linakubariki. Kweli kila kitu kinapita lkn maneno ya Mungu ni mapya kila iitwapo leo
@grancebeuty24432 жыл бұрын
Ukisikia Mastahi ndo huyu sasa,i love u dadyy💕
@ireneleonard47396 жыл бұрын
so blessed sadaka inanguvu sana mimi nilipo pata kazii niliambiwa nipeleke sadaka mshahara wa kwanza kama mzaliwa wangu wa kwanza .nilipata shida ila nashukuru Mungu nilitoa nikapata amani moyoni mwangu.kaziii niliyonayo inavita hakuna mfano ila nina amani hadi najishangaaa .ubarikiwe sana mchungajii
@Vuvuzelaz14 жыл бұрын
Amen najiungamanisha na misa hii napokea Amina
@edinestermaole89154 жыл бұрын
Amen mchungaji. Nimejifunza kitu muhimu sana kutoa sadaka na hasa kipindi hili chaagonjwa ya homa ya mapafu
@ntimimbughi5972 Жыл бұрын
Thank you so much Daddy Your blessing me and I Love you so much ❤️
@christinewomanoffaith54794 жыл бұрын
Baba kwa miaka zaidi ya 5 ninajivunia,Mastai!
@al35953 жыл бұрын
Napokea na naadhimisha Damu ya Yesu juu ya uchumi, afya na kibali juu yangu na familia yangu! Amen
@rachelmakule15063 жыл бұрын
Naadhimisha damu. Ya yesu juu ya uchumi wangu afya, yangu .na familia yangu
@thafacompanylimited8536 Жыл бұрын
Ahsante yesu na Ahsante kwa Mtumishi wako Rev Wilbrod Kwa kalama yake
@thafacompanylimited8536 Жыл бұрын
Naadhimisha damu ya Yesumwana wa Mungu aliye hai milele juu ya uchumi wangu , Kazi yangu , Masomo ya wa watoto wangu , Ndoa yangu , na afya ya Familia yangu naamini ktk damu ya Yesu kristo aliye hai milele
@malakikiyogela1482 Жыл бұрын
Great woundeful daddy love you so much!!
@kaylamariani31423 жыл бұрын
Ubarikie mtumishi nime jifunza
@irenemsangi98856 жыл бұрын
Blessed ! Great teaching from baba Mastai
@shau785 жыл бұрын
comments section iko safi kabisa. Mungu anaheshimu watumishi wake.
@magrethmboya52856 жыл бұрын
Hawa watumishi wananibariki sana MUNGU azidi kuwatunzaa
@gracemoses8324 Жыл бұрын
Ubarkiwe sana pastor Kwa ujumbe mzuli umefka nakunivusha katka viwango vikubwa vya Imani
@evshukurulupale69595 жыл бұрын
Amen nimepokea, Mungu azidi kumbariki Mtumishi wake
@wiza23096 жыл бұрын
Ni kweli suala la sadaka hata mimi limekuwa linikikwaza sana, lkn ninashukuru kwa Neema ya Mungu na kwa mafundisho haya nimepata msaada sana, ninaomba Mungu aendelee kunisimamia, moyo wangu usiangalie mambo ya mwilini bali ya Rohoni. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
@tulaphionampalanzi31995 жыл бұрын
Nakuelewa baba yang
@emmanuelshao39334 жыл бұрын
Mungu akubariki nimebarikiwa
@theammari72705 жыл бұрын
Amen mtumishi barikiwa sana mtumishi mastai
@rubenruben7946 жыл бұрын
nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi
@eliatemba59846 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi Wa Mungu
@pagekidigital11 ай бұрын
Amen.
@ziora894 жыл бұрын
Namkumbuka kweli Matsai
@marylouis15327 жыл бұрын
Asante baba kwa kutufungua,Mwenyezi Mungu aendelee kuwainua watumishi wa Mungu watuondoe gizani.
@shangwerobert29385 жыл бұрын
barikiwa mtumishi Mastahi
@godlovewarwa5 жыл бұрын
Nmebarikiwa...amen
@wilfredmremi8274 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi kwa ujumbe
@christinewomanoffaith54794 жыл бұрын
I miss him kwakweli
@kitalisgoodluck60346 жыл бұрын
Amina Mtumishi na barikiwa sana
@monicameela37966 жыл бұрын
Amen Amen nabarikiwa sana na mafundisho yako. Be blessed Pastor Mastai.
@innochao97465 жыл бұрын
nashukuru sana kwa somo nzuri hakika linatusogeza mahali jehova aendelee kuwapa nguvu
@junemarycharles85135 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba Mastai....Yesu azidi kukutumia
@julianmsaki70125 жыл бұрын
napokea kwa Damu ya Yesu ndani mwanguu Ameni
@salomerobert36845 жыл бұрын
Amenee
@fwill50956 жыл бұрын
Barikiwa sana sermon nzuri👏
@halvinmwangwale96685 жыл бұрын
I
@dicksonbenedict90056 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana..
@annamarima49015 жыл бұрын
nakupenda sana mchungaji mastai ubarikiwe sana
@doramoshi63404 жыл бұрын
Ameni
@lovenessdiva71326 жыл бұрын
Amen
@hawaomary31154 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@marymahumi53764 жыл бұрын
I’m blessed
@wilfredmremi8274 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@rabielfadhili9943 жыл бұрын
Powerfull
@edwardmwambope76157 жыл бұрын
Nimekuelewa
@mariumchima80986 жыл бұрын
asante sana mchungaji Wang nimekuelewa sana ila Mimi Nina shida nawewe mchungaji
@jmsmagala39215 жыл бұрын
Safi
@gracealexander14504 жыл бұрын
AMEEEEN
@cnm29762 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@soplisjoachim58844 жыл бұрын
Swala la sadaka ni mjadala mkubwa sana 😂😂😂😂😂 .......ni lazima mtoe hela , hakuna mahubiri ya bure hapa
@evshukurulupale69595 жыл бұрын
Amen nimepokea, Mungu azidi kumbariki Mtumishi wake