KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 9
@user-bt6ep3yb2h24 күн бұрын
Hata akina Jobe walisema quality ilikuwa juu sana.
@user-uf8ot1mq8c22 күн бұрын
Wewe chawa wa simba. That's for real
@shaabanramadhan24 күн бұрын
Kama ni suala la mistakes,Manula ndo anaongoza Kwa mistakes kuliko Ayoub
@anithawidambe754323 күн бұрын
Mo na Magoli mchukueni Mayele kwani mnafeli wapi jaman
@user-yz6ds9hn9l24 күн бұрын
Wewe yote fanya lakini mwambieni mzee magoli wajipange kwelikweli maana mwaka huuu kuna hatari, pia mgunda yuko wapi mnamuweka matola hivi nyie viongozi na wazee wote mlogwa na nini na huyo matola jamani hebu zindukeni mlikolala tuongee ruga ipi mtueleweee,?
@shaabanramadhan24 күн бұрын
Bado tu una ndoto na Manula tu bro? Katufanyia mengi mazuri ila Kwa Sasa tumuache akatafute changamoto nyengine
@Stephano72218 күн бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza nashangaa kuona mtandaoni kuwa simba taalifa yakucheza mechi ya kirafiki misiri na matokeo 6 2. Nikashidwa kuelewa hii ikoje? Maana mitandaoni kuna watu wajinga saana
@hamisisaimon700718 күн бұрын
Ni propaganda kaka hakuna nechi yoyote simba walicgeza wao kwa wao naxoezini hao ni yanga katika mvbinu za kuivuruga simba medio zote wamezinunua lamoja na wachambuzi njaa
@shaabanramadhan24 күн бұрын
Kama ni suala la mistakes,Manula ndo anaongoza Kwa mistakes kuliko Ayoub