Mwanachama wa simba Muhina Seif Kaduguda amefunguka sababu ya aliyekuwa mwenyekiti wa Zamani wa Simba Nkwabi kuondoka simba na kuachiangazi.
Пікірлер: 30
@user-hj1yn2un4q2 ай бұрын
Mwenyez mungu awahukumu wanao jaribu kuiangamiza simba.
@wideswahilimoviesonline92222 ай бұрын
Kwahyo mzee unataka kusema nini mbona kila nyakati unalalamika sana
@KulwaMasaka-br5wf2 ай бұрын
Kaduguda mbona mukitoka madarakani hua wapotoshaji sana eee
@victorgogadi553 ай бұрын
Tangu Nkwabi aondoke Mbona mafanikio yamepatikana, tuelewe kuna wakati timu zinashuka na kupitia wakati mgumu, mfano Manchester United mpaka leo wanajitafuta, Liverpool ilichukua miaka mingapi kufikia level waliyo nayo leo??, Simba wasitafute mchawi wajipange watafanikiwa
@user-tg3st6li2q3 ай бұрын
Hapo kunamapunga watakushambulia mzee kaduguda
@clemencemkondya85613 ай бұрын
Mzee umeongea ukweli mtupu
@cosmasthomas91643 ай бұрын
Kwa hekima na busara haikupaswa kipindi hiki mzee kaduguga aendelee kuongea kwenye vyombo vya habari kuhusu mambo kama haya wakati Simba inapitia kipindi kigumu,ilibidi mzee atumie busara zaidi na acheni ni hivi vyombo vya habari.huu si wakati wa kuendelea kuongea maneno kama haya wakati timu ipo kwenye wakati mgumu
@AyatollahMustafa3 ай бұрын
Huyu mzee ndo anawatuma mashabiki waushambulie uongozi maana namuona nyami Simba pamoja ña huyo kapelo anayejiita mchungaji hao wote hua wanaropoka sana mitandaoni
@mckobatz58613 ай бұрын
Mtu kutoa maoni yake sio kuropoka ndugu tena tujue kwamba kama huyu mzee ni miongoni mwa wanaoijua kweli kweli timu so kabla ya kumshambulia tazama hoja yake. Kuikalia kimya timu inapokuwa haiendi vizuri sio kuionesha upendo bali ni kuidhulu
@gordanhaule35793 ай бұрын
Nyinyi wakina kaduguda na baadhi ya wenzako ndio mliyoifikisha simba kny uozo huu umeona wamekutupa wenzio ndio unaanza kuongea ukweli nyinyi ni wanafiki sn.
@IddyAdam-ww1mq3 ай бұрын
Yaaaas uko saw sana
@godfrey39263 ай бұрын
Wewe ndio mmoja wa watu unayeharibu Simba, msomi..msomi nini..Nenda huko mamluki mkubwa wewe. Tunashindwa kukuheshimu kwasababu ya ujinga unaoongea. Unaonekana kabisa ina kinyongo cha madaraka. Hatuitaji watu kama wewe, nenda na sahau Simba
@KhalidAlliy3 ай бұрын
Mbona kuanzia mwaka huo 2017 simba ilikua inafanya vizuri na ikachukua ligi kuu mara 4 mfululizo
@user-wk2bg8zf3l3 ай бұрын
viongozi wetu wanazingua
@yuwenmwashitete29323 ай бұрын
Baada yakufanyavibaya
@samwelsilas6293 ай бұрын
We mzee vip
@BJMKANGALA13 ай бұрын
Mbona hujasema yote hayo ndani ya muda muafaka ikiwa wewe ni msomi sana kama ulivyojitambulisha! Huoni kuwa msomi wewe umechangia uozo unaouzungumza hivi sasa?
@user-ej4bd2jz3l2 ай бұрын
Aliemletamanzoki nani kwenye uchaguz
@kakorejrboyz64473 ай бұрын
🤣🤣🤣very hopeless .. Maamuzi kwenye familia mpa mama awepo 🤣🤣🤣....wenye kujua watufafanulie jaman
@AllyShaban-ms7ot3 ай бұрын
Nataka nn ww
@khadijayusuph58152 ай бұрын
Mwizi anatete wezi wezie
@azizaj7762 ай бұрын
Kaduguda andoka Simba huna Jipya wewe ni Kaduguda unacho taka Simba ikufanyie Jambo wewe huna Chochote ila unahitaji Simba , Simba hahikuitaju wewe uzungumzacho Hakiaminiki hata chembele
@ibrahimyahyayussuf79473 ай бұрын
Wacha kutufatilia wana yanga acha uchawi huo
@user-oo8tn1vh1r2 ай бұрын
Wee mzee punguza maneno nakushauri upumzike Na wajukuu tuachie Simba itasajiri vizuri yaliopita yamepita elimu ya chuo kikuu anawagombanisha wanachama Na viongozi
@edwardsoteli90752 ай бұрын
Miaka mingi umekuwa ndani ya uongozi wa SIMBA ulifanya nini? je ulifanya nini kuifanya simba kuwa bingwa wa africa? au kwa sababu umewekwa pembeni na ulaji umekata mchumia tumbo wewe?
@SelemanAlfan-vs4tw3 ай бұрын
Kwan wewe kuwepo
@saidmbarouk35533 ай бұрын
😂😂😂
@edwardsoteli90752 ай бұрын
Miaka mingi umekuwa ndani ya uongozi wa SIMBA ulifanya nini? je ulifanya nini kuifanya simba kuwa bingwa wa africa? au kwa sababu umewekwa pembeni na ulaji umekata mchumia tumbo wewe?
@edwardsoteli90752 ай бұрын
Miaka mingi umekuwa ndani ya uongozi wa SIMBA ulifanya nini? je ulifanya nini kuifanya simba kuwa bingwa wa africa? au kwa sababu umewekwa pembeni na ulaji umekata mchumia tumbo wewe?