KAGAME HII NDIYO SILAHA ANAYOTAMBA NAYO/RAMAPHOSA NA TSHISEKEDI HAWANA UJANJA HAPA/IJUE SIRI YAKE

  Рет қаралды 5,109

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 18
@JacobernestMlula
@JacobernestMlula 5 күн бұрын
Kumbuka idd amini alifundishwa na msuguli lakini msuguli alimchapa
@malembobulongo3856
@malembobulongo3856 6 күн бұрын
Huyu jamaa kwanini asipigwe
@CloudMashaka-r7j
@CloudMashaka-r7j 6 күн бұрын
Endela kumjaza maji atamwagika bwaaaaa
@KisagasiLuyangi
@KisagasiLuyangi 6 күн бұрын
Ndio maana kikwete alishindwa kumvumilia huyu, ni jeuli sana,
@JumabJumamkuula
@JumabJumamkuula 6 күн бұрын
Rwanda hana silaha kuisha soudh afca uongo broo
@MatendoByamungu
@MatendoByamungu 6 күн бұрын
Acha kuyasumbuwa masikio ya watu bro
@nunumrisho6548
@nunumrisho6548 7 күн бұрын
Farao alipo takiwa kuangalia alijitia ujariri wa kufuata MUSSA kuvuka baharinkwa Rehma za Mungu hatimae alazama na laana zake na watu wake .SasaKagame amejichanganya pa pabaya.
@JumabJumamkuula
@JumabJumamkuula 6 күн бұрын
Hana lolote huyu kagame wenu
@ALUNASYStephen
@ALUNASYStephen 7 күн бұрын
Hamna kitu hapo,hicho kibri chake anaweza kucheza na South Africa ata tz awezi cheza nao yeye mwenyewe anajifariji.hao frdc walivyogusa gisenyi kapanic
@MulandaKasongo
@MulandaKasongo 7 күн бұрын
Musa Alipofika mbele ya Faraho na ujumbe wa kumwambia Aruhusu watoto wa Israeli hapo Misri alionesha kiburi sana ,mwisho wa siku alijikuta Watoto wa Israeli wameondoka, aliwafuhata Nyumba Lakini kilocho Mpata Ni wanajeshi wake wote wa kufa kwa maji wakicheka na wengine kujutia kwenda. Ndivyo itakavyo kuwa Kwa wahasi na wavamizi wa congo. siku ipo.
@JimmyLokoka-kx5lf
@JimmyLokoka-kx5lf 7 күн бұрын
Hivi kwel kuna silaha ipo Rwanda ... south Africa hakuna..?kwakwel Bongo 5 acheni hivo bana
@MohamadHamza-hb2qv
@MohamadHamza-hb2qv 7 күн бұрын
Kama unasema amepikwa mondori na morogoro vp hao waliompika aweze kuwazidi,basi cc ni zaidi yake
@brythonmbinga8495
@brythonmbinga8495 6 күн бұрын
Usimpambe
@KamiliKapeta-yr3uc
@KamiliKapeta-yr3uc 7 күн бұрын
Jamani amnambabe ipossiku
@PrinceKamateKatembo
@PrinceKamateKatembo 7 күн бұрын
kifo iko namtafuta
@JumabJumamkuula
@JumabJumamkuula 6 күн бұрын
Acha uwongo wewe hujuwi history kkkkkk ona unavojichanganya kwahiyo tz ndio wamemuandaa na yeye awe juu yao mpiuzi mkubwa wewe
@AlphonceTPeter
@AlphonceTPeter 6 күн бұрын
Ata profesa anaandaliwa na mwalimu wa shule ya msingi,pika kagame intelligence amemalizia America siyo tanzania
@JumabJumamkuula
@JumabJumamkuula 6 күн бұрын
Hana lolote huyu kagame wenu
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
RAIS KAGAME AMLIPUA RAMAPHOSA, TSHISEKEDI AKIIBUA MAPYA VITA M23
7:52
Mwananchi Digital
Рет қаралды 49 М.
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН