Salim Allah akujalie usij ukaacha hikazii aliyoyifany bwan mutume Muhammad s,w, tunafaidik San 2najuw maduii wakoweng Allah akurindenao ishaallaa nakupend kwajilii ya Allah waisilam wotee taqibir
@salimdaawah12318 күн бұрын
Aameen ameen ameen tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@SalamaMustafa-q5h21 күн бұрын
Maashallah Allah atakulipa salim❤
@salimdaawah12321 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@janieali552121 күн бұрын
MashaAllah Tabaraka Rahman. Kazi kubwa ya kufundisha hao watoto wa nasari. Mungu awazidishie subra, baraka na elimu zaidi.
@salimdaawah12321 күн бұрын
Aameen ameen ameen
@AbdouliHasani18 күн бұрын
Ya Allah 2jalie mwishomwem waisilam wotee amin nakubalii shehee salimu dawa Kenya 🇰🇪 na kupenda kwajilii ya Allah Allah a2lind sotee waisilam wotee duniyanii nakesho Ahlelaa ya Allah 2lind na azabuu ya kaburin
@salimdaawah12318 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@mwanaidiissa1021 күн бұрын
Mashallah nimemis kweli nimesubiri haswa Allah awajaalie afya muendelee kuwalingania
@salimdaawah12321 күн бұрын
Aameen ameen ameen tumerudi viwanjani
@Nora-v1m3p21 күн бұрын
Ma sha Allah
@abdinasirmohamed349021 күн бұрын
Masha Allah ❤
@KhamisJuma-ni1vk21 күн бұрын
Masha Allah Sheikh Salim. Yani Kwa Mafundisho Hunayo Fundi Sha Kwa kweli Mtu Asipo Kuelewa Basi Awezi Elewa lakn Kazi Yao Wanaelewa lakn Wanaogopa Kusema Kweli
@salimdaawah12321 күн бұрын
Yeah wataelewa tu inn shaa Allah
@JamilaJumanne-u7q21 күн бұрын
ASALAM ALYKM WARHATULLWAH WABARAQAT❤❤ SIKIA HABARIIIIIII kwa saut ya mwalim SALIM MASHALLAH
@salimdaawah12321 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@SaleheKijazy21 күн бұрын
Tuko pamoja wa Kwanza leo
@MohdJuma-w6l21 күн бұрын
Haya hiyo chukua 😂😂 afu mnapenda like nyie
@salimdaawah12321 күн бұрын
Tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
@MwangiMuhammad-q8r21 күн бұрын
Wa Alaykum Salaam Warahmatullahi Wabatakatuhu
@SaidMgeni21 күн бұрын
مشأ الله تبارك الله
@HajjiVuai11 күн бұрын
Ndugu salim nakupenda kwa ajili ya Allwah
@salimdaawah12311 күн бұрын
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@MohamedMeja21 күн бұрын
Mashaallah
@hassanwario-w7n20 күн бұрын
Salim nakuomba ukuje uko juja mahali inaitwa juja farm tuko na shida sana hatuna miskiti uko naomba ukuje utuweke kwa mtandao Ili wale wameguzwa na mungu waweze kuchangia in Shaa Allah... please ukuje uko brother
@salimdaawah12320 күн бұрын
Inn shaa Allah tutapanga hilo
@Adm946421 күн бұрын
Koran is definitely a walking and talking book. You ask you get answer . No guessing game unlike other books which are the thinking and writing of the human being.
@salimdaawah12321 күн бұрын
Sure the Qur'an is a miracle
@ZakiyaAnwar-w1r21 күн бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awabariki na kuwaongoza muendelee kutangaza dini yake inshaAllah
Huyu asiye kuwa na dini anateta kuna dini zingine. Sawa, lakini zingine sote sio dini wa haki mbele ya Mungu. Dini ya kiislamu pekee ndio ya haki mbele ya Mungu. Sheikh Salim hukumfahamu huyu jamaa....anajaribu kusema kutokua na dini (pagan) ndio dini yake.
@salimdaawah12321 күн бұрын
Sikumpata vinzuri but next time inn shaa Allah
@NathanielNathan-m4o19 күн бұрын
Hakuna Nabii aliyetangaza mambo ya dini ni mohamed pekee ndio anaongea mambo ya dini kwa kitabu chake
@Shillingi21 күн бұрын
Tatizo kuongea bila kuonyesha mandiko wachanae nae haina haja yakubisha
@salimdaawah12321 күн бұрын
Inn shaa Allah
@fatumahamisi160421 күн бұрын
Huyo kijana hata hajielewi na aondoke asitupotezee mda
@salimdaawah12321 күн бұрын
Inn shaa Allah
@oopsm357421 күн бұрын
Fukuza watu kama hao
@salimdaawah12321 күн бұрын
Inn shaa Allah
@dibasora648121 күн бұрын
Alhamdhullillah Kwa dawaah nimerudi tena nilikuwa out of network kiasi
@salimdaawah12321 күн бұрын
Welcome karibu sana
@bahsansheikh604221 күн бұрын
Teremsha vitu Sheikh Salim
@salimdaawah12321 күн бұрын
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
@trutharchaeologist21 күн бұрын
Ati mtoto wa Mariamu? Yesu ni NENO la Mungu, Hakuna wakati Mungu alikosa kuwa na NENO lake, Yesu kuitwa Mwana wa Mungu sio mambo ya kuzaa ya binadamu, yaani Uislamu kweli fikira za ubinadamu, nyama, hakuna Roho Katika Uislamu,
@salimdaawah12321 күн бұрын
🤣😂🤣🤣kwani Mariamu hakuzaa mtoto ukristo ni mzigo
@fatmaally72522 күн бұрын
Kwaiyo alie zaliwa na binadam anaweza kuwa nani malaika au vp😂😂😂
@trutharchaeologist2 күн бұрын
@@fatmaally7252 HUWEZI FAHAMU mambo ya Kiroho na fikra za kibinadamu, Mariamu ni njia tu Aliyoitumia Mwenyezi Mungu kumleta Mwanawe ambaye Ndiye NENO LAKE, na MASIHI mkombozi wa ulimwengu, Usipoifahamu Torati na Unabii wa kale, HUWEZI FAHAMU maana ya Injili, utaishi kucheka na kuona ukristo ukiwa ujinga maana kwa akili Yako haufahamu Torati, umuhimu na maana ya Kafara za Torati na umwangikaji wa damu wa wanyama wasio na hatia, njia za Mwenyezi Mungu aliyechagua uzao wa Yakobo na kuwapa Torati na Sheria 613 , Ambazo Yesu Kristo mwenyewe alizikamilisha alipoteswa, akasulubiwa, akafa, akashula mahali pa wafu na kuzinusuru Roho za watakatifu wa Kale, na kufufuka pamoja nao siku ya tatu, na KUPAA nao Hadi Mbinguni