No video

Dunia ipo kwenye mpango mzito wa kuhakikisha kunakuwa na UISLAMU bila WAISLAMU - Prof.Njozi

  Рет қаралды 23,192

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Пікірлер: 68
@user-gw2dc3ds7d
@user-gw2dc3ds7d 7 ай бұрын
Hasbunalah waneemanwakil
@regnethmtemanyongo2237
@regnethmtemanyongo2237 8 ай бұрын
Hawataweza kwa jina la Yesu mungu ni mkuu sana
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 8 ай бұрын
Mzee nashukuru kwa kutupa Elimu
@user-sb6gy6dx1m
@user-sb6gy6dx1m 7 ай бұрын
Una akili kaka, tofauti na watu wengine anaamua kubisha kwa mtazamo wa dini bila kuangalia ukweli
@athumanikajembe4585
@athumanikajembe4585 Ай бұрын
Marekani hawamini hii dunia imeumbwa na nani wao wanaamini wanaamini katika sayansi maumbile yote viumbe ni nature ni jamii ya mayahudi.Sasa basi mwenye akili anajua kwamba alichokiumba mwenyezi hata kidogo hakiwezi kumpangia mwenyezi mungu.hiyo mipango anayoipanga haitafanikiwa hata kidogo kwa nguvu za mungu.Historia zinaeleza kulikuwa na Tawala kubwa zilitawala dunia kwa malengo mabaya mungu aliziangusha.Tumuombe mwamba afanikiwe dunia iwe na heshima nafikiri mwamba anayesimamia nidhamu ya dunia ni Putin mungu ampe nguvu zaidi na ushindi.AMIN
@dinocastico8495
@dinocastico8495 8 ай бұрын
Mzee ana uchambuz mzuri sana hakika
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
Truly!!
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 8 ай бұрын
Mwamba ana madini sana chuma kamili
@siasia5469
@siasia5469 9 ай бұрын
Muwe mna mleta mara nyingi ana madini mengi Allah amuhifadhi
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 9 ай бұрын
Na wmefanikiwa kutufanya tusiwe na uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya maauzi sahihi
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
👍✌️👊.
@Greatamir
@Greatamir 8 ай бұрын
8:38 8:55 8:57 8:58
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 9 ай бұрын
Shukran 🙏🇹🇿
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 8 ай бұрын
Sio marekani tuu hata wewe myu aki inuka na kupinga maslahi yako na familia yako hata wewe hutamuelewa huyo mtu, watu wanauana hata afrika kwaajili ya maslahi yao huwezi kumtenga mtu na maslahi yake kwani maslahi ndio maisha ,usidhani kama weee ni kiongozi halafu uache kuitetea heshima ya nchi yako na watu wako utakua wewe hujitambui.
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 9 ай бұрын
Swadakta sheikh umenena ukweli
@Johnmalekela
@Johnmalekela Ай бұрын
Nilikua nakuelewa
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 9 ай бұрын
PROFESSOR NZOZI
@MadjidiHilali
@MadjidiHilali 10 күн бұрын
😅😅😅
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 7 ай бұрын
Waislamu acheni kujitia mnajua saaana wakati hamtaki elimu ya duniani!!!!!
@saidmsuya3165
@saidmsuya3165 5 ай бұрын
😂😂😂😂tatizo we ni mbumbumbu
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 5 ай бұрын
@@saidmsuya3165 wewe ndo mbumbumbu, unang'ang'ania kuvaa nguo za kizamani wakati binadamu hajajua kujishonea nguo inayompendeza na uhuru wa mwili kufanya kazi yoyote
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Ай бұрын
Kwenda zako wewe. Nyinyi ndio mna Elimu ya dunia mngekua na Akili finyu namna hiyo Loooo! Fyuuuuuu!
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 8 ай бұрын
Yaani hawezi kuzungumza Jambo bila kutaja uislam wenye dini yao waarabu wapo kimya nyinyi mijitu myeusi mnahangaikia uarabu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
Unateseka ukiwa wapi?
@user-sb6gy6dx1m
@user-sb6gy6dx1m 7 ай бұрын
Unaropoka hakuna unachoelewa. Halo kwambia uisilamu ni dini ya waarabu Nani?
@MohdHamad-zr8ll
@MohdHamad-zr8ll 7 ай бұрын
Nikweli hata mambo ya uzazi wa mpango ni mbinu ya mayahudi.
@paschalcharles6097
@paschalcharles6097 8 ай бұрын
Hivi hii mtu kutaka ni kitu gani????
@Greatamir
@Greatamir 8 ай бұрын
😂😅😅😅😅
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 7 ай бұрын
Hovyo kabisa.. pointless
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 9 ай бұрын
Kitu Cha mwanzo ni haki maslahi ni jambo la pili ukisoma suratul al asr kwa hiyo marekani ni Wala dhalin
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 7 ай бұрын
Hao waislam tatizo ni ugaidi na ubaguzi
@Johnmalekela
@Johnmalekela Ай бұрын
Sio kweli hawana ugaid wowote fatilia sana utaelewa ndugu
@alikamberis
@alikamberis 8 ай бұрын
Una uongo tu
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 3 ай бұрын
Hv umeona uko sawa kiakili?
@FridayMwassa
@FridayMwassa 8 ай бұрын
Mahali popote penye waislam hapakosi chuki nenda somalia, alfaghanistan, Pakistan, Sudan, Mali, Chad, Yemen kote huko wanauwa hovyo sababu ya dini, waislam wengi wanakuwa na amani wakiwa USA, UK, Canada, Australia, France, Norway na hawataki kukimbilia Saud Arabia, Iran au Kuwait
@ibrahimabdillah5729
@ibrahimabdillah5729 8 ай бұрын
Kwenu muwe na chuki...ila mkiwa Kwao mtaishi kwa amani?! Ndio unamaanisha ndg.....?!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
Bahati mbaya sana kila kitu kiko wazi kuwa huko kote kwenye migogoro katika nchi za kiislam mastermind wa migogoro hiyo ni marekani,,,labda wewe uelewa wako Mdogo ndio maana pengine hujui kinachoendelea duniani
@annasolomon9855
@annasolomon9855 8 ай бұрын
​@@jumakapilima7295Magaidi hayo acha kuweka maneno meeengi ,hio ni dini ya fujo na ya kigaidi 😅
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
@@annasolomon9855 hahahaha,,,, kafiri wewe Una chuki binafsi
@annasolomon9855
@annasolomon9855 8 ай бұрын
@@jumakapilima7295 Mimi kuitwa kafiri ndio furaha yangu 😂😂ilimradi najijua na ninawajua Magaidi Wala hawatusumbui☺️☺️
@aishathabit3732
@aishathabit3732 9 ай бұрын
#fikra gani hizi? Kwamba uislamu bila waislamu? Ni sawa na kusema kivuli bila mwenye nacho ni dhana ambayo sio sahihi Pia si kweli Amerka ana angalia tu maslahi na hauchukii uislamu bali ni vyote viwili Nchi ya kiislamu ni inayo tawala kwa khilafah na hilo halikubali #Siri_ni_hii Uislamu ni mfumo wa kiutawala na sio dini ya kiroho pekee kama baadhi ya masheikh wanavyo somesha na kuhubiri
@user-sb6gy6dx1m
@user-sb6gy6dx1m 7 ай бұрын
Wewe ndo walewale wenye fikra za kimagharibi, mnataka kuishi mnavyotaka, na mnakubaliana na mifumo ya maisha ya hao wamagharibi
@sharomdguda
@sharomdguda 8 ай бұрын
Kila kitu uislam Islam too much waislamu wenyewe ni hawa hawa tunaoishi nao. Tatizo nini waislamu?
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 9 ай бұрын
WIslam ndio wanaongoza kukimbilia nchi za Wakristo,hawaendi Saud au Yémen. Pia Uislamu umebakiza miaka 62 tu kutoweka duniani.soma hadithi za mtume,alisema Uislam ataishi miaka 1500 tu.Huu ni mwaka wa Kiislamu 1438.
@mbarakbinzoo
@mbarakbinzoo 9 ай бұрын
Ww n maiti inayotembea
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 9 ай бұрын
Alafu inakuaje
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 9 ай бұрын
Shoga kama wewe huwezi penda waisilamu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 9 ай бұрын
Shukran mzee Allah akutunze
@lookmanlookman6297
@lookmanlookman6297 9 ай бұрын
ukiona ivo ujue kiama kipo karibu maana mtu wakuongopea maswahabe wake n hadith zake ni sahihi ukiona nchi zimejiandaa kupigana vita ndo utajua hii dini haina shaka na muhamad ni mkweli
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 8 ай бұрын
Mbona Waislamu wengi Mashoga? Sasa wanapambanaje na USHOGA?
@FeisalDoctor
@FeisalDoctor 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂Unaharish ukiwa wap
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 3 ай бұрын
Lkn kwenu ushoga uko kanisani
@saiddgsmg
@saiddgsmg Ай бұрын
Ushoga umeletwa na waikristo
@aishathabit3732
@aishathabit3732 9 ай бұрын
#Njozi hakika jambo msingi na kiini cha tatizo hujakipata Na haijalishi wewe ni prof au laa Kiini ni uislamu Una mfumo wa utawala na wao wanazuia uislamu usiwe na utawala Don't hit around the bush Mazungumzo kama yako ambayo una fanya general sio tishio kwao kwani wazunguka huku na kule Bado prof jipinde Lakini على كل حال Allah akulipe kila la kheri
@kalamuMedia
@kalamuMedia 9 ай бұрын
Assalam alaikum Aisha,kama hutojali tunaomba kuja tukurekodi ili watu wapate faida
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 9 ай бұрын
Usiwasifu wachina.Wachina ndio hawataki kabisa uislamu kwenye ardhi Yao na wanawawekea vitu maalumu vya kuwaangalia waislam chochote wanachofanya kuogopa ugaidi. Uislamu umejengwa kwenye chuki na siasa Kali kwa wote wasio waislamu ndio maana nchi zingine kama Poland hawataki kabisa waislamu kwenye nchi zao kuogopa ugaidi na siasa kali
@lookmanlookman6297
@lookmanlookman6297 9 ай бұрын
tumekubali uislam hawautaki je kilichowafanya hao makafiri kuandika quran ya kwao walikua na maana gani dunia inapoelekea huwezi kujua kama wewe sio muislam chuki mmezitengeneza wenyewe ukiniuliza mimi nakupa mfano apa mwanza mwenyekiti wa mtaani alikua mchangaji mtanii makanisa yapo kama matatu ivi waislam walijengeza msikiti mchungaj akazuia msikiti usijengwe msikiti ulipojengwa walikua wanaubomoa unadhani waislam watafanyaje wachungaji na maasikofu wanaongea lolote hawachukulia hatua upande wapili masheikh wangap wangwa kwa kuongea tu nikuambie kitu haha unayoaona ya taendelea mpaka kiama
@annasolomon9855
@annasolomon9855 8 ай бұрын
😅😅😅
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 7 ай бұрын
Kasome uislam ndo uongee
@user-sb6gy6dx1m
@user-sb6gy6dx1m 7 ай бұрын
Hakuna unachoelewa kuhusu uisilamu. Waswaili wanasema ikitaka kuua mbwa muite jina baya. Ndicho wanachofanya maadui wa uisilamu, kuwachafua waisilamu na uisilamu juu ya ugaidi. Mbona hao wanaoua waisilamu hawaitwi magaidi. .? Waisilamu tu ndo magaidi
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,6 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 65 МЛН
HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI
31:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 87 М.
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,6 МЛН