Mashaallah wallah sheh upo vzr saaana asiyekuelewa ana dini ila yupo kimaslahi ya dunia tu Allah akuongoze sheh wetu.
@nurumohammed13103 ай бұрын
Huyu shekhe nampenda sana yaani akizungumza kama hataki sio wale mashekhe wengine wanasema kama wanagombana mungu akulinde shekhe wetu inshaallah
@user-gp9vg6sw6e5 ай бұрын
Maashaa Allah Shekhe wetu tunavuna hekma zako Allah akulinde na maadui pembe zote duniani❤
@user-gp9vg6sw6e5 ай бұрын
Tumekuelewa sana wasiokuelewa Wana shida zao Allah akulinde kama alivyo mlinda MTUME pangoni lnshaa Allah
@jasminmohamed61453 ай бұрын
SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@shabanijuma20853 ай бұрын
Sheikh langu usiumize vichwa Mtume ( s a w)alituambia itafika siku watu watataka kujua nasaba ya Mumba wetu.Ghafuru Rahim .Astagfirullah.Yarrabi tufanye kuwa samiina wa twaana,Amin.
Katika barazanji anayezungumziwa ni mtume Muhamad S.A.W kufuata quran na suna sifa zake alizonazo. Tusiwe wabishi turejee darasani.
@khadijamohamed89199 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah
@iddymohammed18904 ай бұрын
baraqal llahu fi qum
@user-vy7jd5th5e6 ай бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq
@user-sl8tr8vq4cАй бұрын
Umedanganywa nn
@rajabumsuya-hg8jdАй бұрын
Wanatumia kiarabu kuhalalisha bidaa
@user-du2fy5sd5u3 ай бұрын
Swala Allahu alaihi wassallam Waalaalihi
@user-di8me2wb7p9 ай бұрын
❤mashaLLAH
@shabanijuma20853 ай бұрын
😂😂😂😂😂utatunzwa sana 😂😂😂😂
@hasnaly2 ай бұрын
😂😂 hii kabisa inamuhusu mood bachu
@mansoursaid87 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏
@user-gn8ls8ji5x3 ай бұрын
سبحان الله hayamaneno yamlmungu mnasema uwengo muogopenemlungu
@abdalahaby36586 күн бұрын
Kajifunze kuandiaka ndugu
@mattarmattar3026Ай бұрын
Shekhe Mimi ninasuali ambalo najaribu kuliulizia ulizia lkn sijabahatika kuona nimejibiwa, Suala ni hii elimu inayoitwa BARAHATII jee ni elimu isiyo na mashaka yeyote juu ya muisilamu kama ataiamini na kuitenda,? Hebu naomba unifafanulie faida zake za jumla na kama Kuna hasara zake pia unifafanulie Ili nijuwe ukweli wake
@abdalahaby36586 күн бұрын
Kwa wenye D mbili tu ndo hawajamuelewa Waleed hapa.
@user-db5sx4ex3x7 ай бұрын
A/alaikum shekh samahani nilikuwa naswali nje yamada Yako nilitakakujuwa hekma yakutoa sauti katika swala ya mag'haribi,ishaa,na alfajiri?
@warshysaid85649 ай бұрын
Allah anasema mtume haongeei kwa matamanio yake bali ni wahyi kukoka kwa mola wake sasa anaejuwa ghaibu ni allah pekee mtume anapewa wahyi tuu kwa kilacho au kitakachotokea mbele ili kuwaelimisha waislamu waliopo muda huo ambao ni maswahaba na hajao mbele mpka sisi wasasa na watakao kuja baada yetu ili kujitasimini kwa kila kinachotokea ktk maisha yetu sasa kusema mtume anajuwa ghaibu unakosea sheikh wetu
@fay96879 ай бұрын
Hivi hawa ndio viongozi wetu kweli sijui wamesomea wapiii
@salehislem6719 ай бұрын
Tulia wewe majnoon...huna ulijualo
@rydertz33729 ай бұрын
Kakosea nn katika maongez yake!!!?
@user-hx8bh1jt4k9 ай бұрын
Ww umesomea wp mwehu?hata baba Yako hampati ki elimu
@harithally22649 ай бұрын
Kasomea kwa baba yako
@fay96879 ай бұрын
Hhhh hata kama anakupoteza kwani wakubwa hawakoseiii
@fikafikan84849 ай бұрын
Hawakupotezi kwa sababu wao wakuelekeza kupitia quran na hadithi sasa utakosea vp wakati watumia quran na hadithi
@rydertz33729 ай бұрын
Umesoma tuu caption au umeskiliza mpka mwsho!!???
@saydouside94689 ай бұрын
mwambie hata wahuni wanazeeka...Barzanji imezua mambo...na waislam hataki kusoma..akisoma yoyote akitoka na kiarabu ..huyo no shekh duuuuuh
@fikafikan84849 ай бұрын
@@saydouside9468 ww ndio hutaki kusoma na bachu wako ungesoma ungemuelewa barzanji kumbe muko wengi mahasidi wa mtume Allah atawashinda insha Allah
@selemaniselemani5918 ай бұрын
Mtume s.a.w hasifiwi, anafwatwa.
@mahmoudally39066 ай бұрын
Allah ndiye aliyeanza kumsifia na pia ndiye aliyeamrisha tumfuate. Na alisifiwa hata kabla ya watu kujua kuwa yeye ni Mtume. Sasa utajipa tabu kuzuia asisifiwe, sema tu kuwa asisifiwe sifa zitakazopelekea watu kumuabudu au kumfananisha na Mungu.
@IbraFareed2 ай бұрын
Sele umesoma wap 😂😂
@saidhmuhammad55679 ай бұрын
Angalia watu wazama za Mtume Muhammad s.a.w walipokua wakiabudu masanamu wakiulizwa kwa nini muna fanya hivo wanasema tuliwakuta wazee wakifanya na ss ndio tunafanya..Nabii Ibrahim a.s alimuuliza babake mbona mwaabudu haya masanamu na yenywe hayadhuru wala hayanufaishi kwa lolote walijibu kua waliwakuta wazee wao wakifanya na wao wanaendelea nayo hivo hivo..kwahio Sheikh usizungumze kuputia hawaa zako ama kufaya inadi kwa wanao pinga Maulidi..na kuna baadhi ya watu ukiwauliza kwa nni munasoma Maulidi wanasema hvo hvo kua wazee wao walikisoma na wao pia wanasoma yai mtu hataki kujua ni sawa au si sawa yy anafanya maadamu mzee wangu alifanya na mm nafanya. Subhana_Allah Mungu atuongoze sote jamii Islam
@hamisiramadhani149 ай бұрын
Ufahamu wako haujawa bado na uwezo wa kuelewa na kuchanganua kinachokusudiwa
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
Umetumia akili kuongea❤
@rajabmembe66959 ай бұрын
Sheikh wa mkoa kakosea kusema hapo, kakosea sana aajichunguze kauli sake kama kiongozi
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
@@rajabmembe6695 kavuruga vuruga yaani anajiona kasoma lakini msikilizaji anaweka 100% hajui lolote ingawa kasoma
@mohammedseif30729 ай бұрын
🤔
@nshimirimanadjibril9 ай бұрын
unashindwa kuchunga mapenzi yake kwa mtume
@SamMus-qn1pu9 ай бұрын
Sasa hapa ndio pakuonekana uongo wa watu wa maulidi sasa mbona haikutajwa khabar io ya barazanji katika qur an na suna uzushi mtupu
@sadiqselengu41979 ай бұрын
Hongera Wew mkweli... KILA LA kheri
@harithally22649 ай бұрын
Na ww uzushi mtupu
@user-qs8yo4kw9g6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mtume na suti
@mohammedal78649 ай бұрын
Ibadh ndio dheheb pekee ambalo hawavutani juu ya aqida wanamsimo mmoja tu sasa masuni kwanini kila mmoja anaaqida yake?
@mahmoudally39066 ай бұрын
Kuna mambo hutengenezwa ili yapatikane makundi kuugawa ummah wa kiislam. Na dhamira ni ili usiweze kuungana wakawa na nguvu.
@fay96879 ай бұрын
Huo ni dalili ya ujinga
@mohammedal78649 ай бұрын
Masuni wengine wanafungia sala tumboni wengine kifuani wengine baina ya kifua na tumbo na wengine wa nyanyua mikono na kushusha je nani yu sahiih?
Hicho kisa cha Israi Wal Miraj kina dalili zote Shiekh na hatukatai kua jambo lolote kwa mtume swala Allahu Alaihi Wasalam linaweza kufanyika ila musimsingizie kwa mambo ambayo hayakutokea kwake..hilo jambo lakua wanyama waliongea hamuna dalili zozote...na usiseme kua ukisikia jambo kua ntume kafanya au kasema usibishane ww amini tu huo ni ujinga kwa sababu mwamsingizia na kwenye Dini usitie mila na tamaduni hizo mila na tamaduni Zina shirki kubwa sna..Sheikh wazee wazamani kweli ni wazee wetu na tunawaheshimu ila kuna mambo sio katika Dini walikua wakifanya
@mahfoudhally28799 ай бұрын
Hhhhh basi wewe pia huamini pale sisi mizi walipomuona nabii suleiman wakaongea suleiman akawasikia
@saidhmuhammad55679 ай бұрын
Ndugu hapo hatumuongelei Nabii Suleiman A.S na hakuna ambae ana shaka juu ya hilo kwamba aliwasikia sisimizi wakiongea.
@yes_yes13109 ай бұрын
Kwa hio Nabii suleiman na Mtume Muhammad swalaa llahu alay wa salama, nani bora?
@herimsham34599 ай бұрын
Said kakosa jibu.😊
@saidhmuhammad55679 ай бұрын
Sio kwamba sina jibu hapa hatuangalii mambo ya ubora..kwahio kma Mtume Muhammad s.a.w ni bora ndio mumuekee mambobya urongo?
@user-du2fy5sd5u3 ай бұрын
Sisi tuliumbiwa chumvi ni dawa ya mbonga
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
😂 Ngoja nicheke tu sina chakuongea.... Kwahiyo babu yako akikwambia uchawi ulikuwepo tangu na tangu shika tunguli tupae usiulize tii tu!... Usitake kufananisha zama ya Mtume na zama hii. Enzi zile huenda wengi kati yetu tungekuwa makafiri kwamtazamo huo wakusema mkubwa akisema usiulize. Kwani wao siwaliabudu masanamu kwasababu walikuta mababu zao wanaabudu!?. Walimkataa Mtume kwahoja yako hiyo hiyo yakusema Mkubwa akisema fuata tu. Ushahidi wa Mtume (S.A.W) kwa miujiza aliyopewa na Allah na Allah kuwaongoa watu ndipo wakafaa dini. Dini inaenda kwa dalili sio kwakuambiwa tu unafata
@HusseinKoja-ww7gi8 ай бұрын
Kwani kila usichokiuliza unakuwa umekipokea
@DonMooSTUDIO_Express8 ай бұрын
@@HusseinKoja-ww7gi sikiliza video yake kwanza kisha soma comment yangu utaelewa nini naongea
@user-dp1dj8ti6h4 ай бұрын
😢 x
@mahmoudsultan34453 ай бұрын
Wee si nabii unamiujiza yako yakupinga endelea kupinga tu
@fay96879 ай бұрын
Porojoooo
@khadijaramadhani55629 ай бұрын
Kuna Aya za Allah zinatajwa na jila la rasulullah latajwa hapo
@saidhmuhammad55679 ай бұрын
Sheikh hayo maneno yako yakua ukiambiwa wazee jambo usiulize ww ufanye tu sio sawa kabisa. Nivlazima ujue uulize uambiwe maana kisha uyapime katika mizani ya dini..hicho kisa cha Israi Wal Miraj Abubakar r.a aliamini moja kwa moja kwa sababu ni maneno ya Mtume Muhammad s.a.w...na sisi tumeletewa dalili zote ndani ya Quran na kwa Hadith lazima tuamini..kwahio maneno ya wazee ikiwa sio katika misingi ya Dini usifuate na utajua vp ikiwa haiko katika misingi ya Dini ni lazima uulize
@user-ev7dh1np3w9 ай бұрын
Kwa fikra zako ungekuwa ww usinge kubali pia muelewe vizuri anavyosema utapata faida ukiskiliza kiupizani autaelewa kamwe
@user-ev7dh1np3w9 ай бұрын
Anaezungumziwa hapo ni mtume hayo mnayoyatilia mashaka ni madogo sana
@harithally22649 ай бұрын
Unajua mizan ww
@mahmoudsultan34453 ай бұрын
Tatizo lako umekaa kiushabik alipoanzia wee hutak unachukua mfano kua ndio ujumbe alichokisema maneno ya mtume hayatiwi hoja hago maneno ya wakubwa n mfano tu wa utiifu juu ya viumbe lakn Kwa mtume hamtak kutii ukisikiliza kiushabik hutaelewa
@mkemiawarap36453 ай бұрын
كاذب
@mohdkhatib2239 ай бұрын
Hata akikwambia ukalewe? Huyu alipoteuliwa ushekh wa bakwata ndio amezidi kuboronga
@sadiqselengu41979 ай бұрын
Wewe huyu umemjua juzi.. Tunaomjua tumetulia.. Toka lini mwanachuoni (sheikh) akakuamrisha ukalewe?? Tuliolelewa na wachamungu tunamuelewa NYIE WA KILA KITU KUBISHA ENDELEE.
@rydertz33729 ай бұрын
Kakosea nini katika maongezi yake!!??
@hamisiramadhani149 ай бұрын
Kukaa kimya ni hekima sana kuliko kuzungumza bila elimu na ufahamu
@harithally22649 ай бұрын
Na ww bidaa mkubwa sn tena mzushi
@harithally22649 ай бұрын
Usimseme usie mjua sheikh wetu tunamkubali na ana Haki ya kulindwa na watu kama nyinyi
@user-vy7jd5th5e6 ай бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq.