Aisee hadi baba levo na pua lake lile anagombaniwa asa mimi nikija Dar si ntagombaniwa sana aisee
@dclassTurpin-jx3wh9 ай бұрын
kaka njoo hela yako tu😂😂
@Aishahamisi-ho5ix9 ай бұрын
😂😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅
@maimunaulotu20759 ай бұрын
🤣🤣🤣Baba levo🙌 fanya kitu kinakupa amani ya nafsi yako mapenz hayashauriw jmn
@directorimmah_vfx30439 ай бұрын
uko sahihi
@sanndyberg6459 ай бұрын
Kweli muhahoo
@salama11139 ай бұрын
Hilijamaa chawa ila linaongeaga ukweli
@twalebleboss96879 ай бұрын
BIG UP BRO.....#SAFIIIII
@isaya43.129 ай бұрын
Ila matatizo ya familia mnaleta mtandaoni😢
@jacklineisack1339 ай бұрын
Watu wajifunze😅
@lydi7919 ай бұрын
baba Levo yeye ataki kuwa kabati😂😂 Yani anazungumuza naisiya kali 😂😂
@rajabrwambow96609 ай бұрын
Nakumbuka baba levo alikuwa anaongea Hadi kwenye vyombo vya habar kuwa mke wangu Rudi tulee watoto huyo Dem akagoma baba levo piga chin kudadek
@juliusmkopekwa3369 ай бұрын
Uko-sawa-tu-baba-levo
@mwananganzi9 ай бұрын
Bado hujaijua dunia ya wanawake
@gracewairimu8009 ай бұрын
Ila ukimsikiliza Baba levo Ana Point zake kwanini akaamua kua na huyo mchepuko
@tagx_boe9 ай бұрын
Hapo hakuna imani.ila ni kiburi cha ibirisi kimewatala wawili hawa.hakuna kinachoshindkana.
@KhadijaMangule9 ай бұрын
😂😂😂 oscaosca analeta utani wakat watu wako na mood😂😂
@ashrafadam46299 ай бұрын
Hommie boi uko sahh kabsa achana nae by the way ndg yako n watoto wako na xo mwanamke uliezaa nae watt achana nae aende zake hana maana uyo na mwanaume co rahs kumuoa mwanamke ambae tayar amekwisha kuwa na faml kwn nae atajiuliza kwnn aliachana na mwanaume aliewah kuwa naw na kupata nae mtt br lea wanao achanae uyo mama ruby
@fatmafatu11289 ай бұрын
Mapua tulia acha sifa
@ghulamhaji78568 ай бұрын
Acha umalaya mapua
@Whoisthismantalking9 ай бұрын
Huyo mwanamke ni mpumbavu sana. Kuna kipindi babalevo alihangaika sana kumrudisha mke wake ili wawalee hao watoto akajifanya kiburi. Hakuna haja ya kuangaika na mwanamke mpumbavu kama huyo. Kama mwanamke anaweza kuondoka na kuacha watoto wadogo pekeyao na baba yao huyo ni zaidi ya mshenzi. Huyo ni mnyama wa kupitiliza achana nae
@JeannetteManirambona-o6m9 ай бұрын
Mama ruby tulia kwa ndoa yako mimi sina kingine cha kukushauri dada
@RandB_Channel9 ай бұрын
Baba Levo tulikwambiaka ona sasa mengine yana anza
@jurmainezaidi7399 ай бұрын
Uyo demu anazingua, ungemuacha tuu ubaki na Asma.
@lindambilinyi62539 ай бұрын
Wanaume mbwa tu hawajawaigi kurizik shetan hawa,,,,,,hta ujimanue mbk kiwake unajichosha tu
@shubebunyesi5429 ай бұрын
We paka tu 😂 hamjawai kuwa na akili kilichofanya uyo mzazi mwinzie arudi ni pesa tu lkn alimkimbia na kujiona yeye mzuri na kumwachia watoto jamaa anaongea kwa uchungu coz anajua aliyoyapitia kabla ya kupata pesa Mana alikuwa anadharaulika kwaiyo nanyinyi acheni tamaa wakati wa Mungu ndio wakati sahihi angesubiri leo yasingemkuta , kapelekewa moto mwisho kaona mmh mbona jamaa Kawa mtamu ndio anarudi kiunafki😂 wanawake wote paka tu
@ibrahimmbilizi17269 ай бұрын
Ulevi kitu kibaya sana Oscar auna ushairi baba pili uyo demu wamondi babalevo
@MrTop-wj7no9 ай бұрын
Huyo mama Ruby ulifanya kosa kumrudisha sio mwanamke poa kabisa
@JamilhaSelemani9 ай бұрын
Chefuuu unajickia unavyo ongea me ushauri wng mama Rubi tafuta pesa achana na mapenzi
@khadija57619 ай бұрын
Hiyo ni kikiiiiii
@rizikiabdalla25019 ай бұрын
Ila baba levoo ww akili zako unazijua mwenyewe ila mama rubi tuliaaa kipenzi Hawa baba zetu hatuwawezi Lea watt wako huyo asma achana nae atakupotezeaa mudaa
@aby.beka16309 ай бұрын
ulifikilia kabla ya kuongea iv~
@julianapeason62549 ай бұрын
Ni kweli arulie alee watoto maana mwanaume mwenye pesa na asiekuwana hofu ya Mungu ni mateso plus ila ningekuwa mimi ningemsahau huyu baba ndani ya sekunde 0 maana haya ni mateso
@NasraNasibu9 ай бұрын
@@julianapeason6254kikubwa dua
@rizikiabdalla25019 ай бұрын
@@aby.beka1630 nimefikiriaa sana maana hakuna mwanamme anaeroshekaa na mwanamkee mmojaa hata baba ako ujuwee kuwa unamamdogo wako chobingoo
@anithawidambe75439 ай бұрын
NA HIKI KIREDIO HAKIFAI KUWA KWENYE MITANDAO KINA MAADILI MABOVU SANA HAPO MNAFUNDISHA NN?
@williamgeorge-hd2tn9 ай бұрын
Jamaa yupo sawa..sema tu hiki kizaz cha haki sawa ndio shida
@khamysamursally59329 ай бұрын
Nimekupenda kwa kauli yako upo sahihi akina mawazo ya kesho kabisaa
Wanaume kama hawa unawaacha wafanye yao yakishawakuta watarud wenyew na kipind wanarud wanakuwa washachelewa
@MrTop-wj7no9 ай бұрын
Utakuwa hujui story yao wew mwanamke kaenda katombwa huko kachoka karudi kuomba msamaha
@allahisone63869 ай бұрын
@MrTop-wj7no DAH 🤦 UNAMAJIBU KONKI
@hassanbakari45259 ай бұрын
USIPOELEWA HAPA HUTOELEWA TENA CHOCHOTE..MPAKA KIFO CHAKO..
@WitnessShamba-wm4tq9 ай бұрын
Baba level nichukue na Mimi tuwe watatu babu👌
@allahisone63869 ай бұрын
DAH 🤦😳
@lydi7919 ай бұрын
😂😂😂😂
@shyfettymtunda46199 ай бұрын
Pambania kombe mwaya.🤣🤣🤣
@ilynpayne74919 ай бұрын
Eeeh una taka msereleko
@abbasnassib95329 ай бұрын
Huyo Oscar anavuta bangi nini?
@allahisone63869 ай бұрын
😳🤦
@chany99509 ай бұрын
🥺🥺🥺
@abdulazackabdul18949 ай бұрын
🤒
@abdallahkambangwa72159 ай бұрын
kaka umetupa mbinu
@lisamandela99879 ай бұрын
Kwel hatuna thaman Sasa huyo asmah alikuwa house girl huruma 😢
@Officialjidaa-sn9cs9 ай бұрын
Amekosea sana mjinga uyu
@tradamus41589 ай бұрын
Kosa ulilofnya nikurudiana na huyo mwanamke ambae alishakupeleka mpaka police na huyo mwanamke alivyo ona unamzungu tu basi akajirudisha saabu ulikua na piss kali kushinda yeye ikamuuma na wew babu levo bichwa yako ilivyokua ya kuku ukarudiananae hukujua kua unaleta tatizo ndani ukisha move on bro sahau kuhusu ya nyuma ishi maisha yako
Aaaaaa AA sio mbwaaa ndioo baba zetu ila nyiee baba zetu muwe mnaridhika
@adaboychibu16599 ай бұрын
Sasa kama wanaume wote mbwa basi Mama ako alibanduliwa na mbwa na ukazaliwa wewe!sasa hapo jichachagulie mwenyewe kuwa wewe upo kwenye kundi gani kama Baba ako jibwa basi Mama ako atakuwa hana akili nzur anawezaje kuzaa na dog🤔🤔
@joycenicodemus.22329 ай бұрын
Mume wangu sio mbwa😂😂
@tiffanyakramJr8229 ай бұрын
Fanya kama Sheikh Abdulrazack , Bi fatma na diva 😂😂😂
@lydi7919 ай бұрын
😂😂😂😂
@MasoudSultan-ks6kc9 ай бұрын
MUJOMBA TULIKUSHAURI UTAPO CHOKOZA WA MUJINI WATAKUSHUGULISHA WAMEKUTEKENYA SASA UMERUKA JIPAMBANIE ILA UMEANZA SAFARI NDEFU NA NDALA JEE ULIJIPANGA?
@sisifaty91839 ай бұрын
Kumbe uli nubwenge
@patriciousnjau77929 ай бұрын
Navaa viatu vya mke wa baba Revo vinanipwaya.Nimewah kupitia hii hali.Baba Revo kama huwezi kuwaupande wa mkeo hujampenda bado.Mkeo kama amekosea kaa nae chin muongee.Hunifahamu sikufahamu.naomba kaa na mkeo muongee yaìshe.Mlee familiya yenu. kwa upendo.Ni shabiki wako tu lakin nayajuwa madhara yake.Please i beg you on behalf of your children.
@crershawmafia10098 ай бұрын
Kwahio ulishawahi kumuacha mmeo ukaenda kudanga mwaka mzima au sio😂
@eladiuspeter5869 ай бұрын
Ila bro ww ni malaya😂😂 Unaleta wake tano wote kuwaangalia
@Kuminamoja19959 ай бұрын
Kiki kubwa 😂😂😂🎉
@RamadhaniMaarifa9 ай бұрын
Huyo asma ni yule wa Cheka tu au mwingine!!?
@malianonicass70299 ай бұрын
Ndio ni yeye
@hanifamziray2779 ай бұрын
Ndio muoe mke wa2 ugomvi uishe
@allahisone63869 ай бұрын
YEAH 🎉
@mandelamushi25279 ай бұрын
Wanawake tunawawepanda acheni jaaam
@mandelamushi25279 ай бұрын
Upendo ni kama umeme ukikata umeme ni sawa na kukakata Umeme
@mandelamushi25279 ай бұрын
Baba leo yuko sawa kwanza mwanamke ni mwanamke je!!!nikishambulia siku zote 30th itakuwaje
@andrewmagwila16029 ай бұрын
Baba levo upo sahihi na pmj na yote hongera kwa kutunza watoto wako ushauri kwa wanawake wakishaolewa wawe wavumilivu na utulivu
@kelvinnyunza-us9jj9 ай бұрын
😂😂😂
@mellahcoffee9 ай бұрын
😂
@yusternyirenda72319 ай бұрын
Hata ujitetee vipi? hata uwalee watoto peke yako vipi mwisho wa siku malezi ya mama yao ndio furaha yao acha upumbavu
@rahmaidd88189 ай бұрын
We NDO mpumbavu
@yusternyirenda72319 ай бұрын
@@rahmaidd8818 Mpumbavu ni mama yako mzazi fala wewe, nimemwambia baba levo sio wewe kilandage
@happynkya97709 ай бұрын
hao ndo wanaume bhna,,, hapo inabidi tu wanawake tuwe kama kuku mtetea hawana wivu jogoo anapanda mtetea mbele ya mtetea mwingine ambaye amempanda mda siyo mrefu na wala huyomtetea mwingine hajaliwala nn