TUNAPIMA DNA KWASABABU WANAWAKE WETU SIO WAAMINIFU/HAKUNA MIMBA YA BAHATI MBAYA/TUWE MAKINI

  Рет қаралды 31,795

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 76
@nishimwejames83
@nishimwejames83 Жыл бұрын
Siku zote Uwa Baba love anaongea ukwli😂😂😂
@kevinkundy1338
@kevinkundy1338 Жыл бұрын
😂😂baba levo nakukubali sana Mzee baba.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
Mzagamuo ukaendelea khaa🤣🤣🤣🤣 baba levo umeshindikana walaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
@jwakoofficial1560
@jwakoofficial1560 Ай бұрын
Nakubari sana baba revo
@user-ju4cd8nz7v
@user-ju4cd8nz7v Жыл бұрын
Baba levo apo kweny kahaba umetisha gud mfano
@tosh7671
@tosh7671 Жыл бұрын
Huu ugomvi ameumaliza dada Adela. Mwanamke ndio anayeamua kuzaa sio mwanaume. Kama hataki hakuna mimba kama anataka Huna ujanja na mwanamke ambaye hataki mimba mimba haikui kuwa mtoto
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
ATI mzagamuo ukaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣
@user-hl9xu4vo1q
@user-hl9xu4vo1q 9 ай бұрын
Baba levo yuko sahihi sana
@gugumasterthemanhimself2939
@gugumasterthemanhimself2939 Жыл бұрын
Nasimama na Baba Levo ktk hili Mwanaume wa kutembea na Mwanamke kwa kinga ndani ya game 5 hajazaliwa
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 Жыл бұрын
kwel bhanaaa Baba levo kaptia mengiii bhanaaa
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 Жыл бұрын
Mwanyezi mungu ndio maana katutaka sisi waisilamu tuzikwe kwajina la mama maana mandio anaemjua baba wamtoto siwote tunaowata babazetu haruna uhakika hatakama tume zaliwa kwenyendoa kwadunia tunayoihi Mimi nashaulitu hatakama unamuamini mkeo kama unauwezo nivizuri kufanya DNA
@uzungupoint
@uzungupoint 10 ай бұрын
Hapa ndipo nimeamini kauli yangu kuwa "NDOA" sio kitu cha thamani tena, suala la kupata mtoto linajadiliwa nje ya kuwa kwenye NDOA. Tunapoelekea NDOA haitakuwa kitu tena, ukitaka kuamini angalia single mothers mtaani.
@nicodemusbura7669
@nicodemusbura7669 29 күн бұрын
O na oscar wako vizuri
@josephchrizostom8437
@josephchrizostom8437 Жыл бұрын
Baba levo kaongea kweli
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Baba levo mzuefu SN wa kuchukua makahaba na KUKATAA kondomu mbona kipengere hicho umekielezea vizuri sn
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Ай бұрын
Aaaaaah wajemeni 40 bado baba levo ungesema hata 50 bado
@hashimsalehe7087
@hashimsalehe7087 Жыл бұрын
yn Osca anajifanya km ayupo na wenzake kbs wkt ata yy mzee wa kujiachia kwny minazi mwanzo mwisho atar sn
@imanimatutu3124
@imanimatutu3124 Жыл бұрын
Baba levo uko sawa
@hamadimatano4503
@hamadimatano4503 Жыл бұрын
ukweli ukitembea na mwanamke na kondom mara tatu tu unavua mwenyewe kondom unazagamua live 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Жыл бұрын
😂😂😂😂baba levo bhana
@singidaone5628
@singidaone5628 Жыл бұрын
Baba levo ni mkweli
@daudamos3400
@daudamos3400 11 ай бұрын
Baba levo Leo nakuelewa sana Osca Osca ni mshamba tu kwa hili
@jamesswai1683
@jamesswai1683 Жыл бұрын
Njia iliyo salama ..ni kujifunza kukojoa nje...
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 Жыл бұрын
Kwelii sku ya kwanza. Na yapili Kinga lkn sku zinazoendelea ni kavu kavuu
@Officalnaph
@Officalnaph Жыл бұрын
Uongo ni kwako MZEEE
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu Жыл бұрын
Mwanaume aache nyama..subutu. zagamuo..
@jacksonkatana5152
@jacksonkatana5152 6 ай бұрын
Kwa hapa baba levo ako sahihi isipokua wanawake wanapanga uzazi
@ivvansiwiti9085
@ivvansiwiti9085 Жыл бұрын
Kila mwanaume amefanya mazur na mabaya shida wakina Edo wanajifanya hawajapitia machaf baba levo uko pw
@abdullahalkindi9673
@abdullahalkindi9673 Жыл бұрын
Mshaurini na mama Dangote wakapime DNA ya Diamond na mzee Abdul
@allysudi4429
@allysudi4429 Ай бұрын
Kwanza siku ya kwanza iyoiyo unaomba mungu unachapa dry mpira wa nn??
@jumaneejumannesaidi2055
@jumaneejumannesaidi2055 Жыл бұрын
Apo sio ote wanaume bwana baba levo uyo Adela SI mwanamke
@mkingageorge2641
@mkingageorge2641 Жыл бұрын
Baba levo kwny kalenda umedanganya
@alimkumbukwa8363
@alimkumbukwa8363 Жыл бұрын
Ha ha ha Bab levo
@pvkanyorota264
@pvkanyorota264 Жыл бұрын
Huyo baba Levo ni mzinzi anaokotaokota wanawake c aoe
@jumaneejumannesaidi2055
@jumaneejumannesaidi2055 Жыл бұрын
Ukumbuke kwamba mtoto ni mpaka mwanamke atake kama hataki hutapata kamwe
@hamadimatano4503
@hamadimatano4503 Жыл бұрын
kweli kabisa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dayana5513story
@dayana5513story Жыл бұрын
💯 %true hii inatufundisha wanawake tujitambue
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 Жыл бұрын
Wewe bado wanawake wakupata kwa bahati mbaya wapo tena wengi
@MusaHamis-oz2rg
@MusaHamis-oz2rg Жыл бұрын
Et tukapiga mzagamuo duuuuu!!!😂😂😂
@amriramadhani2529
@amriramadhani2529 Жыл бұрын
Uongo uongoo uongoooo😂😂bblv
@bestman8182
@bestman8182 Жыл бұрын
Dada kasema ukweli, mwanaume anawezajidai yupo makini lkn mwanamke akamtegeshea. Speaking from first hand experience
@mecksonjoseph2522
@mecksonjoseph2522 Жыл бұрын
M kondom na vaaga kwenye kidole kikubwa
@pvkanyorota264
@pvkanyorota264 Жыл бұрын
Anaewafanya wasiwe waaminifu ni ninyi wanaume mnatabia mbaya ni wazinzi sn hamheshimu ndoa zenu mnawachosha sn wanawake
@guccij6236
@guccij6236 Жыл бұрын
😅
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 Жыл бұрын
Kitabu cha baba levo kuuza ni ngumu maana soko la sasa watu hawanunui historia za watu
@uwimana6533
@uwimana6533 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@alliymohamedalliy6524
@alliymohamedalliy6524 Жыл бұрын
🤦‍♂️ Unamaanisha nni mkuu
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 Жыл бұрын
@@uwimana6533 😄🤣
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 Жыл бұрын
@@alliymohamedalliy6524 jamaa wakimjaza nae akakimbilia kutoa kitabu atakisoma yeye na mke wake au we utanunua?
@dayana5513story
@dayana5513story Жыл бұрын
Baba levo kuywa soda kwa magi naja kulipa
@guccij6236
@guccij6236 Жыл бұрын
Ivi uyo Dem ameolewa?
@AndrewPaul-wy6qq
@AndrewPaul-wy6qq Жыл бұрын
Oscaroscar👊
@Andrewnchenge-il7ij
@Andrewnchenge-il7ij Жыл бұрын
Kama MTU humpendi achana nae nenda kwa unaemkbari,kwann umpe mtoto wa mwanamke mwenzio MZIGO wa kumzalia Taifa lisilo lake
@yasintamichael-bg9fk
@yasintamichael-bg9fk Жыл бұрын
Kweli anachoongea baba levo Kwanza mara ya Kwanza ata ukimwambia mwaga nje anamwaka lakin kadiri siku zinavyogyokwenda anakwambia nimenogewa
@davidibrahim9138
@davidibrahim9138 Жыл бұрын
Eddo ni kichwa sna kwenye hiyo mada
@emmanicko1535
@emmanicko1535 11 ай бұрын
SICHOKI KUWASIKILIZA WAPUMBAVU NYIE 😂
@Ngwegwe-TV
@Ngwegwe-TV Жыл бұрын
Acha uwongo
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 Жыл бұрын
Wanaa dada. Wawe makn. Tusje. Tukalaumiana
@mecksonjoseph2522
@mecksonjoseph2522 Жыл бұрын
Oska ukijui kichwa cha mboo Kiki simama lazima kifos kingi
@jumaneejumannesaidi2055
@jumaneejumannesaidi2055 Жыл бұрын
Hapan wanawake Wengi wanaotumia majira hawana karenda nzuli ya mwezi wao
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu Жыл бұрын
Mwanamke awezi cheat mume anaejua KUTOMBA VIZURI
@daudamos3400
@daudamos3400 11 ай бұрын
Mm ni mwanaume kamili lakini huwezi kutembea na mwanamke kwa kondomu mala 20
@user-dz4ob1xj8g
@user-dz4ob1xj8g 10 ай бұрын
Yaani ... mtu anasifia zinaa KWENYE MIKE YA CHOMBO CHA HABARI .... YAANI HII NCHI ITAFIKA LAKINI TUTACHELEWA
@PilyRashidi-pu8dp
@PilyRashidi-pu8dp 9 ай бұрын
Utachoka wewe
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 Жыл бұрын
baba levo mkweli mkwel
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 Жыл бұрын
Kipimo cha DNA huwa ni bei ganii
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Yote hayo ni kwa sababu ya zinaa watoto wa nje ya ndoa kama ndoa ya halali hakuna hayo tuache zinaa
@dismaspaul9004
@dismaspaul9004 Жыл бұрын
ni uongo kabisaa😂😂😂
@pvkanyorota264
@pvkanyorota264 Жыл бұрын
Mimba umempima vvu je
@lawmaina78
@lawmaina78 11 ай бұрын
Huyo Oscar anaongea kiredio, baba Levo yuko sahihi tuache kudanganyana. Asilimia kubwa ya wanaume hauwezi kutembea na mwanamke mmoja zaidi ya mara kumi kwa condom.
@makameibrahim5086
@makameibrahim5086 10 ай бұрын
Baba levo hapo kwa condom point ☝️
@user-of1gi9bf2n
@user-of1gi9bf2n 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
Huyu baba levo mi muongo sana.. yaani eti alikumbuka kumpima demu kama ana ujauzito au hana ili tu afanye bila silaha.. lakini mbona hukumpima afya yake kama kaathirika au hajaathirika? Hili jamaa huwa lina fix sana.. 😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Jaman mhhh
@victoriarwerengera4831
@victoriarwerengera4831 Жыл бұрын
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4,9 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 102 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 16 МЛН
Vipimo vya DNA na athari zake
18:23
DW Kiswahili
Рет қаралды 553
The story Book: Lumumba Shujaa Aliyetolewa Kafara
25:41
Wasafi Media
Рет қаралды 474 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 64 М.
Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 1
29:56
YahStoneTown
Рет қаралды 327 М.
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 32 МЛН
Гениальный План Хвостатых 😂
0:28
ДоброShorts
Рет қаралды 2 МЛН
Найди Влада на стадионе
0:26
ЛогикЛаб
Рет қаралды 4 МЛН