Hata yeye kakulupuka huyu Mtoto hamnazo Kwenda kule Hunalolote
@fundimagari58254 ай бұрын
Kuna tofauti ya shabani wa tawi la mpira pesa Na Ally kamwe......Ally kamwe ni msemaji wa yanga ni kiongozi pale yanga....hata wewe hapo ukitoa kauli yeyote hapo ni kauli ya muhuni ila akisema ahmed Ally ni simba imesema...
@saidimnyani33304 ай бұрын
Usiwastue
@salimmalaka2564 ай бұрын
KAMA UTOPOLO MLIKAA KIMYA MBONA WEWE LEO UMEONGEA??? HIYO DALILI UTOPOLO MAVI YAMEGONGA CHUPI 😂😂😂
@salminsomba24914 ай бұрын
@@salimmalaka256 sisi tulikaa kimya kuwaonyesha makolo hatuogopi chochote sababu tuna timu bora kolo hamjiamini ndiyo maana napiga kelele , sisi hizo kelele hazitusumbui subiri tarehe 19 unitafute baada ya gemu
@mussaissa67964 ай бұрын
HUYU SIO MCHUNGAJI BALI NI MCHAWI ASIYE NA AKILI TU BASI.
@Esterkomba-ef7eb4 ай бұрын
Ww ndiyo Bure kabisa
@simonndunguru16294 ай бұрын
Huyo sio😂Mchungaji ni Mchungaji wa Nguruwe anaamini ushirikina
@chiefnumborecords48194 ай бұрын
Mimi chifu Wa Dar Yanga afrika nasema ivii akuna mchawi Wa kuiloga Yanga nyie logeni tuuu ila yanga tuta wakanyaga mechi zoote 2 home and away Tena Kwa magoli mengi sanaaa yaani mwaka huu mpaka walie watoto Wa mud 😂😂😂
@chiefnumborecords48194 ай бұрын
Sisi yanga atuna shida Najuwa Kuna watu wanateseka sana kutoka upande Wa pili Kwa mabinti Wa P didy alafu waacheni wajipe moyoo ila tarehe 19 ni wese day yanga atunaga huruma wewe zunguka uwanja ata mara mia kipigo kipo pale pale mtalia wachawi Wa simba tutawakanda magoli kuanzia magoli 4 kuendelea SI vingine ila Kwa midomo Yao wasije kugoma kuhojiwa tuuu
@elishakayagwa93714 ай бұрын
Ukiona mtu anajiita mchungaji au mtu wa Mungu hata kama ana kanisa na ni mshabiki wa mpira jua kuwa huyo sio wa Mungu. Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili, maana atampenda huyu na kumchukia yule...
@SalvatoryMtunga4 ай бұрын
Mtu wa aina ya mchungaji ni wale wanapenda kuingia uwanjani kwa kununuliwa tiketi bure.