Wacha Tima wangu aenjoy , enjoy mama umeteseka sanaa
@elvinakalu69914 сағат бұрын
Nelly unapitia magumu kweli,pole yako
@LyidiaRupia2 сағат бұрын
Yan kanifa nilie asee
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM5 сағат бұрын
Couple ya Tima n'a Devi wanapendezana sana❤❤
@Arafa-dt9sh5 сағат бұрын
Maskini nelly pole sana dah! Nimemkumbuka fey alivokuambia kuwa abby sio mume yameangukia wapi hana hata chembe ya huruma hongera tima n devi yaan hadi mm nna furaha❤❤❤❤❤❤❤
@sharifamahamudu1824 сағат бұрын
Na ni mama kuja sasa alafu ndo kinaanza kumramba atamkumbuka mdogo wake
@sharifamahamudu1824 сағат бұрын
Mama kijacho sasa nelly namuhurumia
@MiriamTiloli-tb5xx5 сағат бұрын
Izo like mnaombaga zann jmn mbona mimi sijawai pata
@SandraFatuma-r4y2 сағат бұрын
Mungu asante kwa ajili ya penzi la tima na devi number one❤❤❤
@Esher-rq7zx3 сағат бұрын
Kusema kweli tima na dev nawapenda ❤❤
@DorcusMulokozi5 сағат бұрын
Kunawatu walisema hawaangalii tena huba na wako hapa tuwachinje kabla ya mwaka mpya😂😂😂
@Mwanamvua-ze5ls5 сағат бұрын
😅😅😅😅 wataangalia nn t
@HawaHassani-i3z5 сағат бұрын
Kwa ajiri ya time na dv
@DianeUzomushakaСағат бұрын
Kabisaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@AnethJoseph-x6t5 сағат бұрын
Wa tatu kivuruge kama judde nipo hapa msinikanyage😂😂😂❤
@شاميمشاميم-ر9ت5 сағат бұрын
Devi na tima mi nawaombea mapenzi yenu yazidi kunawiri nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤
@haluarahma30714 сағат бұрын
Tima maya kula bata kwa furaha devi naye anaejoy❤❤❤
@bettymuks70725 сағат бұрын
Aah Nelly wangu anateseka Jamani 😢Tima and Dev ❤
@hutahuta11705 сағат бұрын
Masikini neli kumbe abi hakupendi alipenda pesa
@sharifabahar99054 сағат бұрын
Tokea mwanzo
@maryamudunga10943 сағат бұрын
Na yy hakusikia
@dorisgideon385 сағат бұрын
Na mimi leo nimewah nipewe like bhas
@wangagirl35083 сағат бұрын
Nyumba ya jb na kizazi chake wanateseka sanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hiyo ndio shida ya mali za kiganga mwishoe na mbaya sanaa heri wa mungu too tuwe na subra
@UwimanaLiah6 сағат бұрын
Kumbee miee wakwanzaaa
@zahraabdul96525 сағат бұрын
Nelly ulikanywa na dadako lakini hukuskia sasa ndoa hiyo imekuwa kitunguu kukutoa machozi
@Mutako-ig1ik5 сағат бұрын
Ndio mapenzi ya Mataperi Nely sema hukujua maniki ya Mungu pole
@JladyKadzo4 сағат бұрын
Tima na dev 🎉🎉🎉🎉maua yenu jamani my favorite 😍 couple in huba❤❤❤
@fatmaalghafri60875 сағат бұрын
Maskini Nelly Hapaswi kuteseka hivi 😢
@BanglaDesh-i7w5 сағат бұрын
Yeyw ndio alilazimisha mapenzi kwa Abby lakini alikua yuapenda dadake fei
@SarahBitwale-pv8epСағат бұрын
Anapswa kwa sababu hakusikia toka mwanzo
@DorcusMulokozi5 сағат бұрын
Sijui ni mm kwakuwa nipo single penzi la tima na dev halijaninogea limepwaya😂😂😂
@SaumuOmar-y3l5 сағат бұрын
Jmn kumbe papa uko kwa huba 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@safiakhamiss7565 сағат бұрын
Watt waafumbili hawaielewi huba wanaelewa jua kali ya kudanga ya kimaria
@HappyHappy-i4p4 сағат бұрын
Weeee ugomvi huo😂
@safinaijumaa81094 сағат бұрын
Abby ata hcho kingrez haskii jmn ama kwel daaah😢 nelly me najifunz san🙌
@aishabakari80403 сағат бұрын
Ndoa ndivo ilivo mwaya naichukia kama nn 😢
@Aisha-k2o2 сағат бұрын
Abiy wewe nimuuwaji afadhali deviy ana utu
@MutoniCherissa-wl1ue3 сағат бұрын
Nampendaga Nicol saana kwakweli 😂😂😂
@maligeltabatholomeo81283 сағат бұрын
Dev uwe na msimamo basi alafu tunatamani kuona familiya ya tima na devi wakiwa pamoja jamani kish na kaka yake
@WetchiKhams5 сағат бұрын
Mbarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@TeddieJohn-lm5co4 сағат бұрын
Maskini Nelly🥹 hajawahi kupata furaha ya kudumu kwenye mahusiano mpaka huruma 😢
@belitadaudibery-bb9zq4 сағат бұрын
Tuko wengi 😂😂😂😂😂
@rahmaabdallah45145 сағат бұрын
Mm naona kwa hapa tena huba ikaribiie kwisha
@AaaAaa-s7e3 сағат бұрын
Pole nelly wangu
@hyasintamalisa3 сағат бұрын
Tima anaboa sana kwanza aliolewa na jina Kisha hapa anajifanya tuu. Kisha kwa sasa tunaweza kusema kesha olewa na wanaume 4 si.........
@RahmaSuleiman-j8g5 сағат бұрын
Mimi wa pili nipeni lak zenuu
@ELIZABETHNNKO-e6j5 сағат бұрын
Maskiniiiiii nimemwonea Nelly huruma
@jacklinefatma62632 сағат бұрын
Abby nelly mbona unafuatafuata mwenzio kama malaika wa roho😅😅😅😅
@HASSANBAKARI-q9c4 сағат бұрын
MI SIPEPESI MACHO,,,MAJINA MAKUBWA STORI MBOVU,,TUNAANGALIA MAZOEA TU
@SubaraSubra5 сағат бұрын
Devi na tima ongereni tunawapenda sana penzi lenu from 🇷🇼
@marryofficial91435 сағат бұрын
Dj huna bayaaa yaan mpka rahaaa ila abby hana utuu kbs kwakuw mkwe pesa za majini na ndoa tenaa inakufa jmn khaaa😢 nelly polee sana maskini
@DativaWilison5 сағат бұрын
Jaman papaa kwenye huba tena
@AshaNzara3 сағат бұрын
Papa kumbe wapatikana huba pia😂😂😂🎉🎉❤❤
@Zahra-i5h6k5 сағат бұрын
❤❤❤
@zuwenahasanimohamed73323 сағат бұрын
Kwaiyo monica akaondoka na ela za tesa😢
@SalinaSherono3 сағат бұрын
Jamani papa amefika hapa tena kutoka house girl
@safinaijumaa81094 сағат бұрын
Daaah pole nelly mamaa Najifunz meng kwa hii huba😢
@Awlo-g6d4 сағат бұрын
Nileteen ❤❤❤ yakub na monika❤❤❤❤
@AsilaA-s7m4 сағат бұрын
Huyu chidy au alibakwa kule jeila😢😢haeleweki nahizi ndoto zake plush hasira kilo 200 mmh kun kitu.
@ggfwtgg16523 сағат бұрын
Nelly pol sana unapitia wakati mugumu ila kipindi ca tima na devis na enjoy sana
@GloryKavishe-of1mr5 сағат бұрын
Mkiwahi hua mnapewa nn
@zahraabdul96525 сағат бұрын
Wiki nyuma alikuwa kibibi na tesa😂😂😂😂😂 sasa hivi tesa na Nicole ila sio kwa majibu hayo 😂😂😂wanikosha
@aminaabubakare197315 минут бұрын
Oh poor Nelly urizani umepata kuumbe umepatikana
@ShahiraKduli6 сағат бұрын
Me wa pili ten gulf like hap
@aishafrancis77145 сағат бұрын
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲❤
@MonicaMlowe-dr3yo2 сағат бұрын
Masikini Nelly wanaume ni watu wabaya sana 😭😭😭
@wangagirl35083 сағат бұрын
Majamaa wamenda kuishiii ploti moja hatari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@IreneErasto-w9e3 сағат бұрын
Pole nelly uliambiwa lakini jaman hadi huruma 😢😢
@Dayotz5 сағат бұрын
Tuache kudharau watu kisa maisha yko ymenyok yakikunyokea na ww mhu
@AnithaNahimana5 сағат бұрын
Pore san nelliy..iyo sio ndoa kabid chidi kaw nin tena jamani..pore
@Asha-t5o3 сағат бұрын
Nelly. Pole. Uliingia. Pasipo stahili
@saumodzumbo96713 сағат бұрын
Nely pole sana kwa yote 😢😢😢
@ROBINSONDAVID-n7n4 сағат бұрын
NICOLE,,the bosslady
@Rahima-kv6mn3 сағат бұрын
We papa si unadaiwa na cendy kule umefikaje uku 😂😂😂😂😂😂
@sharifabahar99054 сағат бұрын
Kwann happy asimtimue tu
@rachaelmapenzi87474 сағат бұрын
Mnasinyaa
@salmazwallo59205 сағат бұрын
Mmmhhh Nelly pole ila na ww upo nyumban c upikee unasbr mtu aletee chakula kweli na upo nyumban
@jacklinezombo58064 сағат бұрын
Tima na dev wanabambaa ❤❤❤❤❤❤
@PrincessRene-k3e5 сағат бұрын
Maskin nely hajawah kupat mtu anaempnda kweli
@SharifaMombo-eh2bg5 сағат бұрын
Wangapi wamemuona papa
@JescaYusuph-m4y4 сағат бұрын
Papa tapeli wa pesa zacandy 😂😂😂😂
@manirambonajeanne38764 сағат бұрын
Mimi papa hata simupendi hanamuvuto wakuigiza simupendi
@DavidSafari-k4x3 сағат бұрын
Papa jambazi lacandy yuko huku pia Acha atapeli mapenzi ya watu