Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 13
@mohddelo Жыл бұрын
Safi sana
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Mie myu wa kwanza ku comments nakupenda sana kwa kushughulikia maendeleo ya zanzibar. Pia vilivile wananchi waweke usafi sana mtu akitupa taka apigwe fine au itakuwa uchafu mwingi.
@maji106 Жыл бұрын
Hongera Doctor Hussain
@nadirmahfoudh1812 Жыл бұрын
Masha'Allah...Alhamdulillah
@saeedmassoud256 Жыл бұрын
Maendeleo gni mnayoongelea nyie chakula ghali samaki hawagusiki matunda ndo usiseme kuweni serious acheni kupumbaza watu nyie hakuna mtoto mdogo hapaa pumbaavv
@alhudhaify7810 Жыл бұрын
Masoko mengi wanunuaji na cha kununulia hamna.
@nadhifamohammed7749 Жыл бұрын
Asanteni
@nassorcholo8848 Жыл бұрын
Mbona pale darajani ujenzi umesimama
@ramzsule7678 Жыл бұрын
Hivi kumbe maendeleo ni majumba na barabara nilidhani mtu kuweza kupata Milo mitatu kwà siku na kweza kupata huduma za kijamii zilizo bora Bila usumbufu
@khatibabass3106 Жыл бұрын
Kwaio Milo mitatu uletewe kwenu uzidi usenge .ayo masoko ukafanye kazi ili upate hio Milo mitatu
@nailaomar4810 Жыл бұрын
Hawataki maendeleo hao chuki tu
@malak-lz6kx Жыл бұрын
@@khatibabass3106hajakwambia alpelekewe kwao hyo umesema ww maisha magumu znz mm mwenyewe mmekuja huko hapanuliki kitu maendeleo yatakua hyo au kujenga majumba ww mfano mdg ukae bila kula unaweza kupanda ata ngazi ya huo mjengo akili zenu finyu kufikir mnaropokwa tu.
@malak-lz6kx Жыл бұрын
@@nailaomar4810hya bs fanya kwenu hyo maendeleo watu wasifanye chuki