mashaAllah madebe unatufunza Mambo mengi kupitia filam zako ....kama unaamini madebe ndio mrithi wa marehemu kanumba tumpeni like zake apate kutulietea vitu vizuri zaidi
@ahmedabdallah19044 жыл бұрын
Sanaaaa
@heroking76534 жыл бұрын
Madebe anajuwa sana ata apa Congo tunam'kubali
@mwavivizboy41922 жыл бұрын
Big up sanaa
@simonmachupa67672 жыл бұрын
Zaidi
@asmaabass59732 жыл бұрын
Uko sawa
@emmanuelmakindi44094 жыл бұрын
Kama kawaida yangu siachi kuangalia sinema nzuri toka kwa madebe. Kama unamkubali madebe kama mimi, gonga like twende sawa.
@sadakhamis12614 жыл бұрын
❤️
@happypa20274 жыл бұрын
Anaweza ❤❤❤❤❤
@mahoroamidu20454 жыл бұрын
Huyu ndo mkombozi wa bongo movie good job bro madebe 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@godblessyexaudnkyale202 жыл бұрын
Watanzania Tunajivinia uwepo wako madebe lidai mng ukulinde akipiganiee akufanyiee wepesi uandaaji was movie ufanyike kiwepesi watanzania Tunakipenda umeludisha Heshima ya bongo Movie ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ special for you.....🙏🙏🙏🙏
@godfreymutembei9402 жыл бұрын
Madebe siku moja ningependa kukutana na wewe kaka, nakupenda bure pamoja na filamu zako
@mauwarashid48234 жыл бұрын
mashaailaah movie tamu ongeresana mjomva madebe upo juu kwa mafunzo mengi
@salimuhabibu52954 жыл бұрын
Wakwanza hapa kucomment ukiangalia muv yyte za huyu Jamaa huwezi kujutia Mb zako wap like za #madebe weka hapa
@kalsiopaschal69633 жыл бұрын
Nikwl
@marymasha67773 жыл бұрын
Nakupenda bureeeeee madebe lidai , karibu Kenya ❤️❤️❤️
@nderindichu87544 жыл бұрын
Hapo kweli huwa najiuliza bora angerudi kanumba ...movie zake zinaelimisha. Hongera sana Madebe endelea kuelimisha jamii. Mob love from🇰🇪254🇰🇪🇰🇪
@kamalissabig24294 жыл бұрын
Madebe lidai ndio King of Bongo movie anae kubali pita na like zake apa
@مارياكافشى4 жыл бұрын
Ukisema ivo unakosea gabo zibamba umutiye wapi vincent kigosi muze magari unaongea usiyo yajuwa🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@kamalissabig24294 жыл бұрын
@@مارياكافشى kama inakuuma kufa ukwel ndo huo
@busta_malik59714 жыл бұрын
@@مارياكافشى ray kigosi muweke kwenye kundi la mashoga maana haiwezekani mwanaume unapaka poda
@janvieryenga14192 жыл бұрын
Ongera sana Madebe Lidai, mimi nimependa apa kwa amri 10 na Sheria 17 za mpira, kama na wewe umepapenda like yako apa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@rosemvungi78544 жыл бұрын
Big up madebe.... Mm naangaliaga tuu nafurahia kazi yako leo Nmeamua nkupe sifa zako
@davidunendi62764 жыл бұрын
Kabla cjaanglia ngoja nkomment then nkienjoy ntakuja kulike comment yang🤣
@morineinziani10804 жыл бұрын
Ready usha comment
@OmarYassin-z6m Жыл бұрын
Ni moja Kati ya mashabiki zako broo madebe nakupend kwa ajili ya Allah 🤲🙏
@saxannjo61734 жыл бұрын
Kibongobongo naangalia muvi za MADEBE na MKOJANI tu... Great Talented Artists ever
@katoboy87052 жыл бұрын
Kama mm
@ماريكونا4 жыл бұрын
Safi sana madebe mungu abariki kazi yako 💥💥💥💥💥💥💕
@mwanashaomarbakar30703 жыл бұрын
Mashaallh madebe huwe n mri mrefu ishaallh movie zote safy sana
@asmaabass59732 жыл бұрын
Madebe Uko vizuri katika filamu zako unatfunza sana hongera
@mahoroamidu20454 жыл бұрын
Nipe likes zangu kama unamkubali madebe 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@celistinekandijah88204 жыл бұрын
Madebe lidai,, much love from kenya
@dismasmajiji29513 жыл бұрын
Mamb
@salimusaid92004 жыл бұрын
Namkubali @madebe Anaweza sana ktk bongo movie weka #like_hapo_twend__Sawa"
@evancecomedian..28164 жыл бұрын
Nimeipenda hiii natamanii kua muhusikaa....❤❤❤❤❤❤
@sallysimon5466 Жыл бұрын
new fan here from Kenya,napenda sana kazi ya madebe lidai,you're educating our community through your movies
@amraniminani60194 жыл бұрын
Pongezi sana madebe kunalenye umesahaw YESU makengo yakurudi duniani nikuowa na azae sawa namaandishi ya vitabo vya imani
@latifahshaban33854 жыл бұрын
Nakukubali bro hongeraaa sana kwa kazi yako 💗🖤
@inagakalunde27352 жыл бұрын
Napenda filam zako madebe maana zinatufunza pakubwa sana
@yonnanesphory19284 жыл бұрын
Sasa kama matusi tumesubir mwez hii c tutasubir mwaka ya pili......gonga like kama unasubiri matusi kwa hamu
@kibwanampujumy91783 жыл бұрын
Twanga pepeta
@alexsimanga41214 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka madebe uko vzr sana mungu akuwekee wepesi uzidi apo
@gomacomedy2432 ай бұрын
King madebe wewe ni mkali
@Sebastianrichard2533 жыл бұрын
Big up Madebe Lidai unafanya kazi nzuri sana
@majaliwadaud62322 жыл бұрын
Yaani kaka madebe kila filam yako inafudisha na kukubali sana
@Nyaruking14 жыл бұрын
Edeleya ivoivo unailimisha brother wew same like kanumba bro
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Madebe nipo znz nakukubali sana na kundi lako mnafunza na mpo kwenye maadili yetu ya kitanzania hamvai uchi mashallah
@filothiasirizabongo57674 жыл бұрын
Hongera sana madebe lidai nakukubali sana sichoki kuangalia filamu zako
@kingkikaula60514 жыл бұрын
WALE TUNAOPENDA VITU VYENYE AKILI KAMA HIVI TUJUANE
@nalkisaqueen36374 жыл бұрын
Yes 🥰🥰🥰👌👌👌
@alfredmwana94273 жыл бұрын
Nipo
@saidally3683 жыл бұрын
Tupo
@angelakafuruk94953 жыл бұрын
Hujawahi kufer mzee baba uko poa sana
@johnyty4984 жыл бұрын
tunakukubali sana lakn acha ujinga wa kufananisha maisha ya Mungu wetu (Yesu) na huu upumbavu wako umeishiwa misemo tulia bana, ila Mungu akusamehe wenda uwezo wako wa kufikiria uliishia hapo🙏
@simonmachupa67672 жыл бұрын
C mwelewa wewe
@fatmaahamad6334 жыл бұрын
Malizia matusi hivi unatuchanganya japo ni 🔥🔥
@rehemapeter58942 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu made be lidai
@josephmwita23204 жыл бұрын
Naaamini kazi yako braza. Mungu awe nawe kwa kazi nzuri unayoifanya.
@edwingwesso68184 жыл бұрын
Like kama tulkua wote kwa wali wangu na mstusi
@lydiamuli33284 жыл бұрын
Kama.kuns mwalimu ni wewe Madebe🙏🙏may God give you more wisdom.
@scienceproject-187 Жыл бұрын
Filamu zenye mafunzo,ningependa kujiunga na team madebe japo niko kenya.....huku kenya pia jamii kwanza imeoza kabisa
@kalamuyangu14 жыл бұрын
Mtu makini mwenye umakini wake. 🤝🤝
@damamuhamza33182 жыл бұрын
Nakubali filamu zako funzo Sana kwa jamii
@ilkacasebishoo42683 жыл бұрын
Hongera nabii umetufuza mingi
@twalhamohamed365 Жыл бұрын
Nakukukubali sana mwamba madebe othmani mbingaa
@dismashaule16314 жыл бұрын
Muvi nzuri sana aisee ina ujumbe mzur Tunaomba bas muimalizie filamu ya MATUSI tafazali Madebe Lidai
@mrbweichum4 жыл бұрын
*KAMA UNAMKUBALI MADEBE LIDAI ACHIA LIKE YAKO*
@joicesamsoni70944 жыл бұрын
poa Sana
@yusufuridhiwani82404 жыл бұрын
Nakubali kazi Zako
@mrbweichum4 жыл бұрын
@@yusufuridhiwani8240 *Hakika*
@mrbweichum4 жыл бұрын
@@joicesamsoni7094 *Good*
@happypa20274 жыл бұрын
Tuko apa
@ismailaahmada5662 жыл бұрын
madebe umetisha filam zako zito.....
@agapejosceline76834 жыл бұрын
Hongera sana madebe. Mungu aku ongezee mara mia
@clarissidi14372 жыл бұрын
Kama bado waangalia hii gonga like hapa
@hassanchuma50134 жыл бұрын
Madebe ni🔥🔥🔥hila tumalizie Matusi Kwanza😭
@bandobonda27173 жыл бұрын
Kama umesikia Mke mwema hutoka kwa Bwana sasa unashangaa mkeo kutoka kwa bwana'ake!? Gonga like!
@awadhilupindo57404 жыл бұрын
Kama unamkubal madebe gonga like
@tabiahamis6044 жыл бұрын
Matusi madebe imalizie jamani
@gracesikalion94864 жыл бұрын
Tumalizieni matusi kwanza
@Leonarnk34 жыл бұрын
Kazi yako yatupa kazi bwana weh! ✍✍✍
@allyhyyy9194 жыл бұрын
Kawaida yangu kabla yangu yakuangalia move za huyu jamaa napitia komments kwanza,,,Kongole sana Madebe lidai unatupa elimu xana Mungu akulinde #Like_Kama_Zote_kwake_jaman
@josephmartini14314 жыл бұрын
Hapa tz sijawahi kumpenda mwigizaj yoyote kama madebe
@mishaelmisana76744 жыл бұрын
Made be kwa sasa kwangu ndo muigizaji bora hapa tz
@songslyrics79124 жыл бұрын
Iko poa sana💥💥💥 Ila matusi umetuacha hewani! Fanya utamaliziee zote
@douglasbosire49434 жыл бұрын
Ndugu Lidai huku kwa kipaji app visa yangu ilikataa kuingia, tafadhali tupe njia zingine za kulipa especially kama mtu yuko nje ya Afrika
@bintsulaymansuleiman6684 жыл бұрын
@@douglasbosire4943 kwl atupe njia nyngn mm nmejaribu mpka
@ekinirashidfrancisco574 жыл бұрын
Mzee wakazi madebe nakukubali kimtindo bro unaweza Sana ..Tumalizane Matusi KwanZa
@mussachibwana28324 жыл бұрын
Hongra Sana madebe ni kwel inawezekana tu kuwa mjinga
@sharonchihunga80084 жыл бұрын
Nacheki comment mwnzo ndio n watch bt madebe always fire
@mohdhussein97494 жыл бұрын
Safi sana like zote kwa madebe lidai one love mr
@chrissjoel77524 жыл бұрын
*MADEBE FUNDI AISEEEE* 🙌🙌🙌🙌🙌
@richardbeatus59624 жыл бұрын
Madebe ni shidaaah! Saaaaana
@r.kassimtoutautre34324 жыл бұрын
Nakufwata 🇧🇮Who lives 🇹🇷
@hawwahawwa95903 жыл бұрын
Mashallah upo vizuri madebe lidai
@leylabasmati76452 жыл бұрын
Napenda sana kazi zako nzuri sana
@abubakarsalim15054 жыл бұрын
Nimekuwa wa sita leo madebe kuangalia picha yako Kenya tuna kukubali Sana bro
@mathildemwangaza1094 жыл бұрын
Kenya embakasi Niko hapa jirani
@johndemunga29034 жыл бұрын
Nani alie sikia kama stress za mapenzi njo zina haribu sana inchi??
@tausihasheem50514 жыл бұрын
Madebe movie zako nzur bas tunaomba muendelezo wa Matusi...wengine tupo nje ya nchi....
@emmaphabian83624 жыл бұрын
Muendelezo wa matusi ipo kipaji app huku haiwekwi tena
@hamzayusuph60524 жыл бұрын
Madebe Lidai kazi zako ni nzuri
@matumainiaugustino1654 жыл бұрын
Noma baba madebe lidai hesabu zinazotumika ni nne tu taja kama umesikia
@edwardmkilindi92104 жыл бұрын
Unajua madebe
@kimboniz38863 жыл бұрын
Kazi nzuri madebe,big up sana
@dannymoses18824 жыл бұрын
ambao tunaangalia saiz gonga like
@listonymkongwa33464 жыл бұрын
Madebe please, tumalizien kwanza "MATUSI " AISEE
@nestorypastory68824 жыл бұрын
pakua kipaji matusi imemaliziwa
@rojamo71354 жыл бұрын
Yoteee au
@ab3ab3134 жыл бұрын
Madebe nakupend bure
@pendomichael38154 жыл бұрын
Ase madebe nakupata
@lukresiatemba2934 жыл бұрын
@@nestorypastory6882 mbona nimepakua sijaelewa au mpaka nilipie
@simonsweka73054 жыл бұрын
Lidaii fans....mpo tujuanee wazee kwa ku likee
@abdallawassir7063 Жыл бұрын
Madebi wewe kweli ni mwalimu mkuu
@abdulramanhemed37494 жыл бұрын
Kwanza pongezi sana kwa kazi zako pisi usituchanganye tafadhali RUDI KWA MATUSI KWANZA MPAKA UMALIZE SOKO UNALO BROO
@QBOYS911Facebook4 жыл бұрын
I love this movies is very because I love this movies too is a great idea thinking
@calvinswai47254 жыл бұрын
nakubali sana madebe napenda sana movie zako
@mohamedmwita61723 жыл бұрын
Madebe nakukubali Sana kka
@jamesludelema74693 жыл бұрын
Nakupongeza sana madebe kwa kaz yako
@helbertharrison87253 жыл бұрын
Hii filamu ni nzuri sana ila picha yake inagiza sana bwana lidai
@ashneryjumanne96054 жыл бұрын
Nampenda sana uyu kaka mung u amuongezee maarifa
@maimunakhamis34434 жыл бұрын
Iko love tu kwa sanaaaa kutoka kenya
@iigigijfjffjfif5504 жыл бұрын
Madebe na Linda munajitahidi Sana ahsateni Sana
@vedah39464 жыл бұрын
Madebe lidai application ya kipaji app inazingua Sana tuwekee utaratibu wa kupata nakala zako na movies zako kirahisi
@xaverylibaba53714 жыл бұрын
Kweli kabsa hata mm nmejaribu kulipia bila mafanikio