Mic zinasumbua kila mara halafu ni kila siku. Hebu nunua mic mzee
@AK-ll5tu3 жыл бұрын
Uwezo.. nadhani tununulie vifaa vipya tufanye mambo
@twahiromar64344 жыл бұрын
Upuuzi mtupu
@jamalishoo38024 жыл бұрын
Umefuata nini hapa kama wewe si mpumbavu
@twahiromar64344 жыл бұрын
Haya yanayofanyika shekhe niharaam acha kusifia ujinga
@salehmrombo17304 жыл бұрын
Twahir omar..haram kwakoo
@hamadrashid51404 жыл бұрын
Ndugu yangu kila mtu na msimamo wake... Kuna njia ya kuwaambia watu si kusema upuuzi si vyema kabisa.... Na nyinyi mnaemjibu tumieni njia ya kumjibu si kumtukana. Sisi sote ni waislaamu tunamuamini allah na mtume wake , tunaswali swala tano, tunafunga, tunatoa zaka, tunakwenda hijja sehemu moja. Licha ya tofaut zetu hvi vitu hatujatofautiana. Kwa hyo tuacheni kuambiana kauli mbaya. Assalaamu alaykum
@AK-ll5tu3 жыл бұрын
ndo tunao upenda huo upuuzi .. unatukonga nyoyo zetu..