Please SUBSCRIBE to Robert Tv Tanzania official KZbin channel, Anointed Man Of God Pastor Robert Raphael: / @roberttvtanzania #RobertTv #RobertRaphael #PastorRobertRaphael
Пікірлер
@princessjj82982 жыл бұрын
Kazi yako ni njema Pastor, Mungu aendelee kukutumia. Lakn unapotajataja mafuta na maji haipendezi, Mungu mwenyewe alisema yaacheni Magugu yaote pamoja na Ngao, hiyo kazi ya kung'oa magugu si yako, mwachie Mungu mwenyewe atawang'oa. Acha kutajataja mafuta na maji.
@amourjamal72925 жыл бұрын
Yesu Nimwema saana Kwajili Yetu Sisi Binadamu Tupige Makofi Mbele Ya Yesu
@SibongileNgenge-q5jАй бұрын
❤
@shau785 жыл бұрын
Kwa kweli bila Yesu hatuponi. Hatutoki. Achana na lidini lako. Halitakusaidia. Mtafute Yesu upone
@annahayasanday71745 жыл бұрын
Hakuna kama Mungu, Mungu anatupenda sana, ametufichulia siri nzito
@mukeragabilodiana93915 жыл бұрын
Mchungaji enderea kuombea watanzania mungu awaokowe waache zambi zakichawi namtoto kweri mungu awasaidie
@zainacolette71534 жыл бұрын
Yaaniuyu Baba anajuwa kukoleza maneno kabisa niajabu
@ninzizabrendah27664 жыл бұрын
Mcungaji rwanda tukafata100% tunakupenda sana Mungu akubari kwa kazi ngumu unayo yifanya Basi uongezewe mafuta mengi na ulindwe shalom
@shau785 жыл бұрын
Yesu asante. Wewe ni mwema. Wewe ni kiboko ya shetani
@emminessbekker40403 жыл бұрын
Namwamini mungu kwa kila jambo atanipigania
@neematalange37924 жыл бұрын
Mchungaji miaka 200 uishi mungu akutangulie
@mwacuka1194 жыл бұрын
Amen. All glory to God.
@ireneivy21784 жыл бұрын
Amen jina la yesu lipewe sifa kwa kweli mungu anaweza yote,pastor Robert mungu akulindi mahali popote huendapo be blessed,
@sarahwanjala66015 жыл бұрын
Amen nanganga na Yesu wangu
@buberwampobera33905 жыл бұрын
Yesu yupo kazini
@faidaimmaculee285 жыл бұрын
Mungu nimwema
@saadyusuph65542 жыл бұрын
Mzee naona watu umeisha wafanya mandondocha kweli maneno ya uyo mtoto Kuna ukweli?
@tabumasumbuko72134 жыл бұрын
Mungu Baba akupe maono mengi mchungaji Robert
@vv22485 жыл бұрын
Amen jina la bwana lipewe sifatmilee
@hajimnzava34235 жыл бұрын
Unajua hawa wanao pelekwa kuzimu alafu Yesu anawakomboa Yesu anataka tupate somo Fulani
@leylawillah57814 жыл бұрын
Yaani umeongea neno
@happymoraa86494 жыл бұрын
Amen be blessed keep praying for us
@latfahaule1275 жыл бұрын
Mungu wangu dunia bila yesu hatuwezi jamani
@saadyusuph65542 жыл бұрын
Mzee wewe nikama auna akili nzuri hivi uyo mtoto anayoongea unaona Yana maana kweli
@ninzizabrendah27664 жыл бұрын
Kufatiliya maombezi tu kwa KZbin tunapona kbs🤲🤲🤲🤲
@soniaqueen45794 жыл бұрын
AMEEN bwana yesu asifiwe
@faidaimmaculee285 жыл бұрын
Amen amen ubarikiwe sana
@hezronmgaya3863 жыл бұрын
Mung nimwema
@mukeragabilodiana93915 жыл бұрын
Mchungaji murudirie tena huo mtoto ashuudiye vizuri tunakuomba umurudirie izohabari zakanumba atuereze vizuri
@godliveremmanuelmayombya7964 жыл бұрын
Amina
@neemamathew74652 жыл бұрын
Huyu mtoto anajua siri nying za wasanii na watu wakubwa😳😱 ila shetani ameshindwa kwa jina la yesu
@mukeragabilodiana93915 жыл бұрын
Jamani watuote muriomwamini yesu shika begi🧳💼🧳💼🧳💼nabibria 📖📖📖📖📖📖twende kutangaza injiri
@buberwampobera33905 жыл бұрын
Ubarikiwe
@mukeragabilodiana93915 жыл бұрын
Buberwa Mpobera amina
@furahinsichona72355 жыл бұрын
Ktk ulimwengu wa roho Bado adui wa raisi ni wengi tuendelee kumuombea na kumfunika kwa Damu ya Yesu
@thomasmrosso60224 жыл бұрын
Naomba msaada Wa namba ya simu mchungaji
@trophainamagogwa79665 жыл бұрын
Jamani yoote haya watu wanasimulia lakini kuokoka watu hawataki?
@suzanechristopher46314 жыл бұрын
Namba yako mchungaji tafadhari
@trophainamagogwa79665 жыл бұрын
Wewe mama Wa Mtoto usimame hasa umetangaza vita kali na shetani
@salmashuffa37455 жыл бұрын
Mchungaji njoo kenya
@severinifulgensi26865 жыл бұрын
Jaman kunduchi utakuwepo lini?
@apazmunisi21335 жыл бұрын
tunaomba namba za kuwasiliana nazo huku dar es salaam tupewe maelekezo vizuri ya kufika kanisani tafadhali
@everlynekaiga17845 жыл бұрын
Jesus is alife
@magrethjoseph32955 жыл бұрын
Mngekuwa mnatuonyesha wakati alikuwa hatembei na kuona!
@trophainamagogwa79665 жыл бұрын
@@magrethjoseph3295 yaani wewe unaona na mipira tumboni huamini kama alikuwa Mgonjwa?Ebu wakuwekee wewe huo mrija tuone kama utakuwa na Raha,acheni masiala Wamepona shika hilo tu
@highonebalo82894 жыл бұрын
Hakuna shetani atamweza rais wetu John. Tunamwombea majira yote hata kuzimu wanajua Amezingirwa kwa Damu ya Yesu pande zote. Mungu Yuko upande wako rais wetu maana unamtanguliza ktk mambo yote. So, you are safe our beloved. Worry out in Jesus Name.
@pelusiemanueli69265 жыл бұрын
MUNGU ni mwema KWETUU
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
Mhh uchawi unatisha,hivi wana uwezo gani jamani kupaa hadi ulaya.kusafiri kwa ndege ya kawaida ni masaa 10 au zaidi,sasa wenzetu ni dakika tuu.inatisha
@mukeragabilodiana93915 жыл бұрын
Mariam Fritsi kweri tuombe sana
@lolguy-x9n4 жыл бұрын
arudi shule kijana mdogo.
@merrythadeo53184 жыл бұрын
Maji na mafuta hiyo umemsemea wewe, Kila mtumishi ana ufunuo wake,wewe fanya kwa sehemu yako na wenzio wafanye kwa sehemu yao,acha kujihesabia haki.
@eliakimchaiikobellah3584 жыл бұрын
Exactly
@lolguy-x9n4 жыл бұрын
mafuta inamuuthi sana. pia kuvalia tu miniskirt na kutengeza nywele. Although ukweli hawa wanafuta pia wengi wengi ni mashetani pia.
@happyabdallah83795 жыл бұрын
Naomba namba yako ya whatsapp mchungaji
@hamzachonya51295 жыл бұрын
Toba
@estherkeya72415 жыл бұрын
Kweli mungu yuko
@susanatavachi75595 жыл бұрын
kweli mungu yuko
@susanatavachi75595 жыл бұрын
naomba namba yako whetsapp mchungaji miniko Nairobi Kenya jina Susan
@hamzachonya51295 жыл бұрын
@@susanatavachi7559 Aya nakupa 0762414815
@zainacolette71534 жыл бұрын
Weyebaba. Unajuwakuwekachuvi kabisa
@zainacolette71534 жыл бұрын
Mngunimkubwa hamtuwezi nyinyi Tuna Mngu sisi
@kinged98624 жыл бұрын
Sijui ni mimi au huu ni usaini wa kijinga kwanza tokea lini mtoto wa miaka miwili akajua umri wake pili ndege gani hiyo ambayo ilianguka miaka ya hivi karibuni na mtu akapona Uraya sehemu gani hiyo ndege iliannguaka ndani ya umri wake na mtu mmoja akapona acheni kutufanya sie wajinga mbona kila mtu kanumba mwacheni apumzike kwanza Armani.
@flavianmeero60063 жыл бұрын
September 7 2012 - Yak-Service Flight 9633, a Yakovlev Yak-42, crashes just after takeoff from Tunoshna Airport, Yaroslavl, Russia, due to pilot error, killing 44 of the 45 people on board. Many were players and staff of the Lokomotiv Yaroslavl ice hockey team of the KHL, as the flight was destined for Minsk, Belarus for a league game.