KAULI TATA ZA DC WA LONGIDO ALIYETUMBULIWA ZAWASHTUA WAZEE WA MINYAMA

  Рет қаралды 55,115

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 169
@mamachris6811
@mamachris6811 5 ай бұрын
Hiyo kauli sio tata 😳 Hajapozwa na mdomo,Yuko sawa kabisa.
@AthumaniKimwaga
@AthumaniKimwaga 5 ай бұрын
Nafkir hilo kundi lipo....ili litoke kwenye Chungu Cha akina Sisi....
@AishaOman-k6f
@AishaOman-k6f 4 ай бұрын
Yupo.sawa.kwakuua.maporini.heee
@saluuhans
@saluuhans 5 ай бұрын
Siri za Ccm zitafichuka sana mwaka huu
@daviddsouza735
@daviddsouza735 5 ай бұрын
Kuanzia kipindi cha nanlii vijana wametumika kunanlii kullaahh matokeo yake vijana wanaendelea kuuza mboga za majani mitaani
@ElishaOisso
@ElishaOisso 5 ай бұрын
Ningukua mhariri wa gazeti kichwa cha habari cha gazeti ningeandika ROHO WA MUNGU AMSHUKIA DC LONGIDO …
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 5 ай бұрын
NDIO MAANA HUJAWA MHARIRI .MAANA UNGEPOTOSHA SANA UMA
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 5 ай бұрын
Kabisa
@ElishaOisso
@ElishaOisso 5 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETA KWA HIYO SAHIVI NAPOTOSHA KIJIKO
@liannsambu7264
@liannsambu7264 5 ай бұрын
💯💯💯💯💯 bila kupingwa
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 5 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETA wewe ni mbogamboga wa chukuchuku mtekaji mahukumiwa siku ya kiama mnafikiri mnaojipendekeza kwao watawasidia mnatakiwa kutubu dhambi mbaya za mauwaji kabla hamjafa
@benedictomahombo
@benedictomahombo 5 ай бұрын
Nawakubali sana goodmoring ya wasafi media..ninyi sio machawa
@Peterchipemba
@Peterchipemba 5 ай бұрын
Wasafi,,mpo safi sana kwa upembuzi wa habar,,uchanganuzi wa habar pia na udadafuzi wa habar,,mnafukunyua habar vizur vizur sana,,nimewapenda.
@BarakaSimon-xy9mp
@BarakaSimon-xy9mp 4 ай бұрын
Mungu anawafedhehesha hao
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 5 ай бұрын
Mm sijashtuliwa na kauli za DC wa longido hata mwenda zake alisema hataki kuiona tume ikitangaza WAPINZANI.
@OlivreKimario
@OlivreKimario 5 ай бұрын
Na ndie aliyewatuma
@bahatielias6443
@bahatielias6443 5 ай бұрын
Alikuwa muuaji yule na dikiteta mkubwa,mpaka huwa najiuliza sana siku amekufa Kuna viumbe walilia balaaa huku wengine tukisema Mungu kaamua na kufanya bahari itulie
@lusekelowilliam2068
@lusekelowilliam2068 5 ай бұрын
Hawa jamaa hawa kumbe ndo wanakuwaga hvi studio😂😂😂😂
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI 4 ай бұрын
😂😂ndio unawaona Leo kumbee
@DottoMagesa
@DottoMagesa 4 ай бұрын
Na nyinyi wasafi mko vizuli sana mwenyewe kuhariri
@isaackemanuel3712
@isaackemanuel3712 5 ай бұрын
Mungu atabakia kuwa Mungu hata kama mtatumaliza kutuua
@AlexcpetroCpetro
@AlexcpetroCpetro 5 ай бұрын
Vijana amkeni acheni ujinga CCM majambazi kabisa wauniiiiiii wakubwa nchimbi kachimba
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 5 ай бұрын
Mbn mnamuonea huyu jamaaa kwel msemakwel nimpenz wa munguu
@kobelovitus6337
@kobelovitus6337 5 ай бұрын
Mkiona mgonjwa anaanza kutaja aliowauwa,kwanza mjue ni mchawi lkn pili ni dalili kwamba muda c mrefu atafariki
@sifuelinyaki3341
@sifuelinyaki3341 5 ай бұрын
Huyu dc atakuwa anawajua wale watu wamekuwaga adim sana kwwnye hii nchi.. wale wasiojulikana..
@EmmanuelSabibi
@EmmanuelSabibi 5 ай бұрын
Hajaponzwa na mdomo wke ,bali ni mungu katamka kwa kutumia mdomo wke na kutaka kuwaumbua ccm maana ndio hua tabia yao, ila jua tu ,mungu hua hafichi ukweli hua anaumbua pale apoona watu wamechka kuishi na mfumo wasioupenda
@wilisipanganiwilisi3751
@wilisipanganiwilisi3751 5 ай бұрын
Watu hawawezi kukaa na uovu wa ccm mioyon mwao japo wanaitumikia Cha hicho God is win & God is wine Viva young of TZ @ mwakasagule finest
@mamachris6811
@mamachris6811 5 ай бұрын
@@wilisipanganiwilisi3751 walioko ccm wengi hawaipendi,wapo kimaslahi zaidi Yaani imekuwa kama Suger daddy ( sponsor) 😆😆😆
@CharlesAlly-jp1ms
@CharlesAlly-jp1ms 5 ай бұрын
Siku za mwisho maovu yote yatawekwa wazi mungu mkubwa😂
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 5 ай бұрын
Damu za Watu waliodhulumiwa haki zao za kuishi zimeanza kuwalilia.
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 5 ай бұрын
D.C longido mdomo wazi😮
@storytownTv
@storytownTv 5 ай бұрын
Naitakia Tanzania usingizi mwema wakifikra..😢 mitano mtaenda nae .. ila hamjui mnaenda nae wapi..!?
@anchelouskyaruzi3992
@anchelouskyaruzi3992 5 ай бұрын
Sio mbali ndugu zangu, mwisho wa mambo UKARIBU, yachunguze matendo yako fanya uamuzi mambo ya kesho huyajui, njooooo!
@HaibaSalehe-tb5vn
@HaibaSalehe-tb5vn 5 ай бұрын
Mazingira ya 2020😂😂😂 ila huyu baba anamengi
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 5 ай бұрын
Huyo katoa ushahidi wa wazi kumbe wao ndio watekaji anatakiwa akamatwe
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 5 ай бұрын
DC wa Longido,na m/kiti UVCCM wanahusika katika matukio ya utekaji kupitia kauli zao sasa serikali itachukukua hatua gani licha ya kuwatumbua?UVCCM kumbe wanapotekeleza uhalifu huu huwa wanateuliwa kuwa ma DC/RC?
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 5 ай бұрын
@@Hussein-gx4qu kuwateka watu wanaoapinga siyo suluhisho LA kudumu sasa wakiwageukia wakaanza kutekwa wao ndiyo machafuko yataanza
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 5 ай бұрын
Nyie mbwa nawapenda kwakuchombeza ❤❤❤❤❤❤
@SamwelMkilya
@SamwelMkilya 5 ай бұрын
3:53 msema ukweli ni mpenzi wa mungu😅😅
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
ANGESEMA WAKATI ULE WA GIZA ANGEKUWA HERO 🦸‍♀️
@adrianomaulaga1599
@adrianomaulaga1599 5 ай бұрын
Kwani kwa sasa kuna Mwanga?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
@@adrianomaulaga1599 UKO MWANGA SASA ILA MAPALOKO WAMEZIDI 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@BraxedaDomina-xn4zc
@BraxedaDomina-xn4zc 5 ай бұрын
Ss ndio kuna giza kbs
@JosephJerome-k1i
@JosephJerome-k1i 5 ай бұрын
Wazee wa minyama na matonge😂 salute to you
@elisantefrank4780
@elisantefrank4780 5 ай бұрын
Huwa napenda sana uchambuzi wenu. Hakika Mungu azidi kuwabariki ninyi.
@msafiriomary893
@msafiriomary893 5 ай бұрын
Nikweri kabisa hakuna kiongozi wa ccm miaka yote anae shinda uchaguzi wanapita kwa hujuma tuu
@SaidAbdala-f7p
@SaidAbdala-f7p 5 ай бұрын
Kwa huku zanzibar. Ccm tushaawambiya. Watafute kazi nyengine za kufanya. Kwa maana huuu ndio mwisho wao. Hawa majambazi .washatutesa sana. Sasa subiri mara hii. .halafu mimi siamini kama marhum Maalim seif sheriff hamad. Kama kafa kwa corona . Kwa nini tundu lissu alipelekwaa. Nairobi kutibiwa. Sababu walijuwa kuna madokta Ccm ndani ya muhimbili.
@GeorgeElias-p5o
@GeorgeElias-p5o 5 ай бұрын
Pepo inakuhusu🤲🏾
@bahatielias6443
@bahatielias6443 5 ай бұрын
Wale wauaji wakubwa
@shammhagama2527
@shammhagama2527 5 ай бұрын
Hahahaha nyie watangazaji mnajua kukera😅😅
@liannsambu7264
@liannsambu7264 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 kama ametoa Siri Yao Kuna shida gani hahah
@Shalom803
@Shalom803 5 ай бұрын
Na bado watatafutana na kuumbuana. Mungu ayaweke wazi yote yanayofanywa dhidi ya haki na uhuru wa nchi hii.
@GodlvJohn
@GodlvJohn 5 ай бұрын
KAZI ngumu nakutotumia akili ipe ccm,bali chadema hutumia akili namaalifa,Kosa la DC Nikusema ukweli nasiwakwanza kusema ukweli hata wanai nchi tunajua hivo, Mungu angamiza hii ccm ifute kwenye uso wadunia niwahalifu kama wahalifu wengine
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 5 ай бұрын
Hii ndo hatari kuliko zote ila yanamuda wake
@VIPSwahili
@VIPSwahili 5 ай бұрын
Mimi ningekuwa mhariri ningeandika...Mtoto Kautaka😂😂
@gerladmwakalambile8966
@gerladmwakalambile8966 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 sisi hatujalala kabisa
@constantineibrahim25
@constantineibrahim25 5 ай бұрын
Wa kwanza nipeni like
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje 5 ай бұрын
Ingekua nimimi nimgeandika DC LONGIDO KAYATIMBA!!!!😂😂😂😂😂
@rasheedmbaraka7199
@rasheedmbaraka7199 5 ай бұрын
Daaaa DC kauaaaa sanaaa huyu..longidooo mmetishaaa sana kweli mlikuwa na kiongozi asiyejitambua...daaaaaa
@SmartOfficial-u5j
@SmartOfficial-u5j 5 ай бұрын
Anajitambua
@JamesJoseph-b1l
@JamesJoseph-b1l 5 ай бұрын
Mbona kama wamelongwa viongoz wanatoa sri waliofanya zaman mungu anawachakata taratibu
@YonahMwamwaja
@YonahMwamwaja 5 ай бұрын
Watu kama Hawa MUNGU ndio anawataka wasema kweli anasema mliyoyasikia sirini semeni kwenye mapaa ya nyumba,
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu mkubwa yaani unapozoweya kudhulumu Mungu siku moja atakuvua nguo mchana kweupe mbele ya wakwe zako Ccm mwaumbuka nape ameongea matendo mabaya ya ccm na leo mwengine ameengeo...duu mwaumbuka
@RaphaelHhari
@RaphaelHhari 5 ай бұрын
Jamani eee hivi watanzania mmelogwe? tatizo si Dc wala CCM bali tatizo ni sisi watanzania hatujitambui hivi kweli kwa katiba hii ya Baba wataifa na ccm kuna haja ya kumchagua kiongozi je kazi ya katiba hii ni nini, kwamba Raisi ambaye ni mgombea ni mwenyekiti wa chama kinachoshindana na Raisi anateua viongozi wote wenye maamuzi ya mwisho mfano tume huru ya uchaguzi ya taifa mwekiti anateuliwa na raisi wakuu wa mikoa, wilaya,wakurungezi na wengine wengi jamani sasa hapa kuna kuchagua kweli viongozi,raisi anatoa maagizo tu kwa wateule wake nataka hivi na hivi nani atayempinga jamani ?
@MichaelNgiloriti
@MichaelNgiloriti 5 ай бұрын
Daa kazi ipo huyu DC
@omaryramadhani290
@omaryramadhani290 5 ай бұрын
Siku za mwisho za CCM zimefika
@RenoMashala
@RenoMashala 5 ай бұрын
ila ii mijamaaa ukizingua mtaani ikapata info zko ni balaa utajuta weee😂😂
@DjJohnBashir-oy7cx
@DjJohnBashir-oy7cx 5 ай бұрын
DC yupo sawa ila hakuna watangazaji hapo kelele tupu
@nicolausminja689
@nicolausminja689 5 ай бұрын
Unafikiri Nape alisema uongo!?hiyo ndio hali alisi ya uchaguzi Tanzania.kwenda kupiga kura ni kupoteza mda tuu kama Hatuna katiba mpya.kupiga kura ni maigizo,🤔Ndio maana ya Tamisemi kusimamia uchaguzi.
@TonyHen-p8b
@TonyHen-p8b 5 ай бұрын
Kaungama hadharani
@RaymondSaid-g8g
@RaymondSaid-g8g 5 ай бұрын
Hawa viongozi wanatakiwa wachaguliwe na wananchi sio kuteuliwa nikweli uchaguzi wa 20 ni wizi mtupu kaongea ukweli mama kafeli unamfuta mtu kwa kusema ukweli 😂😂😂
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 5 ай бұрын
Wazee wa mabao ya mkono😂😂
@johnkaliwanje434
@johnkaliwanje434 5 ай бұрын
yaan hapa hatuitaj intelejinsia ya polisi, iko dhairi kabisa, ndio maana wako kimya sana
@shammhagama2527
@shammhagama2527 5 ай бұрын
Hahahah wahariri wa mchongo mmeuaa😅😅
@thetas08
@thetas08 5 ай бұрын
Si ukweli sasa. Mnashabikia nini kayakoroga nini acheni zenu na vipni di vyenu zero
@allybora4021
@allybora4021 5 ай бұрын
Bado awajasema Bado kabisaaaaa
@En_Diel
@En_Diel 5 ай бұрын
5:55 waliosoma Russia washaelewa 😁
@SaidiPala
@SaidiPala 5 ай бұрын
Ningekuwa Mimi muhariri ningesema DC rongido fyeee!!!
@mountoftransfigurationchur2879
@mountoftransfigurationchur2879 5 ай бұрын
You guys are very funy😂😂😂
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 5 ай бұрын
Ndiyo tabia ya CCM kasema ukweli mtupu wako madarakani kwa mabavu hawawezi ushindani kamwe
@martinmpuya5639
@martinmpuya5639 5 ай бұрын
Ameandika kitu cha kweli,hii ndio Tanzania yetu.ila chenye mwanzo hakikosi mwisho
@thetas08
@thetas08 5 ай бұрын
Nyie radio uwoga hadi vidoleni hamseni chochote kazi kelele tu acheni zenu
@RizwanAbdallah
@RizwanAbdallah 5 ай бұрын
Kaka zangu alicho ongea nisawa maana wanafanya kweli mungu anawaumbua maana damu iliomwagika haipotei
@shosekomba449
@shosekomba449 5 ай бұрын
Ha ha haaa Zembwela❤❤
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 5 ай бұрын
Dc maporini atakuwa alifanya uovu sana porin alienda kufanyaje kuna kura za porini? Watanzania tuacheni ujinga ccm ni wahuni kushinda wahuni wote kauli ya Nape kauli ya yule kijana aliyesema wakiwapotza wapinzan polis wasiwatafute na kauli ya huyu DC ni kauli tata sana ni bas cjui watanzania tunataka tusanuliwe vp??????
@simonzelote5998
@simonzelote5998 5 ай бұрын
Mimi nilishawahi kusema hata kondoo akipitishwa na chama tawala atakuwa kiongozi kwa sababu ya haya yanayofanywa na chama pamoja na watu wachache
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 5 ай бұрын
Nchi ya michakato ni tanzania kweli......mmmmmmh..! Nilikuwa sijui
@brightonferdinand4182
@brightonferdinand4182 5 ай бұрын
Sasa hivi ukiwa msema kweli unakuwa kama Dili. 😂😂 Watatumua mmoja mmoja...
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 5 ай бұрын
Mimi mhariri ningesema dc longido akipata Cha mtema kuni
@Thewonder-t7l
@Thewonder-t7l 4 ай бұрын
Kumbukeni Finland walitabiri Vita Tanzania Miaka hii na ilisemekana kwamba walitaka kutoa ubalozi wao Tanzania sasa sijui ni kwelii au?
@rithaurassa
@rithaurassa 5 ай бұрын
Mwisho wa ubaya ni aibu tupu.
@AlexcpetroCpetro
@AlexcpetroCpetro 5 ай бұрын
Kwetu kuna diwani ana ogopa Trafiki na mbunge ana ogopa Polisi mkoa kagera kaisho MURONGO.
@ShortyShorty-mr3jb
@ShortyShorty-mr3jb 5 ай бұрын
😂😂😂duuuuuu wazee wa minyama
@SamweliKitiku
@SamweliKitiku 5 ай бұрын
Nachoka ndani ya nchi yangu tanzania ninaposikia maneno yakiongozi huyu kuongea haya manen
@JamesMramba-ll4cq
@JamesMramba-ll4cq 5 ай бұрын
Hahaha wakuda ila kitenge Atari sanaaaaa mnajuwa kunogesha habari
@BlackKing89-l1u
@BlackKing89-l1u 5 ай бұрын
Mimi ningesema... DC LoNGIDO!!!!.... KUSHNEEIIIII!!!!!🤣🤣 SIRI IMEFICHUKA!!!!! CCM MAJAMBAZIII!!!!!
@DottoMagesa
@DottoMagesa 4 ай бұрын
Alisema ukweli
@joycenose2356
@joycenose2356 5 ай бұрын
Kala kashiba na kuropoka😂😂😂
@ezekielmwakajila3790
@ezekielmwakajila3790 5 ай бұрын
Hahaha joketi style 😅😅😅
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 5 ай бұрын
MAMBO BAAAADO! HICHO KIPINDI KINAWAFAA SANA.
@KondoMkange
@KondoMkange 5 ай бұрын
Nyinyi mnashindwa kuelewa kilakitu kibaya kitakuwazi wazi kwasababu sasahivi watu wanabigasana kuljuwane hiduwa nihatali sana
@joachimsironga1560
@joachimsironga1560 5 ай бұрын
Ila kaongea ukwel ila wapambe sasa ndo hawaaaaaaaaa wa mpira wa siasa yaani hawaeleweki
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 4 ай бұрын
Wanajiamini kwasababu wakati mnaenda kupiga kula mnakuta kula zimejaa kwenye viboki ndiyomaana kwenye vituo unakuta kula zimezidi waliojiandikisha
@newtonnyembe8228
@newtonnyembe8228 5 ай бұрын
Hapo kwanza SEMENI kwa pamoja bye bye 👋👋 Issue ya Afande vijana wake inaishia hapo. Mmeshahamishwa tayari "kushineyi"
@piusmusigula3512
@piusmusigula3512 5 ай бұрын
😊 3:37
@AmaniOmari-ev2gu
@AmaniOmari-ev2gu 5 ай бұрын
Haaaaahaaaa nani kasikia joketi style
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 5 ай бұрын
Nape kawafungulia njia
@CharlesAlly-jp1ms
@CharlesAlly-jp1ms 5 ай бұрын
Ulimi kiungo kidogo rakini matatizo yake ni makubwa 😂😂😂
@salehsimba5306
@salehsimba5306 5 ай бұрын
Ile radio yetu imepoteza mvuto kwa kuwa machawa
@morrisabdon7881
@morrisabdon7881 5 ай бұрын
gazeti langu, DC Longido ajiunga na Nape .
@mamachris6811
@mamachris6811 5 ай бұрын
@@morrisabdon7881 😆😆😆 Nape ni mnafki,huyu ni msema kweli 😆
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 5 ай бұрын
Kitenge shida
@saluuhans
@saluuhans 5 ай бұрын
Kikao cha waariri 😂
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂KITENGE anavunja mbavu zangu
@HamisiRamadhan-g4k
@HamisiRamadhan-g4k 5 ай бұрын
Kumbe hakuna haja ya kupiga kura
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 5 ай бұрын
Hando wapi
@SilveryMasalu
@SilveryMasalu 5 ай бұрын
Wilaya iko wazi kwa Mchungaji Msigwa
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 5 ай бұрын
Mzimu wa magufuli unawatesa ccm .
@MathiasNiwandinda
@MathiasNiwandinda Ай бұрын
😢😢
@RashidShinza
@RashidShinza 5 ай бұрын
Mama unayumbishwa huyu sio wakuwa hai mfiche huyo kama vp mpe uwazilimkuu sabaya achezenao hao wanatumwa na shetani
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 5 ай бұрын
Where is Gerald Hando
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
GITUMI GIAKWA KURUTA KIREMBA  MARY WA HEZEH GUTARIRIA
1:11:54
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 7 М.
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,7 МЛН
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН