Рет қаралды 39,448
Hashimu Juma Issa ambaye ni mwenyekiti wa Baraza la Wazee CHADEMA leo ameshiriki katika mkutano wa baraza la vyama vya siasa, hata hivyo mchango wake ulikatishwa kwa kile kilichotajwa ni kutoka nje ya mada, Issa alisisitiza kuwa viongozi wamekosa umakini