MwenyeziMungu akulaze mahala pema.peponi Mh Khatibu Haji. Umeitendea haki nafasi yako ya ubunge.
@suleimanalisaid2201 Жыл бұрын
Allah akulaze pahala pema pepon
@joevang4685 Жыл бұрын
Acheni mbwembwe, tungeni sheria kali tuone mama samia akisaini
@frankjonas10946 жыл бұрын
Hapo sawa maana sisi hatutaki kusikia ujinga wa ushoga sisi!!,,,,Na pia jaribuni kumuunga mkono mheshimiwa makonda
@shufaafarihya86746 жыл бұрын
bora tuwe masikini kuliko kukosa radhi za Allah
@bwanautam956 жыл бұрын
hakika wallah
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Haswaa
@akimmbwego7976 жыл бұрын
KHATIBU NA LUGOLA BILA KUWA SAHAU WOTE WALIOPIGA MAKOFI NA VIGELEGELE KTK KATAZO HILI LA LAANA BASI MUNGU ATAWAINGIZA PEPONI INSHAALAAH JAPO MASAA 24 MUDA WA KATAZO MPAKA KESHO YAKE MUDA KAMA ULE......AMINA
@bobofashion31486 жыл бұрын
Big up mzee wetu ,tunakupenda
@alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын
Mungu akurehemu akutilie Nuru Kaburi lako
@JumaK-rl5eg Жыл бұрын
Bora tufe masikini hkk baba
@selestinomwasa2911 Жыл бұрын
Huyu mbunge ajengewe mnara na Mungu ambariki sana
@mugemainyas52416 жыл бұрын
Kangi lugola . You are so good
@jameschubiri94536 жыл бұрын
Safi nakuunga mkono
@mchopsmagott17546 жыл бұрын
Umefanya vizuri Mh K. Rugola kwa kunyoosha maelezo
@mrkasebelekasebele21296 жыл бұрын
Na kweli hiyo ni taarifa ya kiume safi Lugola
@flowinmyamba950 Жыл бұрын
Haki ya Mungu nimewakubali vibonge wangu
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Nc mungu aturehem
@kanisiamkoko70516 жыл бұрын
Barikiwa Sana, Ushoga Hapana Nchi Yetu.
@mirajifikirini63056 жыл бұрын
Hatutaki ushoga
@rashidibrahimshemlugu78456 жыл бұрын
ubarikiwe mzee wangu hatutaki ushoga
@adiliharold11726 жыл бұрын
Safi sana safi sana mbunge lugola na mwenzio hawana akili ya kufikilia
@bungamabula20726 жыл бұрын
Adily Harold Makonda yuko sawa
@adiliharold11726 жыл бұрын
@@bungamabula2072 ndio kabisaaa
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
bola mumtetee makonda wa watu mana huwa wanamkwepa sana
@shabanibiwi9426 Жыл бұрын
Hatutaki ushoga kabisa ni laana mungu ataiagamiz Tanzania nchi ya watu wenye Imani na mwnyezi mungu mwingi wa rehma.
@paulomwashinanga2779 Жыл бұрын
Gd Safi Sana
@nemaodhiambo72746 жыл бұрын
Ahsante Bwana Yesu
@skitusebastian65336 жыл бұрын
Uko sawa baba ,tusaidieni
@tigerhunter4775 Жыл бұрын
Nimekukubali sana mheshimiwa, wapuuzi waambiwe ukweli.
@sabinamwanshinga32396 жыл бұрын
Safi sana.... ila natazama hili suala naona kama litatushinda sio maana ushoga mitaani upo mfano huko zanzibar ndo usiseme alaf nawazia namna gani tunapambana nalo sijajua tunafanyaje maan ukisema uwapeleke jela ni kama unaharbu mara mbili. Daah
@bindaudiselemani3718 Жыл бұрын
Sawa mzee
@musadosa41156 жыл бұрын
mungu akubaliki sana
@oscarmwambonja6 жыл бұрын
Anavituhumu Vyombo kuandika tofauti na kauli halisia... Uongoooo aseme tu ametengua kauli.
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
Na akipatikana shoga awe anauwawa.
@mrnobody-qg6ed6 жыл бұрын
babaaa umetishaaa
@alfredlupogo38356 жыл бұрын
Safi sana mkuu,say no to homosexuals
@georgedominick94056 жыл бұрын
Khatibu safiii ,Kangi safiii
@omaryhassanommy37966 жыл бұрын
Wow,
@nemaodhiambo72746 жыл бұрын
Safi sana Mungu ni mwema
@priscambwambo1030 Жыл бұрын
AMINA BABA USHOGA HATUAKI MARADHULI HATUTAKI SISI . USHOGA HUKO HUKO
@mikingamojuma48956 жыл бұрын
Ahsanteni sana nyote mnaokataa ushoga hapa nchini kwetu, ila napenda kuuliza tu ile kauli ya msemaji wa serikali aliitoa wapi?
@officialkamdudu6 жыл бұрын
wanaosapoti ushoga waolewe wao kwanza...
@bakarkhamis5369 Жыл бұрын
Hatutaki ushoga 💪💪💪💪
@jacklinejosam3713 Жыл бұрын
Jamani ongeeeni kwabidii kuhusu ushoga maana Mungu atatuchoma moto
@josephmateru88926 жыл бұрын
Ww Mweshimiwa Upowap Hata Nikupe Redbull Umeonge Point Cna Hatutaki Ushoga
@kanisiamkoko70516 жыл бұрын
Mungu Yu Mwema, Pambaneni Ushoga Hatuutaki Tanzania.
@priscambwambo1030 Жыл бұрын
AMINAAA SERIKALI SEMENI JAMBO LA SIVYO NCHI ITAANGAMIZWA
@furahafrank82676 жыл бұрын
Makonda ni mwanaume kabisa shujaa.nakupenda saaaaana.
@ramadhanisalum3898 Жыл бұрын
Hii tabia ya mtu anachangia mada muhimu ya maisha ya watu kuna watu wanacheka yanafulaisha sio
@mirajifikirini63056 жыл бұрын
Safi kabisa
@SaidMsigwa-kp4ov Жыл бұрын
Namm nasapot WA hlo
@zhnnnsafisanamweshimiawata13126 жыл бұрын
safiiiii
@issaalfani10306 жыл бұрын
safisana
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
NINJA LUGOLA KANGI
@oscarmwambonja6 жыл бұрын
Huo ndo Msimamo..... Hela yetu inatutosha Kuzunguka humu humu ndani lakini si kupewa misaada ambayo ina mtego juu ya Ushoga.
@emmanuelchacha69776 жыл бұрын
anae taka ushoga aolewe yeye kwanza
@mako3316 жыл бұрын
Safi kwa kuliona hilo wanaogopa wazungu
@stevenkipara93106 жыл бұрын
Uyu Ligola siasi nyingi karuka 😇
@issasalaf16556 жыл бұрын
Safi waziri
@suleimanhumoud10016 жыл бұрын
Konde oyeeeeeeeee
@munakassim35216 жыл бұрын
Ushoga fyekelea mbali
@kyambarungwe6960 Жыл бұрын
Selikali naisi umekubali ushoga ila atuta kubali wabunge amluni wananchi tuandamane na msipo luusu tutaandamani mtaona nguvu ya wananchi tutaingia barabarani
@yohanesfelix7534 Жыл бұрын
Makonda alipingwa sasa mambo yametaradadi tunachanganyikiwa.Tunajiuliza tulikiwa wapi.Tujifunze kulitetea taifa letu kwa gharama zozote kuliko kufuata sheria zinazoangamiza Taifa.Samaki mkunje angali mbichi.
@jumailyass93086 жыл бұрын
Mnajikajaga
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Jmn mashirika yote yafungwe yaliyohisika wafungwe na mabasha wao
@fatmaali4921 Жыл бұрын
Hapa kweli tunaomba hili lisimame tumewachoka hawa watu ila mabasha mnawafanyaje? Ni sawa na unga mnawakamata wala unga uzaji wako mtaan ila huu usenge na mabasha wao wakomeshwe
@uledimtumwa24066 жыл бұрын
Fatuma Karume ni maluuni mkubwa, anafikiri urais wa TLS ndio kutetea kila upuuzi.
@mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын
Asante Lugola🙏
@AnatoriaBenny-yh7of Жыл бұрын
Atutaki ushoga tunakataaa.
@HassaniAbdou-xo9bs Жыл бұрын
Ifike atua wabunge n'a raisi aweke wazi..... tunataka tamko
@josephpetermaganga29076 жыл бұрын
Safi sana maana kuna wanasheria wanasema ni unyanyasaji wa kijinsia kuwafunga mashoga.
@ibrahimalex4978 Жыл бұрын
Hii kauli inatakiwa sasa hivi
@salmaothman1536 жыл бұрын
Jaman hatutaki ushoga makonda wanamuonea tu anatenda haki tokomeza mashoga
@خديجهعلي-خ4ص6 жыл бұрын
Lugola kabadlisha kauli
@tadeisauti14596 жыл бұрын
hahaaa muheshimiwa hatibu majib matam kwa wote eeee
@getrudamvella47306 жыл бұрын
Ndo wabunge wanao takiwa kama hawa
@tereseamasawe81116 жыл бұрын
LUGOLA OYEEEEEEEEEEEEEEEEE
@berenaleopard57646 жыл бұрын
Nimekupenda bure mbunge kaza buti.
@sylvesteraron49725 жыл бұрын
katika wabunge wenye hakili wewe umo,mimi ni mkristo wewe ni mwisilamu lakini kwenye ushoga hapo tukopamoja kupinga huo upumbavu wa sodoma na gomora, tanzania yetu zuri isije ikachomwa moto na MUNGU
@habibarashdi2250 Жыл бұрын
Takbriiiiiiiiiiiiii wewe ndo kiongozi wetu,ongeaongea walokwenda kututaftia Kila Kona yapande wanaenda kuomba napesa hatuoni faida hali mbaya naushoga juu,hatutaki lasivyo itakua mbaya
@shekhekhandereizer5596 жыл бұрын
sasa waziri mlikuwa mnampiga Vita ya nn makonda kwa oparetion alio anzisha DAR Kama mlitaka kuwatetaa wajanja wamewasubili Leo wamefunguka atutaki upuuzi Tanzania
@mrkasebelekasebele21296 жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@sadickrajabu11916 жыл бұрын
Ushoga sio dili ni ujinga sana
@sabatosabibi8791 Жыл бұрын
Tatizo misaada inayokubaliwa inakuja na mashariti ya USHOGA ukikataa misaada hupewi barack obama alileta ushoga alipokuja tz
@sudymgeni7016 жыл бұрын
Waziri juzi umejibu tuwache leo unajibu vipi
@jumajaffary96986 жыл бұрын
Zanzibar ndio mashoga kibao... Ushoga na kufunga ndoa jinsia moja ni vitu viwili tofauti.. Serikali haitaki style ya kuitana majina anakofanya Makonda.. Lakini hairuhusu ndoa hizo
@hajikhatib88406 жыл бұрын
kuma wewe toa !!!/makende yko vutu LA mamayko taja mashoga kumi unaowajua kutoka Zanzibar!!!?
@abdulbukhary98666 жыл бұрын
Naona Zanzibar kuna mashoga lkn uko bara ndio hukoo kumeoza makonda amepata SMS zamashoga waliotajwa 2840 daresalam tu hio
@sylvanuskavindi2756 Жыл бұрын
Sasa mmeanza kukubali mabendera yao LGBT.
@eliamassangya20906 жыл бұрын
Tatizo ni mikataba iliosainiwa sio swala la kutetea mashoga
@uledimtumwa24066 жыл бұрын
Kasaini nani??? wanazusha tu hakuna aliyesaini ni mtego wa kisheria.
@charlesmakuri7926 жыл бұрын
Upinzani ndio hana unga ushoga sio serikali hii ya magufuri
@erentjohn5606 жыл бұрын
NAIBU SPIKA VIPI,! UANAUME NI HAUBADIRISHWI VYEO. HAYO NI MAJIBU YA KI UANAUME TU.
@stevenmamba24646 жыл бұрын
Aliesema tumeruhsu ndoa za jinsia moja nani ? Mijitu mingine bana
Msipokua makini nyinyi baazi ya wabunge mitaani sauti za besi zitapotea watu wengi sauti zitakua nyororo ndani ya nchi ikiwa serikali iko mguu ndani mguu nnje mana awamu hii tumepata raisi mzarendo kigugumizi kinatokea wapi ndio mana sasaivi baazi ya viongozi wa dini wanaigiza komedi ndani ya ibada waumini wanacheka tu masikini
@awadhirajabu77546 жыл бұрын
Sasaivi utakuta kiongozi wa dini baada ya kuwajengea waumini of ya mungu matokeo yake yeye anajifanya ni rafiki wa mungu anaigiza komedi ajui kama iko ni kituo kisichokua na mchezo apo ni maali pa kulilia pepo sio kwa kucheka cheka ovo kama mazombi wasio jitambua wafanyacho