Tuliwaambia wabunge wasiipitishe, tuliwapigia simu, tukawaandikia sms, lakini wapi, hapa Kenya tunajielewa sana
@mysticman8619 күн бұрын
Power is back to the people. For too long that sense has been taken for granted. Tuta vuruga whenever necessary.. 🇰🇪
@martinowino125013 күн бұрын
Kaende kasonge🎉
@vitalisomondi18219 күн бұрын
Kaende kaende😂 Ama Ruto aanguke nayo😅
@user-uz5db2dq2g6 күн бұрын
Kaende kaende anguka nayo😂😂😂😂
@user-kg8dn6qr8o19 күн бұрын
Wa Kenya Wanajitambua Sana
@collinsbiwott747013 күн бұрын
😢
@priscusemmanuel840317 күн бұрын
And there goes our fellow brothers in Tanzania, very eloquent.
@kentwalibora499420 күн бұрын
Imagine tulijaribu kuwatumia sms mingi sana kuwabia wasipitishe lakini wakaona sisi hatuna lolote wakapitisha
@victorosong13217 күн бұрын
Walituona mafala
@nisilas741120 күн бұрын
Siasa yetu huku Kenya imezaliwa upya ,furaha ilioje ,tulingoja sana siku na karnee ya sasa
@jedidahbintidaudi824120 күн бұрын
dah nyie KONKI kwa kweli. hongereni jirani
@Kakerluder18 күн бұрын
@@jedidahbintidaudi8241Trust Me magovnor watakuwa 24 badili ya 47😂😂😂😅
@gulledahmed295418 күн бұрын
@@jedidahbintidaudi8241 Asante mrembo
@jedidahbintidaudi824118 күн бұрын
@@Kakerluder ona sasa pesa itakavo jaa kwenye treasury yenu. mtalia madeni yenu and at the sametime Ruto ataweza boresha mambo. Huyu jamaa kaupiga mwingi sio mchezo
@presentertelence167919 күн бұрын
Kenya Tupewe Sifa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Hussein-gx4qu19 күн бұрын
Hongeleni
@muksinimbaruku123317 күн бұрын
Hongereni aisee, tizi uchawa mwingi sana, hawa wenyewe wanajitoa tu hapa lakin kuna machawa wapo wanasikiliza kwa makini wakizidi kuongea ukweli kiundani wataambiwa wachochezi
@Jack-tw3th19 күн бұрын
Youths wengi huwa hawapigi kura kenya,lakini 2027 wazee wote nyumbani
@maureenumuru800519 күн бұрын
We are Kenyans and Kenya is our business 🇰🇪🇰🇪
@AmisiAtito19 күн бұрын
Ulizeni Dudu Baya Sasa za Kenya Bado hamjui
@KinuthiaSimon20 күн бұрын
Hamuelewi, Kenya ni mpya, huenda Ruto asifike 2027 Kama raisi. Wanasiasa wananyenyekea. Ajab
@alexkibe417919 күн бұрын
Alafu what follows??? He must be president until 2027
@johnmwangi934618 күн бұрын
He has to be president until 2027 I don't think the country has any other option
@alexkibe417918 күн бұрын
@johnmwangi9346 exactly. We cannot ruin our country in pretence of building
@gulledahmed295418 күн бұрын
@alexkibe4179 not written. By April 2025
@RoseObonyo-nn7hb18 күн бұрын
Matiangi@@johnmwangi9346
@bacteria518420 күн бұрын
Baba levo kenya uchaguzi ni baada ya miaka 5 sio 4 nadhn umeteleza kdgo.
@mzadomwongozo367117 күн бұрын
Vice versa is true
@patriot_202216 күн бұрын
Amedhani sisi ni Marekani?
@Khalidniya38020 күн бұрын
Baba levo wakati mwingine ukiongea jua kwanza siasa ya Kenya sio Kama Tanzania mnapelekwa ki mbumbu tu bila mpango
@Alute-son200320 күн бұрын
Tanzania tunahitaji waandishi aina hii,mnaupiga mwingi sana kwa kutoa elimu kwa wananchi maana tumelala sana tunatakiwa kuamka ili kupata maendeleo zaidi👏👏
@nassernasser145717 күн бұрын
Siasa tulivu zinaleta wawekezaji, musitamani democracy tuko nayo Kenya
@patriot_202216 күн бұрын
@@nassernasser1457 yetu hukuwa very disruptive. Lakini heri tupiganie haki zetu, badala ya kutulia eti ndio watu wa kutoka nchi zingine wasiende. Wakwende wakitaka kwenda. Muhimu ni vile sisi tunaishi.
@nassernasser145716 күн бұрын
@@patriot_2022 kweli pia ki upande mwengine
@dastonamichaels185419 күн бұрын
Hamna tajriba wala weledi wa haya mazungumzo Love from Kenya 🇰🇪
@tyris5419 күн бұрын
Huyu ndugu wa kwanza anaelewa siasa za kenya sana
@chelseaayesa311920 күн бұрын
You guys need a kenyan in that studio,
@fabianmallya144619 күн бұрын
Sawa lkn kuna kitu pia wakenya hawajui kuhhusu wao wenyewe, ni vzr pia kujifunza kusikiliza other people’s view
@joycelinelyimo-fenske874519 күн бұрын
Kenyan person has nothing to do in that studio. Si mnaona wote wana idea tofauti but they still can laugh at it!!!!@ in different way. That is Tanzania. Upole, ustaarabu na kujua kumsikilza mwingine anasema nini! Watanzania tuitunze hii vizuri sana. Kama yai.
@cristalclear249918 күн бұрын
@@joycelinelyimo-fenske8745Joyce...... umeongea visuri sana 🇰🇪
@norbertoduor945917 күн бұрын
@@joycelinelyimo-fenske8745 ulizozitaja ni sifa nzuri za kuiga kwa hao walioko studioni. Swali langu latokana na jinsi ulivyolinganisha wanatanzania na Wakenya, yamaanisha hamna ustaarabu huu kwa Wakenya?
@joycelinelyimo-fenske874517 күн бұрын
@@fabianmallya1446 exactly
@danielmiano631517 күн бұрын
Siasa zetu sisi wakenya ni ngumu sana mnaumiza vichwa zenu bure na bado hamjaelewa mnahitaji mkenya mmoja kwa hiyo studio 😂😂
@robertmosha68018 күн бұрын
Acha ego shda ni zle zle
@user-uv7op3id3s20 күн бұрын
Mnaongelea sana Kenya mbona ya kwetu Tanzania huwa hamna ujasiri wa kuyaongezea acheni unafiki ninyi watangazaji Ongeleeni ya hapa Tz muone kama watu wasiojulikana watawaacha salama Kenya na wakenya wanajitambua
@yusufujemson902020 күн бұрын
Kenya wametuzidi mbali sana katika kujitambua sisi bado sana
@user-uv7op3id3s20 күн бұрын
@@yusufujemson9020 waambieni wachambuzi wetu waendelee kuchambua mpira tu Wasijiengeshe kwa siasa za Kenya Kama wanaweza wazungumzie za hapa kwetu wakione cha moto
@emanuelnisetas751020 күн бұрын
Wabongo tuamke tuache unaz wa vyema tushikane tukomboe taifa letu
@tumainimayala818720 күн бұрын
Hapo ndipo wananishangazaga..wanaume wazima wanakaa kuongelea ya nchi jirani wakati hapo nyumbani kuna uchafu mwingi unaendelea ila wanakaa kimya..wanafiki wakubwa mbwa ninyi..mcheeww😡
@emanuelnisetas751020 күн бұрын
Vijana wamesoma badala kutumia akili kulisaidia taifa wana kuwa machawa iliwateuliwe vijana wapuuz sana
@Play_Streams19 күн бұрын
Ogopa sana hasira ya Wakenya, wameteswa kwa miaka mingi na serikal
@Meaw68717 күн бұрын
Not True Mbona tumekuwa na 4 presidents before na inchi ilikuwa sawa tu. Huyu Ruto nimnafki sana kwanza alikuwa HAGUE international crimes court ICC kwa mauji mengi.. Tena muongo kweli kweli imagine hana dini kafiri must Go. Hatatuka kusambaziwa ukimwi sisi...
@PeacefulSoccerGoal-ki7td18 күн бұрын
We r partyless,tribeless and fear less na wengi walipitisha chini ya maji
@badmanno.165019 күн бұрын
Kenya muhula mmoja ni miaka mitano, na l wish new constitution iweke 4 years
@user-wz8hw2kk8n18 күн бұрын
Nimewakubali Jirani zetu mungu awape wepesi
@hilarymayende19 күн бұрын
Baba levo ako right Ruto is controlling the mps anawanunua wapitishe vile yeye anataka
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Lazima ruto atatuambia deni ya kenya walikopa ya nini na ilifanya miradi gani kwani hatuioni ndiyo tuwe tunatozwa kodi hadi na mapua. Bila hiyo audit ya deni ya nchi na nani wamekuwa wakiibia wakenya pesa,Ruto lazima ataenda. Mwizi
@user-km9rt5mf6q20 күн бұрын
Na nyinyi watanzania mko down mnaongea mambo kizamani 😂😂😂
@jedidahbintidaudi824120 күн бұрын
hahaa inabidi tuwaite Jirani mtusaidie😅😅
@our10picks1819 күн бұрын
@@jedidahbintidaudi8241Hatuwezi wasaidia wakati Tz mnatuchukia sisi wakenya
@alibinali_19 күн бұрын
We said Baba Levo 🙌🏽 kwanza saho Ruto anajaribu kujitetea kila kona kwa sababu yuwa jua 2027 ni kumoto
@tonykarim694117 күн бұрын
The people SHALL(Mandatory)
@evonrn200017 күн бұрын
Kenyans L❤ve Kenya🇰🇪.... Upuzi hawaupendi.
@edo26ful20 күн бұрын
Baba levo Kenya Rais anakaa madarakani miaka mitano sio minne, Pia hiki kinachotokea Kenya wanasiasa wa hapa TZ wajifunze kitu.
@malikeyndotopopote14 күн бұрын
Kweli kabisa. Sema hawajitambui
@BenBennyongesa14 күн бұрын
Tanzania Iko na shida zao lakini wanashinda kujadili za Kenya,,,,maajabu
@murachiakamau981011 күн бұрын
Ndugu zangu Watanzania mwanipendeza sana kwa Kiswahili chenye ufasaha. Nyinyi ni kielelezo chema kwetu sisi Wakenya. Kiswahili kitukuzwe!
@vdjwabyad729718 күн бұрын
Mmeanza kujielewa sasa nanyi waeleweshe wenzenu bro huku kwetu kenya kanaumana polepole tushatimua ministers
@barackmuteti201220 күн бұрын
Ni uko kwenu Tanzania.. kenya kama mbaya wananchi wanawayoa
@anthonymaina221520 күн бұрын
Ruto hafikishi 2027! Watch this space…
@urban_shorts663317 күн бұрын
Proud to be kenyan❤️✌️
@jedidahbintidaudi824120 күн бұрын
Dah sie mbali2 na Kenya..wenzetu hawa mpaka tuje tuwafikie na hali hii huku kwetu, mmmh inaitaji watu kujitoa haswa kumtafuta Mungu Atuambie wapi shimo liko kisha atoe suluhu na ifuatwe..bila hivo..tutawasikia hawa ndugu zetu jirani kwenye mavyombo tuu nchi yao ikileta mapinduzi mmmh
@VincentOndigo-n4f19 күн бұрын
Tuliwapiga wabunge
@jamesodhiambo640119 күн бұрын
uchanganuzi wenyu umekomaa..wengine watamkejeli levo eti hakielewi kizungu ila hoja zake zinamake sense..Mimi kama mkenya nawapongeza kwa kukutanisha fikra na kauli zenu...mwisho ni kufuta uozo kwenye jamii afrika mashariki
@LotimanChukata21 сағат бұрын
Sijui kama munajua chenye munazungumza na hata hivo sherea au huru wenu sinui kama munakiijua munaongea vitu amna habari nazo ,hila mtu hapo anakielewa
@DorcasNerima20 күн бұрын
Hapa Kenya kitu tunaogopa ni uji moto na ndoa😂
@Hussein-gx4qu19 күн бұрын
Kwanini muogope ndoa
@paulinewangila-cs6ys16 күн бұрын
@@Hussein-gx4quMuongo huyo watu wa Nairobi tuu ndio wanaogopa ndoa sio Kenya nzima tunapenda ndoa❤
@mzadomwongozo367117 күн бұрын
I wish media zingekua na ufahamu hata kidogo wakutunlmia tafsida kuelezea na shabihisha yanayotokea kwa jirani VS home
@malikeyndotopopote14 күн бұрын
Ukweli hautaki tafsida. Kila kitu hadharani
@njerimunge210814 күн бұрын
It's not the party which have the power, its the constitution. Party manifesto it's for campaigning not ruling. Ruling is constitution based!!!.
@junemuchiri60917 күн бұрын
That lady is clueless😂😂
@naibei_Tv17 күн бұрын
😅😅😅haradi
@martinke681417 күн бұрын
Try host dudu mbaya has a good understanding of what kenya is
@omarisiliverio296513 күн бұрын
Mambo mnayoyasema hapo ni kwelu ila Kenya tunapiga kura baada ya miaka mitano sio minne.
@Aminaamina-us5yj10 күн бұрын
Lakini raisi wetu wa kenya i mean ruto ako na sura mbaya hadi kushinda roho yake😅😅😂😂
@aloisokongo16 күн бұрын
Wakenya wanahitaji kiongozi kama Magufuli!!!
@mulashanibrasio815120 күн бұрын
Not only Ruto even you Baba Levo you must go
@unchainyourself172916 күн бұрын
Kenya! Imesonga! Ruto must go!
@judyjaoko339716 күн бұрын
Siasa za chama zina isha wakati wa kampeni ukisha ingia unatumikia wananchi
@PetronillalhMalobah7 күн бұрын
Wabunge wanatishiwa na walio mbele zao hata wengine wananyamazishwa kupitia kuuawa
@liverpoolfootballclub998516 күн бұрын
Muendelee kula zege na biryani. Kenya is the land of heroes🇰🇪.
@MjMohammed-nt6fq19 күн бұрын
Hii bana na tanzania tuige tuingie bungeni tule ubwabwa , nivae vazi la spika na mm nione utamu wake ikifika kuharibu mali zao aisee hawatabaki na hata kitu nitaakikisha navunja kila kitu hadi house girl wake maana tuna hasira nao san
@ProdactTV-T981420 күн бұрын
Na mfanye Research ..Analysis zenu ni kutoka kwa Video za social Media. Mnahitaji correspondent kwa ground Wasafi media ni jina kubwa
@HansChuma20 күн бұрын
Huaga mm nachekaga sana😂😂😂😂 vyombo vya habar vyakibongo kuongealea vyakwao wanaogopa😂😂😂😂 fyetu sana tz
@vanemmy604320 күн бұрын
iyo ni kweli ,watanzania wanaburuzwa sana
@salmasaid705820 күн бұрын
Hawawezi samia awakujie
@fredylucas248419 күн бұрын
Sasa kwenye habari za Kimataifa ulitaka waongelee habari za Pluto planet?
@fredylucas248419 күн бұрын
@@salmasaid7058kwenye habari zipo za nyumbani na kimataifa unless hufuatilii vipindi vyao ama hujui namna habari zinavyokua produced
@alhabshyhautah40814 күн бұрын
Mwananchi ndio mwenye nchi,Tribeles,party less, leaderless.
@Mageto...17 күн бұрын
😢Mlilazimisha watu wa soka waongelee siasa? Kenya muhula wa rais ni miaka tano, pia sio wabunge wote huchaguliwa wakiwa na chama wengine ni independent candidate. Nyie baki tu kwa Yanga na simba hii siasa ni ngumu
@DLMEDIA-e6k11 күн бұрын
Baba levo kenya presidential term ni 5 years sio nne,na Ruto ako mwaka wa pili.
@williamsenkoro221017 күн бұрын
Vyombo vya habari Tanzania vinaprnda mijadara ya nchi nyingine. Lakini topic za nchi yao za maana wanaufyataaa. 😊
@aberemanwer293920 күн бұрын
Nyie wanafki, maisha ya kenya na tz sawa au mnalopoka tu.
@Walkmwalkm19 күн бұрын
Kwanzaa kasome huwezi linganisha Tanzania na kenya.wakenya wanajielewa hata katika uchum kwa Sasa Kenya imesonga.katka currency Kenya yaongoza Africa nzima sio east Africa.jitu.lenyewe hujui hata haki yko km mtanzania.hujui hata katiba yako yasemaje.upo tuu.jua haki zako ndio urudi upinge
@robertmosha68018 күн бұрын
@@Walkmwalkmapart from currency kingne nini..labda njaa
@Walkmwalkm8 күн бұрын
@@robertmosha6801 ....uliwaona kwenu wakija kuomba chakula.biashara nyingi Tanzania ni za wakenya mmeajiriwa na wakenya.hamna lolote zaidi ya kuvaa maderaa mpaka wanaume na kukata mauno.walio erevuka walileta watoto wao Kenya kusoma.wajinga wamebaki barabaran kuomba omba.omba omba wote walioko Kenya watanzani.hamna lolote ujinga mwing ndio mko nao
@HadijaFakhi-ss3bu16 күн бұрын
It's time for Tanzanian and Ugandan to wake up people's power
@SSk5k14 күн бұрын
Point of corrections, Kenyan presidential term is 5 years and you only run for two of them=10 years
@ngurekim627817 күн бұрын
Mimi ni Mkenya. Hebu niwasaidie kuwaelewa wakenya. Mwanzo, Kenya hakuna vyama vyovyote vya kisiasa. Yaliyoko ni magenge ya kikabila, kila moja likiwa na kigogo mwenye kulimiliki. Hao wamiliki wa magenge ya kikabila ndio wanaopangana wenyewe namna ya kupatana au kutengana. Mtu akitaka kuwa mbunge, seneta au diwani lazima kwanza alipe kiingilio cha millioni kadhaa kwa huyo mumiliki mkuu (party leader) Wa chama au genge. Hivyo sasa naye mbunge, atadai malipo ya kupitisha kila mswaada kwenye mbunge au seneti. Wambunge wa Kenya ndio walio na marupurupu na mishahara mikubwa sana kuliko nchi nyingi duniani. Kwa mambo ya maandamano, kuna wahusika wengi wa kulipwa na wachache wa ukweli. Kunavyo vikundi vingi vya wanaharakati vinavyo fadhiliwa na wazungu. Wakati mwingine hizi vikundi huwa na ushirika na magenge ya kisiasa. Tatizo kubwa sana Kenya ni kwamba hatukupata ideology ya kitaifa. Wazungu walipoenda, tulibaki kuwa cocktail of different tribes sharing national facilities. Nī kama sokoni. Unipishe, nikupishe - unayo ya kwako, na mimi ya kwangu. Shida ingine ni kwamba, kama ilivyo kote Africa, uchumi wa Kenya unawavutia sana wazungu wenye ukora wa kupora rasilimali. Sekta za fedha na uwekezaji wa hisa inawavutia foreign speculators. Tena, kunayo shida ya IMF na Benki ya Dunia. Hao nao na magenge ya ukadarasi wa mikopo wako. Kuwaelewa hao inabidi uione video ya Al Jazeera iliyo na kichwa cha "What is an Economic Hitman?" Hata katika hayo yote, Kenya ni nchi iliyo na mazuri mengi. Kunaweza kuwa moto wa maandamano leo halafu kesho shughuli zinaendelea kama hakukuwa na shida. Hata kunaweza kuwa na maandamano upande mmoja wa mji hali maisha ya kawaida inaendelea upande mwengine.
@YyuuUugfg10 күн бұрын
Hawa gen z wengi walikuwa wajafikisha umri wa kupiga kura
@bama927120 күн бұрын
Tanzania siasa hakuna tanzania ubabaishaji ni mwingi sana. Na ndio maana wananchi wa tanzania huwa wanadanganywa kwa mambo madogo madogo tu alafu wanakaa wanasifia makubwa ambayo hawana maana watanzania wangekuwa na moyo kama wa wakenya nafikiri mpaka sasa hivi nchi yao ingekuwa ishafika hatua fulani maana mambo mengi sana yanapatikana tanzania ambayo ni machafu sana na ni rais magufuli alijitahidi kuyasafisha kwa hatua kubwa sana na akafanikiwa na nafikiri labda angemaliza miaka yake mikumi angefanya mambo mengi sana tanzania. Lakini huyu mama waliyenaye kwa sasa hivi katika maraisi wa bovu afrika huyu mama ni wa kwanza maana hamna chochote kile anachokifanya zaidi ya kuzidi kuwaangamiza wananchi na kwa vile ashaona katika nchi yake gaidi hamna wanakubali tu ya aina fulani hivyo alafu maisha yanaenda hivyo. Angalia kama kazi anayoifanya makonda makonda ya kazi anayoyafanya kwa sasa hivi ni kuwapumbaza watanzania tu maana hakuna hata cha ajabu sana anachokifanya kwa watanzania zaidi ya kuwapumbaza na kuzidi kuonyesha sifa za mama ambazo hazina hata msingi wowote kwa wananchi sasa kweli hapo kuna namna ya kujilinganisha na kenya jibu ni hapana ndio maana siasa ya kenya na ya tanzania ni mambo mawili tofauti na kule kenya ndio chama kina nguvu lakini wananchi ndio wamekuwa waamuzi ila tanzania chama ndio kinaamua kila kitu kitakachofanyika katika nchi kitu ambacho muda mwingine ki madaraka sio sahihi. Kwa hiyo mnapokuwa mnajadili mambo ya ya kenya kwa sasa hivi angalieni nchi yenu kwanza jinsi gani ilivyo alafu msi linganishe siasa ya kenya ni ya tanzania nchi yenu inaishi tu kwa maneno lakini ukiangalia kiundani hamna lolote linaloendelea ndio maana magufuli alivyoingia alisema wazi kwamba serikalini hamna pesa anatakiwa kukusanya pesa na kweli alifanikiwa kuzikusanya na ndio kinachoendelea mpaka sasa hivi tena tanzania ingekuwa ni wakenya ule mkataba wa bandari wasingewakubali lakini watanzania walikubali na mambo ya kaenda sasa hivi wazungu wanaenjoy wanakuja kuchota wanaondoka
@shimronnetia19 күн бұрын
Wasafi Media, mnafanya kazi nzuri kuangazia mjadala wa kisiasa wa Kenya, jinsi ulivyobadilika kwasababu ya ushirika za chama na ukabila.
@norbertoduor945917 күн бұрын
wanafanya kazi nzuri. Nimeona kuna watu kadha wa kadha wamegusia wazo la kukaribisha Mkenya angalau aliyeneutral aweze akaongezea mtazamo mwingine. Huenda jambo hilo likafanya mantiki ya mjadala kuwa yenye kufaa zaidi.
@user-pq8uq9sl5f17 күн бұрын
We mafi nini ....si wakenya hatutambui shiett
@abdallahyunus753817 күн бұрын
Kwanzia lini baba levo akachambua siasa
@omarchaijefwa72917 күн бұрын
Baba levo hajui hata term Moja ya uongozi kenya ni miaka mingapi ni mitano basi sio minne
@malikeyndotopopote14 күн бұрын
Halafu ahadi za maji,sukari na barabara ni upumbavu. Tunahitaji misingi sahii. Hatutaki kujazwa kwenye daladala kama kondoo. Tanzania yenyewe kitanuka tu. Ngoja hao ma gen z wajifunze kwa jirani
@OgollaJr16 күн бұрын
According to statistics Tz wanavuta Bangi kushinda kenya 😅
@user-ql6hg7fy9p19 күн бұрын
Tatizo la Afrika ni viongozi alisema CHINUA ACHEBE, Afrika itakombolewa na viongozi vijana kama Ibrahim Traore wa Burkina Faso hawa Marais wazee hawana maono tena zaidi ya unafiki na ufisadi kujipendekeza kwa wazungu kuogopa kuuliwa.
@j...87611 күн бұрын
Ina depends na nchi, kama DRC ni serekali numba one Bahada ya Election
@paulombay688420 күн бұрын
Baba levo chama kuwa juu ya serikali ni kuwa na matabaka nchini ndo mana CCM wanawabagua wengine
@Khalidniya38020 күн бұрын
Chama kuwa juu ya Serikali hapo ni Tanzania siasa ya Kenya ni Tafauti na Tanzania
@emmanuelmungono110819 күн бұрын
Kenya ni miaka mitano si minne
@user-sw7tf1ob1b14 күн бұрын
Ccm hawajuwi walikotoka hawajuwi wanakokwenda hamuna dr.silaa lisu kabwe mabadiliko ya taletwa na machinga tu uchawa utaisha
@user-kr9kf8jr3q18 күн бұрын
Siaza za kenya wachana nayo shugulika ya kwenu
@douglasmomanyi304512 күн бұрын
Mambo ya Kenya hamyaelewi.mdomo tu
@MartinezzJT19 күн бұрын
Tumengojea Ruto sana 2027 😅😅😅😅
@allytv171420 күн бұрын
Tatizo lilianza zama sana waandishi wasema kweli walikuwa zamani sana wakauliwa waliobaki wengine at awajasomea uandishi kama baba levo wanapewa ajira yy watu wamejazana kindugu kwanzia serikalini akuna kitu kichwani empty head wasomi wanateseka kitaa watu hadi wanazeeka wanakufa kwenye kazi wasomi hawana ajira wanateseka kitaa hilo amlioni kulijadili
@KibzBeccer17 күн бұрын
Ebu niiteni niwaelezee what is going on exactly
@victorjames373017 күн бұрын
Hiki chombo Cha habari kinajadiri mambo ya siasa ya Kenya namna wananchi wanavyoiwajibisha serikali lkn hiki chombo hakifanyi hivo hapa Tanzania
@egosangjeff20211 күн бұрын
Our brother country
@hassanWanjiku18 күн бұрын
Walihongwa wale wapuzi tu kila mmoja millioni mbili
@mohamedali754419 күн бұрын
Power are from the people not politicians. Wabongo amkeni wacheni mafuta mafuta
@rajabdibwa641520 күн бұрын
Hiki ni kizazi kipya ukabila umewekwa kando
@machakayohana920020 күн бұрын
Muswaada mpaka unaenda bungeni waziri wa fedha na balaza la mawazi pamoja na raisi nachama tawala wanajua kinachopelekwa na wana baraka zote kwahiyo rais kulivunja balaza la mawaziri ni sahihi kwa hali ilipofikia Kenya
@user-te9nf8zg9o13 күн бұрын
Mimi ni mkenya nasema shida ni rais dio tunataka tukoa jua ananunua wambunge dio wapitishi pesa sake
@friarmbongemelodies566216 күн бұрын
Jadilini CCM lenu
@michaeljuma00718 күн бұрын
Somo la sheria Kenya kinaanza kuzungumziwa kuanzia masomo ya msingi ilihali pale Tz, somo hilo linapatikana chuo kikuu pekee, na ni kwa wale ambao waliochagua somo hilo
@davidpallangyo11417 күн бұрын
Kenya ni miaka mitano ,5,pia. Jamani,Waandishi wa Habari wa Tz.mnapo chambuwa mada jitayarisheni vya kutosha kuwa" well informed ".
@cristalclear249918 күн бұрын
Sisi wakenya tunapenda Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kupunguza ukabila Tanzania. Sasa mutindo ni huo huo hata kwetu Kenya. Ukabila chafu sana.
@brianondusye80617 күн бұрын
Mfanye research kwanza kabla ya kujadili mambo . I can see alot of misinformation, cluelessness and ignorance. Otherwise good discussion though you need facts.
@user-sw7tf1ob1b14 күн бұрын
Hata kwetu ukale uishe
@jameskimani116917 күн бұрын
Niwakosoe kidogo, term limit ya raisi nchini Kenya hi Mia Kitano sio minne?
@bettyliznyawira17 күн бұрын
watanzania kazi yenu ni akina diamond harmoze alikiba huku wakikula pesa yenu
@allykwaya20 күн бұрын
Oscar nimekuelewa na upo sahihi. RAIS kutoka madarakani ni jambo lisilowekana, kitakachowasaidia wekenye ni Raisi kutengeneza mifumo sahihi na ndio mahitaji ya wakenya. Viongozi wengi wanatakiwa kupata funzo kupitia hili.
@deniseliuter300219 күн бұрын
Unaongea kwa kurefer nchi yetu ya tz ambayo kila kijana anajiunga CCM kujipendekeza ili apewe keki ya nchi
@ClementJacob-sd8lf19 күн бұрын
Na vitu vichuke bei siyo kukopa kwa I.M.F na kufata sheria pia mabosi wengi hawafati Sheria
@KamiliKapeta-yr3uc19 күн бұрын
Kenya kuna siasa za ukabila
@RozzyGoldmukami18 күн бұрын
not anymore
@DLMEDIA-e6k11 күн бұрын
Lakini wakiungana utashangaa,hizo ni siasa za wazee,vijana wamekata ujinga kama huo.