Рет қаралды 12,928
Familia zaidi ya arobaini zimeachwa bila makao huko bamburi seven star kaunti ya mombasa baada ya nyumba zao kubomolewa usiku wa manane chini ya ulinzi wa polisi licha ya suala hilo kuwa mahakamani. Waathiriwa wanadai licha ya kutumia taasisi za serikali kutafuta haki, mabwenyenye wameendelea kutumia magenge ya wahuni kubomoa makazi yao na kupora mali.