Рет қаралды 53,365
Miaka ishirini na mitatu baada ya mkasa wa feri ya mtongwe iliyoangamiza zaidi ya watu mia mbili na kujeruhi wengi zaidi kungali na waathiriwa ambao hawajafidiwa na serikali. Na kama anavyotuarifu Saida Swaleh mipango ya kukifungua tena kivuko cha feri ya Mtongwe unanukia huku Rais Uhuru Kenyatta akitarajiwa kukifungua rasmi.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya