Рет қаралды 1,499
Biwi la simanzi lilighubika wenyeji wa Mwingi ya kati wakati wa mazishi ya watu wanne waliouawa na majambazi wiki tatu zilizopita. Viongozi wa eneo hilo walitumia fursa hiyo kutoa shinikizo kwa serikali kuzilipa fidia familia ziliathirika na mashambulizi hayo ya kijambazi.
Mlowezi aliyeuawa Laikipia pia alizikwa leo.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya