Рет қаралды 14,539
Watu watano wanauguza majeraha kaunti ya Kisii baada ya mwanamume aliyejihami kuvamia kanisa la Deliverance mjini humo wakati wa ibada. Mwanamume huyo aliyejihami kwa kisu akiwaacha zaidi ya watu watatu na majeraha akiwemo mkuu wa polisi wa Kisii Central Isaac Kimwele. Na kama Chrispine Otieno anavyoarifu, maafisa wa kupambana na ugaidi kaunti ya Kisii kwa sasa wanamzuilia mwanamume huyo