Рет қаралды 34,090
Imebainika Kuwa Watu Watatu Walipoteza Maisha Yao Siku Ya Jumanne Wiki Iliyopita Baada Ya Kuvamiwa Kwenye Jumba La Kibiashara La Sunbeam Jijini Nairobi. Uvamizi Huo Uliotekelezwa Na Wahuni Walioingilia Maandamano Ya Kupinga Mswada Wa Fedha Mwaka 2024, Ulisababisha Kuporwa Na Kuteketezwa Kwa Jumba La Sunbeam. Familia Ya Bernard Mungai, Mmoja Wa Wafanyibiashara Aliyepoteza Maisha Imezungumzia Machungu Na Masikitiko Ya Kumpoteza Mpendwa Wao.