Watu watatu wafariki baada ya kuvamiwa na wahuni kwenye jumba la Sunbeam jijini Nairobi

  Рет қаралды 34,090

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

7 күн бұрын

Imebainika Kuwa Watu Watatu Walipoteza Maisha Yao Siku Ya Jumanne Wiki Iliyopita Baada Ya Kuvamiwa Kwenye Jumba La Kibiashara La Sunbeam Jijini Nairobi. Uvamizi Huo Uliotekelezwa Na Wahuni Walioingilia Maandamano Ya Kupinga Mswada Wa Fedha Mwaka 2024, Ulisababisha Kuporwa Na Kuteketezwa Kwa Jumba La Sunbeam. Familia Ya Bernard Mungai, Mmoja Wa Wafanyibiashara Aliyepoteza Maisha Imezungumzia Machungu Na Masikitiko Ya Kumpoteza Mpendwa Wao.

Пікірлер: 91
@Watt-er8or
@Watt-er8or 5 күн бұрын
Human Rights groups and LSK,, should also call press conference on this... If they don't then they are working with criminals
@KaraniBonge
@KaraniBonge 5 күн бұрын
Sure
@vincentsawe611
@vincentsawe611 5 күн бұрын
According to lsk and human rights,these are none issues.
@mimimkenya2325
@mimimkenya2325 5 күн бұрын
Unfortunately, they'll never talk about this or the police who were injured or killed as if these are not human beings😢
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
Those people are always advocates of evil. We can't expect them to do any better.
@derrickbiwott9393
@derrickbiwott9393 5 күн бұрын
Exactly 💯.Huyo mumama Odhiambo aangalie hii
@imranbasy4022
@imranbasy4022 5 күн бұрын
Ruto alisema ni Criminals mkasema Ruto ni wazimu. Sasa ona
@itssimplyivy
@itssimplyivy 5 күн бұрын
We kwani uko kenya gani. Haujaona kwa news na videos zimekua zikicirculate vile goons wanatumwa na politicians kumake protests zikue violent? Kama bado mnaita vijana wanafight for your rights criminals then uko na shida kubwa sana
@esthermwaniki9091
@esthermwaniki9091 5 күн бұрын
Yes evil crriminals
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
I'll shout to the whole world from the rooftops that all these posing as peaceful protesters were actually all criminals. For now we are hearing many well-prepared scripts of how the government hired goons to infiltrate those peaceful protests so that they can make the Gen Zees look bad but I maintain the plot was hatched from the other direction. In a bid to show supporters and especially from Mount Kenya that they made a mistake in voting for William, someone was prepared to stoop this low. It doesn't matter how bad the finance bill was but couldn't they be contented with the few amendments that were made while they sought audience with the state over the issue?!
@TiredKenyan
@TiredKenyan 5 күн бұрын
Are you stupid?? This is not maadamano, this is a criminal act. Maandamano is allowed in Kenyan law, and if they police wanted, they can ensure its peaceful
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 5 күн бұрын
​@@itssimplyivyvijana wagani wakora hao unaiba mali ya mkenya mwenzako ukijiita genz ghasia hao.....demo zilikua peacefull until akina Babu Owino wakaanza mambo zao
@danielsitati543
@danielsitati543 5 күн бұрын
Let the rights groups also come forward and condemn these hooligans. We hope that they'll not blame the police on this!
@KaraniBonge
@KaraniBonge 5 күн бұрын
Mm nashangaa watu wanalaumu police hawalaumu wahuni walikua wakiibia watu
@membasamuel4218
@membasamuel4218 5 күн бұрын
They won't trust me and if they do the police will be blamed for inaction
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
They already had their script premeditated on how they would blame the police and "government-hired" goons on this. They always know what protests would bring and they psychologically prepare early.
@wamytree8944
@wamytree8944 5 күн бұрын
kila mtu aliye onekana kwa kamera akifanya uhuni au kuvunja sheria hio tuesday ashtakiwe na ahukumiwe. hawa watu hawafai kukua huku nje na sisi tunao heshimu sheria za kenya
@mugishajeanclaude2949
@mugishajeanclaude2949 5 күн бұрын
Hii ni ujinga wanaiba alafu wanauwa Ohh God my God comfort this family 🙏
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
Mimi.after watching this episode I have no more support or sympathy for Gen Zees. Their cause could have been noble but after seeing that criminals were infiltrating their protests why did they insist on pressing on with the marches?! Ama wacha tu tuseme wao wenyewe bado ndio mikora?! ☹️☹️☹️
@mremmm5902
@mremmm5902 5 күн бұрын
Kabisa
@sharersale6480
@sharersale6480 5 күн бұрын
There were no protests on Thursday because of these criminals and you folks are now doing what the government wants, turning against people demonstrating for a better Kenya.
@alextercisio
@alextercisio 5 күн бұрын
Wao ni criminals
@DavidNyamongo-un1sc
@DavidNyamongo-un1sc 5 күн бұрын
Journalists,raila, human rights activists,the assmio LSK should condemn this
@mremmm5902
@mremmm5902 5 күн бұрын
Naskia kulia saasa hii n mambo gani
@DavidNyamongo-un1sc
@DavidNyamongo-un1sc 5 күн бұрын
@@mremmm5902 wewe kojoa ulale,usilie
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 5 күн бұрын
@@DavidNyamongo-un1sc the president should arrest all those fools who stole and were burning Kenyans property in the name of peaceful Demo
@charleswahome7721
@charleswahome7721 5 күн бұрын
endeleeni kusifu takataka eti gen zee nonsense
@sjsm8578
@sjsm8578 5 күн бұрын
Hao ni Gen Z kweli? Tumia akili saa zingine si kuibeba tu. Ndio maana tuliibiwa 7 trillion na Uhuru na mkanyamaza while he raped you
@esthermwaniki9091
@esthermwaniki9091 5 күн бұрын
Media is to blame they split the Screens to support destruction now we are burying our own Kenya against kenya
@Fexxy69
@Fexxy69 5 күн бұрын
Kojoa hulale😂
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
We tried warning our people that going to the streets was not honourable but wakasema their protest was peaceful. There's nothing peaceful in any protest where the devil has already claimed his territory. Hawa mavijana I no longer care what their agenda is. Am off their cause! 🚶🚶🚶
@alextercisio
@alextercisio 5 күн бұрын
True ni takataka tu
@derrickbiwott9393
@derrickbiwott9393 5 күн бұрын
Where's is this so called LSK AZIMIO BRANCH
@wamytree8944
@wamytree8944 5 күн бұрын
wezi ndio wamejaa kenya. law abiding citizens tutaenda wapi sasa?
@danielsitati543
@danielsitati543 5 күн бұрын
Oh no. My God! Comfort the widow and the now orphan daughter! Condolences
@sharersale6480
@sharersale6480 5 күн бұрын
Orphan? Kwani mama si mzazi??
@thegratenjambinimurungah1219
@thegratenjambinimurungah1219 5 күн бұрын
Poleni mum and your children. May a good Samaritan visit you. It shall be well....
@BROTHERBEN-ic4uk
@BROTHERBEN-ic4uk 5 күн бұрын
Y don't you be one of good samaria. Start with you stupid person
@ibrahimomar4514
@ibrahimomar4514 5 күн бұрын
Useless news anchots why are you telling us this news late wachenzi genz ni criminals
@user-sc8mp6tc3n
@user-sc8mp6tc3n 5 күн бұрын
Real shame to Kenyans mkimaliza haribu kesho msike kwetu
@josephmwaniki7171
@josephmwaniki7171 5 күн бұрын
sad, the goverment must not relent on these goons, despite what toothless LSK says
@user-xx6ot2du7d
@user-xx6ot2du7d 5 күн бұрын
You don't know what the game is,the same government ooerate with goons to steal and destroy properties.gikuyu mnamalizwa ni serikali yenu
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 5 күн бұрын
@@user-xx6ot2du7d tribal fools
@josephmwaniki7171
@josephmwaniki7171 5 күн бұрын
@@user-xx6ot2du7d I dont operate on hypothesis and rumour mongering
@rizikimohamed2449
@rizikimohamed2449 5 күн бұрын
Jamani SS mwandamana ama waiba Mali za watu na kuwaa watu kuchoma Mali za umaa😢😢 jamani waizii wauliwe kabisa
@user-dt6yw2qr8n
@user-dt6yw2qr8n 5 күн бұрын
Wah God help us
@user-ti6dl5xv1l8
@user-ti6dl5xv1l8 5 күн бұрын
Polisi wangewakilisha hapo lakini bahati mbaya. Poleni sana familia. RIP
@abdiahaji5653
@abdiahaji5653 5 күн бұрын
When your leaders call it a spade don't cool it a spoon.😎. Condolences to the family
@mmilly8952
@mmilly8952 5 күн бұрын
😢😢😢😢Pole kwa mjane aki Wooiye... Hao wahuni wa stakiwe aki. 😭😭
@danlamboghini6427
@danlamboghini6427 5 күн бұрын
N ndio wanaanguka kotini juu ya njaa maumbwa
@labankarani6973
@labankarani6973 5 күн бұрын
Alafu mnaanza kulaumu serikali bure Na wakora ndio wanaingilia maandamano
@sharersale6480
@sharersale6480 5 күн бұрын
Serikali ndio imewalipa hao wakora, ni nini hamuelewi na mmekewa picha hadi wakilipwa hapo kwa kanjo.
@kibetkirui3949
@kibetkirui3949 5 күн бұрын
Haki ni uchungu sana.
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
Haki imagine am crying until now after seeing the picture of Mungai hanging on that window. Hii sasa ita-traumatize family yake and I don't know if they'll ever recover from this. Seeing the agony that your loved one was in before he died is just tormenting. I have no words. 🙆🙆🙆
@alextercisio
@alextercisio 5 күн бұрын
Hao ni Gen z si criminals si ruto alisema ni criminals wakenya wakasema ni uogo
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 5 күн бұрын
Zakayo was very right on this.
@user-dd2ut8ef1z
@user-dd2ut8ef1z Күн бұрын
Pole sana
@bensonathewa5956
@bensonathewa5956 5 күн бұрын
😢😢😢very sad
@NichodemusOpati-z5h
@NichodemusOpati-z5h 5 күн бұрын
Rais William ruto anafaa asikie hayo
@alextercisio
@alextercisio 5 күн бұрын
Afanye nini?? Si alisema ni criminals mkasema ni Uogo 😂😂
@micaangote2138
@micaangote2138 5 күн бұрын
Pole
@GathufuKali1
@GathufuKali1 5 күн бұрын
Nairobery
@NancyOdongo-xi4gv
@NancyOdongo-xi4gv 5 күн бұрын
God's grace is the Lord ❤😂🎉😢😮
@fastandfurious3751
@fastandfurious3751 5 күн бұрын
How is this justified?
@davidthuks2128
@davidthuks2128 5 күн бұрын
Wakikuyu na bado mnaenda maaandamano na muona vile hawa mambwa wanaiba maduka hawajui biashara ila maandamano ya ukora
@salimadiyo9442
@salimadiyo9442 5 күн бұрын
ukabila imetoka wapi sasa
@susanngigi1164
@susanngigi1164 5 күн бұрын
I was so ashamed of Kikuyus doing this kind of thing even in their own towns huku wakidanganywa eti they are doing a good thing for Kenya. Nanyuki wafanyi biashara wengi walipoteza mali yao eti watu wakidai kuwa wana-target premises za "yes" politicians. Upuzi!
@mremmm5902
@mremmm5902 5 күн бұрын
Imagin wakikuyu biashara zao ndio hizi
@sharersale6480
@sharersale6480 5 күн бұрын
Wakikuyu ndio wlitueka kwa hii shida ya Ruto. Mtutoe basi ama tulipe ushuru hadi tukufe.
@alextercisio
@alextercisio 5 күн бұрын
@@sharersale6480 peleka umavi uko ruto is going no where stop blaming ruto for your poverty
@NancyOdongo-xi4gv
@NancyOdongo-xi4gv 5 күн бұрын
Feaaaa🎉😂❤🎉😢
@NancyOdongo-xi4gv
@NancyOdongo-xi4gv 5 күн бұрын
God help kenyans
@ibrahimomondi6171
@ibrahimomondi6171 4 күн бұрын
This was the work of government goons...
Citizen TV Live
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 533 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 53 МЛН
Jinsi vijana wa Mulot wanashiriki wizi wa pesa kupitia mtandao
4:36
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 37 М.
Police IG Japhet Koome resigns
1:39
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 35 М.
Majeruhi wa maandamano wahangaika katika hospitali ya Ongata Rongai
5:03
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 3,8 М.
Jicho Pevu yaangazia saa kumi na mbili za mwisho za mwendazake Jacob Juma
36:26
Zamzam Mohamed: Hii serikali imehangaisha wakenya sana
15:43
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 208 М.
Suzanne W Gachukia's Beautiful Haven: A Home Worth Living!
46:10
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН