Рет қаралды 3,981
Wiki Moja Baada Ya Ghasia Kuzuka Mtaa Wa Rongai, Na Kusababisha Maafa Ya Maafisa Wa Polisi Pamoja Na Raia Wa Mtaa Huo, Majeruhi Bado Wanahangaika Katika Hospitali Ya Ongata Rongai Baada Ya Tetesi Za Waliojeruhiwa Kwa Kupigwa Risasi Kushurutishwa Kutia Saini Ya Hati Ya Makosa Ya Wizi