KENYATTA ALIVYOSIMAMISHA HOTUBA KUPISHA ADHANA, WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAGUFULI DODOMA

  Рет қаралды 125,366

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 431
@seremenikibwene8633
@seremenikibwene8633 3 жыл бұрын
Hakika Umeonyesha Busara Sana Na Heshima Kubwa Kwa Kujua Kuwa mungu ni Mkubwa, Allah Akuongoze Rais Kenyatta.
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 3 жыл бұрын
Nimependa sana hii ni heshima kubwa ya kumtambuwa mungu yupo na ndiye mkubwa wa wote hapa duniani neno "ALLAH AKBARU". lina maana ya mungu ni mkubwa....weka like yako kama na wewe umeipenda hii....
@barakakiula8909
@barakakiula8909 3 жыл бұрын
Swadaktaaa
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
Allah Amuongoz Na amulip kwaili👍👌
@hajeralqaidi2115
@hajeralqaidi2115 3 жыл бұрын
Heshima kwako kenyata imesisimua sana kwa heshima uliyonayo juu ya adhana Allah akuongoze🙏
@hassanramadhan8978
@hassanramadhan8978 3 жыл бұрын
Aamiin
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
@@hassanramadhan8978 Amiin
@themagadir
@themagadir 3 жыл бұрын
Kawaida yake he always respects the adhana and all other religions in general
@FatmaAli-oy7yu
@FatmaAli-oy7yu 3 жыл бұрын
Angepata viongozi bora, walo chini yke... Kenya ingekuwa vzry sanaa
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@VinceChepkwony
@VinceChepkwony 3 жыл бұрын
Hongera rais wangu kwa kuheshimu wenzetu waislamu. Mungu na akupe nehema zaidi
@kelvinchuwa2212
@kelvinchuwa2212 3 жыл бұрын
Hongere sana mh: kenyeta umeonyesha ukubwa wa Mungu akupe wepesi na akuondolee maradhi nchini kwako
@amirimagongo1392
@amirimagongo1392 3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Amiin 🤲
@issahamid9186
@issahamid9186 3 жыл бұрын
What a respect! 👏🏾 👏🏾 God bless you President Uhuru Kenyatta.
@josephkibosi5471
@josephkibosi5471 3 жыл бұрын
Tupoe sote Wana wa EAC
@ramadhaninawanje2744
@ramadhaninawanje2744 3 жыл бұрын
Allah akujalie kheri nying sana KENYATA kwa kuheshimu adhana ,Allah akuongoze katika dini insha Allah
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 3 жыл бұрын
Ampe mwisho mwema inshaallah
@KarimKhalid786
@KarimKhalid786 3 жыл бұрын
Well done Mr President Kenyatta...Its a big gesture that all leaders must learn
@kimanijohn9529
@kimanijohn9529 3 жыл бұрын
Hamdullilah, pongezi kwake Bwana Raisi, natazama niko marekani
@halimamuthoni4339
@halimamuthoni4339 3 жыл бұрын
MashaAllah
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Masha Allah
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 3 жыл бұрын
Ni ukomavu wa hali ya juu sana kuheshimu imani
@tipieleven8582
@tipieleven8582 3 жыл бұрын
Classy
@osumrope2096
@osumrope2096 3 жыл бұрын
Sana
@seifzongo320
@seifzongo320 3 жыл бұрын
Nimeipenda hii 👆👆👐👐🙏🏻🙏🏻🙏🏻nimekupenda bure uhuru kenyata
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Masha allah, it's very sensitive but inasikitisha sana, hawa maraisi wetu wanatenda mema ila wanakataa Neno la shahada.. Ni bure Hon magufuli amefikia hadi kujenga msikiti..ni jambo kubwa sana ila maelewano na mungu huyo uliemjengea msikiti hutegemea neno la shahada. . Kama ni kufurahisha watu... masha allah hon kinyata and mr president magu mmefanikiwa. Mungu ni mwema ana na rehma. Yeye ndio anajua nafasi yako kwake. Ewe mola wetu tupe wepec ktk maisha yetu na utupe viongoz wenye huruma na uzalendo kama magufuli. 99% of likes to kinyata.
@rachealdavid5855
@rachealdavid5855 3 жыл бұрын
Wewe ingia ukiristo or freemason. Kuabudu n uamuzi wa mtu cio kuambiwa ama kulazimishwa
@khadeejahrashid3177
@khadeejahrashid3177 3 жыл бұрын
Hongera president wetu Leo sisi wakenya twajivunia kua na wewe ulivyoheshimu adhan, Allah ataweka nuru ndani ya maisha yako
@ammarsalah5693
@ammarsalah5693 3 жыл бұрын
I respected you and now u show respect back mr president uhuru kenyata ....much love from me as a Tanzanian resident....
@bukusumightyculturetv4186
@bukusumightyculturetv4186 3 жыл бұрын
Yes bro
@Najdi358
@Najdi358 3 жыл бұрын
Yaaa Allah Mjaalie mja wako huyu azidi kukutambua na kukufata, Mjaalie aione nuru ya uislamu na ajumuike katika Iman, tuna mkaribisha sana,
@Allystor
@Allystor 3 жыл бұрын
Leo hii nimetokea kukupenda sana jirani yetu Kenyatta nakuombea kwa Mungu maisha yenye kheri na mwisho uliokua mwema. Nimependezwa zaidi na mambo mawili katika hotuba yako ; la kwanza ni kupisha adhana na la pili ni kumkumbusha Mama Samia njia alioachiwa ni ileile aifate hapa kazi tu asije kurubuniwa na wezi walafi wa madaraka na majambazi ambao hayati Magufuli aliwapiga vita.
@mohammedsalum7491
@mohammedsalum7491 3 жыл бұрын
Allah akbar....Yaa Rabbi mpe ufunuo huyu mja wako....🤲🤲
@mohamedraahid1456
@mohamedraahid1456 3 жыл бұрын
Mashallah nzuri Sana mashallah
@TALLUBOY
@TALLUBOY 3 жыл бұрын
Kuanzia leo naogea tena Kwa kauli yangu sabit kuwa Rais uhuru kenyata nakukubali Sana sana kwa kuipisha hazana tukufu Ubarikiwe sana sana pia tunakuombea watanzania uishi myaka Mingi sana sana sana na wakenya Woote kwa ujumla muwe watu Wenye furaha tele
@nackishmwana2304
@nackishmwana2304 3 жыл бұрын
amin thuma amin
@othmanally1230
@othmanally1230 3 жыл бұрын
Rais kenyata nimekuombea dua mungu akupe mwisho mwema
@ladykimnan902
@ladykimnan902 3 жыл бұрын
Mashaalah taqbiliiiiii Allah akuongoze kwenye kazi zako inshaallah
@nancysimon4453
@nancysimon4453 3 жыл бұрын
Allah akubar 🥰🙏mashallah
@lifeisonetime8997
@lifeisonetime8997 3 жыл бұрын
Can you imagine he knows when it ends, what a wonderful world!!!!!
@musaspana5931
@musaspana5931 3 жыл бұрын
Did you notice am a muslim and i was blown by that too perfect timing i even thought he was wired with earpiece and someone on other end was giving him some hints but he wasn't.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
i said the samething...i was amazed with the same..
@daudimmary3965
@daudimmary3965 3 жыл бұрын
Mashallah
@Najdi358
@Najdi358 3 жыл бұрын
Dah mola amjaalie aipate nuru ya Imaan, amtambue mola wake na amuabudu, safi sana
@malkoabdiali4798
@malkoabdiali4798 3 жыл бұрын
Poleni sana Tanzania Africa is crying too hero🇰🇪😭😭😭😭🇰🇪
@awadhhamza9296
@awadhhamza9296 3 жыл бұрын
Wakenya mumefurahi wenyew
@peterngaire7129
@peterngaire7129 3 жыл бұрын
Tushapoa
@bonnytv6530
@bonnytv6530 3 жыл бұрын
Thank you
@nasmaabdul3245
@nasmaabdul3245 3 жыл бұрын
Respect sana rais kenyatta natamani natamani one day Tanzanian na Kenya ziwe nchi moja mungu ibariki African
@zaharabubakar4983
@zaharabubakar4983 3 жыл бұрын
MashaAllah president Uhuru respecting the Azan JazakaAllah kheir prezo.
@jumasaidi961
@jumasaidi961 3 жыл бұрын
Ama kwa hakika umeonesha heshima kubwa kwa dini yetu ya Kiislamu mahala sahihi kabisaaaaa.....kwani ni katika mkoa huo wa Dodoma kuna watu walienda polisi na kufungua kesi juu ya adhana wakidai wanapigiwa kelele na adhana za misikitini.....Leo hii Mwenyezi Mungu muumba wa wote na vyote vilivyomo amekutuma wewe uudhihirishie Umma na watanzania kuwa atajwapo yeye basi asitokee mmoja wenu akadhihaki na kuendelea na shughuli zake.....Adhana na wito maalum wa Mwenyezi Mungu kwa kuwakumbusha kuwa muda ibada umefika......Hakika nimefurahi sana kwa heshima hii kubwa kwetu na Mwenyezi Mungu azidi kukulinda ..........Amiin
@selemanimurangwa5916
@selemanimurangwa5916 3 жыл бұрын
Kweli iyi ndiyo dunia ya mwisho r kenyata unanitiya majonzi Kweli unatowa heshima ya adhana kwakuonyesha heshima kubwa thx
@ayoubmtambala5728
@ayoubmtambala5728 3 жыл бұрын
Masha Allah
@mamaally3427
@mamaally3427 3 жыл бұрын
C km ni dalili za kiama hapana huyu jamaa anaimani na Allah uliza Kenya hata mwezi mtukufu huwa anafuturisha waislam huko kwao c kila aaiyekuwa muislam bac hamjui mungu hongera sn Uhuru
@teresiamutua4487
@teresiamutua4487 3 жыл бұрын
Woow awesome respect,God bless u president Uhuru Kenyatta
@germanone3395
@germanone3395 3 жыл бұрын
Kwa ukweli umetufunza hakuna hutuba ya maana kama kumtaja mwenyezi mungu shukran uhunyeee kweli umemtambua kuna zaidi wamazaidi ni ALLAH
@maggiekiarie5404
@maggiekiarie5404 3 жыл бұрын
Mad respect yaani respect ya hali ya juu manze nakupenda my president i salute you
@amouryshaaban3473
@amouryshaaban3473 3 жыл бұрын
Maashallah Allah akuafikishe kuwa muislam madhubuti rais mzuri kenyatta ambae umestopisha kuzungumza kwa Ajili ya kumpa heshma Aliekupa cheo hicho Allah SUBHAANAHU wataala ninamuomba Allah akupe hidaya wewe na familia yako kabla ya kufikwa na mauti . Karibu sana kwenye uislam ili upate mafanikio ya duniani kaburini na kesho aakhera inshaallah na nyote mliosikiliza hiyo adhana nawashauri tafuteni maana ya hayo maneno uwenda Allah akawapa ibra na mazingatio nanyi mkaufuata uislam
@tamatama1136
@tamatama1136 3 жыл бұрын
Umewashinda masheikh wengi sana hawaeshimu adhana
@amourkhamis8259
@amourkhamis8259 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@saadaissa2524
@saadaissa2524 3 жыл бұрын
Mashekhe ubwaubwa
@wardaheluwa734
@wardaheluwa734 3 жыл бұрын
Mashaallah umetuheshimisha rais wetu
@kahamaonelive9432
@kahamaonelive9432 3 жыл бұрын
Love you Kenyata From 🇹🇷💓🇰🇪
@abigailkighombe1960
@abigailkighombe1960 3 жыл бұрын
Respecting ones religion is so Respectable and important..wow president Uhuru
@abdulsalum6375
@abdulsalum6375 3 жыл бұрын
Allah azidi kukupa Afya njema Uhuru kinyata
@hamadmazuri1446
@hamadmazuri1446 3 жыл бұрын
Ahsante Sana,Sana Kenyatta,for your respect!
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 3 жыл бұрын
Hakika mungu akuongoze Rais kenyatta maana umetushinda Ata baadhi ya waislam hatuheshimu adhana umekua mfano wakuigwa Asante Sana mungu akubariki kwa kuheshimu wito wake na ukasimamisha kuongea nakupenda kwaajili ya ALLAH
@tundakid1852
@tundakid1852 3 жыл бұрын
Na hii iwe funzo kwa waislamu mnao zitharau na kuzipaka tope dini za watu.. Heshimu dini mungu ni mmoja mungu wetu sote.
@moahmmedhassanpanjwani3808
@moahmmedhassanpanjwani3808 3 жыл бұрын
Salutes to our beloved president UHURU KENYATTA, ( MY BEST LEADER )
@halaphaologi8301
@halaphaologi8301 2 жыл бұрын
Allah akuzidishie baraka
@sadahramadhani6046
@sadahramadhani6046 3 жыл бұрын
MashaAllah, MashaAllah Tabarakallah
@jumakiggundu8935
@jumakiggundu8935 3 жыл бұрын
President Uhuru is among the great leaders we have in Africa. He is a very humble guy!
@mnegaamina6085
@mnegaamina6085 3 жыл бұрын
Hii ni kuonyesha mungu wetu mmoja
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
Umenena vyema sio wengine wanasema njoo huku kwenye hak
@meckienditi4661
@meckienditi4661 3 жыл бұрын
Umenena vyema...kunawatu wameshaona dini za wenzao hazifai kwa tukio hili kumbe hawajui kuheshimu dini ya mwenzio ni unyenyekevu mbele za Mungu na si wanavyofikir wao
@amouryshaaban3473
@amouryshaaban3473 3 жыл бұрын
@@meckienditi4661 kwani wewe ulishaona raisi gani hapa Tanzania baada ya kusikia adhana nayeye akanyamaza kwani wao hawana heshima na dini nyengine ...hii ni haqqi na ndio dini ya ukweli duniani na akhera ndio mana unakuta kila jambo linalohusiana na kuchinjwa wanyama ni rukhsa kwa waislam peke yake kwa sababu ni wao pekee tu ndio waliopewa hukmu na mwenyezimungu wachinje na sio dini nyengine hii inaonyesha wazi ni moja ktk alama za ukweli na haqqi ktk uislam muombe mwenyeezimu akuzindue uijue haqqi na uache ushabiki
@emmadora7848
@emmadora7848 3 жыл бұрын
@@amouryshaaban3473 hapo tu ndio huwa mnachekesha sana watu msio na akili timamu, kiongozi yeyote kachaguliwa na watu wa dini zote na wasio na dini so hana sababu ya kuyoheshimu imani ya wengine , na kuheshimiana ndio zetu waafrika , hayo ya dini ya haki sijui utumbo gani si mngewekwa muishi sayari yenu
@amouryshaaban3473
@amouryshaaban3473 3 жыл бұрын
@@emmadora7848 Kikubwa hatulazimishani kusilimu Bali tunakumbushana kwamba ili mwanaadamu asipate khasara baada ya kufa kwake inatakiwa afe hali ya kuwa ni muislam mtu akifa na dini nyengine tofauti na uislamu itakuwa ni sababu ya kutokubaliwa mbele ya mwenyeezimungu na atapata khasara kesho akhera . Na wengi kwa sababu hiyo khasara ya mtu kufa nje ya dini namna inavyomthibitikia baada ya kufa kwake hatuiyoni na ndio mana kila mmoja anachukulia ni swala La kawaida ila ukweli wa mambo ulivyo kila mwanaadamu baada ya kufa atashuhudia kwa macho yake faida na khasara zilizopo baada ya kufa kutokana na namna alivyochagua kuishi akiwa duniani kwa sababu kama namna mtu atakavyo ishi basi ndivyo atakavyokufa na kama atakavyokufa basi ndivyo atakavyofufuliwa na hali yake aliyokuwa nayo duniani kutokana na matendo yake.
@mwacitywakanay2101
@mwacitywakanay2101 3 жыл бұрын
Daaah allwah akubrk jmn awa ndo viongz imar wanao mjar allwah
@hamadikombo1492
@hamadikombo1492 3 жыл бұрын
Mashaallah
@asnawlopez1212
@asnawlopez1212 3 жыл бұрын
Allah. Akibar hakikaa Allah atukulipaaa mengi mkuu kenyata
@bilaliramadhani4934
@bilaliramadhani4934 3 жыл бұрын
Nime kupenda bule kenyata mashaallah
@johnmakuno7789
@johnmakuno7789 3 жыл бұрын
Maashallah Allah akupe uongozi thabit akupe MAISHA MAREFU YENYE FURAHA na akupe mwisho mwema viongozi kama wewe niwachache umewashinda ata waislam walioko madarakani nawasio madarakani wasio jua ukuu na utukufu wa mungu mungu akubariki sana wewe nafamilia yako awape mwisho mwema inshaa Allah
@badranhafidh35
@badranhafidh35 3 жыл бұрын
Thank you my president for respecting Adhan
@furahawauwe7177
@furahawauwe7177 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mzee 🙏🙏
@nabahaniabbdy925
@nabahaniabbdy925 3 жыл бұрын
Man shaa Allah,,umetoa mwangaza kwa wale ambao hawajui samani ya sauti hiii.
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 3 жыл бұрын
MAA SHA ALLAH 🤲🏿 Kaitendea haki Adhana, Wito Wa Kusali, wito Wa Swala, VIONGOZ WA TANZANIA JIFUNZENI HILO,... "IHESHIMIWE ADHANA" Asalaam Aleykum Wallahmatullullah Wa Barakat 👋
@shabbymakapane1910
@shabbymakapane1910 3 жыл бұрын
Wa alaikhum salaam warahmatullahi wabarakatu
@kulwasalum3597
@kulwasalum3597 3 жыл бұрын
Rais Uhuru Kenyata ni kiongozi haswa anajua maana ya Dini ...... Anamjuwa Muumba .....Allah akballu....!!!
@claudiamole7216
@claudiamole7216 3 жыл бұрын
God bless our president uhuru
@sabrinahassan7832
@sabrinahassan7832 3 жыл бұрын
maashaallaah
@aminajuma275
@aminajuma275 3 жыл бұрын
Nuru ya uislamu imetanda kila upande wa dunia hii Allah awaongoze mzidi kuiona
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@aminaabdiabdi7112
@aminaabdiabdi7112 3 жыл бұрын
Allahumma amiin🤲
@rahmadizer1744
@rahmadizer1744 3 жыл бұрын
Nimefurah mpaka mwili unatetemeka
@abdallahmwinyi8529
@abdallahmwinyi8529 3 жыл бұрын
@@rahmadizer1744 hongera huo ndio uumini
@rukayyawendo1268
@rukayyawendo1268 3 жыл бұрын
Jambo kubwa sana ili kwa wenye kufahamu
@maryamibrahim4039
@maryamibrahim4039 3 жыл бұрын
MashAllah,big up,Allah akuongoze ktk njia ilonyooka
@aminaabdiabdi7112
@aminaabdiabdi7112 3 жыл бұрын
Subhannallah😭 Allah amuongoze mja wake pamoja na cc amiiin yarrab 🤲 Ilahi tunakuomba umpe kauli thabit kabla l maut.🤲💞
@siyasiah2445
@siyasiah2445 3 жыл бұрын
ALLAH akuongize kinyata kwaheshim unaoipa adhana
@sayfllahsayfllah6226
@sayfllahsayfllah6226 3 жыл бұрын
Doooh .... I thought so much until I shed tears wallah .. President may god give you good health and give you faith and lead your country adi when your time is up, I am certainly a role model for every human being ..... I love you so much Kenyan leade.......
@bahatihassan5413
@bahatihassan5413 3 жыл бұрын
Mashaallah nimefurah kuona unahishim iman ya upande mwingine
@ramadhanimustafa8790
@ramadhanimustafa8790 3 жыл бұрын
Allah akibar
@littlelostpubg621
@littlelostpubg621 3 жыл бұрын
Very respectful and intelligent leader 👏.
@fatmamshangama9824
@fatmamshangama9824 3 жыл бұрын
Mashallaah nimempenda bure rais kinyata jamn inapendeza
@nicholasrubando8148
@nicholasrubando8148 3 жыл бұрын
Tunakupenda sana president Uhuru Kenyatta..
@jumambwana7247
@jumambwana7247 3 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie maisha marefu akulinde namaadui
@fundijrtv
@fundijrtv 3 жыл бұрын
Allah akuonyeshe njia upate nuru ya wiislam ewe Rais Uhuru kenyatta
@tatunjenje5365
@tatunjenje5365 3 жыл бұрын
Yaa Allah,Yaa Rahman,Yaa Rahm
@zainabrajab9608
@zainabrajab9608 3 жыл бұрын
Mashaallh mungu kwanza
@mrgeorgeisdory5277
@mrgeorgeisdory5277 3 жыл бұрын
Safii Mungu ni mkubwa must Respect
@yahyafumbwe1642
@yahyafumbwe1642 3 жыл бұрын
Mwenyeezi mungu akulipe rais Kenyata na muomba mwenyeezi mungu akupe zawadi kubwa nayo ni kusilimu mpendwa rais Kenyata saluti kwako rais
@mdamuhamis7059
@mdamuhamis7059 3 жыл бұрын
Mungu akuongoze kenyatta rais wa Kenya aufanye mwisho wako kua mwema🙏🙏🙏
@saidswalehe2907
@saidswalehe2907 3 жыл бұрын
Sijawah kusikia speech ya huyu Mzee hakika anazungumza vizur saanaaa na ujasir wa hali ya juu kabisa
@bakarikolumba3477
@bakarikolumba3477 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah daah that is very nice I wish marahis wote wangekuw hiv Allah amzidishie na aipe Kenya amani na nchi zote za Africa masharik na kati..
@nataemsuya
@nataemsuya 3 жыл бұрын
Mashallah ..kajizolea baraka zake,mungu atambarik kwa namna anavyojua🙏😘🌷
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 жыл бұрын
Kama mumeanza kuiheshimu Adhana munG awajaalie mUje kweny haki mutoke Uko kweny baatil...Allah akuongoze wengne wanasikia Azana lakin hawajal hili fact kenYata😍😍😍😍
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
Huku aliko ni penye hak ndo pamemfanya aheshimu upande wa pil acha udin Mungu wetu sote
@meckienditi4661
@meckienditi4661 3 жыл бұрын
Ata kengere ya kanisani ikigongwa inaheshimiwa kwa nini asiheshimu dini ya mwingine...na huko aliko ndio kumenifanya aheshimu dini yako unayoiona ya haki acha udini wewe pia heshimu anachokiamini mwenzio
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 жыл бұрын
@@meckienditi4661 ushakua unawashwaa or nikome kwanz mimi so saiz yko tfta wa saiz yko..Asiefunzwa na mamae atafunzwa na ulimwengu..
@joshuadenis6899
@joshuadenis6899 3 жыл бұрын
@@beshuuambarali4960 sinaga kawaida ya kureply vitu lkin hii imenitaharukisha, Mungu ni mmoja, haki iko pale unapopata Amani na haja ya Moyo wako. Tusibaguane na kuanza kujenga matabaka, we all depends on God. Hizi ni Imani Tu na din mzur ni UPENDO so we should love each other instead kusema kwangu kuna haki kwako ni ubatili. Mungu akusaidie. Amen
@SuperNothern
@SuperNothern 3 жыл бұрын
@@beshuuambarali4960 MUNGU akusaidie maana huna unalojua wewe, binadamu tunapaswa kuheshimiana kwenye imani zetu
@ramadhanichalachala549
@ramadhanichalachala549 3 жыл бұрын
Manshaaallah Kenyatta kuamini kuwa mungu yupo na kujuwa kuwa Ni wito wa kwenda kumsujudia muumba
@joharhamis855
@joharhamis855 3 жыл бұрын
Mashallah 🙏🙏🙏
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 жыл бұрын
Maashaall kenyata hongera kws heshima
@kijonalusay
@kijonalusay 3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah🤲
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah akulipe kher baba ang 🤲💕👏👏nikweli tumifunfishwa ivo tunaposkia adhana tunamanze mpaka itakapo isha ndio tuendelee na maongez. Nawe umefanya mashaallah 👏Allah akuzidishie barka namwisho mwema rais wetu tz tunakupenda pia
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Heshima kubwa sanaaa kwako Kenyatta 👊🙏
@Khaleed5767
@Khaleed5767 3 жыл бұрын
YA ALLAH , YA RAHMAN , YA KARIM
@abigailkighombe1960
@abigailkighombe1960 3 жыл бұрын
Uhuru is now speaking some sence❤️❤️❤️❤️I now love you more than ever before
@fadhilismnekajr8514
@fadhilismnekajr8514 3 жыл бұрын
Mungu akusimamei katika uwongozi wako uhuru kinyata amen
@ramadhanimohamed154
@ramadhanimohamed154 3 жыл бұрын
Big up Kenyata may Allah give u a long life
@martinkariuki9363
@martinkariuki9363 3 жыл бұрын
Our president is just a pretender,,,, Anapenda sifa sana,,,😂😂😂
@abdulazizkhamis333
@abdulazizkhamis333 3 жыл бұрын
Mashaallah allah akubarq kiongozi nimependa hiyo dah!!! kwakweli sikutegemea allah akubarq
@kibasengasu5729
@kibasengasu5729 3 жыл бұрын
Allah akujalie kila la kheri hustler Uhuru
@hemedwow8802
@hemedwow8802 3 жыл бұрын
kuna Elim kuuubwa sana hapo,kwa akili lkn!!
@valentinendivo882
@valentinendivo882 3 жыл бұрын
Wazi uhunye.....respect my president 👊👊👊👊
@nackishmwana2304
@nackishmwana2304 3 жыл бұрын
JazzakaLLah khair our Prezo
@maryiammohammed4254
@maryiammohammed4254 3 жыл бұрын
Subhana allah
@mlanziarts7308
@mlanziarts7308 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana inatupasa inapo hadhiniwa hadhaana tusimamishe Kila kitu isikike hadhaana tu.bg up rais wa Kenya Allah akuzidishie kher zake
@vanniemelody8078
@vanniemelody8078 3 жыл бұрын
Kubwa sana hii Allah bless you Mr. President Kenyata
@nouratymsellem8112
@nouratymsellem8112 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mr President..KENYATA.... Kwa kweli ni rahisi wa kuigwa na mataifa mengine..... We lov u so much ❤️
@nassranassor8699
@nassranassor8699 3 жыл бұрын
Mashallah Allah amuongoze katika njia iliyonyooka
@abuubakaraliy6738
@abuubakaraliy6738 3 жыл бұрын
Masha Allah raisi Uhuru wa Kenya Allah anakuita katika uislamu
@makullahkamyongo3282
@makullahkamyongo3282 3 жыл бұрын
Thanks president
UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
12:00
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Kaunti ya Lamu na Garissa wazozania mpaka
3:50
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 5 М.
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 13 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 48 МЛН
Namna bendera zilivyopandishwa Ikulu mpya ya Chamwino
2:07
IBADA YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI KUHUDHURIA ST. PETER
7:43
Millard Ayo
Рет қаралды 95 М.
MAMA KANUMBA AFUNGUKA VITU ANAVYOMISS KWA MTOTO WAKE
3:54
Millard Ayo
Рет қаралды 1,1 М.
Kimenuka, Magufuli Akabidhiwa Majina ya Watumishi wenze Vyeti Feki
27:04
Global TV Online
Рет қаралды 38 М.
RAIS KENYATA BAADA YA KUPISHA ADHANA SHEIKH KISHKI ATOA NENO
6:20
Kishki Online TV
Рет қаралды 339 М.
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН