Hakika Umeonyesha Busara Sana Na Heshima Kubwa Kwa Kujua Kuwa mungu ni Mkubwa, Allah Akuongoze Rais Kenyatta.
@nyauclassictv8053 жыл бұрын
Nimependa sana hii ni heshima kubwa ya kumtambuwa mungu yupo na ndiye mkubwa wa wote hapa duniani neno "ALLAH AKBARU". lina maana ya mungu ni mkubwa....weka like yako kama na wewe umeipenda hii....
@barakakiula89093 жыл бұрын
Swadaktaaa
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Allah Amuongoz Na amulip kwaili👍👌
@hajeralqaidi21153 жыл бұрын
Heshima kwako kenyata imesisimua sana kwa heshima uliyonayo juu ya adhana Allah akuongoze🙏
@hassanramadhan89783 жыл бұрын
Aamiin
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
@@hassanramadhan8978 Amiin
@themagadir3 жыл бұрын
Kawaida yake he always respects the adhana and all other religions in general
@FatmaAli-oy7yu3 жыл бұрын
Angepata viongozi bora, walo chini yke... Kenya ingekuwa vzry sanaa
@hamisikaisi4613 жыл бұрын
Kabisaaa
@VinceChepkwony3 жыл бұрын
Hongera rais wangu kwa kuheshimu wenzetu waislamu. Mungu na akupe nehema zaidi
@kelvinchuwa22123 жыл бұрын
Hongere sana mh: kenyeta umeonyesha ukubwa wa Mungu akupe wepesi na akuondolee maradhi nchini kwako
@amirimagongo13923 жыл бұрын
Allahumma amiin
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Amiin 🤲
@issahamid91863 жыл бұрын
What a respect! 👏🏾 👏🏾 God bless you President Uhuru Kenyatta.
@josephkibosi54713 жыл бұрын
Tupoe sote Wana wa EAC
@ramadhaninawanje27443 жыл бұрын
Allah akujalie kheri nying sana KENYATA kwa kuheshimu adhana ,Allah akuongoze katika dini insha Allah
@fatumasophu58553 жыл бұрын
Ampe mwisho mwema inshaallah
@KarimKhalid7863 жыл бұрын
Well done Mr President Kenyatta...Its a big gesture that all leaders must learn
@kimanijohn95293 жыл бұрын
Hamdullilah, pongezi kwake Bwana Raisi, natazama niko marekani
@halimamuthoni43393 жыл бұрын
MashaAllah
@marrowog89753 жыл бұрын
Masha Allah
@badenbensoni75163 жыл бұрын
Ni ukomavu wa hali ya juu sana kuheshimu imani
@tipieleven85823 жыл бұрын
Classy
@osumrope20963 жыл бұрын
Sana
@seifzongo3203 жыл бұрын
Nimeipenda hii 👆👆👐👐🙏🏻🙏🏻🙏🏻nimekupenda bure uhuru kenyata
@marrowog89753 жыл бұрын
Masha allah, it's very sensitive but inasikitisha sana, hawa maraisi wetu wanatenda mema ila wanakataa Neno la shahada.. Ni bure Hon magufuli amefikia hadi kujenga msikiti..ni jambo kubwa sana ila maelewano na mungu huyo uliemjengea msikiti hutegemea neno la shahada. . Kama ni kufurahisha watu... masha allah hon kinyata and mr president magu mmefanikiwa. Mungu ni mwema ana na rehma. Yeye ndio anajua nafasi yako kwake. Ewe mola wetu tupe wepec ktk maisha yetu na utupe viongoz wenye huruma na uzalendo kama magufuli. 99% of likes to kinyata.
@rachealdavid58553 жыл бұрын
Wewe ingia ukiristo or freemason. Kuabudu n uamuzi wa mtu cio kuambiwa ama kulazimishwa
@khadeejahrashid31773 жыл бұрын
Hongera president wetu Leo sisi wakenya twajivunia kua na wewe ulivyoheshimu adhan, Allah ataweka nuru ndani ya maisha yako
@ammarsalah56933 жыл бұрын
I respected you and now u show respect back mr president uhuru kenyata ....much love from me as a Tanzanian resident....
@bukusumightyculturetv41863 жыл бұрын
Yes bro
@Najdi3583 жыл бұрын
Yaaa Allah Mjaalie mja wako huyu azidi kukutambua na kukufata, Mjaalie aione nuru ya uislamu na ajumuike katika Iman, tuna mkaribisha sana,
@Allystor3 жыл бұрын
Leo hii nimetokea kukupenda sana jirani yetu Kenyatta nakuombea kwa Mungu maisha yenye kheri na mwisho uliokua mwema. Nimependezwa zaidi na mambo mawili katika hotuba yako ; la kwanza ni kupisha adhana na la pili ni kumkumbusha Mama Samia njia alioachiwa ni ileile aifate hapa kazi tu asije kurubuniwa na wezi walafi wa madaraka na majambazi ambao hayati Magufuli aliwapiga vita.
@mohammedsalum74913 жыл бұрын
Allah akbar....Yaa Rabbi mpe ufunuo huyu mja wako....🤲🤲
@mohamedraahid14563 жыл бұрын
Mashallah nzuri Sana mashallah
@TALLUBOY3 жыл бұрын
Kuanzia leo naogea tena Kwa kauli yangu sabit kuwa Rais uhuru kenyata nakukubali Sana sana kwa kuipisha hazana tukufu Ubarikiwe sana sana pia tunakuombea watanzania uishi myaka Mingi sana sana sana na wakenya Woote kwa ujumla muwe watu Wenye furaha tele
@nackishmwana23043 жыл бұрын
amin thuma amin
@othmanally12303 жыл бұрын
Rais kenyata nimekuombea dua mungu akupe mwisho mwema
@ladykimnan9023 жыл бұрын
Mashaalah taqbiliiiiii Allah akuongoze kwenye kazi zako inshaallah
@nancysimon44533 жыл бұрын
Allah akubar 🥰🙏mashallah
@lifeisonetime89973 жыл бұрын
Can you imagine he knows when it ends, what a wonderful world!!!!!
@musaspana59313 жыл бұрын
Did you notice am a muslim and i was blown by that too perfect timing i even thought he was wired with earpiece and someone on other end was giving him some hints but he wasn't.
@jedidahbintidaudi82413 жыл бұрын
i said the samething...i was amazed with the same..
@daudimmary39653 жыл бұрын
Mashallah
@Najdi3583 жыл бұрын
Dah mola amjaalie aipate nuru ya Imaan, amtambue mola wake na amuabudu, safi sana
@malkoabdiali47983 жыл бұрын
Poleni sana Tanzania Africa is crying too hero🇰🇪😭😭😭😭🇰🇪
@awadhhamza92963 жыл бұрын
Wakenya mumefurahi wenyew
@peterngaire71293 жыл бұрын
Tushapoa
@bonnytv65303 жыл бұрын
Thank you
@nasmaabdul32453 жыл бұрын
Respect sana rais kenyatta natamani natamani one day Tanzanian na Kenya ziwe nchi moja mungu ibariki African
@zaharabubakar49833 жыл бұрын
MashaAllah president Uhuru respecting the Azan JazakaAllah kheir prezo.
@jumasaidi9613 жыл бұрын
Ama kwa hakika umeonesha heshima kubwa kwa dini yetu ya Kiislamu mahala sahihi kabisaaaaa.....kwani ni katika mkoa huo wa Dodoma kuna watu walienda polisi na kufungua kesi juu ya adhana wakidai wanapigiwa kelele na adhana za misikitini.....Leo hii Mwenyezi Mungu muumba wa wote na vyote vilivyomo amekutuma wewe uudhihirishie Umma na watanzania kuwa atajwapo yeye basi asitokee mmoja wenu akadhihaki na kuendelea na shughuli zake.....Adhana na wito maalum wa Mwenyezi Mungu kwa kuwakumbusha kuwa muda ibada umefika......Hakika nimefurahi sana kwa heshima hii kubwa kwetu na Mwenyezi Mungu azidi kukulinda ..........Amiin
@selemanimurangwa59163 жыл бұрын
Kweli iyi ndiyo dunia ya mwisho r kenyata unanitiya majonzi Kweli unatowa heshima ya adhana kwakuonyesha heshima kubwa thx
@ayoubmtambala57283 жыл бұрын
Masha Allah
@mamaally34273 жыл бұрын
C km ni dalili za kiama hapana huyu jamaa anaimani na Allah uliza Kenya hata mwezi mtukufu huwa anafuturisha waislam huko kwao c kila aaiyekuwa muislam bac hamjui mungu hongera sn Uhuru
@teresiamutua44873 жыл бұрын
Woow awesome respect,God bless u president Uhuru Kenyatta
@germanone33953 жыл бұрын
Kwa ukweli umetufunza hakuna hutuba ya maana kama kumtaja mwenyezi mungu shukran uhunyeee kweli umemtambua kuna zaidi wamazaidi ni ALLAH
@maggiekiarie54043 жыл бұрын
Mad respect yaani respect ya hali ya juu manze nakupenda my president i salute you
@amouryshaaban34733 жыл бұрын
Maashallah Allah akuafikishe kuwa muislam madhubuti rais mzuri kenyatta ambae umestopisha kuzungumza kwa Ajili ya kumpa heshma Aliekupa cheo hicho Allah SUBHAANAHU wataala ninamuomba Allah akupe hidaya wewe na familia yako kabla ya kufikwa na mauti . Karibu sana kwenye uislam ili upate mafanikio ya duniani kaburini na kesho aakhera inshaallah na nyote mliosikiliza hiyo adhana nawashauri tafuteni maana ya hayo maneno uwenda Allah akawapa ibra na mazingatio nanyi mkaufuata uislam
@tamatama11363 жыл бұрын
Umewashinda masheikh wengi sana hawaeshimu adhana
@amourkhamis82593 жыл бұрын
Kweli kabisa
@saadaissa25243 жыл бұрын
Mashekhe ubwaubwa
@wardaheluwa7343 жыл бұрын
Mashaallah umetuheshimisha rais wetu
@kahamaonelive94323 жыл бұрын
Love you Kenyata From 🇹🇷💓🇰🇪
@abigailkighombe19603 жыл бұрын
Respecting ones religion is so Respectable and important..wow president Uhuru
@abdulsalum63753 жыл бұрын
Allah azidi kukupa Afya njema Uhuru kinyata
@hamadmazuri14463 жыл бұрын
Ahsante Sana,Sana Kenyatta,for your respect!
@sistertrashid24883 жыл бұрын
Hakika mungu akuongoze Rais kenyatta maana umetushinda Ata baadhi ya waislam hatuheshimu adhana umekua mfano wakuigwa Asante Sana mungu akubariki kwa kuheshimu wito wake na ukasimamisha kuongea nakupenda kwaajili ya ALLAH
@tundakid18523 жыл бұрын
Na hii iwe funzo kwa waislamu mnao zitharau na kuzipaka tope dini za watu.. Heshimu dini mungu ni mmoja mungu wetu sote.
@moahmmedhassanpanjwani38083 жыл бұрын
Salutes to our beloved president UHURU KENYATTA, ( MY BEST LEADER )
@halaphaologi83012 жыл бұрын
Allah akuzidishie baraka
@sadahramadhani60463 жыл бұрын
MashaAllah, MashaAllah Tabarakallah
@jumakiggundu89353 жыл бұрын
President Uhuru is among the great leaders we have in Africa. He is a very humble guy!
@mnegaamina60853 жыл бұрын
Hii ni kuonyesha mungu wetu mmoja
@agathathobias86903 жыл бұрын
Umenena vyema sio wengine wanasema njoo huku kwenye hak
@meckienditi46613 жыл бұрын
Umenena vyema...kunawatu wameshaona dini za wenzao hazifai kwa tukio hili kumbe hawajui kuheshimu dini ya mwenzio ni unyenyekevu mbele za Mungu na si wanavyofikir wao
@amouryshaaban34733 жыл бұрын
@@meckienditi4661 kwani wewe ulishaona raisi gani hapa Tanzania baada ya kusikia adhana nayeye akanyamaza kwani wao hawana heshima na dini nyengine ...hii ni haqqi na ndio dini ya ukweli duniani na akhera ndio mana unakuta kila jambo linalohusiana na kuchinjwa wanyama ni rukhsa kwa waislam peke yake kwa sababu ni wao pekee tu ndio waliopewa hukmu na mwenyezimungu wachinje na sio dini nyengine hii inaonyesha wazi ni moja ktk alama za ukweli na haqqi ktk uislam muombe mwenyeezimu akuzindue uijue haqqi na uache ushabiki
@emmadora78483 жыл бұрын
@@amouryshaaban3473 hapo tu ndio huwa mnachekesha sana watu msio na akili timamu, kiongozi yeyote kachaguliwa na watu wa dini zote na wasio na dini so hana sababu ya kuyoheshimu imani ya wengine , na kuheshimiana ndio zetu waafrika , hayo ya dini ya haki sijui utumbo gani si mngewekwa muishi sayari yenu
@amouryshaaban34733 жыл бұрын
@@emmadora7848 Kikubwa hatulazimishani kusilimu Bali tunakumbushana kwamba ili mwanaadamu asipate khasara baada ya kufa kwake inatakiwa afe hali ya kuwa ni muislam mtu akifa na dini nyengine tofauti na uislamu itakuwa ni sababu ya kutokubaliwa mbele ya mwenyeezimungu na atapata khasara kesho akhera . Na wengi kwa sababu hiyo khasara ya mtu kufa nje ya dini namna inavyomthibitikia baada ya kufa kwake hatuiyoni na ndio mana kila mmoja anachukulia ni swala La kawaida ila ukweli wa mambo ulivyo kila mwanaadamu baada ya kufa atashuhudia kwa macho yake faida na khasara zilizopo baada ya kufa kutokana na namna alivyochagua kuishi akiwa duniani kwa sababu kama namna mtu atakavyo ishi basi ndivyo atakavyokufa na kama atakavyokufa basi ndivyo atakavyofufuliwa na hali yake aliyokuwa nayo duniani kutokana na matendo yake.
Allah. Akibar hakikaa Allah atukulipaaa mengi mkuu kenyata
@bilaliramadhani49343 жыл бұрын
Nime kupenda bule kenyata mashaallah
@johnmakuno77893 жыл бұрын
Maashallah Allah akupe uongozi thabit akupe MAISHA MAREFU YENYE FURAHA na akupe mwisho mwema viongozi kama wewe niwachache umewashinda ata waislam walioko madarakani nawasio madarakani wasio jua ukuu na utukufu wa mungu mungu akubariki sana wewe nafamilia yako awape mwisho mwema inshaa Allah
@badranhafidh353 жыл бұрын
Thank you my president for respecting Adhan
@furahawauwe71773 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mzee 🙏🙏
@nabahaniabbdy9253 жыл бұрын
Man shaa Allah,,umetoa mwangaza kwa wale ambao hawajui samani ya sauti hiii.
@dralhajijbmatatala45803 жыл бұрын
MAA SHA ALLAH 🤲🏿 Kaitendea haki Adhana, Wito Wa Kusali, wito Wa Swala, VIONGOZ WA TANZANIA JIFUNZENI HILO,... "IHESHIMIWE ADHANA" Asalaam Aleykum Wallahmatullullah Wa Barakat 👋
@shabbymakapane19103 жыл бұрын
Wa alaikhum salaam warahmatullahi wabarakatu
@kulwasalum35973 жыл бұрын
Rais Uhuru Kenyata ni kiongozi haswa anajua maana ya Dini ...... Anamjuwa Muumba .....Allah akballu....!!!
@claudiamole72163 жыл бұрын
God bless our president uhuru
@sabrinahassan78323 жыл бұрын
maashaallaah
@aminajuma2753 жыл бұрын
Nuru ya uislamu imetanda kila upande wa dunia hii Allah awaongoze mzidi kuiona
@latifamkulazi83783 жыл бұрын
Allahumma amiin
@aminaabdiabdi71123 жыл бұрын
Allahumma amiin🤲
@rahmadizer17443 жыл бұрын
Nimefurah mpaka mwili unatetemeka
@abdallahmwinyi85293 жыл бұрын
@@rahmadizer1744 hongera huo ndio uumini
@rukayyawendo12683 жыл бұрын
Jambo kubwa sana ili kwa wenye kufahamu
@maryamibrahim40393 жыл бұрын
MashAllah,big up,Allah akuongoze ktk njia ilonyooka
@aminaabdiabdi71123 жыл бұрын
Subhannallah😭 Allah amuongoze mja wake pamoja na cc amiiin yarrab 🤲 Ilahi tunakuomba umpe kauli thabit kabla l maut.🤲💞
@siyasiah24453 жыл бұрын
ALLAH akuongize kinyata kwaheshim unaoipa adhana
@sayfllahsayfllah62263 жыл бұрын
Doooh .... I thought so much until I shed tears wallah .. President may god give you good health and give you faith and lead your country adi when your time is up, I am certainly a role model for every human being ..... I love you so much Kenyan leade.......
@bahatihassan54133 жыл бұрын
Mashaallah nimefurah kuona unahishim iman ya upande mwingine
@ramadhanimustafa87903 жыл бұрын
Allah akibar
@littlelostpubg6213 жыл бұрын
Very respectful and intelligent leader 👏.
@fatmamshangama98243 жыл бұрын
Mashallaah nimempenda bure rais kinyata jamn inapendeza
@nicholasrubando81483 жыл бұрын
Tunakupenda sana president Uhuru Kenyatta..
@jumambwana72473 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie maisha marefu akulinde namaadui
@fundijrtv3 жыл бұрын
Allah akuonyeshe njia upate nuru ya wiislam ewe Rais Uhuru kenyatta
@tatunjenje53653 жыл бұрын
Yaa Allah,Yaa Rahman,Yaa Rahm
@zainabrajab96083 жыл бұрын
Mashaallh mungu kwanza
@mrgeorgeisdory52773 жыл бұрын
Safii Mungu ni mkubwa must Respect
@yahyafumbwe16423 жыл бұрын
Mwenyeezi mungu akulipe rais Kenyata na muomba mwenyeezi mungu akupe zawadi kubwa nayo ni kusilimu mpendwa rais Kenyata saluti kwako rais
@mdamuhamis70593 жыл бұрын
Mungu akuongoze kenyatta rais wa Kenya aufanye mwisho wako kua mwema🙏🙏🙏
@saidswalehe29073 жыл бұрын
Sijawah kusikia speech ya huyu Mzee hakika anazungumza vizur saanaaa na ujasir wa hali ya juu kabisa
@bakarikolumba34773 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah daah that is very nice I wish marahis wote wangekuw hiv Allah amzidishie na aipe Kenya amani na nchi zote za Africa masharik na kati..
@nataemsuya3 жыл бұрын
Mashallah ..kajizolea baraka zake,mungu atambarik kwa namna anavyojua🙏😘🌷
@beshuuambarali49603 жыл бұрын
Kama mumeanza kuiheshimu Adhana munG awajaalie mUje kweny haki mutoke Uko kweny baatil...Allah akuongoze wengne wanasikia Azana lakin hawajal hili fact kenYata😍😍😍😍
@agathathobias86903 жыл бұрын
Huku aliko ni penye hak ndo pamemfanya aheshimu upande wa pil acha udin Mungu wetu sote
@meckienditi46613 жыл бұрын
Ata kengere ya kanisani ikigongwa inaheshimiwa kwa nini asiheshimu dini ya mwingine...na huko aliko ndio kumenifanya aheshimu dini yako unayoiona ya haki acha udini wewe pia heshimu anachokiamini mwenzio
@beshuuambarali49603 жыл бұрын
@@meckienditi4661 ushakua unawashwaa or nikome kwanz mimi so saiz yko tfta wa saiz yko..Asiefunzwa na mamae atafunzwa na ulimwengu..
@joshuadenis68993 жыл бұрын
@@beshuuambarali4960 sinaga kawaida ya kureply vitu lkin hii imenitaharukisha, Mungu ni mmoja, haki iko pale unapopata Amani na haja ya Moyo wako. Tusibaguane na kuanza kujenga matabaka, we all depends on God. Hizi ni Imani Tu na din mzur ni UPENDO so we should love each other instead kusema kwangu kuna haki kwako ni ubatili. Mungu akusaidie. Amen
@SuperNothern3 жыл бұрын
@@beshuuambarali4960 MUNGU akusaidie maana huna unalojua wewe, binadamu tunapaswa kuheshimiana kwenye imani zetu
@ramadhanichalachala5493 жыл бұрын
Manshaaallah Kenyatta kuamini kuwa mungu yupo na kujuwa kuwa Ni wito wa kwenda kumsujudia muumba
@joharhamis8553 жыл бұрын
Mashallah 🙏🙏🙏
@halimamasai22343 жыл бұрын
Maashaall kenyata hongera kws heshima
@kijonalusay3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah🤲
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah akulipe kher baba ang 🤲💕👏👏nikweli tumifunfishwa ivo tunaposkia adhana tunamanze mpaka itakapo isha ndio tuendelee na maongez. Nawe umefanya mashaallah 👏Allah akuzidishie barka namwisho mwema rais wetu tz tunakupenda pia
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Heshima kubwa sanaaa kwako Kenyatta 👊🙏
@Khaleed57673 жыл бұрын
YA ALLAH , YA RAHMAN , YA KARIM
@abigailkighombe19603 жыл бұрын
Uhuru is now speaking some sence❤️❤️❤️❤️I now love you more than ever before
@fadhilismnekajr85143 жыл бұрын
Mungu akusimamei katika uwongozi wako uhuru kinyata amen
@ramadhanimohamed1543 жыл бұрын
Big up Kenyata may Allah give u a long life
@martinkariuki93633 жыл бұрын
Our president is just a pretender,,,, Anapenda sifa sana,,,😂😂😂
@abdulazizkhamis3333 жыл бұрын
Mashaallah allah akubarq kiongozi nimependa hiyo dah!!! kwakweli sikutegemea allah akubarq
@kibasengasu57293 жыл бұрын
Allah akujalie kila la kheri hustler Uhuru
@hemedwow88023 жыл бұрын
kuna Elim kuuubwa sana hapo,kwa akili lkn!!
@valentinendivo8823 жыл бұрын
Wazi uhunye.....respect my president 👊👊👊👊
@nackishmwana23043 жыл бұрын
JazzakaLLah khair our Prezo
@maryiammohammed42543 жыл бұрын
Subhana allah
@mlanziarts73083 жыл бұрын
Nimeipenda sana inatupasa inapo hadhiniwa hadhaana tusimamishe Kila kitu isikike hadhaana tu.bg up rais wa Kenya Allah akuzidishie kher zake
@vanniemelody80783 жыл бұрын
Kubwa sana hii Allah bless you Mr. President Kenyata
@nouratymsellem81123 жыл бұрын
Mungu akubariki Mr President..KENYATA.... Kwa kweli ni rahisi wa kuigwa na mataifa mengine..... We lov u so much ❤️
@nassranassor86993 жыл бұрын
Mashallah Allah amuongoze katika njia iliyonyooka
@abuubakaraliy67383 жыл бұрын
Masha Allah raisi Uhuru wa Kenya Allah anakuita katika uislamu