Safi sana Dada, niukubali uchambuzi wako. Mudathiri siku zote ni mzito kutoa pasi halafu pale anapoamua kutoa ile nafasi ya kupenyeza mpira unakuwa umesha kuwa blocked. Halafu Mudathiri hafanyiwi substitute mpaka timu inazidiwa sana. Kocha anatakiwa awe anafanya substitute mapema
@schofieldodhiambo7957Сағат бұрын
Umejitahidi sana kuchambua mchezo wa leo. Kudos
@mariajames55582 сағат бұрын
Yaan huyu dada anaongea vizuri kuna baadhi ya wasemaj hauwez kujieleza hata hivi😂😊
@chemstry4093 сағат бұрын
Nakusi sana Dada yangu fanya heshima kwenye mpira unaokosea sana mpira pamoja na makocha by Professional....wewe hujui Mpira bora uendelee kuwa shabiki kuliko kuuelezea mpira..Thanks.
@YayayaJimmy-x8j Sikiliza ndg yangu kwanini nasema hajui Mpira? Eti anamlaumu Kocha Kweli?? Kwa elimu gani aliyo nayo ya kujua Mpira mpaka amlaumu kocha anaukosea sana, sana Mpira pamoja na Dar Young Africans na anakosea sana Kocha.....Mimi namshauri kwanza angeenda kusomea and then akija Public tunaweza kidogo kumuelewa lakini kwa sasa hivi is upsolute no no big NO....anaukosea heshima Mpira,Kocha na Club
@chemstry409Сағат бұрын
@juniorjotham1524 Huyu Mwanamke hajui lolote kuhusu Mpira hana heshima na Mpira na kocha pamoja na Club....kweli kama una akili timamu unaweza kusema eti Yanga hawana na 10??? Kweli??
@leonardmadelemo304312 минут бұрын
Mhhhhhhhh huyu Dada hapana....et yanga inahitaji namba 10 classical...mhhh cyo kweli hapo umepuyanga,hafu thn mbona rest defence nyingi interview yote nasikia TU rest defence,rest defence nyingi mno
@franciskayanda78842 сағат бұрын
huyu dada anajua mpira kuliko wengi wanaotupokonya haki ya kuuchambua mpira kana kwamba kuna vyeti,,sister ameongea key points sana tena sana
@kassidpandu8662 сағат бұрын
kipindi cha Tatu ndio kipindi kipi tena hichoo Dada
@YakoboAbiasaph2 сағат бұрын
Koma usiongee Sana utajifunza nini kila geme inauhitaji wake
@franciskayanda78842 сағат бұрын
asee huyu dada mpeni air time tunaojua mpira tutamfuatilia sana
@vincentkatabalo2862 сағат бұрын
Punguza ujuaji kila kocha ana game plan kutokana na matarajio yake. Unaboa
@roudhamahmoud7632 сағат бұрын
Msimlaumu dada kusema kipindi cha 3 ulimi hauna mfupa
@roudhamahmoud7632 сағат бұрын
Naamini kakusudiya kipindi cha pili
@ZaniaMohammed2 сағат бұрын
Anajifanya mjuaaaji toka uko huna lolote
@HarunakiongoziMohamed2 сағат бұрын
Msonda Hana kitu wewe kenge,mtakuwa tunaferi kila siku,