KERYLIN: YANGA INAHITAJI MCHEZAJI NAMBA 10 BORA/CHAMA NA MAX SIO WAKUWAWEKA BENCHI/BOKA AJIREKEBISHE

  Рет қаралды 2,557

KISHAMBA MEDIA

KISHAMBA MEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 18
@omaridodo9992
@omaridodo9992 Сағат бұрын
Safi sana Dada, niukubali uchambuzi wako. Mudathiri siku zote ni mzito kutoa pasi halafu pale anapoamua kutoa ile nafasi ya kupenyeza mpira unakuwa umesha kuwa blocked. Halafu Mudathiri hafanyiwi substitute mpaka timu inazidiwa sana. Kocha anatakiwa awe anafanya substitute mapema
@schofieldodhiambo7957
@schofieldodhiambo7957 Сағат бұрын
Umejitahidi sana kuchambua mchezo wa leo. Kudos
@mariajames5558
@mariajames5558 2 сағат бұрын
Yaan huyu dada anaongea vizuri kuna baadhi ya wasemaj hauwez kujieleza hata hivi😂😊
@chemstry409
@chemstry409 3 сағат бұрын
Nakusi sana Dada yangu fanya heshima kwenye mpira unaokosea sana mpira pamoja na makocha by Professional....wewe hujui Mpira bora uendelee kuwa shabiki kuliko kuuelezea mpira..Thanks.
@YayayaJimmy-x8j
@YayayaJimmy-x8j Сағат бұрын
Uyu dada anaongea mpira kwaualisia wake.nais ww unapenda wtu wanaosifia nakushaur msikilize gody yanga
@juniorjotham1524
@juniorjotham1524 Сағат бұрын
yan yanga haina ten Kwel?
@chemstry409
@chemstry409 Сағат бұрын
@YayayaJimmy-x8j Sikiliza ndg yangu kwanini nasema hajui Mpira? Eti anamlaumu Kocha Kweli?? Kwa elimu gani aliyo nayo ya kujua Mpira mpaka amlaumu kocha anaukosea sana, sana Mpira pamoja na Dar Young Africans na anakosea sana Kocha.....Mimi namshauri kwanza angeenda kusomea and then akija Public tunaweza kidogo kumuelewa lakini kwa sasa hivi is upsolute no no big NO....anaukosea heshima Mpira,Kocha na Club
@chemstry409
@chemstry409 Сағат бұрын
@juniorjotham1524 Huyu Mwanamke hajui lolote kuhusu Mpira hana heshima na Mpira na kocha pamoja na Club....kweli kama una akili timamu unaweza kusema eti Yanga hawana na 10??? Kweli??
@leonardmadelemo3043
@leonardmadelemo3043 12 минут бұрын
Mhhhhhhhh huyu Dada hapana....et yanga inahitaji namba 10 classical...mhhh cyo kweli hapo umepuyanga,hafu thn mbona rest defence nyingi interview yote nasikia TU rest defence,rest defence nyingi mno
@franciskayanda7884
@franciskayanda7884 2 сағат бұрын
huyu dada anajua mpira kuliko wengi wanaotupokonya haki ya kuuchambua mpira kana kwamba kuna vyeti,,sister ameongea key points sana tena sana
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 сағат бұрын
kipindi cha Tatu ndio kipindi kipi tena hichoo Dada
@YakoboAbiasaph
@YakoboAbiasaph 2 сағат бұрын
Koma usiongee Sana utajifunza nini kila geme inauhitaji wake
@franciskayanda7884
@franciskayanda7884 2 сағат бұрын
asee huyu dada mpeni air time tunaojua mpira tutamfuatilia sana
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 2 сағат бұрын
Punguza ujuaji kila kocha ana game plan kutokana na matarajio yake. Unaboa
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 сағат бұрын
Msimlaumu dada kusema kipindi cha 3 ulimi hauna mfupa
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 сағат бұрын
Naamini kakusudiya kipindi cha pili
@ZaniaMohammed
@ZaniaMohammed 2 сағат бұрын
Anajifanya mjuaaaji toka uko huna lolote
@HarunakiongoziMohamed
@HarunakiongoziMohamed 2 сағат бұрын
Msonda Hana kitu wewe kenge,mtakuwa tunaferi kila siku,
Как Ходили родители в ШКОЛУ!
0:49
Family Box
Рет қаралды 2,3 МЛН
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
24 Часа в БОУЛИНГЕ !
27:03
A4
Рет қаралды 7 МЛН
Tai Chi Master - Jet Li Full Movie English Dubbed
1:32:23
Jomari official channel
Рет қаралды 2,5 МЛН
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
12:39
CORAN POUR DORMIR QUI APAISE LE COEUR (Recitation magnifique) 2021
1:31:41
DOUAA PROTECTION
Рет қаралды 18 МЛН
Как Ходили родители в ШКОЛУ!
0:49
Family Box
Рет қаралды 2,3 МЛН