TIZAMA EPISODE MPYA HAPA kzbin.info/www/bejne/b17Uc5iPYpJrY9U
@SmilingEquestrianHelmet-mc7lk5 ай бұрын
Tuendelee jameni❤❤❤
@PrinceAmos-y8t5 ай бұрын
Tuendelee
@IzamesSimulizi5 ай бұрын
Tuendelee kaka
@U_Mach_moz5 ай бұрын
Tuedele🇲🇿
@assiawakana43345 ай бұрын
Tuendeleee 🇧🇮
@MercyKahindi-go2nr5 ай бұрын
Nyuki nampenda sana kwa ustaarabu wake jaman❤❤❤ nampenda ❤
@UTUKUFUMREMA5 ай бұрын
Donta donta donta mtakuja kunifilisi Kevin kevi kevi nimekuita mara tatu Mimi Hadi nakopa Ili niweke tu bando kwaajili yenu. Hongeren San mko vizuri🤗👌
@jamilashabani85805 ай бұрын
Mimi bando Hapana MIMI Nakesha,,, tuu Usiku,,, Yaan kazi haziendii kama hujasikiliza Hapa jaman akili haitulii
@PromesseAtemboSanim4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rodgersmwagu2395 ай бұрын
Kazi nzuri ila mna deni la kutuambia jina la wimbo , adi hii ikiisha msipotuambia jina la wimbo lazima tuwashtaki tumevumilia sana aiseeee na Bado tupo pamoja , (((((jina la wimbo)))))
@RamadhaniSalehe-e8c5 ай бұрын
Kesho yangu ndo jina la wimbo
@princekillian36405 ай бұрын
wakwanza from kenya 🇰🇪 much love 💖
@IzamesSimulizi5 ай бұрын
Kelvin Naomba sapoti yako na mimi sanaa imenipitisha kwenye maisha kama ambayo ww umepitia kwenye hii movie😢
@roudhamahmoud7635 ай бұрын
Mayasa umekwiva 🎉🎉🎉🎉🎉 hongera kwa kucheza vizuri party yako
@faudhiashaban7895 ай бұрын
Wazanzbar wenzangu na wengineee nipen likeee jaman cjawah pata vooo😮
@IreneTPamphil5 ай бұрын
Jamani Mayasa amecheza vizuri sana 😂😂yaani kama afande vile🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jamilashabani85805 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@GilbertAndrew-n4z5 ай бұрын
Mana nangoja nimuone jemsi na dolegumba na afande kisinja wakitumikia kifungo cha maisha na kunambi amssmehe kelvin
@NancyNomantiah5 ай бұрын
Sipendi vicky anavomuongelesha kevin utafikiri yy ndo maza house au mkubwa wao
@christinamwazembe7915 ай бұрын
kabisa yani, yani ananikera balaa
@Mimah866Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Justin_Nano5 ай бұрын
Leo na Mimi nimewayi💯🏃🏃🏃 Kelvin tuko pamoja like 👍 nyingi
@MaryKijo5 ай бұрын
Leo nimechelewa .nipeni like watu wangu🇰🇪🇮🇶
@josurenjoyo63715 ай бұрын
nimechelewa kdg jmn like ata 10tu
@NsajigwaMinga5 ай бұрын
Tujifumze kupitia muhusika kelvin kuto kata tamaa na kusahau yaliopita. mana Kelvin ni bado anampambania kunambi kutolewa jela 👍👍
@radjabuharerimana25385 ай бұрын
Nawakubali mno ❤❤❤
@PIERETV5015 ай бұрын
Nimechelewa kutoka Kenya munipee bc like hat 10 ❤
@malkialinah5 ай бұрын
Asanten kwa kesho yangu nampenda Kelvin kutoka tz ❤️❤️
@DinahNish-bm9sr5 ай бұрын
Acheni upumbavu wa kuomba like jmn au tufungiwe sehemu ya comment tuone hizi like mtazipata wapi😢
@MariaMagele5 ай бұрын
Bora hata umesema wanakera
@jamilashabani85805 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Wafumgiwe hao Wanao omba like
@IreanMbula-w2u5 ай бұрын
Ata ndio nashidwa badala ya wachangie kipindi kazi ni kuomba like
@AshuraAmady-c7b5 ай бұрын
We umeongea
@teidatusphilipo91775 ай бұрын
Sio ugomvi mbon mi ata moj sina
@Amina-i4r5 ай бұрын
Ila dole gumba huyu😂😂😂😂😂ywatumaliza 😂😂😂😂😂mayasa umecheza vizuri kama afande vile❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@thabitharange-vz2ru5 ай бұрын
Mimi ni no 61,waah watu nakuomba like haki 😂😂 nipeni nami pia guys team Kevin
Aya na mm ndo wa kwanza kabisaa leo jamn nipeni ata like basi
@ZebedeHAFASHIMANA5 ай бұрын
Wakwanza leo naomba likes zangu jmn🎉 nipo Burundi 🇧🇮🇧🇮
@جاااحظمجنون5 ай бұрын
Umepata hizo
@bostonbasta27375 ай бұрын
Sehem gan bro
@HilkiaMurunga5 ай бұрын
🎉
@stellahadelgotndunguru66325 ай бұрын
Sawa
@JohnMwiguru5 ай бұрын
🎉
@Giloramathani5 ай бұрын
Nimekua wakwanza mm Leo namm nipen like
@elizammari5 ай бұрын
Jamani wanaompenda jambazi tujuane maana anavyoongea mie hoi hahaha
@SalomeKawogo5 ай бұрын
😂😂😂😂nampenda sana
@saidamatonange53575 ай бұрын
Nampenda jamn 😂😂kaka jambazi yuko vizuri
@mohammedkidody56184 ай бұрын
Kweli kabisa😂😂😂
@santinosabugo21145 ай бұрын
jamani Mimi wa mwisho nimempenda dada askali naombeni like zenu
@EmanuelyChilingo5 ай бұрын
🎉🎉wakanza Tanzania nipeni like zangu
@reklessgaino54875 ай бұрын
fanya na cha 33
@mtakatifubony55255 ай бұрын
Vick na kevin waoane
@ellahmaketa69265 ай бұрын
Namba one
@HasmaRamadhan5 ай бұрын
Kazi nzur sanaa🙏🙏🙏
@Abizo6665 ай бұрын
Wa kwanza leo nipen like zangu
@RoseAmos-t1w5 ай бұрын
Wakwanza kutokaza nzanzibar naombeni like
@HilkiaMurunga5 ай бұрын
Zanzibar ni nyumbani tu
@emmanuelkimathi5 ай бұрын
Like zàngu nikiwa wa pili ,,🇳🇦🇳🇦🇳🇦🇳🇦🇳🇦
@manix2435 ай бұрын
Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 likolooooooooh 💪💪💪💪
@ZongweJacques5 ай бұрын
❤❤😂😂🎉🎉 nakukubali kelvin we Steven Kanumba. Napenda kaziyako bro.
@Meddy9935 ай бұрын
Vicky kadata huyoo haelewi yani😅😊😊❤
@SamuellGeofrey5 ай бұрын
Wakwanza mimi leo 😅😅😅
@deomasofaa5 ай бұрын
Haya na sisi ambao hatutaki like Like apa😂
@LuffyLuffy-z7h5 ай бұрын
Endeleza hii story juu iko fatanstic xn ❤❤❤❤❤
@Royce9915 ай бұрын
Daah watu munawah any way namm niapate ata 2
@ChancemaMusafiri2 ай бұрын
Nashukuru sana nimewafata tangu DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Benson-ys3ow5 ай бұрын
Nipeni like nimekua wa kwanza
@theodorachaki51745 ай бұрын
Asante kutuletea mwendelezo maoni muwe mnawaisha
@SmilingElectricity-mq6et5 ай бұрын
Wakwanza mm nipeni like zangu
@aglipaMichael-qw8bq5 ай бұрын
Wakwanza na mimi mnipe like 😂😂😂😂🎉
@jacklineminja-fg9ji5 ай бұрын
Tunaomkubali huyu kaka muhuni tujuane kwa like😂😂
@SalomeKawogo5 ай бұрын
😂😂😂😂mim nampenda ad bc anii
@Simba_Jr45 ай бұрын
Boss me natak kwenda kwa madibaaaa
@Robenwetoi5 ай бұрын
Leo nimewahi kabla ya lisali moja,,,ata likes kumi jamani🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AllenMmanyi-np2fq5 ай бұрын
Hiv nyie like lik z nn
@africanmoviesmovies5 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/enrChWWjhNmArpI
@Mimy_keys2 ай бұрын
Uyo Jamaa Mtoa Roho Ana Nikosha kbs 😂😂😂🤣🤣🤣 Salute...!!! Sauza Lazima Uingie 🫡🫡🫡😆😆😆
@sadockmshabi96345 ай бұрын
Naombeni like namm ata mbil 🎉❤
@leonardsylvanusi82895 ай бұрын
Jamani nipeni like zangu nimekuwa wa kwanza leo🥰🥰🥰
@vonpizzoychapuu65 ай бұрын
Ambao hamjawahi kupata like kama Mimi dondosheni like zenu apa❤
@africanmoviesmovies5 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/enrChWWjhNmArpI
@Dieudonnékabila-c2b5 ай бұрын
Mueende lèche nbaka mwisho.
@YunissMeshack5 ай бұрын
ila ndomtoage alk jmn khaaa
@HamisiChondo-wn8ds5 ай бұрын
iyooo chukuwa banaa
@danielboniphace2645 ай бұрын
Mm pia Leo nimewai bas like zangu jaman 😢
@Nedyjr5 ай бұрын
Leo wa kwanza jamaniiiiiiiiiiiii naombeni like zanguuu
@EdisaLaul5 ай бұрын
Wakwanza Leo naomben like zenu from🇹🇿
@ferouzmasoud31045 ай бұрын
Wa Kwanza naombeni like zangu 🤣
@TuyizereIssah5 ай бұрын
Wakwanza kutoka Kenya 5 like plz
@bakarabdallahlikane5 ай бұрын
2day I'm the first for comment and sea kesho yangu nipen like zangu
@valentineonyoni90655 ай бұрын
Thanks guys for your update. Representing Mombasa Kenya ❤❤🎉🎉🎉
@bacarNankodya5 ай бұрын
Wakwanza Mimi 🇲🇿 nigongueeni like zangu
@goudrasalumu5 ай бұрын
Wendeleye baba Wewe umemkaribia Kaka kanumba!❤❤❤
@BarakaAbedi-ne7pi5 ай бұрын
Kazi mzuli bro 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Eunicemakokha-gc9ss5 ай бұрын
Afande mkuu nashukuru Sana kwa KAZI yako njema kama mataifa yote yangewakilisha kesi na kukamilika hivi haku ingekua kwa wanyonge wote na hata watu wote WA tabaka la chini nawashukuru sana
@ParfuDaddy5 ай бұрын
Wakwanza Leo naombien like ata Kum
@ModesterYakobo5 ай бұрын
Mamb
@evansngeno52345 ай бұрын
Kiukweli naona kelvin ako na nia ya kusaidia kunambi sana kwa sababu ana roho mbaya❤
@IssaJaphe5 ай бұрын
Like kama zooote wa kwanza toka tz taborz🎉🎉
@MariamRashid-r5mАй бұрын
Jamani Maya anafanya kazi nzuri sana 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@AlessAless-rb4fu5 ай бұрын
Kevin mbn unachelewa sana saizi
@AlessAless-rb4fu5 ай бұрын
Tuende
@AminaathumaniSaidi5 ай бұрын
Nawapenda sana kelvin pamoja na watuy wako munatufunza vingi 🥰
@sadahamad61585 ай бұрын
Kila mtu aji like mwenyewe tushawachoka jaman 😂😂😂😂😂
@ErastoMruma5 ай бұрын
Hmna😂
@KolaFélicitée5 ай бұрын
Kiukweli naipenda sana❤, uyu chinjachinja anacheza vizuri sana
@EvalistoKenedy5 ай бұрын
Nimekua wa kwanza jamn Leo like zangu 😢 ata kumi
@AssumaniKakoziАй бұрын
Nashukuru sana vraiment kwa movie yenu kutokea Zambia
@Sayd-pi5lq5 ай бұрын
Leo team kv nime baatika weka like 2ende sw❤❤
@KhaniLugazo5 ай бұрын
Leteni vitu mbona mwatuboa bwana ❤❤❤❤❤❤
@allymuhilukiluwasha8795 ай бұрын
😢😢😢naombeni likes hata NUSU
@MwajumaRashid-zx3tq5 ай бұрын
Asikali nimempenda Bure uyo waki❤ kazi zuri
@kiya09105 ай бұрын
Mzee Hashim kambi nampenda
@officialkalengotalent20145 ай бұрын
Ilipendeza iishe ep 32 hii🎉🙌
@aliciavedasto80525 ай бұрын
Ata mimi bas wa 1.2K naomba like ata sijui za kazi gani
@kwejimisobi44915 ай бұрын
my super woman vicky❤❤, maneno yko huwa ni mazuri sn haswa unapomshauri mtu. Much love❤❤❤
@nemahk23615 ай бұрын
Hata hamuangalii mkamaliza mnakimbilia wakwanza kwan like zina saiidia nn utam wa movie niungalie mpaka umalize mnaboo
@hadijamwekilinga22705 ай бұрын
Wee acha tu yaani
@KhadijaJapheth5 ай бұрын
Tuendelee Wana donta kazi nzuri sana ... watching from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦❤❤❤❤
@colooboy5 ай бұрын
Wakwanza like zangu pl
@lameckmawuti97595 ай бұрын
Hard work kelvin team 😅😮😢🎉😂🎉
@KirivoloKakule-hu7ge5 ай бұрын
Mwanaume yeyote anae omba like ujue huyo hana nguvu za kiume😂😂
@NishimweDevotte-ci9of5 ай бұрын
😂😂😂😂 Kbis
@jacklineteresia26295 ай бұрын
😂😂😂😂
@MariamMariam-h8h5 ай бұрын
😂😂je mwanamke anaeomba likes nae ananini😂😂umenichekesha kweli n hii comment yko
@MariamRiziki-o8x5 ай бұрын
😂😂😂😂😂umeweza
@beautifulafrica68865 ай бұрын
kabisa 😂😂😂😂😂😂😂
@halifaalhabsi988312 күн бұрын
Mtego umenasa 😂utajieleza mbele 😅
@RammyanLewah5 ай бұрын
Hongerani sana kikosi cha kesho yangu, kukawia kwenu hua kunautayarishaji wavitu vizuri sana,
@PrettyAshaPrettyAsha5 ай бұрын
Kelvin amuoe vick jmn alioko pamoja na mimi agonge like jmn❤
@beautifulafrica68865 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@SarahJoseph-r1i5 ай бұрын
❤❤
@AliceAzzy5 ай бұрын
Kelvin endelea na moyo wa upendo MUNGU atakubaliki ata kwenye maisha yako 🙏
@RamaOmar-lq1uu5 ай бұрын
Wa kwanza kutoka kenya nipeni likes zenu 🇰🇪✌️
@NYENJENDEU5 ай бұрын
Oyaa Leo nimewah kabisaa bila kinyongo😂😂😂😂😂😂
@BRIGHTKOMBA-y5d5 ай бұрын
Naombeni like at kumi tu wadau wenzangu❤❤❤
@MaxamedCaliaadan-ch7iv5 ай бұрын
Honger sana majaraha uko sawa kabisa afandi may
@LoiceKatana-ci1tx5 ай бұрын
Nawapenda bure watching from kenya movie yenu ina mafunzo sana🎉🎉🎉🎉
@AminaMjeni-c7c5 ай бұрын
Muache aende tena kwa afande dudu 😂😂😂 kelvin mauwa yako baba🎉🎉🎉❤😢