Jamani. tuombee vijana wetu waokoke na kumjua MUNGU
@NeemaNgowi-n4oАй бұрын
Acha kudanganya watu et unamuabudu Mungu lucifa aliumbwa na Mungu ila alivyo mwasi Mungu akamtupa duniani
@ceedanstan67802 ай бұрын
Hunahata hayaa yakuweka kichwa chabari apo komea mwenyewe na familia yako kitambo ulikuwa wao kusema unasubri mtu kafa ndounasema ujinga fkria sana kaka dunia tambala bovu kesho kwako nahata huna aibu kabisaaaaaa mi macho sasa unavoyatoa 😢😢😢😢😢
@Roze-so4heАй бұрын
Ushidwe katika jina la yesu
@emmanuelngajilo36742 ай бұрын
Ukiona mtu kavaa kofia namna hii uwemakini na story zake!!!!
@Spark8Technoo2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 umenifurahisha wakati ni mambo ya uzuni tena uzuni Sana
@eliaichraymond12152 ай бұрын
🤣🤣🤣
@IskariMasawa2 ай бұрын
Nimejikuta nacheka duuh😂😂😂😂
@VeronicaNdunda-j8lАй бұрын
😂😂
@Rachel-q9mАй бұрын
Jamani..watu hawaogopi kua Kuna jehanam ya milele kwa waasi na wasio mwabudu Mungu Muumba Jehovah yaweh..haja gani niupate utajiri wahapa duniani wamda na mwishoe nafsi yangu ihukumiwe jehanam ya milele...😢
@EstherMusanga-f7dАй бұрын
Shetani ashindwe katika jina la yesuuuuu😮
@DainesLwaigamba-z7kАй бұрын
Amen
@KamoreNgangaАй бұрын
Hee mungu atuonee huruma
@HelenChalesАй бұрын
Liogo limelipwa linachafua watumishi wa mungu
@MagrethFyula2 ай бұрын
Tumuogope mungu jamanii tumuache apumzike kwa amani mateso na maumivu aliyo yapitia yanatosha sijui tanyamanza lini mimiiiii😭😭
@EsterAlois-d5sАй бұрын
Yesu atusaidie
@Elizabeth-o1i3o2 ай бұрын
Cwezi kuamini , hebu mwambie ambye hajafa asimame aseme ukweli ambye yumo huko freemason , na mbn mpo sambamba sana n watu wa MUNGU wasemeni wengne, mnanimalizia tu bando aibu tu , najua amepumuzishwa n mungu hamunishawi,
@mponjolimwatebela4555Ай бұрын
Hii story na maiko vinausinaje mbona kumchafua malehemu anajua yeye namungu wake
@CarolyneAtieno-g1uАй бұрын
Jana nikua n huyo freemason usiku sa sita😂😂😂😂😂 ishundwe
@doradaniely20362 ай бұрын
Usimchafulie kijana wa zabron kawaida mtu akishatangulia mbele ya haki mnaanza kuongea utumbo wakati kaka marco ni mzima wa afya mlikuwa wap mbn hamkuongea chochote ushenzi huo kaeleze mbele ya familia yako
@bernadetamushi2 ай бұрын
Pumbuvu sana hawa.. ogopeni Mungu
@HildaBernard-t3nАй бұрын
Mungu ndo anajua sisi hatujui chochot
@loicergerald2 ай бұрын
Mtu akifariki akawa na mali adi amabao walikuwa hawamfahamu wala kumjua utaskia alikuwa n ss freemason mara mganga alikosea masharti mara mke wa pili Mbn kipindi yupo hai hamkuonekanmnataft nmn ya kupat followers na watu wa kusubscribe😂😂😂 Acheni marco wa watu apumzike kwa amani n muache midomo midomo mtapat pigo moja hamtakujaa kuamni
@KasubiMasolwa-x9k2 ай бұрын
Mtangazaji na ww huna akili unaanzaje kuhoji mpumbavu kama huyo
@ceedanstan67802 ай бұрын
Haki niukwel umeongea anamarza mate yake mdomoni akihangaika na zezeta
@DanKirahi2 ай бұрын
Utube ni kitegauchumi tegemezi kwa design hii ya matapeli. Hii kwa sasa ni shida kubwa!!!
@ElikaHoseaАй бұрын
Acha uwongoo kenge wew 😅
@LovenesJames-l1zАй бұрын
Pepo wew shindwa na ulegee
@VeronicaNdunda-j8lАй бұрын
Stori za jaba,,,,,,,,, Kwanza hiyo kofia umevaa aje
@chisugimunvanesa2352Ай бұрын
Mupeleke uyo mutu Kotini,ni mujinga zaidi
@VeronicaDeus-x1cАй бұрын
Kwani ulizaliwa au ushidwe
@emmanuelmasinde18562 ай бұрын
Ashen
@mashramadhani19892 ай бұрын
Yupo kazini biashara matangazo..
@VeronicaRugoyi2 ай бұрын
Mbona wakati yuko hai mlikua hamsemi acheni uongo
@danielngove2 ай бұрын
Wacha kuharibia watu majina...waliyatengeneza
@emmanuelmasinde18562 ай бұрын
Schenectady
@eunicepetro4901Ай бұрын
Mumuogope MUNGU , MUNGU achangamani na giza
@PendoPogwa2 ай бұрын
Achani uongo hvi vjana mbona mmekuwa wavivu hamfanyi kazi mmekuwa wambea kwel l.