Ooohh pole sana ndgu zetu wa Enkikaret. Tuko pamoja, naomba tutume wawakilishi kwenye machinjio mfano Arusha, Kilimanjaro, na sehemu zinginezo ili wezi wasiweze kwenda kuchinja make ninachojua hawawezi kwenda kufuga, hao ni wezi hvyo watapeleka machinjioni tu. Lakini kwa maombi mliofanya naamini Mungu atawarejesha hao ng'ombe, tuendelee kuamini kuwa Mungu atatenda. Amen
@SamwelKitesho-jt9bz5 күн бұрын
Daaa pole San wamasai wenzang ni jmb la muomba mung atusaidie na kutuopusha na Bali mbl 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@LoitushulYamat10 күн бұрын
Tumeni watu kwenye minada na machinjio kubwakubwa na muwe makini kwani huo ni wizi mpya kabisa na unweza kuhuzsha watu toka mbali. Poleni maasai lang
@lufutamanhyabuluba71367 күн бұрын
😢mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi ameeen😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mejalepeta71308 күн бұрын
Pole Sana engaji e maa changamkeni machinjoni arusha babati kiteto kilimanjaro upante wa kuingia Kenya
@user-fw2jt2qk5u10 күн бұрын
Naaai Ntukuru Irmangatii 😢😢
@jamesloshilunye41410 күн бұрын
Duuuhh,,,Le maasai kanyoo ina
@janetymusa6108 күн бұрын
Kama ndo hivi wezi wa ngombe wanatumia magari kuiba alafu mbaya zaidi wanawaua watoto wadogo machungani.ebwana yesu tusaidie.
@MulengaAshell9 күн бұрын
poleni xana ndugu sangu mungu anuliwe daima maompi yenu ata jimbiwa
@paulkiok6 күн бұрын
❤❤ poleni xna
@IsayaIyasa9 күн бұрын
😢
@EliasBoniphas4 күн бұрын
Poleni sana ilagwana lenkai
@James-m7o3z2 күн бұрын
Poleni sana imasai lang
@MpSimelmollel8 күн бұрын
Poleni Sana tushirikian pamoja
@officialrpmbaula10 күн бұрын
Mmh! Polen ndugu zangu Mungu wetu sote atatupa jibu......
@BelingtonSaitoh9 күн бұрын
All will be well my good friends in Jesus name
@user-fw2jt2qk5u10 күн бұрын
Poleni sana Woii Enkiteng Namishaar Enkutuk Naaii Tadamu Iyiok
Poleni sana watu wa nchi yangu but hili tendo liangaliwe kwa uchunguzi mkubwa sana maana aiwezekani kama ng'ombe inaitwa tena inauliwa mtu kwangu Kam killah laizar hapo ndani tuu imeibwa hizo mali yetu😢😢😢😢 emakwa enayook igili aichirii irmaasai endolo mekiara Maote miigili iyook eng'oki engaji emaa 😢😢😢😢
@konemelau90689 күн бұрын
Ni jambo la kushangaza sana, poleni sana ndugu
@josephlaizar8710 күн бұрын
😭😭dahhh
@ezekieltate48778 күн бұрын
Tabia ya kuiba Ng'ombe na kumua mtu ni mbaya sana tena sana halipaswi kufungiwa macho mkishindwa kuwapata pasueni chungu tu