RAISI WETU MPENDWA AMEFAFANUA CHAZO CHA MAANDANO NGORONGORO HAIKUA NA NIA MBAYA KWA KUSEMA HAYA ILA KWA UPENDO TU SASA AMETRNGUA HII KAULI ILI MUENDELEE KUISHI NGORONGORO
Пікірлер: 210
@FadhiliMwaitete-ls2li21 күн бұрын
Kumbeee kweli mama Samia ndiyo chanzoo Cha kuwafukuza wamasai na kuwaleta warabu hili unalo sema kuwa ngorongoro baybay alilianzisha huyu mama ili alete warabu mmemsikia hapob
@Fatma-up9qs20 күн бұрын
Kwani waarabu ndio watalii ? Si wazungu ndio wengi watalii. Acheni kuzungumza utumbo nyie.
@WiliamSamanirai19 күн бұрын
Kumbe wewe ndio Simba ya ngarongoro
@NdondoSimbaJr13 күн бұрын
Fatumaaaaaa😢
@NAFTALIMUNDANGA22 күн бұрын
Sawa Mama wacha Ngorongoro isewe tena kituo cha utalii. Maisha ya watu wetu yana maana sana kuliko PESA. Hatuwezi wauwa watu (Watanzania) kwa lengo la kutafuta pesa.
@charlesolomi951422 күн бұрын
Watu wengine msipewe uhuru wa mawazo🚮🚮
@YohanaKuyato21 күн бұрын
Bora hiyo baibai kuliko watu wetu wawe displaced😂
@gabrieljohn642221 күн бұрын
Kwani hakuna Aridhi kwingine?
@gabrieljohn642221 күн бұрын
@@YohanaKuyatohii nchi ina Aridhi nyingi tu ambazo sio hifadhi, wapelekwe huko tu.
@uziasinkamba738019 күн бұрын
Embu tuwe na msimamo kama taifa ,ngorongoro kama miongoni mwa vyanzo vya mapato eneo lsiluhusiwe kuendelea vamiwa aridhi iliyowazi tz ni kubwa sana. sana.
@ShabaniBakari-p4r22 күн бұрын
Hapo nimeelewa sasa kumbe kulikuwepo makubaliano kabla,na baada ya makubaliano kukeukwa ndo serekali ikaamua kufanya jambo lake kama serekali,kwaiyo mama Samia na serekali yake wakaona utalii(au pesa)ni bora zaidi kuliko uwepo wa watu pale Ngorongoro daaah niatari sana.[ ama kweli pesa sabuni ya roho 😂😂]
@MashakaMagesa22 күн бұрын
Mama Watu wanazaliana
@OS-pf6op20 күн бұрын
Watanukie nje, nasema nje! Damn kuzaliana
@George-jz3jg22 күн бұрын
We mama kwakweli hautufai kabisa sisi watanzania
@babalao91022 күн бұрын
Kwani huo utalii ni Kwa ajili ya kina nani? Sio wananchi?.Au Kwa ajili ya wazungu
@frankmollel851021 күн бұрын
Ngorongongoro is not enough to be ngorongongoro without Maasai
@MariaMgeni-r7d22 күн бұрын
Wape tu hao ndugu zako waarabu
@AndrewShiratu22 күн бұрын
Mtarii haki kuona wanyama pekee.bali anakuja kuona hata hiyo jamii ya kimasai inafananaje.ndiomaana wanapiga nao picha wamasai kuliko hata hao wanyama.bolesheni tu namna ya utarii kuipitia na wamasai kama Moja ya vivutio kwa watarii.
@gabrieljohn642221 күн бұрын
Hapo tatizo ongezeko mbona hamuelewi? Kutoka watu 9000 mpaka 100000 + unadhani kuna usalama wa hiyo hifadhi tena hapo?
@EnenendoipoLaizer22 күн бұрын
Amin mama apo umetutendeya aki jmn na pia wewe mungu akusamehee kidonga mungu atume abiraim na sekieli akushukuwe
@HusnaIbrahim-d1b16 күн бұрын
Acha ujinga wewe watu na wanyama bora lipi
@fadhilisawe43422 күн бұрын
Mama hawa wasaidizi wako ngoja niwape akili: 1. Weka mpaka kati ya maeneo ya watu na hifadhi 2. Chora ramani kama za mipango miji wanakoishi watu 3. Gawa viwanja kwani kuna watu wanamiliki maeneo makubwa wasikuwa na kazi nayo. 4. Watu walipe kodi ya ardhi. Unaweza kuongeza watu ngorongoro badala ya kupunguza na bado wasiende walipo wanyama 4. Mwenye kujenga ghorofa aruhusiwe mwenye nyumba ndogo ya tope pia aruhusiwe. Namaanisha wagawane maeneo wanayoishi bila kuongeza mipaka. Sijui mama unasoma hii...
@Mosmwampa21 күн бұрын
Good idea
@martinkisha630722 күн бұрын
Tatizo kwanza hamko wawazi mngeongea nao wamasai wajue kuwa wanatakiwa kupunguzwa na kuwapeleka seheme ambayo ni rafiki siyo msomera kukame mno
@martinkisha630722 күн бұрын
Shida tunayoiona ni warabu kuwa kama makao yao ukweli warabu ni tatizo
@rayisadesigns264622 күн бұрын
Hicho ni kisingizio kisichokuwa na maana... unaambiwa ukitaka kumuuwa paka mpe jina baya.... na hicho ndicho kinachofanyika kwa wasiolitakia mema taifa hili.
@mkude22 күн бұрын
Nyinyi mnaowataja waraabu mmejawa na chuki na roho mbaya,mnawachukia waraabu bila sababu.hakuna mwarabu yoyote anaepewa ngorongoro.seriki inajutajidi kulinda hifadhi ya wanyama ili kusiwe na muingiliano na watu kuongezeka.mnaongea utumbo mliodanganywa na wansiasa
@sylvestercameo626322 күн бұрын
@@mkudeSi kwa chuki ya waarabu bali ni kwa wageni kumilikishwa urithi wa Taifa hili. Tumeishajifunza kichofanyika Loliondo kumilikishwa kwa United Arab Emirates kina maudhui hayo hayo kwa Ngorongoro!
@mkude22 күн бұрын
@@sylvestercameo6263 sasa ya ngorongoro hamulikishwi mtu huo ni uongo na uzushwi kusema anaepewa mwekezaji,serikali inataka ilinde hifadhi ya ngorongoro baada ya kuona wamasai wanaongezeka miaka ijayo itakuwa sio tena national park bila kuchukua hatua itakuwa makazi ya watu
@dicksonisrael549122 күн бұрын
Mama tu Naomba maisha Yetu yana u Muhimu Kuliko hilo unaloongelea
@gabrieljohn642221 күн бұрын
Mpuuzi wewe maisha ya Watanzania ni muhimu kuliko maasai wa Ngorongoro.
@user-us7re2fi4s22 күн бұрын
🔥🔥🔥
@ZakayoJoseph-g5p22 күн бұрын
Anachukuliwa na nani au unataka achukuliwe na waarsbu sio hapa mama heri wasawa kuliko na kingine tumia njia zuri kama unataka kuhamisha watu sio kunyima haki zao kama huduma za kijamii
@mkude22 күн бұрын
Acha chuki na uongo mliopandikizwa hakuna Cha mwarabu Wala nani kupewa ngorongoro.
@sadicksingogo26022 күн бұрын
Mama naomba wana ngolongolo,wape mpaka wao,itawsaidia na sio kuwahamisha
@gabrieljohn642221 күн бұрын
Kama utawapa mpaka na wao wanaongezeka idadi na eneo ni hilohilo haliongezeki unategemea nini? Suala ni moja wahamishe tu.
@ObediMelita21 күн бұрын
😭 Ngorongoro ni ya wamasai kauze Zanzibar
@jonathankessy961522 күн бұрын
Welcome UAE in Tanzania
@tumainimayala818722 күн бұрын
@@jonathankessy9615 🤯
@laurencemwanga644117 күн бұрын
Tuwaache ni wa chache sana. Uhuru wa kuishi
@StevenKisinda-x8n22 күн бұрын
Uzuri masai wenyewe ni kivutio cha utalii
@rayisadesigns264622 күн бұрын
Wabaki peke yao kama kutakuwa na mtu wa kwenda huko
@kitambatv836322 күн бұрын
Hahaha umenena nimefulahi sana
@jarnskorelly46422 күн бұрын
@@StevenKisinda-x8n kweli kabisa masaai ni kivutio cha watalii jamani uzalendo kwanza mahoteli makubwa ya nini serengeti zilikuwa loji to wakati huo nakukikuwa na watali pia
@jarnskorelly46422 күн бұрын
@@StevenKisinda-x8n nakumbuka tulikuwa tunaenda mwanza tulilala loji basi kulikuwa hamna mahoteli makubwa lilikuwa moja tu sasa hivi serengeti ni kama mji wa watu weupe halifu unasemaje watu ni wengi
@HijaSaid-xd7fg22 күн бұрын
Maoni yangu, kati ya wanyama na watu nani avunwe, maana wote wameongezeka
Ngorongiro bye bye duuu huy mama jaman😢😢😢 nyumba bila mwanaume haieshimik
@sebuyoyabiteyubwoba22 күн бұрын
Uvamizi wa serikali kwa kuwapa waarabu
@mkude22 күн бұрын
Acha uzushi na ujinga na chuki zako,watu wanatoa hoja za msingi wewe unazungumzia utumbo na propaganda munayoiendeleza,
@PatrickJulius-uy3yb22 күн бұрын
@@mkudeumeumia sana rahic anapo ambiwa uritaka asikosorewe yeye mungu hata mungu kuna watu wana mpinga sembuse rais achaujinga watanzania tuna jitambua na hatupendi uchawa kama wako unajua wamasai wameandamana sikungapi hadi reo rahic ndio anaongea unaajua hawapaati huduma za kijamii vp bob au unataka uwadhiri
@tumainimayala818722 күн бұрын
Sasa unategemea watu watakaa tu bila kizaliana??Acha ujambazi bibie
@knight675722 күн бұрын
🤔🐸
@rayisadesigns264622 күн бұрын
Binadamu hawazaliani kama panya hao wengine ni wahamiaji, tuache chuki zisizokuwa na msingi pakiharibika hapo mtakuja tena kuilaumu serikali imeachia hayo yatokee. Mfahamu hii ni sawa na vita ya kiuchumi kuna majirani wanataka hilo litokee watake advantage wanyama wahamie upande wao ili wastawishe pato la uchumi wao kwa kupitia utalii ktk eneo lao kwa kutumia wanyama hao hao, kuna jamii kubwa za wanyama huwa zinahama ktk misimu fulani kwa kufata mazingira mazuri yenye malisho bora kwao, lazima mtambue mazingira yakiharibika wanyama hao watahama na wataenda kwa majirani hilo litakuwa pigo kubwa kwa ustawi wa pato la uchumi wetu linalotokana na utalii, kwa sababu watu watakaobaki hapo kwa shughuli wanazozifanya hazitakuwa mbadala wa kufidia pato lilikowa likipatikana kutokana na utalii, kwa hiyo pia itapelekea kuzorotesha upelekaji wa huduma mbalimbali za kijamii ktk maeneo hayo na hata nje ya maeneo hayo... ukichunguza kuna wengine wapo interested kwenye hili eidha kisiasa au kwa malengo yao binafsi ndiyo maana wanapotosha kwa makusudi na hata kutetea ujinga. Tupo hapa ipo siku tutaona.
@mkude22 күн бұрын
Wewe ndo jambazi na famia yako yote,huna adabu na heshima, watu wamevamia Kwa wingi ngorongoro inakuwa sio sehemu tena ya national park baada ya muda itakufa serikali ikiwaachia
@YunisB-x9c22 күн бұрын
ALLAH AKUHIFADHI MAMAETU SAMIYA. NA KUPE KILA LA KHERI NA AKUEPUSHE NA KILA LA SHARI. INSHA ALLAH, ALLAH AZIDI KUKUONGOZA NA AKUPE MAFANIKIYO MEMA HAPA DUNIYANI NA KESHO AKHERA. INSHA ALLAH, ALLAH AKUZIDISHIYE UMRI MREFU, UMRI MWEMA NA AKULINDE NA KILA VIUMBE VILIVYO VIOVU. ALLAH AKUBAINISHIYE KILA MUOVU WAKO NA WAZIWEZE KUKU DHURU KWA AINA YOYOE. MAMA SAMIYA MJANATE MKONO MWANAO VIZURI MWANO MAKONDA NA MZIDISHIYE WANLINZI NA INSHA ALLAH. ALLAH NAE AMLINDE NA PIYA INSHA ALLAH IKO SIKU ATAKUJA KUSILIMU YA RABBIL ALAMIN. FI AMANILLAH
@MkoiTvTz21 күн бұрын
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU kzbin.info/www/bejne/qGTKpJmhaN-VerM MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu. Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻
@menaurukivuyo679622 күн бұрын
Mama wetu tunakulewa sana ila kumbuka uhai wa mtu ni muhimu kuliko ya mnyama kwani hakuna Siku mnyama atakuigia kura ata wawe wengi kiazi Gani,, pia kama unazoma ujumbe huu Basi usiache kutoa Neno Moja Kwa wananchi wanaoishi Kata ya Kwamatuku wilaya ya Handeni Kwani wanasumbuliwa Sana na hawa majangili wa kununua maeneo makubwa na kudai kua ni Hifadhi,,, kwa Sasa tunapo ongea Watu hawana makaazi Yao wanapokonywa kilazima na sijui watapiga kura Wapi Maana wanakuambia utoke na hawakuonyeshi paali pa kwenda na ukumbuke kua Hao wanaotolewa ni Wamasai walio hamia Uko Toka Arusha na Manyara Kwa kununua maeneo Hayo kwa Pesa zao,, Sasa Handeni imegeuka kua mbogo,, Naomba TU mh Rais wetu utusaidie Hili,
@gabrieljohn642221 күн бұрын
Msipe kura lakini kaongea ukweli hakuna Taifa linaweza kuwa na maendeleo bila kupangilia matumizi bora ya Aridhi sasa anapoguswa mtu au jamii flani inaona inaonewa mnako,sea sana, Dodoma Aridhi za wazawa zimechukuliwa kwa fidia ndogo sana kupisha ujenzi wa makao makuu ambapo ni majengo ya serikali yatatoa huduma kwa Nchi nzima kwa kila mtanzania, Turudi hifadhi ni kwa maslahi ya nchi nzima fedha za kigeni ndizo zinazo tumika kununua Madawa nje ya nchi vifaa tiba na mengineyo, ninyi mnaingiza taifa dollar ngapi kwa lipi?
@uwezawamungumkuu.amaniafrika20 күн бұрын
Acha tumwachie Mungu mtetezi wa haki. Amen.
@TotyMesha22 күн бұрын
Ngororngro we need piece.
@BakarYusuph18 күн бұрын
OK mama
@PhilipoMwita-b2x22 күн бұрын
Umepigaje hapo
@laurencemwanga644117 күн бұрын
Acha wazaliane
@evelina962122 күн бұрын
Mama.acha.maneno.yako.ya.kuambiwa
@hassanthabit372619 күн бұрын
Ardhi ni ya serikari hao wamasai ni kuwawekea utaratibu mzuri wa kuwapunguza. Lakini uifadhi wa ngorongoro ubaki. Mm kasema maamuzi ni yetu
@OS-pf6op20 күн бұрын
Ngorongoro ibaki vile vile kama ilivyokwepo wakati wa uhuru. Watu watanukie kwa kwenda nje ya ngorongoro na sio kwa kuingia ndani!
@janetymusa61017 күн бұрын
Hiyo ni yako .kumbe mnapenda wamaasai waumie nyie huko makwenu mnalima mnafanya biashara watoto wenu wanasoma kwa Raha wake zenu wanajifjngulia mahospitali yagarama mnajenga majumba ya kifahari makwenu huku wamaasai wanateseka.kwani wamaasai ni kuku ili wahamishwehamishwe.kuna coment nyingine ni za kipumbavu na kipuuzi,wewe shibe yako ndio inakusumbua siku mungu akikutapisha utakoma.kwenda!
@StevenMasunga-fd7xf16 күн бұрын
Hutufai
@JamesKirita22 күн бұрын
Akili ndogo hiii
@ClarenceHilaly19 күн бұрын
Zanzibar wakati inapata uhuru ilkuwa na wtu laki tatu na sass ni million moja na nusu nao wahahamishiwe omani
@JuliusPanga21 күн бұрын
Kwanini ipotee kwenye awamu yako? Mbona tangu Nyerere haikupotea?
@KalangsaitotiSaitoti18 күн бұрын
Duu! Mmuona hana huruma anadhamin wanyama kuliko uhai y mtu mpen pole sana huyo ni mama
@hassankidilikia556620 күн бұрын
Ngorongoro wana huza Tanzania
@MimutyeDilala13 күн бұрын
We mama ni Malaya sana yan unadhamin wanyama kuliko binadam mbwa ww
@uwezawamungumkuu.amaniafrika20 күн бұрын
Maoteli je yanayo jenga kila wakati?. Mama waache watu kwenye maeneo yao ya asili. Wekeni namna njema ya maisha ya watu na wanyama siyo kuwaona awana haki ya kuishi. Mimi namwamini Mmoja tu naye ndiyo Mungu mkuu aonaye yote na ipo siku moja atatoa hukumu ya haki kwa wote wanaowasumbua na kuwangaisha Wamaasai. Amen.
@FundiwaTikTok20 күн бұрын
Mungu wasikuhizi amevaa kaptula subili utaona
@SaitotindoipoNdoiposaitoti18 күн бұрын
We mama acha zako umekubaliana nanani kwani tuko Kenya au Tazania
@mishlay816420 күн бұрын
Wewe mama ni Rais wa Muda nchi hii kiila Rais atakuja atapita , lakini angalia sana unapokuwa kiongozi usiwaingize watu kwenye mgogoro usio na maana , mikataba ya hovyo , weka mikataba kwa sainzi ya miaka yako unayokaa ,
@DaimaNyakunga-jb6do20 күн бұрын
Haiwezekani wamasai kuhama haiwezekani heli ufutwe
@frankmollel851021 күн бұрын
Wacha nikuambie hatuami na hatuta ama kama unataka kututoa kafara kwasababu ya ngorongongoro ww tuuwe manake unaona Wanyama ndio muhimu yenu
@paschalpaul386220 күн бұрын
Elimu ya kuzaliana itolewe na pia uhamiaji wa wamasai kutoka kenya na sehemu nyingine ndiyo tatizo la ngorongo
@jedidahbintidaudi824118 күн бұрын
mmmh sasa nimeelewa. haya mama. ILa Samia jmni mrembo, shida ananenepa mashavu mama jmni..umrembo kweli2 binti Samia wa Suluhu
@JoshuaSamunge11 күн бұрын
Sasa uchimbajii wa madini mbuani Hilo hapana mheshiwa raisii, hapo ndio mbuga zile tunauwa kabisaaa
@hamadsheni899721 күн бұрын
Peleka jeshi mama.wayahudi waliondolewa misri itakuwa hawa.
@VictorNphilip11 күн бұрын
Kwahiyo wanyama na binadamu tujari wanyama kuliko binadamu
@Ezekiel-w6m20 күн бұрын
Rais wetu kua na hofu ya Mungu Wamasai nao ni watu
@karolikisaka899122 күн бұрын
Kwanza waondolewe wageni waliomilikishwa loliondo ndipo tuangalie mengineyo
@ipepeetube44920 күн бұрын
Waue sasa wanyama wabaki
@mishlay816420 күн бұрын
Wewe mama unatuuzia nchi yetu , kweli ? Kiila Mahali , nchi imenunulia na waarabu , hivi kweli tunaenda wapi?
@mwinyisaruni897422 күн бұрын
Duuuuh! Bado Ngorongoro nikubwa sana, lkn serekali iangalie hili swala Kwa makini jamani, watembelee wajuoonee hasara walionao wenyenyeji Kwa hifadhi kama hamna basi eneo letu la Ngorongoro Bado linatutosha na wanyama wetu, Ila ikumbukwe watu wanaishi kule huduma za jamii ziendelee kuwepo,
@mwinyisaruni897422 күн бұрын
Lingine jamani eeeeeh! Mungu hakufanya makosa kumweka mtu na mnyama kuishi pamoja, ndio inayouza Ngorongoro Kwa utalii tuwaachieni mungu kazi yake, tusiwabuguzi maana kazi ya mungu hainaga makoza,,, tuwe wamoja wa TZ, Tuipende Tz yetu , asanteni,
@aronymartin811722 күн бұрын
Wenye d mbili tushaelewa
@allynassoro844820 күн бұрын
Nashangaanhuyu Ni kiongozi wa aina Gani anaejali wanyama kulio maelfu ya raia wenye dhiki na shida mbali mbali jamani anaongea ata hofu ya M/Mungu Hana, halafu Cha kushangaza zaid eti anaenda kuwa mgeni rasmi katiatika kuidhihaki qurran
@NdondoSimbaJr13 күн бұрын
Mbona ni kidogo tu hii wamasai wabalishe makazi mwarabu huyooooo ngorongoro,mwarabu huyoooo ngorongoro.... TRA ndio jina langu la ubalizo😢
Wanyama ni bora kuliko wanadamu, umelaaniwa na uzao wako wote mshenzi huna akili
@imakitori39918 күн бұрын
Hautufai ww mama
@lecktondany825921 күн бұрын
Mh. raisi wangu ngorongoro ni kama Zanzibar ni kitovu cha utalii. Je ni sawa uwambie watu wahame maana utali unapotea?
@Jameskakola22 күн бұрын
Watu mama wanaumhimu kuliko wanyama wPeni haki za misingo gologolo ibski na masai tu
@georgejohnlimb707421 күн бұрын
Tu mpndwa hpa ilikua sahihi saana Ila Sisi waafrika tukfikia kumba kira aliefnya vzuri wanpka matope looo haya
@nicodemashaggite842920 күн бұрын
Sasa kama wewe mama kama Rais haujui nn Cha kufanya nani atakayeju?? Mmmm
@HaulSidney16 күн бұрын
Mbona wazanzibar wako wengi na kisiwa ni kidogo
@PendoPogwa7 күн бұрын
Na watu wanazidi pia kuzalianw
@frankmanyama597922 күн бұрын
Mnafiki sana huyu kumbe maneno mataamu afu matendo ya kishetani
@DiwaniMwafongo22 күн бұрын
Kwani watu na wanyama bora wanyama wewe bwege...hata idadi ya watu wako huna data!!
@ramadhanikabute198721 күн бұрын
Tupo wote mama
@faustinluambano295822 күн бұрын
Mwenye ndugu OMAN
@rayisadesigns264622 күн бұрын
Kimetokea nini tena?
@rayisadesigns264622 күн бұрын
Tunao kwani kimetokea nini tena?!
@Ezekiel-w6m20 күн бұрын
Watu nibora kuliko wanyama jitafakali ungekuwewe niwajamii yakimasai
@BarakaLonare21 күн бұрын
😢😢😢😢
@user-uo1lz1ub2r22 күн бұрын
haki ya mwananchi isikuwe ya biashara Wamasai wapewe haki yao Rais haiwesekani
@MmbagaMmbaga22 күн бұрын
Kwani hutaki watu wazae una akili kwel
@Voiceofpeopleotz20 күн бұрын
Sasa hiibni ajabu sana, mliwezaje kukubaliana mkuwa kama wataalam kwani amjui ya kwamba watu wanazaliana kwa uharaka mkubwa. Kwani Tanzania tulikuwa 60milioni? Sasa kwa nini mnaketa hoja raisi kiasi hiki. Sasa kama mliwaweka pamoja bila kufikiria hili kwa nini msiwaamishe wanyama au wanyama ndio wamaana kuliko hao watu?
@barakamisila22 күн бұрын
Mama kwani watu hawasaliani ACHA wamasai wakae kwaamani hapondio kwako .unazamini wanyama kuliko binadamu mungu hapendi
@laiserkuyan607521 күн бұрын
Samia washa kutudanganya Sisi watanganyika pona Uzi Rathilimali za kwenu Zanzibar wamasai wa ngorongoro walikuwepo kabla Ata wewe ujazalia iweje Leo unatupukunza kwetu
@PendoPogwa7 күн бұрын
Ko bora wanyama
@JosephatMathias-t7c22 күн бұрын
Mbona mnataka kuthamin pesa kuliko binadam? Mbona mnathamanisha wanyama kuliko binadam kuishi?? Yan binadam wengine b Wana, sijui mkoje Mkisha pata kautawala tu kidogo hamuwazi ubinadam tena, mnawaza pesa tu na jinsi ya kukaribiisha wagen watalii ili kujipatia pesa, Mko tayari kuwashusha thaman binadam wenzio na kuthamin wanyama na watalii, kwa sabb ya kutafuta ufahari wa pesa Nan atakuona wa Mana we Kama Rais ambae huwezi kuwalinda watu na maeneo yao kiss pesa? Napoli bado yapo meng tz Wahamishen wanyama kuliko kuwasumbua binadam, Hapo ndo utaonekana wa maanaa kama Rais usie wapa usumbufu watu wako Usilazimishe utalii eneo lililo Kwisha ishi watu weng kiasi hicho Hamisha utalii na wanyama usisumbue watu
@gabrieljohn642221 күн бұрын
Huo ni uhalisia kwa watu wa uhifadhi.
@richardmalwa319721 күн бұрын
Wanyama nawatu kipi bola
@florafrancis159820 күн бұрын
Hii ni kauli ya kushindwa
@JoshuaDan-e2d8 күн бұрын
Kuma mama remember 🎧🎧🎧🎧🎚️
@ipepeetube44920 күн бұрын
Sasa wasizae au ?
@adamamani881622 күн бұрын
Wote mnao wapa ki chw a wamasai hajitambui
@ZakeyoAsapia-b1k22 күн бұрын
Bora utowe wanyama nasiyo watu we mama vipi wengine walikuwa hawaoni mbona hawajawahi kuwahamisha watu FUTA hizo ndoto zakuwa toa wasai ili wanyama was baki
@florenceodida21 күн бұрын
Ata kuwa towa masai kwa ajira ni ukabila tu?
@jeremiahmollel16322 күн бұрын
Hapa mama utuache tu kwasababu
@AmonKulwa21 күн бұрын
Kama mnataka wabaki elfu 9 pelekeni wanaume mahanisi😂😂😂😊
@clotildatarimo784722 күн бұрын
Arumeru arusha na wenyewe ni wengi, vijiji vya kia na vyenyewe vimezuia ndege kutua, rombo, nk na kwenyewe kuna shida gani
@wiza230920 күн бұрын
Qameingia au ni wazaqa? Mbona mahotel mnajenga? Waifute tu kuliko kuhangaisha watu. Watalii hata wakija hakuna fedha za kigeni, hata dola 500 bank hupati. Ni aibu