Martha Mwaipaja afunguka kila kitu kuhusu maisha yake
Пікірлер: 491
@PeterwaltsGmlowoka2 ай бұрын
Congratulations madam But don't forget to live your life Martha I really love you with your songs
@saraoloo92512 жыл бұрын
Asanteni kwa hii interview nilikuwa nashanga Martha katoa wapi mtoto mkubwa hivyo kumbe sio mtoto wake wa kumzaa .
@stephenchinyamuka63023 жыл бұрын
Martha you are surely a great musician I wish I could see you performing rival
@helgahobiri10293 жыл бұрын
Martha be blessed Hakika umenifanya nimevuka viwango maisha ,, kupitia Kwa nyimbo zako naona maono yangu yakizimitizwa 🙏🙏🙏🙏🙏
@sharonrotich94732 жыл бұрын
God bless you Martha, The songs blesses me especially amenitengeneza... you are blessed mum.
@handersonmwandembo Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Martha akuzidishie alichokupa na akupe unachomwomba ,nyimbo zangu hunibariki sana zimenipa tumaini maishani kila nipotezapo tamaa ya kuishi,....asante sana Martha
@stephenchinyamuka63023 жыл бұрын
Martha you are so good I really enjoy your music I wish you can send more music to Zambia we like you so much
@JanetJano-f9l Жыл бұрын
I like your song they always encourage me❤❤❤
@fellyshey17982 жыл бұрын
Martha you're really blessed,,, your songs actually blesses me alot,,go higher and higher in Jesus name
@WinnieNyaboke-vc3ou Жыл бұрын
God may continue to bless you mommy ,,, actually I love the way you sing your songs,,,,sinanitia moyo saana💯💯❤
@Lilianmbeyu-ev2rw3 ай бұрын
Mungu akubariki Martha Mwaipaja nyimbo zako zanibariki sana ❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
@dominickiplangat97582 жыл бұрын
Martha, her songs are fully blessfull to me may God continue blessing you martha
@jacoboester45366 жыл бұрын
Martha mama mchungaji, unanibariki sana kwa maneno yako ya hekima, l note something from u dear, May God grant you
@angelkesale22096 жыл бұрын
Nakupenda sanaa Martha hasa nyimbo zako zinanifarij hata ninalipopita ktika magumu (naiona kesho) ilinifarij nakunipa nguvu God bless you sister
@labanmusa58764 жыл бұрын
Nyimbo zako ziko poa
@marymoraa56643 жыл бұрын
I love u so much I love ua songs so much. nikitazama nyimbo zako najua hata km hakuna matumaini ya maisha najua kuna kesho yangu .
@pirminmatumizi54644 жыл бұрын
Pole sana mama. Hilo ni Jaribu BWANA Mungu amemruhusu shetani-ibilisi "akupepete kama ngano" na ukiishaongoka, uwaimalishe wenzako. Mungu ni mwaminifu kwani ktk Jaribu hilo ameandaa ufumbuzi (mlango wa kutokea). Uwe na subira tu Mama. Mungu ameachia Jaribu hilo (ambalo Ni kawaida ya mwanadamu) likupate ili aidha akuinue (Yusufu); au anataka kulitukuza Jina lake (Ayubu); au anataka kuwavuta watu wamjue Yeye Mungu wa kweli aliye hai (Daniel na wenzie). Endelea na Bwana Yesu Mama.
@johnnyakeruri8094 Жыл бұрын
Your songs are inspiring,mungu akubariki sana
@sara.wanjalaalipoyesuyotey36136 жыл бұрын
Amen nakupenda sana dada yangu nyimbo zako zinanibariki sana God Bless you my sister
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Ni kweli kabisa, Sara hata mim nampenda nabarikiwa na nyimbo zake ant yangu naye anampenda haha ananikumbusha mbali hata mim nilikuwa napendaga kuimba kanisani kwenye kwaya utanikuta na Wakubwa kama alivyosema. Martha na shushu yani ni hatar sana
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Pole Martha Kawa kufiwa na baba
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Tusikate tamaa nayo nzur ahaa Kwa Msaada Wa mungu Ni nzur nilikuwa naipenda hata Kuna muvi moja ya wema waliiweka
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Mdogo wake naye Beatrice anaimba
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Ya house girl naye ni boss imekuwa mchungaji Kuna siku alimwambia a mwambie mwenziwe wewe ni bosi wangu na mimi ni bosi wako
@RoseMunoko-rr8st Жыл бұрын
My best singer n am blessed with your songs
@ODINDOSOPHY4 жыл бұрын
Mungu Azidishe Baraka Kwa Dada Mwaipaja, nyimbo zake zinabariki undani wa moyo wangu sana
@sharonkarikonyi65693 жыл бұрын
Nipo apa, nmebarikiwa saaaaana, nyimbo zake ni za pole pole,na ijili inaingia vizuri,2020 mnipe hea
@agnesslyatuu9936 жыл бұрын
Waao Mungu akubariki sana dada Martha nabarikiwaga sana na nyimbo zako.Na nimependa saana hii,house girl ni bosi kwa mtoto wa bosi ! Ameni
@naomydaqaro24116 жыл бұрын
Dada wewe huna zarau waimbaj wenzako wanaona wivu uko poa sana ubarikiwe
@eliciasamwel66246 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zako da Martha..Mungu akubariki..zaidi uzidi kumtumikia yeye
@abelanthon88636 жыл бұрын
A! mtumishi wa Mungu nyimbo zako nazipenda sana zinaujumbe wa Mungu tosha
@simiyucylvia23043 жыл бұрын
Blessings mummy Martha u r my mentor,,,,,,,barikiwa mama
@rosemalavi31724 жыл бұрын
Hi Martha u you really make me happy with your songs
@nyansomunda5715 жыл бұрын
Penda sana Dada Martha mungu akutunze na kkuza kipaji chako kila itwapo Leo kazi yako na muonekano wa upya tyuu
@praxidesam83736 жыл бұрын
Martha we we umebarikiwa sura nzuri tabia nzuri nyimbo tamu go go go on
@leabahati70604 жыл бұрын
Mungu akubariki sana maman napenda sana nyimbo zako zinanifariji moyo piya napenda namna unavyo ongeya ubarikiwe sana
@sarahsamweli85763 жыл бұрын
mungu akubariki sana dadaangu nakupenda sana pia na nyimbo zako
@phoebewekesa7343 Жыл бұрын
Be blessed Martha I really like your songs they are so encouraging and touching God bless you
@venerandahmutiovahenryhenr60482 жыл бұрын
Martha yu always touch my hrt thru ur songs,yu are really ablessing to many.mungu azidi kukuinuwa zaidi.
@liliankapaya80175 жыл бұрын
Mungu akubariki napenda kusikiliza nyimbo zako zinamitia moyo sana Mungu azidi kuluinua
@gracediamond65744 жыл бұрын
i love you Martha your songs r blessings to many souls
@bisengobubasha6 жыл бұрын
She's so amazing, I love the way she smiles
@florahvalema6646 жыл бұрын
Mafanikio mema
@kipngetichkoech1122 жыл бұрын
Tabasamu lake dah!
@FaidaRuamukaСағат бұрын
Hasante sana na penda nyimbo zako sana❤
@joetemba46146 жыл бұрын
Dada kuna wakati nyimbo zako nilivusha haswa ule wa usikate tamaa barikiwa sn Dada Martha mungu aendelee kukuinua
@agapemajaliwa72513 жыл бұрын
Martha anatubariki kwa nyimbo zake nampenda kwa sababu hajirembi sana ila rangi anapaka kwenye kucha sijahukumu utanisamehe nakuombea mafanikio usigeuke ukaanza kuimbia shetani au gizani i say barikiwa sana
@geofreymwanjoka48104 жыл бұрын
Dada Martha pole sana kwa hilo mimi limewahi kunipata kama la kwa nikarudiana naye mambo yalionikuta baada ya kuishi naye tena makubwa na baada ya kufariki Kwake ni aibu kusema usikubari kurudi Kwake utakufa mimi kakako nipo nakupenda na mungu nampenda toka ujana wangu. Ubarikiwe mwanjoka
@charlesboniface89446 жыл бұрын
Barikiwa sn kamanda wa Yesu dada Martha Mwaipaja nabarikiwa na huduma yk sn,kumbe dada Martha ni mcheshi sn me nakupendaga sn.
@margaretmshai70696 жыл бұрын
simple n natural beauty love you so much my best artist be blessed
@rukiamkumbwa77495 жыл бұрын
Margaret Mshai in
@dorcasmayala16604 жыл бұрын
Nimeongeza kukupenda
@augeniavitalis33806 жыл бұрын
barikiwa sana mtumishi wa mungu nyimbo zako zinanibariki sana tena saana na kunifariji pia
@lucieharudy97804 жыл бұрын
Nakupenda sana sana nyimbo zake nzuri sana nazisikiriza kirasiku ubrikiwe na mungu
@salomemattanga76336 жыл бұрын
Mather is a humble Gospel artist hata kuongea anabariki sana. kweli wokovu ni moyo sio vazi
@margaretmshai70696 жыл бұрын
Maneno ya hekima Mungu akubariki.nangojea album ya tenzi😘😘😘
@migeraveronica77194 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwanangu nakupenda mmmmmnoo
@evalineokuku81082 жыл бұрын
Thanks my dear sister for you encourage me somuch may God up lift you hire than this 🙏
@upendomkuwele35924 жыл бұрын
Dada Martha uko vzr saana. Mungu aendelee kukuinua zaidi
@maggykahindi6213 жыл бұрын
Nyimbo zako Martha zi nani bariki sana mungu akuzidishe huduma yako ddangu ubarikiwe
@frankmichael41586 жыл бұрын
Ameen isee napenda nyimbo zako sana zinanibariki, mungu aendelee kukuinua dada
@dorcussyokau71186 жыл бұрын
God bless you Martha,,, love ur music xo much
@jumakarenmoga26045 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Dada Una kibali kutoka kwa Mwenyezi Mungu, yani Maneno yaki yana Hekima..Nyimbo zako zanibaliki kabisa. Jamani Mungu aipanue kazi ya Mikoni yako..
@latifaabubakar42045 жыл бұрын
Nakupenda sana mdada .
@preciouslyakurwa86044 жыл бұрын
Mungu azidi kukutia nguv
@fadhilmollel64594 жыл бұрын
Martha mama chungaji unanifariji na nyimbo zako mungu akupe kibali cha kusonga mbele 💘
@hellenchepkirui12253 жыл бұрын
Nafurahia Sana kucheka kwako, nabarikiwa na nyimbo zko, God bless.
@mildredkhagali83572 ай бұрын
Martha yuko sawa katika maswali mungu akubariki sana.mahana bibilia inasema usihukumu na yeye anahenda vile inatakikana.
@richardomare37642 жыл бұрын
Barikiwa kuwa mvumilivu na nyimbo zako za maono nazipenda Sana. Zina cha ziada.
@fettymasoud56565 жыл бұрын
Mungu akubalk Sana Dada agu nyimbo zako in nzury Sana zinanishawsh nami siku moja niwe mwimbaji
@nobimgaya53596 жыл бұрын
Nakukubali sasa mama mchungaji nyimbo zako ni nzur sana na zinabariki
@steyllahzacharia55886 жыл бұрын
Yaan martha nakupenda sanà my dada,Mungu aliye hai azidi kukufksha vwango vya juu kpnzi changu, ur so beutful for everything
@elizabethnyange17115 жыл бұрын
dada martha nakupenda mpaka najiskia raha nabalikiwa na huduma yako nataman na mimi niwe kama wewe napenda sana kuimba
@sophiamwakila33006 жыл бұрын
Nimekupenda sana Martha unavyojieleza. Umenifanya nitoe machozi
@nurufwoma80396 жыл бұрын
Nakupenda sana Dada Martha, kila nikikuona nanikisikiliza album yako ya kwanza namkumbuka marehemu baba angu, kwani aliipenda na aliinunua na kututumia familia yake, natulibarikiwa sana. Mungu ailaze roho ya marehemu baba yangu. Amen
@nchambipeter57236 жыл бұрын
Nuru Fwoma pole kipenzi
@irenetobico18335 жыл бұрын
Kuongea kwingu kunahuharibifu kwingi. Kwel kbs dada Martha. Wewe ni mama hukurupuki tu lazima uwe na msimamo wako. Kwel kbs 😘
@nickosimchimba81765 жыл бұрын
Wanawake wachache sana kwenye kizaz hiki cha Leo wanao jiheshimu kama wewe mama!!shikamoo,YESU akutunzeeeeeeeeee
Gonga like kama na wewe umekuja hapa Kisha kusikia Martha kuachana na mumewe
@user-ed2jz5ym9u5 ай бұрын
Nakupendaka sana katika Kristo Fanya kazı. Vizuri ili siku moja Uwe na mwisho. Muzuri
@minzajoji92316 жыл бұрын
mung akupe maisha malefu Martha nakupenda sana Dada
@safaribicocero49163 жыл бұрын
Dada ubarikiwe sana chunga hudumayako mungu aendelee akuinuwe
@rhinaregina58066 жыл бұрын
Amen Mungu atubariki Martha you are best Singer.. Acha Yesu aendelea kutubariki wote
@norahkilemile32215 жыл бұрын
barikiwa sana maths binafsi na balikiwa na ww
@rosealpha1139 Жыл бұрын
dada martha nakupenda sana mungu akubariki
@sarahjonass20235 жыл бұрын
Napendaaaa sanaaaaaaa nyimbo zakoooo bcoz zinafarijiiiii sana kwa wale walio wanyonge wa moyooo
@emilianamalamia98024 жыл бұрын
Yaani mtumishi wa Mungu martha unanibariki sana, Mungu akutunze sana, Ila kucha hizo rangi, Ukikaa bila urembo huo unapendeza zaidi
@lawmarcusmwakagenda3556 жыл бұрын
Dada Angu nimekujua kwa upya zaidi ubarikiwe Sana kwa Kila statement yako imekolea munyu nimependa kukusikilza napenda nikuone. Umemwinua Mungu kwa dhati
@jeremiathadeo50605 жыл бұрын
Amina na barikiwa sana m2mishi wa mungu mungu akuimalishe uzidi kufanya Huduma ya mungu
@davidmgaya82305 жыл бұрын
Nakeshaga mpaka kucha nikisikikizaga nyimbo zako
@janethjustin55746 жыл бұрын
umejibu vizuri sana mama yangu zaidi mafuta ya roho mtakatifu yawe juu zaidi kwako my love mam
@joycelameck74843 жыл бұрын
Amina,amina
@abednegomuema56015 жыл бұрын
So lovely Martha.
@mishelimaiko64146 жыл бұрын
you are strong woman thanks mwaipaja kweli kuongea sana ina madhara makubwa sana
@lydiamacheso39076 жыл бұрын
Amen.. Mungu akutie nguvu nyimbo zako hunbaliki
@julietilugome29096 жыл бұрын
napenda sana nyimbo zako Dada Martha baarikiwa sana
@susanaatienoochieng37534 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kila wakati nkiskia hizo neno zako na wimbo zako na barikiwa sana amen
@zainabumwidini60206 жыл бұрын
nyimbo zako hunibariki sana martha,inuliwa zaidi na zaidi
@tadeikilumbe45336 жыл бұрын
ubarikiwe Dada yngu kiukweri nabarikiwa NA nyimbo zako xna na vilevile najisikia faraja xna kukusikiliza hta kuongea unaongea pointi xna na nyimbo zako za message nzri na sauti yko kweri ya udhuni ndni yko sauti ya furaha xna ubarikiwe yaani nashindwa hata kuelezea nice
@jeannekasayi37724 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada Martha! Nakweli Mungu alikufundisha kunyamaza, na akawe upande wako katika maamuzi yako
@sylvesteramwai71926 жыл бұрын
Kazi yako nzuri Sana dadangu ,,,,,,naiheshimu sana nikiwa hapa kenya,,'naiona kesho yangu'
@heavenlightemanuel54346 жыл бұрын
Be blessed Martha
@jovietyjosephaty59556 жыл бұрын
kwanz we mzuli saut nzul
@felisteremmanuel47455 жыл бұрын
Amina Barimiwa sana kwa kila kitu
@williethdelight89796 жыл бұрын
Nakupenda mtumishi wa Mungu. Hakika Mungu huvinua vinyonge. Songa mbele mama
@asiimweanthony90576 жыл бұрын
Nakupenda dada Martha, hakika nyimbo zako zinanivusha na kunibariki sana
@StellaS-ek7ex5 жыл бұрын
Nakupenda sana
@veronicamgeni13135 жыл бұрын
Yaan nmeenjoy sana kuckiliza kikaango iki nmependa sana maneno yako yana busara sana nakupenda sana Dada I wish I day yes in name of Jesus ntainuliwa
@carloskitheka54015 жыл бұрын
You are my all time best gospel artist.,be blessed dada.
@saradolaso97306 жыл бұрын
God bless you mama
@adamzakaria24636 жыл бұрын
Amina Dada Nakubal Nyimbo zako nzur zinabarik
@emmyykatindasa96133 жыл бұрын
Dada nimependa uimbaji wako nyimbo zako zinanibadilisha
@castrosiame63905 жыл бұрын
Nimependa kusikia unaishi na Mme God bless you! Wachache sanaaaaaa! Kama ww
@shanihebuka58506 жыл бұрын
Nyimbo zako n nzur martha ,mungu akuzdshie baraka
@anastaziamartin88246 жыл бұрын
wow!nawapenda wew na mdogo wako,mungu awarehem na kuwainua!
@upendomkuwele35924 жыл бұрын
Nakupenda saana Martha. Don't give up my sister
@Hellenah_Sufii Жыл бұрын
Very humbled Lady ❤. Nakupenda bure Martha
@rajabuhasan38565 жыл бұрын
mungu akutie nguvu katika kaziyeke rakini angaria usipende kuinuriwa nawanada mutumaie mungu tu wanadam niwamuda mufupi rakini mungu akikuinua hayupo mwanadam wakukusha amina urikiwe sana dadayangu