Wanao mpeñda kitale kama mimi gonga like twende bara baraaaa
@bukadicharles79865 жыл бұрын
Show Qali
@Noahhersi5 жыл бұрын
Kitale simba acting safi
@fadhilimachipsi46004 жыл бұрын
Uspompenda kitale utampenda Nan?
@ramadhannashili1543 жыл бұрын
Pàm1
@mussakizingiti35525 жыл бұрын
wale tunaosema bakari ndio Man of the match mikono juu😂😂😂
@faridaahmed25435 жыл бұрын
Bakari ninoma sana anajua kuekti sana nakubali kazi kakamkubea
@ashurakambangwa145 жыл бұрын
Wangapi ilivyoanza walijua part 1 kama mm?
@stivenkhanga97815 жыл бұрын
Kwan ni part 2
@mariomarioz56045 жыл бұрын
Mm
@bintimohammed32335 жыл бұрын
Mm hapa
@husnamagayane56635 жыл бұрын
Yan wa kwanza mm
@zakayokalinga78385 жыл бұрын
Ashura kambangwa ama nn😂😂😂😂
@mohamedswaleh46735 жыл бұрын
Beka....beka....bekaaaa!!! Aniaacha hoiya sana na anifundika kujipa shobo wakati hana huwakika na jambo ni mbaya sana yani tusirazame tu ila tujifunzee vitu pia big up brother kitale kwa wale waonao elewa kama mm tujuwane na like hapo twenda pamoja
@chataboetz26005 жыл бұрын
kama umeshangaa kdg baada ya kuanzia sehemu ya part 1 gonga like
@gilbertgill49795 жыл бұрын
Amani Asheri
@imansaid41965 жыл бұрын
Amani Asheri Nyimbo zote anaimba yeye
@alllialli76435 жыл бұрын
Kitale we nomaa so kwa ubabe huo ila bakar anafrahisha hajapat pesa mkononi mwake kakopa nyama hatari katumiwa laki kaanza jeur gar haina hata mziki 😂😂😂😂😂😂
@alllialli76435 жыл бұрын
😂😂😂😂😂bakwata hivyo hivyo
@mariammichael97735 жыл бұрын
Amani Asheri hata mimi bado nashangaaa ngoja nione mwendelezo
@happymboya90905 жыл бұрын
Kitale kukupenda tuu sio swali la kuuliza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mickymadinda62285 жыл бұрын
Hakuna Kama kitale afrika, shkamoo kitale heshima yako had siku ya mwisho we ni zaid ya bongo movie
@gladynaasi86715 жыл бұрын
Ama kweli Pesa isiyopo mikononi mwako usiipangie bajeti.. Utaumbuka
@munnababygal84605 жыл бұрын
Hakika
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Kwakweli
@agnesjoseph27555 жыл бұрын
Iko hivyo
@suzizuzulima22395 жыл бұрын
Ndivyo ilivyo kabisa
@enathalutha8425 жыл бұрын
Umeona ee
@re_up_gang5 жыл бұрын
Ogopa sana ku plan vitu na pindi ukiwa hauna cash mkononi ,,ogopa sanaa
@fatumahussein58145 жыл бұрын
Ndo tunajifunza
@judywabintitish92055 жыл бұрын
R.I.P kibuyuu😔 tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi
@salamahorace35492 жыл бұрын
Kinuyu ndio yupi
@bahatimwandwani67895 жыл бұрын
nakupenda mnooo kitare kwa kazi zako
@emmanuellukuwi3814 жыл бұрын
Nakubar sana kaz zako kitale ww ze best bongo muv Leo mm nimekuwa wa mwisho nipenitu lek jaman plz
@officalmagoogemagooge55545 жыл бұрын
tunao kubali kuwa maneno ya kuwambiwa 4life weka like zenu hapa twende sawa
@agnesdeogratius93675 жыл бұрын
Duuuh maskini beka weeeeee😭😢 Angalia movi then toa maoni kipi kiongezeke kipi kipungue like mnazipeleka wap
@najmasalimsalim27415 жыл бұрын
Asante umenisaidia
@kautharyramadhan72635 жыл бұрын
Wanakera 😣
@maherzain6155 жыл бұрын
Kawaida ya watu wazuka
@abdallah-gv2sk5 жыл бұрын
Another hits episode from kitale kimbiji muko juu sahii,u take swahili movies to another level good work
@yakiniramadhan89215 жыл бұрын
All in all pongeziii kwa kitale KIMBIJI........ VS...... MANENO YA KUAMBIWA
@claudboaz36915 жыл бұрын
Daa rest in peace kibuyuu daah kama umemisi kibuyu gongaa likee yakoo hapa an
@harmonizetz65955 жыл бұрын
Beka baada yakujuwa atapewa laki moja akaanza kulopoka 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@frankakuno.95115 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@lizzenock91235 жыл бұрын
Na baada ya mambo kuharbka Hal ndo ikawa kama ivyo Tena 😂😂😂😂
@jovintosssi32875 жыл бұрын
Eti naona safr ndef nn alaf bila msc😂😂😂😂
@abubakaryalmas76735 жыл бұрын
😀😀😀 Kasahau kama alikua anatetemeka
@harmonizetz65955 жыл бұрын
@@abubakaryalmas7673 😅😅😅😂😂🤣🤣
@abdulnaseermrisho43425 жыл бұрын
Daaaah Bakari bhnaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂 anapiga ma deal ya kwanzia Bilioni na Milioni milioni,BAKARI SIFA ZITAMUUWA 😂😂😂😂
@hafsahanif385 жыл бұрын
Baba chanja kumbe na huku hupungui😂
@hafsahanif385 жыл бұрын
Tukutane fb na soda zako za ku Google
@GamiTVOnline5 жыл бұрын
Kitale ni mtunzi mzur asee nipen like zake hapa
@aseelaaseela49135 жыл бұрын
Daaah aisee kibuyu bado namkumbuka sana jmn😭pumzika kwa Amanii kibuyu ALLAH akuwashie nuru ya milele kitk kabur lako 🤲
@fatmahaji56975 жыл бұрын
Kwan kafa kiukwel au🙄
@aseelaaseela49135 жыл бұрын
@@fatmahaji5697 Alifarik dear tangu mwaka 2018 March 😥
@fatmahaji56975 жыл бұрын
Daah kumbe me cfaham cjui nko dunia ya ngap
@aseelaaseela49135 жыл бұрын
@@fatmahaji5697 kifo chake weng san hawakuamin jmn daaah! ALLAH amruzuku pepo ya milele🙏
@fatmahaji56975 жыл бұрын
Ameen Inshaallah
@BIN_NOOR275 жыл бұрын
Uwoga wa bakari unamfanya hadi asome herufi za alif na kusema takbil allahu akbali😂😂😂😂
@fatmaissa66815 жыл бұрын
SHARIF BIN NOOR 😁😁😁
@khadijamambi44675 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@maryamammar14885 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂
@jokhaali91875 жыл бұрын
Mimi nacheka tangu mchezo unaanza
@sniperislam45475 жыл бұрын
😂😂😂
@jeffmauzo54835 жыл бұрын
Hahaha bakari utaniuwa wasema tumbo sio lako hahaha kitale asema la nani mashallah mnaweza sana
@mariammussa25405 жыл бұрын
Nimewahi wa 54 😊😊 Ila bado navunjika mbav na bakari😂😂😂😂
@festotz88245 жыл бұрын
mariam mussa mipang bila pesa nikelele
@jovintosssi32875 жыл бұрын
Et bos kafika bos kafika 😂😂😂😂😂😂😂
@mariammussa25405 жыл бұрын
@@@jovintosssi3287 😂😂😂😂Hatariiii
@mariammussa25405 жыл бұрын
@@@festotz8824 😂😂😂😂
@festotz88245 жыл бұрын
mariam mussa yan beka bhn et me bado nachek2 hahaha
@pelusiemanueli69265 жыл бұрын
Hahahahahaha kama umeona imeanza kama pat. 1. Gonga like twende saw
@gboy31384 жыл бұрын
Part 1 iko wapi jmn
@matakaspices64355 жыл бұрын
Me nahisi ile laana ya Bakari kwa mzee wake kwenye Maneno Ya Kuambiwa haijaisha.. Imehamia Kimbiji
@suzizuzulima22395 жыл бұрын
Hahaaaaaaa nimecheka kama mazuri vile
@jumamussa91165 жыл бұрын
Ahahahahaa
@ukhtyzainab72545 жыл бұрын
Hahaha
@hafsamansoor39775 жыл бұрын
Hahaaaaa
@eliakimumbwambo74364 жыл бұрын
Haha
@veesessy33185 жыл бұрын
Kwenye hal hyo ya beka,halaf mtu kma Kobelo anakwambia "Inaumaga hyoo"😨 wallah inauma😢😢
@shukurumangare80705 жыл бұрын
Unaweza ua mtu aisee
@veesessy33185 жыл бұрын
@@shukurumangare8070 yan unaweza kumtoa utumbo na kidole kimoja kama kitale😂
@shukurumangare80705 жыл бұрын
@@veesessy3318 haaaahaaaa nouma sana
@veesessy33185 жыл бұрын
@@maherzain615 ata bongo tunafanya but kumbuka hyo ni movie bro,it was meant to be that way
@jacobchallo96925 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃
@bintyk51495 жыл бұрын
jamani nikiomba like cpewi wakati kila cku nawahi jmn
@fatmanasornasor90475 жыл бұрын
Mume je upewe?
@mwajumaabdalah59954 жыл бұрын
Hivi hizo like huwa zinafaida gani au biashara
@kingcicero17085 жыл бұрын
Huu mwaka ni wa kaka @KitaleMkudeSimba hu gonga like ili twende sawa💖❤️🇲🇿❤️ From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@mariamnamwa1885 жыл бұрын
Kama umependa marafiki kama wa bakari gonga lik tujuane
@zakiahmwakikonyola39114 жыл бұрын
Jamani bakali duuuu😂😂😂😂😂😂😂🤣 adi urumaaaa
@annertz66675 жыл бұрын
Jamani namm toka maneno yakuambiwa mpaka kimbiji ndonimewahi nimekua mtu wa 181 kwenye comment
@nestoryphiliberth43545 жыл бұрын
njema ipo vzr yan kimbij ila maneno ya kuambiwa kiboko gonga like
@bintiiddy70435 жыл бұрын
😁😁😁😁Sasa jaman hii safari Mbona mbali hvyo yani Leo beka mbavu sina 🤣🤣🤣🤣🤣beka et namimi mznguaji😹😹😹😂😂😂🙆🙆
@angelangel-wq4sx5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣
@mwashbabytz24275 жыл бұрын
kimbiji kwenyew mbalii sio utan
@fatmamody91465 жыл бұрын
Leo nimechelewa 1.5k viewer 🇰🇪🇰🇪🇰🇪👣👣👀🎬🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@maherzain6155 жыл бұрын
Kwani ni swala hii
@selemigeto74965 жыл бұрын
Hai
@sitikisheto48045 жыл бұрын
Mbavu zangu mie na beka anasoma alf fataaa ndio duwa alio nayo kwakichwa chake😂😂😂😂😂😂😂😂
@angelangel-wq4sx5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Kazi nzuri Sanaaa
@samrankingfire50095 жыл бұрын
Leo nmewahi kuliko siku zotee, dondosha like hapa 💞👏👏
Nimependa ubunifu wenu mana hata mtoto unaweza kuigiza uke wenza na mama yako na bado watu wakakubali na wengine kukutaaa mko juu sana nawapenda wote
@chanutuchake99595 жыл бұрын
Nilipo ona mwazo nikaaza kuvimba kama kama umeshtuka ka mm gonga like twende sawa
@alphalechipya21345 жыл бұрын
Hahahahah wangapi walimisi msemo Wa kobelo inaumaga hyooo
@ropezpeter34655 жыл бұрын
Hahahahahaah bakari bhnaa
@nemaissa75673 жыл бұрын
Mm namba moja
@Jfashiontv5 жыл бұрын
Wanao angalia huku wanasoma text wagonge like
@perischarles13955 жыл бұрын
JFASHION TV kibooo
@zainabalex3885 жыл бұрын
Kamutajirisha kobelo🤣🤣🤣🤣asema hazirudi tena mfkoni zote zishe leo 😂😂😂
@massvpro4 жыл бұрын
Habari kitale hivi unajua hii timu uliyonayo Sasa niya kazi Usijaribu kulalamika au kukatishwa tamaa kivyovyote this is it. Wewe kwa hii timu ya maneno ya kuambiwa usikubali ivunjike usijali kipato peea zitakuja zejewe I like you Brother
@ashidonwafaida12845 жыл бұрын
masikini akipata matako uliambwata haiseee pole sana ndugu yngu Beka
@japharjuma66415 жыл бұрын
Wakwanza nan anabisha agoge like hapa show bakar nipe namba nikurushie hela kitale anakuuwa😂😂😂😂😂🇹🇿
@professormpakistanimweusi57665 жыл бұрын
Shukran Sana kaka kitale,Hongereni sana kwa kazi nzuri.mashabiki wenu kila kukicha dua njema tunawaombea.Kimbiji mwanzo mwisho hatari fire.kaka Kitale mwambie Kaka Beka Kazi yake naikubali sana,ila Azidi kuongeza Facial Exprecion, Isia za uwoga Instead ya Kuuzunisha kumuonea imani basi inatubidi tucheke,alafu naye pia Bakari Scene inambeba kuna wakati anakuwa anataka kucheka wakati .ila Hongereni sana Crue imekamilika hiyo.From +974 Ninawafuatilia sana nikiwa na My Wife Hapa. Tunasubirieni part 3 mashabiki Inshaa Allah.
@mwanashoogobo17855 жыл бұрын
We Bakari umetuma pesa kwa wrong number siureverse hizo pesa mbona gozi mpaka jamaa anatoa pesa.
@halimasssomar87935 жыл бұрын
Daa nijifunza kitu...pesa ambayo auja ieka mkononi..usiipangie💃💃💃
@anthonylister7545 жыл бұрын
mtu ashakufa, acha afe azikwe, we endelea na mambo yako 😂😂😂 kama unamkubali kitale gonga like please 👊
@veronicadaniel11225 жыл бұрын
Ck nikiwa msanii uhusika wa shida na mashida hapana kabsa maan maneno huumba ww bek maneno ya kuambiwa ulikua hvhv angalia icje ikuandame maishani nimeona wasanii wanaobeba uhusika wa shd kwenye life yao huwa hvo
@amshlynebaby84955 жыл бұрын
hahaha nilikua najua ni part one....ila kitale hamfiki kimbiji
@damsafir25765 жыл бұрын
Dah zischelewa ninja wangu kitale naaminia 🔥🔥🔥🔥🔥
@salumuaugust38604 жыл бұрын
Kitale nouma
@jacksongift58725 жыл бұрын
Jaman tumuembeen Bakari maaa huo mziki alio nao sio mchezo mtu alidungwa kisu kwa buku tu sasa yeye laki moja kazi anayo naona anatoa machozi ya razima
@agnesjoseph27555 жыл бұрын
Anatia huruma
@fatmamody91465 жыл бұрын
Wallah 🤣🤣🤣🤣🤣 yukonamziki mzito
@masoudmpinga41985 жыл бұрын
Number 1
@victoriadamas52615 жыл бұрын
kitale hongra kakaang, kweli umeamua kufanya mapinduz ya bong movee
@bukadicharles79865 жыл бұрын
Dah noma sana kitale bhana😆😅😅😅 eti watu wanalima mkaa dah😂😂😂
@husseinkudra19875 жыл бұрын
Nakubali barakari ametoka mmeno ya mamba? 😄😃😁 big up kwakutupa burudani yau akika (hussein kudra kutoka bujumbura )
@mariamkamote33485 жыл бұрын
Hahahaha bakari kavimba sura😀😀😀
@albait52275 жыл бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza Tim maneno ya kuambiwa
@maherzain6155 жыл бұрын
Na kwa swala pia kuwa wa kwanza
@shukurumangare80705 жыл бұрын
Da aisee ama kweli KITALE na TEAM wako mko vzr hataree mna daa yan napata burudan hatareee bongo la movie
@dignaerasto66995 жыл бұрын
Hivi nyiee wezangu mnaona km Mimi beka alivyonenepa
@enoshmhemakapaya5 жыл бұрын
Bongo movie wamenishikasafar hii sinajeur nnawafuatilia hawajamaa kuliko hatakulaaa!!!!
@danest-danest-5 жыл бұрын
Huyoo bakari mizimu ya kwao Ina msumbuwa kila film Mikosi yeye tu angalia isije tokea kwke kwei
@annexjay44345 жыл бұрын
Nakwambia 😂😂😂
@veronicadaniel11225 жыл бұрын
Sayuni Tiger Mm nikiwa msanii hakuna kabsa kuigiza shda zaweza kuja kwenye maisha halisi
@danest-danest-5 жыл бұрын
@@veronicadaniel1122 🤔🤔🤔 Hiloo kwli eti
@azdahalysaid28705 жыл бұрын
Bakari unatia huruma paka chozi lataka kunitoka Kitale movie nyingine Bakari mwoshee imuweke kwenye mikosi Tena Ila hongera yke anamdu saaaaan 😘