Julienne Heart da wewe hujaangalia ume commencement tu 😄😄😄
@elyonetv50905 жыл бұрын
Julienne Heart nimkubali kweli numbr one
@edwardmalimi89035 жыл бұрын
Julienne Heart hayaaa
@lussambokingwamishe5 жыл бұрын
Km unaamini Adam Aliweka bifu na mchawi uku hana zindiko weka like
@saadajumanne86565 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shamimuomary8315 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mwigonjimittego69755 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aishasalem25685 жыл бұрын
🤣🤣adam kiherehere tu sasa mganga kamtia uchizi
@maryamammar14885 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@marcokihongo73735 жыл бұрын
Huyu jamaa mwenye miwani ananiboa sana yaani sana, anaigiza kuigiza, anamcopy Ben branco a.k.a selengo. Abadilike anaharibu series nzuri sana
@kennybinsd68835 жыл бұрын
Kama unakubali maneno ya kuambiwa gonga like
@jumamagana31315 жыл бұрын
Naikubali kinoma
@mohamedkuchengo94773 жыл бұрын
Daaah bado naipenda
@benardmutayi57382 жыл бұрын
Iko fiti kinoma👌🇰🇪🇰🇪
@barakamgomba71115 жыл бұрын
Bora mlivyo maliza mi niwe wa mwisho maan kila mmoja wa kwanza leten like za mwisho
@ayeshiiddi82745 жыл бұрын
iii tabia ya kucomenty kabla ujaangali cpend nilikua wa kwanza yan ile namaliza2 nakuta wa80 mhhh 2much
@januaryrashid77345 жыл бұрын
Ayeshi Iddi hahahahah Atari
@balakatembo36425 жыл бұрын
Ayeshi Iddi 😂😂😂😂
@aseelaaseela49135 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@maryjulias63725 жыл бұрын
Hahahaha
@faithdaniel56525 жыл бұрын
Mm hata sijawahi kupata like nipeni basi 😭😭😭😭
@sakinamubaraka12465 жыл бұрын
Usilie bac😂😂
@naimakweyamba53405 жыл бұрын
😂😂😂 na comment nakupa ndungu
@hijazhija3165 жыл бұрын
Za nn
@janethjohnson58034 жыл бұрын
Faith dada angu kwani like Ni msosi? Mpaka unalia jamani
@misheckmrk88484 жыл бұрын
😅🤣😂 ok
@juhudimanga70115 жыл бұрын
Nipo kwenye mia bora naombeni like zangu jamani
@tumajuma69175 жыл бұрын
Uwa kuna watu wanategea tu wawe wa kwanza tu yani aisee😂😂😂ila sio kesi.
@ishaanizkeah88145 жыл бұрын
Nemewahi from 966 weka like tujuane
@chancelinechuchu73335 жыл бұрын
ishaaniz keah mimi bado nipo
@mamennassir78135 жыл бұрын
#87 oyooo naomba like wazee baba****
@fetyzakry66735 жыл бұрын
Alafu humu ndani kunawatu wana comment ata hawajaangalia ili wapate like 😀😀😀😀
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Fatuma Zakaria umeonaeeee
@mrfix65965 жыл бұрын
😁😁😁
@princelorenzomentalsickmin44415 жыл бұрын
Kama wewe🤣🤣🤣🤣🤣
@michaelsimon86525 жыл бұрын
Fatuma Zakaria Waooooooh
@abdhillahiabeid99615 жыл бұрын
Masha Allah we mzuri
@lapozzydone52035 жыл бұрын
Mungekua mwatuekea episode mbili mbili jamani hii moja moja munatuacha na hamu kubwa sana
@alidingongo4435 жыл бұрын
@MKOMBOZI TV 😂😂😂😂😂😂😂😂
@bantokenya65995 жыл бұрын
Governor wangu Sultan Joho mwenyewe ...kumbe tuko sote aisee kwely maneno ya kuambiwa yanahusu😅😅😆😆
@kusinimediatz67475 жыл бұрын
na wanakera kinoma
@maryjulias63725 жыл бұрын
Yan hta tungeekew kumi bad tungebak na ham tu tungetak kujua kinachoendelea
@yehosakitelanya96965 жыл бұрын
Hassan Joho
@mwanatalenttv5 жыл бұрын
dah! naisi sijachelewa kutazama wa 236 naombeni like za #kitale hapa.
@podinkonline86395 жыл бұрын
Mwana Talent i
@mwanatalenttv5 жыл бұрын
@@podinkonline8639 😂😂😂
@happymbissa68385 жыл бұрын
inaitwa kanyaga twende,,,,,,,, Kama kawaida songa nasi '''Maneno ya kuambiwa ''' Hakika ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@guigyclassic84905 жыл бұрын
Dhaa Sijapend mlivo niwahi but nimefrah kuamuendelezo hu from Dubai
@daudishabani90235 жыл бұрын
Sehm gn nij kktmbelea au hautk wgn
@tinahpeter98843 жыл бұрын
jmn pls nahitaji kaz dubai au oman
@rakbinhemidi39925 жыл бұрын
Ivi nyie ata ibada mwafanya ivoivo au kwenye maneno ya kwambia2 ??? Amwendi mbinguni
@habintyramadan85185 жыл бұрын
Rakbin Hemidi 😂😂😂😂😂Nawe ukiwemo 🤣🤣🤣
@rakbinhemidi39925 жыл бұрын
Habinty Ramadan mi simo sasabu nakywaga wamwisho😜😜😜😂😂
@fettyomy44295 жыл бұрын
Rakbin Hemidi hahaha
@Zainab-gu4ss5 жыл бұрын
halafu nyinyi mnao taka like mko wazima kweli maana si kwakudai like ivo
@wawakilishitvonline44845 жыл бұрын
Nakubali sana akuna kama hii bongo kama wakuliana na mm gonga LIKE YA NGUVU
@unknown_99425 жыл бұрын
Kama leo hujamuona kitale,Koku,kobelo, na muhuni wake na kitale Gonga like tyuwaone wiki ijayoooo
@barakamdalingwa65065 жыл бұрын
Wapili hata mungu atanishangaa Leo hi😂😂
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Baraka Mdalingwa umenishinda
@barakamdalingwa65065 жыл бұрын
Haha😂
@saidmohd50905 жыл бұрын
Huyu jamaa anaye taka Kununuwa kiwanja Anakula uugoro 🤣🤣🤣
@sikuzanimwashite97145 жыл бұрын
Mwendelezo
@wacmber21315 жыл бұрын
Waaahh nmewahi Leo...cjawai fuatlia movie za kibongo kama hii much love from +254
@sihabadaudi69955 жыл бұрын
Munabiwa munatoa kipande kimoja 2 a bora musitowe ata kimoja
@aishaemmanuel25195 жыл бұрын
Duuuh
@jaykillersesatz52355 жыл бұрын
pendekezo ningeomba viwe vinatoka vipande 5 kila wiiki kama unaungana na mimi gonga like twende saw
@athaum055 жыл бұрын
Tisha sana ndani ya dakika 50 views karibu 2.9 K comments karibu 200 MANENO YA KUAMBIWA kweli si ya nchi hii!
@danfordmwangesile90435 жыл бұрын
Tunaomba sana jaribuni kutuma japo episode 3 ili mashabiki wenu tupate kuifurahia zaidi hii movie maana ni nzuri kuzidi
@mejubaraza94155 жыл бұрын
Mkude cumesema utatuachis 21,22,23 mbona sasa
@fredrickwazimila05555 жыл бұрын
Mkude unazingua sana
@fedisobenady6985 жыл бұрын
Ndio
@francinejeanmarie81825 жыл бұрын
Asante sana kaka yangu ❤️❤️🙏💋22
@hannanameir4945 жыл бұрын
Jamaniii mm wa mwishoooooooo...km umenionea huruma gonga like baaad
@salmasoso98395 жыл бұрын
Ahsante kwa muendelezo mungu akubariki watuuuuuuuuuu njoen jmn kumenoga huku
@johnnypetus48245 жыл бұрын
Ebanaeee mnalala,mnashinda au mnaishi kweny maneno !!!!!!
@jessicakhamisi36535 жыл бұрын
Cjawah kupewa like toka nimeanza kucheki hii tamthilia like zenu tafadhar
@nuhadam475 жыл бұрын
jamn mko fasta mmeniwahi ila kama mnaamin sijachelewa niunge mkono kwa likes.
@missyabdull1425 жыл бұрын
We sichelewi siku hizi kuanzia sabini nashuka tu🔥🔥🔥🔥
@bintihassan65345 жыл бұрын
Nimependa Snaa2 ila bagi la pesa mpeni Amina jmn ametoka nalo mbali😔😔😔
@aminamrope97855 жыл бұрын
Mie wa 210😊😊watu mpo na spid Sana😃😃
@AaronJoshua5 жыл бұрын
Wenzangu wapi like zangu👍
@ramadhanimohammed56955 жыл бұрын
kama unakua wa mwisho kila cku kama mm tupoozane kwa like 😂😂😂
@hawata76145 жыл бұрын
Bakari love u bakar unatabia njm mpk rah Stan punguza uchch
@shafiikimeza75745 жыл бұрын
Naipenda sanaaaaaaaaaaa Kama unakubal gonga like
@bintysele69995 жыл бұрын
Leo nimekuwa mtu 115 gonga like twende SAWA
@daudintambala38965 жыл бұрын
Dada kwakucherewa kesho ulichelewa tena viboko alf vyamatakoni
@fetyzakry66735 жыл бұрын
@@daudintambala3896 😀😀😀😀😀😀
@bintysele69995 жыл бұрын
Daudi Ntambala 😂😂😂😂wy kaka daudi unitakii mema
@daudintambala38965 жыл бұрын
@@bintysele6999 unachelewa chelewa ovyo sasa ep ijayo uchelewe tena viboko
@deusmbassa70935 жыл бұрын
sasa bongo muvi nimeanza kuipenda naona tufika mbali big up kitale kwa sizon tamu
@idiembete96235 жыл бұрын
Mbona mmeweka moja tu . Mkude simba come on man
@hawaabubakar26195 жыл бұрын
Haha ukiwa mwenye mipesa unageuka kua boss cyo dogo tena mnunua kiwanja na muuza kiwanja wote hao umtembelea mwinyi mkuu kazi iko shukran kitale kazi safi hongereni mliyo shiriki from saudi Arabia
@justaemma42225 жыл бұрын
Jmn watu mmenishinda tabia mara hii mshawah HVO kma umewah ukihisi utakua wa kwanza na hujawa wa kwanza honga like
@latifakilimo23525 жыл бұрын
Watu wana lala ytb
@mohammedkhamis9575 жыл бұрын
Very good move bongo artist MNA jitaid aise
@mohdabdi41575 жыл бұрын
duuu mimi ni wa mwisho cku zote why
@johnnypetus48245 жыл бұрын
Mohd abdi pole siknyingin cungsana😚😚😚😚😚😚
@ilhammshana91435 жыл бұрын
😂😂😂😂 pole we upo km mm
@zenahoka62655 жыл бұрын
Ujakua wa mwisho wa mwisho ni mimi
@balakatembo36425 жыл бұрын
Mohd abdi mwenzangu namim😂😂
@nakafuirene42585 жыл бұрын
Walausilie wamwisho Leo nimie jamani inaumaaa.hivi nifanyeje kuwa wakwanzaa
@latifamchekenje67185 жыл бұрын
Duuuuh kuna watu mnasifaaa yan mda wote mpo KZbin
@fettyomy44295 жыл бұрын
Latifa Mchekenje hahahahh
@sannybaeofficial21495 жыл бұрын
Jamanii mnachekeweshaa kutulete Mwendelezooo
@sylivinebahaty54495 жыл бұрын
Ndio huyu mimi sasa leo nimewahi😂😂😂😂😂😂 @maneno ya kuambiwa series weka like za kutosha kwa series hii
@panchojronline85085 жыл бұрын
Nipo bega to bega na #maneno ya kuambiwa
@zaitunibakari66325 жыл бұрын
Sawa mzee nakubali nataka like zenu hapa😘😘😘
@mohammedkhamis9575 жыл бұрын
Watanzania mnapenda like kwan ugari ???? Ukipost vitu vya maan tuta like
@daudiraulentydaudiraulenty24485 жыл бұрын
Jacqueline haule mwinyimkuu yupo vzr sanaaaaa
@hubertpaschal26045 жыл бұрын
Ivi ukipata like nyingi unalipwa sh: ngap mahana kila mtu naona anaomba like
@wizzdytiger19135 жыл бұрын
Naikubali sana hii movie kama na ww waipenda gonga like apa
@franckprosper1664 жыл бұрын
Yutbu
@panchojronline85085 жыл бұрын
Sema nin Walejamaa waliokuw wakpgana hatujajuw mwsho wao
@beatriceshirima43845 жыл бұрын
Maneno ya kuambiwa bonge la movie
@yohanamasombe12675 жыл бұрын
Ndio chanzo cha beg kwa minaa
@hazrathassan11342 жыл бұрын
Tunaoangalia maneno ya kuambiwa na huku tunasubiria binadam wabaya tugonge like
@mwidukhamis52345 жыл бұрын
Kwani nyie mnaotakaga like mnazipelekaga wapi Kuna sehem zinauzwa,, 😂..?
@kapistoekyochi6975 жыл бұрын
Safi sana baba
@fahadymussa79425 жыл бұрын
17 oyoooo
@sheriffwaronga21835 жыл бұрын
Usimwiteeee dogooooo😂😂😂😂😂jama deal yake ijaivana😂😂😂😂😂
@priscamlyuka55315 жыл бұрын
Duh sio mbaya nimechelea ila hakijaharibika kitu wadau dah kitale big up sanaaaaana
@mngazijatv79995 жыл бұрын
jamn naomben ata like kumi2
@abdyhussein91765 жыл бұрын
Augastino Mngazuja acha kitabia chakuomba like kijana
@khadijaburhani71475 жыл бұрын
Tamthilia nzuri sana
@mtumwawayesu19565 жыл бұрын
Khaaaaah....hatareee sana wakuuu....iko saaaaaaaaaaaf au sio...
@emmyraymond68935 жыл бұрын
Leo cjachelwa San km unamkubal Adam na kitale like hapa
@tryphonefriday41305 жыл бұрын
Maneno ya kuambiwa iko poa sana sema namkubali sana kobelo chapombe
@teamkiba5 жыл бұрын
Kali sana dogo
@kapayatzchanel29765 жыл бұрын
Poa nipo wakwanza like jameni @@ lov from🇲🇾🇲🇾🇲🇾
@jifunzetv71995 жыл бұрын
kapaya Tz Chanel
@kapayatzchanel29765 жыл бұрын
@@jifunzetv7199 yes my nigga
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Duuh imeishia Patamu jamani, Shukran sana na Hongereni sana kwa kazi nzuri. Chapombe na Coku nawamic.
@geofreykupenda21475 жыл бұрын
Mie naona wa mwisho plz nipen hata like 1
@mohamedswaleh46735 жыл бұрын
Hahahahahahaaaa daa!!! Kitale sasa nitakuomba utumie mm kwanza maana humu muna watu wako machoo sio mchezo.bongo movie mm nakubali sana MANENO YA KUAMBIWA big up sana brother kitale with all team members wote
@nasmafarmsltd91465 жыл бұрын
Kwa ķwèĺ Mo
@khalidhamis58115 жыл бұрын
Hongera San bakali unahekima San ktk movie hii
@judithoyier71005 жыл бұрын
Nmejitahidi kuwahi ingawa nmechelewa
@lekokojulius9495 жыл бұрын
Kama wewe uliwahi kwenda hosptalini ukaambiwa uliambiwa towa ulimi nje like hapo sambamba.
@rebeccaadonias14465 жыл бұрын
yani mnajua sana sauti ya kiwango maneno yanasikika mnajua kuigiza nawaelewa sana yan niliona siku moja ila ikabidi nifatilie kuanzia namba moja dah big up✌✌✌✌
@braymwajombe10745 жыл бұрын
Twende sawa mbaka mwisho
@vyizigirojustin3465 жыл бұрын
leave a like if you enjoyed the movie
@tunuyaomar50175 жыл бұрын
Kazi nzuri ila leo mmechelewesha sana
@chassmamwenga20345 жыл бұрын
Mzigo mkari ila cjauelewa sana hapa nimemuelewa bakari tuuu ndio amenikosha maneno ya kuambiwa juuuuuuuu
@nyokamuddy41945 жыл бұрын
"We Hafidhi hucmwite dogo huyu cyo dogo".Nilishawah muona mzee anamwamkia mmama ambaye bila shaka yule mama kazidiwa miaka hicyopungua saba na yule mzee.PESA PESA PESA.
@bimwanabahatihajji2824 жыл бұрын
maneno ya kuambiwa jamani unamafundisho kila nyanja BIG UP MTUNGAJI.. na waliomsaidia..
@ibrahimarmour47115 жыл бұрын
Hayaa mm nisharizika niwe 161 Kama umechelewa km mm gonga like
@Zix-yb1ci6 ай бұрын
Da hii move ilikuwa nime I miss sana da nime furahi sana nilipo iona 😊
@elinaikeandrew13775 жыл бұрын
Pumbavu amna kupendana kwenye ela
@kingtv56005 жыл бұрын
Elinaike Andrew nakupenda pesa Zipo njo 0620296852
@ismytime20095 жыл бұрын
Hakika mussa kitale kaamua kutuletea elim kubwa sana ktk maisha ya sasa tunamengi ya kujifunza hum
@dakhlilahally11785 жыл бұрын
roho imeniuma sanaa nimekaa nasema satatu kamili nawahi kuwa wakwanza kuona kumbe nimesahau south na home tumepishana lisaa limoja dah!
@iqrammaduro72615 жыл бұрын
Hii ndo Episod ya kwanza scene moja imetumia mda mrefu na kufanya vipande viwe vichache. Hapo hosptali pametumia mda mwingi sana. Big up kwa kila aliyeshiriki hii filamu, Tutakua wenye husda kama si kusifia kilichofanyika, mwisho wa siku hii ni kazi ya akili inayowakilishwa kwa vitendo, kukosea kupo. Hongera zana Kitale mzee kaka.
@silyvesterathur27984 жыл бұрын
Bana mbona me nmekua was mwisho kwenye like mmeniwai
@queen-vc6de5 жыл бұрын
Daah nampenda beka 😍
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Wallahi nyinyi watu wa youtobe mpo chonjo mi najua nimewai kumbe mmelala hapa 🤣🤣🤣
@florarose16265 жыл бұрын
Wow kitukizuri sana
@stephanojems42415 жыл бұрын
Saf wazee kaz nzul sana
@salehedaudidaudi59925 жыл бұрын
Kwakwer hii familia kwer ya shida laha znawenyew
@clavery-verisnicholouc20625 жыл бұрын
Beka nakuelewa anza vitendo huyo dogo kiwembe tena topaz'
@kingkongmadiba31745 жыл бұрын
Stan umecheza vizur sana.....!!!
@kanyefuprince69935 жыл бұрын
Uyu misichana ni mu jinga sana kwa nini ana amini kijana na ku mupea bag ya pesa uyo ujinga zaidi wa wa sichana nipe like kama we wewe hauna ujinga uyo
@jacobpesto37695 жыл бұрын
mi wa kwanza fanyen kumwaga hzo like
@hudaasalim90705 жыл бұрын
Daaa ikopoa sana mkude twende kazi mwendelezo plz
@sadrikhamis12865 жыл бұрын
Namie naomba likes nmwahi kabisaaa
@3rfahoman3855 жыл бұрын
Jamani mm ndo wa mwisho au ila cjachelewa sana nawe kama ujachelewa kama mm like hapa
@evelynmathew90575 жыл бұрын
Ivi ukipata likes nying unapewa pesaaa au??? Maana hata sielew watu wanagombania like🙌😅