Nchemba na Makonda Magufuli aliwapiga chini sasa wamerudishwa hasira zao ni kwa viongozi wengine sasa Mh. Rais awaone hawa kuwa hawakuwa watu wema.
@GilbertGombeye5 ай бұрын
Kuwataja na kutowataja hakuna maana yoyote lakini tunaomba kwanza muwataje waliokuwa Hela za waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya Arusha tangu mwaka 2000 mpaka Leo mbona hamuwataji mpaka leo
@FadhiliMwaitete-ls2li5 ай бұрын
Kamani 😮😮😮 mwiguru na makonda nyiyee niwanafiki sana ccm niyenu wenyewe leo mnaanza kuvuana nguwo ili tu mama samia raisi wa nchi awaone ni watu wema kwake ili awape uwongozi 😮😮😮😮 sasa uchawa wenu autaleta maana yoyote kwetu watanzania kwani mwiguru na makinda ni wachumia tumbo tuunafiki wenu utaonekana tuu
@leonardfungo5 ай бұрын
Maisha yamezidi kuwa magumu zaidi hapo Mwigulu usitudangaye labda kwake anayefikia kuwa na pesa mpaka ananunua timu za mpira analipa mishahara wengine kwa fedha za kigeni kweli kwa upande wake yupo vizuri sio Watanzania
@maggiehiza58845 ай бұрын
Yote hiyo si ni mikopo ambayo wananchi watalipa? Acheni kudanganya wananchi.
@KenedyMwaipaja5 ай бұрын
Huo ni mpango mkakat wote hao wanazusha vitu then wamtoe kiulain kwenye kuchuku form 2025.. nyie subirin picha limeanza salata😂😅
@GilbertGombeye5 ай бұрын
Hela za kuwa lipa waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya Arusha zikowapi
@GilbertGombeye5 ай бұрын
Watajeni kwanza waliokula Hela za kuwa lipa waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya arusha
@bwanapima84735 ай бұрын
Hawa watu wachukuliwe hatua stahiki wakome na wasirudie tena