Eti muungano una faida Gani kwetu watanzania? Wapinazini wanaeleza viziri kuhusu muungano lakini kila nchi Ina rais wake na mamlaka yake kamili muungano tunagawana nini?
@ZablonKibuga-ef9gw22 күн бұрын
Wewe unaeleza badala ya kuacha tusikilize hicho alichokisema Mwigulu na Lissu.unaungaunga kutumalizia mabando yetu. Kuwa mstaarabi
@ChristianMkumbo-ix2ke23 күн бұрын
Watanzania tunawami sana wapinzani hasa wapinzani asitulete upuzi wake
@shimarevo370127 күн бұрын
Huyu kijana ni 🔥 ananichekesha mpaka natokwa na machozi
@KeisiMwasanyikaАй бұрын
😰😰
@SiilalevasianonzaroАй бұрын
Uko vizuri sana kaza komaa
@alainpicainirakoze-rz2ntАй бұрын
Jama huu anaweza kbx
@JeniferMinjaАй бұрын
Apo kweny dibeit shule atar😅
@OfficialabshryАй бұрын
Kipotoshi..... Ni kidanganyifu
@Lulumassawe001Ай бұрын
Duuuhhh jmn Leonardo naijuw huo et ''mapenz n mbel 2 nyum mwiko'' nimeielewaa hyo big up sanaa kwakoo unanikoshaa hatar❤
@ezekieldeus60222 ай бұрын
Mweshimiwa tundu lisu tunakuelewa Sana kinacho subiriwa hapa ni muda tu tunakuomba awamu hii ugombee nafasi ya urais, na MUNGU akulinde.
@user-ih6yy3so5q2 ай бұрын
Wape wape AKILI coz they are numbs
@ramadhanhassan52852 ай бұрын
Kwanza nape na kundi lake ndo wezi mana alivyo kua tuu wazir wa mawasiliano dah mungu ndoanajua ametubia sana mb
@deusdebitkowa96572 ай бұрын
Aisee!!! HATARI SANA.
@amourmzeeali84642 ай бұрын
Tundu wewe udini unakusumbua hebu weka wazi kwanza muungano huu wa Zanzibar na Tanganyika wameongana nni na rais wa Tanzania anatakiwa atoke wapi na makamo wake atoke wapi kwaiyo mama ni alikuwa makamo wa raisi ila katiba inasema rais akifa makamo ni atakuwa raisi pia hebu wakumbushe kipindi rais ali hassan alikuwa rais wa Zanzibar nan akachukuliwa kuwa rais wa Tanzania kuna Mzanzibari au wewe uliweka kelele kama hizi au yye alikuwa Mtanzania.
@user-wf8eb6nm4s2 ай бұрын
Rais wa Zanzibar ni mtanganyika mbona husemi
@umlaith26112 ай бұрын
Tumeshakuchoka Sana wee Mzee. Usitake madaraka ambayo huyawezi kuyapata.
@monicamwita78652 ай бұрын
Nape mwizi hili la mkono
@user-fw5qw2ew6w2 ай бұрын
Ukweli mtupu
@MwitaBoy-pn5rm2 ай бұрын
Ila bwana risu ww ni mwanaume wakweri au ww ni mkurya jasiri kwerii
@taitatimotheo30752 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu lisu una akili sana ndugu nakupenda bule
@hassanrwitita25032 ай бұрын
Nape anajua kuwa TL anabagua wazanzibar mbona yeye ana ubaguzi anatunuima umeme kutwa maji matibabu galama kama tunabaguliwa Tu huku kusini umeme ni kitubcha anasa
@yohanaibrahim41282 ай бұрын
Iissu ni jembe
@yohanaibrahim41282 ай бұрын
Iisu umepiga penyewe duuu mi nilikuwa sijuhi
@user-eg1fi6gi7b2 ай бұрын
Nape anapanua mdomo lakini hayo anayo tufanyia tunamuajia mungu
@filbertnyoni23522 ай бұрын
Elewa neno mimi hawanizongi zongi ila angekua mwingine wangemzonga
SISI WATU WAMIKOA YA PWANI TUNAUNGA MKONO MUUNGANO MNAOTOKA MIKOA NJE YA PWANI MSIINGILIE BANDARI ZETU ZUNGUMZIENI MAZIWA MAKUU
@emmanuelkanyela2752 ай бұрын
jamaa yupo sahihi kabisa hapo
@emmanuelmwanzalima83372 ай бұрын
Akili KUBWA SANA HII DUUU noma sana
@suwedwakil43922 ай бұрын
Haki ya mungu tangu ukoloni hadi leo hakuna mwanasiasa mpumbavu kama lisu
@wemakyagunya18952 ай бұрын
Endelea kutoa Elimu Lisu uokoe kizazi chetu!! Watawala hawapendi kuambiwa Ukweli lakn pia tuna kila sababu ya kudai Katiba mpya na kuondoa vifungu vya kuwawekea Kinga Viongozi ili washitakiwe
@abuumohamed70902 ай бұрын
Tundu Lissu ukiacha kuongea kwa Jazba na mihemko,ukatawala hisia zako utawateka watu wote na wewe ndo utakuwa rais.Pia usitumie saana point ya kumsema Maghufuli itaonekana kama umefilisika ki mawazo na wala usiongee kwa chuki coz watanzania wengi bado uelewa ni mdogo saana.Tanzania sio kama Kenya
@AtanasKameja2 ай бұрын
Sema baba
@HarunaSaidi-lb8oe2 ай бұрын
Olewako kufa Kwa Makufuli
@user-hu9bf7nw4c2 ай бұрын
Tundu lisu hua unasema mambo ya ukweli ,na unafichua ukwel
@user-be6yx1ck8c2 ай бұрын
Mweshimiwa tundurisu uo ndiyo ukweri ingewezekana wajitegeme na sisi tujitegeme TU utanzania apa akuna
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Facts tupu
@mosesmacha10802 ай бұрын
Nimekuelewa sana Mkuu, hiki kichwa
@kassimabdulwakil56932 ай бұрын
tundu lisu nimuongo haelezi ukweli wote, mtanganyika anaweza kumiliki ardhi zanzibar akiwa na kitambulisho cha mzanzibar mkaazi, na kitambulisho cha mzanzibari mkaazi mtanganyika anakipata akikaa zanzibar miaka 5 haya hayaelezi siasa zake ni za kuwazonga walokuwa hawasomi
@abouayman87132 ай бұрын
Nape nae Mwizi tuuu nd Mana jpm alimkataa
@bwanapima84732 ай бұрын
Duh
@bwanapima84732 ай бұрын
😂😂😂😂
@bwanapima84732 ай бұрын
Huyu mzee ni mchekeshaji
@alanmwijarubi2 ай бұрын
Wanajua sana wanajizima data tu
@NathanChuma-cz2vb2 ай бұрын
ME NAONA MUUNGANO NI MZURI WA USIVUNJIKE, ISIPOKUWA KUNA MAMBO BAADHI TU KWENYE KATIBA YANATAKIWA KUTOLEWA AU KUBORESHWA ILI MUUNGANO WETU UWE RAFIKI KWA NCHI ZOTE MBILI🙏