Juma sijui malezi yake kalelewa wap, ungekua wew juma Kuwezaa
@jtheophil54992 ай бұрын
Juma nilijua umeendelea kumbe bado sana.Mzungu yupi uje kwake kienyeji ivyo kama hajakufyatulia risasi.Hakuna b.ness kama hizo.Haijarishi nani anaishi kwa nani.Hapo zali hajafanya Utu kabisa.
@AkleyBernard-g9o2 ай бұрын
Juma lokole iv unajielewa kweli yule mke wamtu lazima ambiwe acha kutetea ujinga kwani diamond Nan
@zm40062 ай бұрын
Juma apana
@niwaelally15792 ай бұрын
Anajua juma kama ni kosa ila njaa inamfanya awe hana akili
@officiallnobystar2 ай бұрын
Ndio Mana Anawekwa
@nicholausmbilinyi35872 ай бұрын
Wanafanya kipindi kichangamke..wakikubaliana wote ina maana watakosa cha kuendelea kuongea
@KassimMohammed-h2n2 ай бұрын
Yote Tisa. kumi huyu dida anaongea pwent. Ila hili jamaa marasta halijui Sheria za mume na mke. Shezi kabisa
@agwalubifaridah70792 ай бұрын
Juma acha za onyoo sasa ndo waimbe iyena inayosema mwenye nyumba kaja ndani? That was very disrespectful to shakib
@tumainiellyimo46572 ай бұрын
Kifupi mume lazima aambiwe,pili anaweza kataa kama mazingira siyo safi.Huyo Juma hajelewi
@teedullah57082 ай бұрын
Hajielewi juma mwenyewe ni mke mwenzetu
@123456789381292 ай бұрын
Watu musiskilize Juma Lokole kwa lolote kwanza mwenyewe hana ndoa na ajawahi kua na ndoa official . Sikilizeni Idris na Dida. Thamani ya mwanaume sio kua na nyumba tu ao pesa ndani ya masha ya mwanamke. Zari hana chochote cha kumdharau aliyekuwa mumewe kwasababu she makes bad decisions going for young men and then she end up justifying like she is always right , that is avoid accountability. She will continue failing in relationships because she avoids accountability for her poor and wrong decisions . She loves men she can control and manipulate 😢😢😢. Shakib stands on your ground , let her go
@mubatsievonne46492 ай бұрын
Okay, mayi be she is a narcissist.
@davidsibejo49162 ай бұрын
Mke wa mtu kama unajua unaugeni lazima utoe talifa
@Ramadhansuleiman-wz9jg2 ай бұрын
Wewe juma unaishi kimasilai simama kwenye ukweli kama wenzio
@vickynyakio73462 ай бұрын
Zari ni mjinga sana na ataishi upweke sana hata awe tajiri atabakua pekee yake na huzuni....ajifunze kuheshimu watu😊
@juliuskessy76162 ай бұрын
😂
@taturajabukhalfani79532 ай бұрын
Mwanamke akiwa na pesa wengi wetu heshima Kwa mume hatuna labda awe mwanamke mcha Mungu!!!
@allahisone63862 ай бұрын
TI UPO SAHIHI KBSAAAAAA
@BizzyLizer-j3o2 ай бұрын
We tako umekosa cha kuandika
@salimsaleh65872 ай бұрын
@@taturajabukhalfani7953true sis
@hashilalkharusi46802 ай бұрын
Heshima kutu cha bure lazima apeleke habari ile ni nyumba ya mke na mume
@missmannydxbАй бұрын
Juma mshenzi! Mumu wa mtu ni kichwa cha nyumba awe nani au nani!
@idrissansereko64032 ай бұрын
Huyo lokole amesoma au Nasibu anamuweka hapo kama shoga wake akili za huyo lokole hazina akili mwehu kabsaaaaa
@ZuhooraSalim2 ай бұрын
Kweri
@adamlubawa12812 ай бұрын
Msibishane na KAKA MKUBWA AU MTOTO SIO RIDHIKI
@amirinestory2 ай бұрын
Hilo ndo tatizo la kuoa mtu mwenye mtoto...unakua umeoa mke wa mtu aliyaganyaga shakib... atakufa na presha akimuona diamond tu anajua kaja kumshenyenta Zari😂😂😂😂
@jumasaid60732 ай бұрын
Sijapenda utaratibu wenu wa mazungumzo, mnapayuka, hampeani nafasi ya kuongea, kila mtu anataka kuongea yeye kwanza, kitu ambacho kinasababisha makelele !! Hiyo ni media kubwa, jaribuni kuwa na utaratibu mzuri wa kujadili mambo kwenye vipindi vyenu ili kukuza brand !!
@happysanga6846Ай бұрын
Shida ya juma umama mwingi ushamba mwingi Kwan hoyo daimond ni kitu Cha ajabu mpaka afanye anayo yataka bila utalatubu pumbavu kweli juma
@silvergold58552 ай бұрын
Mpambe wa boss mishipa inatoka
@mohammadoman89632 ай бұрын
Mna kelele tu ni lzm mwanamke awe chini ya mwanaume kuomba ruksa ni lzm kwa mwanamke kumjuza mwenzake ima anataka toka au kuja mgeni
@ibrahimfarha3853Ай бұрын
Shakib alijuwa BD Yaa T lazma. Big D aweee ......ndio akawa hayupo
@FarzanaKhan-z1j2 ай бұрын
Dida nomber yenu ni gani. Nataka niambie kitu
@HannanSomaiyah-wp7nyАй бұрын
Hilo nalo Dume jinga Mnoo, Sari anamoenda Diomond anajifanya tu ,zari hawezi kuishi na mtu yyte ,
Mum's ni lazima aishimiwe. Wakati akiolewa na shakinb alikuwa najua ni maskini
@Queen-be1uf2 ай бұрын
Yeye mume ana hadhi yake. Wewe juma unajua usenge tuu adabu za ndoa huzijui. Heshima hata Diamond angempigia shaking akamwambia nakwenda kufanya surprise. Ni heshima tuu
@RukhaiyaNassir2 ай бұрын
Juma hujielewi kabakwe mbele ya safari tunaangalia ela tu msenge
@FarzanaKhan-z1j2 ай бұрын
An zari got married to shakib. She knew that shakib. Alikuwa anajua shakib ni.maskini. hapo hakuna cha Lakini. Mwanamke hata kwa na pesa inafaa kumueshimu mumewako. Hapo duni ndio hakuna
@iam_sami2 ай бұрын
Chawa kazin unaupga mwing jumaa njoo nkufokoe
@luendosabah20472 ай бұрын
Diamond ilikuwa surprised kufika kwa Zari.kama hafike mutamulaumu Diamond
@sarahkeivaly33512 ай бұрын
Huenda Zari anatamani sana kurudiana na Mond, lkn Zuch smart sana kichwani
@teammovietmdurbacinema82842 ай бұрын
Suggar Mum Zari , kuna mwanawake na bi bibi, watu kama ZARI ni bi bibi tu, hakuna muke apo, washaa zoeya maisha ya Mitando na hana muda wakufikiria mwenzake kinacho mu fanya ni aonekane pita mitandaoni, awa ni kulà. tu Ila usi mu wekeya moyoni kwani utaumiya bure
Sasa angelimwambia wakati Zari yeye hakujua kama Diamond atakuja pale kwa Zari
@diana.j.clement2 ай бұрын
Juma ananitia hasira uyu
@sylivanusbernard33252 ай бұрын
Pole,nahisi Hana mke yule
@jtheophil54992 ай бұрын
Kama Ulaya tunatoa taharifa ije kuwa south.?Ndio kama angekataa kakataa kafanyie hotelini je?hpo kakosea bhana hata kama uyo kaka hana kitu alimpenda ivyo ivyo sio muhujiza.Zari kakosea tena sana.
@zhooshchindogote99392 ай бұрын
Mzee, nyumba yenyewe ni ya diamond platinumz kumbuka
@luendosabah20472 ай бұрын
Leo Juma anamusemea Zari 😁❤️🙏
@omanmct1352 ай бұрын
Juma hanakili
@JackKanyigo2 ай бұрын
Xaxa mnabishana na huyu wa kuleft mnapoteza mda hapo hakuna mwanaume ndo maana anamtetea mwanamke mwenzie
@officiallnobystar2 ай бұрын
Juma Kweri Chokara Kwaiyo Unaona Yupo Sahihi Zari?
@purityhoeger6552 ай бұрын
surprise ni surprise hamna anajua
@violetcarroll49302 ай бұрын
Dada umenichekeshaaaaa, wapeleke kwengineee😂
@rithadonatus81102 ай бұрын
Ukiishi kwa mwanamke mwenye pesa zake heshima hakuna. 😢😢
@JeannetteManirambona-o6m2 ай бұрын
😂😂😂hmna kweli
@vincej92752 ай бұрын
Juma Lokole anajua sio sawa lakini njaa !
@doricedeluxe94862 ай бұрын
Mwaga makopa kopa hapa kama unamkunari shackib kwanza handsome pili mpole mm namkubari xana shackib.harafu penye miti hapana wajenzi shackb nimwanaume wa shoka utamkumbuka.
@DelightfulFish-ps8ny2 ай бұрын
Hakuna mzungu anaweza kufanya hivyo never juma hujuwi kitu im tell you
@happysanga6846Ай бұрын
Unamtukana ata anko shamte anaishi kwa mama yenu
@hakiiki17672 ай бұрын
Nyumba ya mondi ne zari shakibu nmgenyi
@HannanSomaiyah-wp7nyАй бұрын
Hili choko Sijui Kwa Nini halipigwi matukio liko kwa ajili ya unafki tu ,pesa nini bwana,Shakib nae aondoke tu atateseka utadhani sii dume
@JeannedarcUWIMANA-d2h2 ай бұрын
Mario anapashwa kuzaririka shakib mario
@thuraiyathuraiya4012 ай бұрын
Juma eee juma Juma nakwitwa mara 3 punguza uchochezi looooo
@MartinBarunga-jb2ri2 ай бұрын
Sema nilijuwa juma amesha kuwa mume ila bado shong😢😢😢😢😢
@allahisone63862 ай бұрын
USHAHIDI?
@officiallnobystar2 ай бұрын
@@allahisone6386Wanini Sasa Mwanaume Ataongea Hivyo
@HabibaNgonyani-d2g2 ай бұрын
Ili lijuma jinga kabisa.....akili zake ziko mkunduni
@kichefuchefu23822 ай бұрын
Ukiow mwanamke aliezaaa namwanaume mwengne hivo ndoinavo kuwa ssa
@karimmakweta35302 ай бұрын
Juma yupo Sahihi Nyumba ya Nani inakuwaje utoe Taarifa Kuja kwako
@Rose-ue2ho2 ай бұрын
Kutowa taarifa ni si kumshauri mtu akubali au si akuabali.. Mtu kama mume au mke wako lazima umwambie. Si kuomba ushauri ni kumpa mtu taarifa hio ni heshima
@agwalubifaridah70792 ай бұрын
That's was disrespectful sasa wacheze iyena inayosema mwenye nyumba kaja ndani hata ww ukifanyiwa ivo hutapenda acha uongo
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM2 ай бұрын
Zari amekosea , mwanaume kukata Kwa Mwanamke ni kawaida Ila pawe tu heshima ,Dida umeongea ukweli
@idrissansereko64032 ай бұрын
Huyo juma lokole mjinga sana akili zake hazina akili
@FATMA-k1b3fАй бұрын
Kumuheshimu mume ni muhimu bwana
@theresedusabe60562 ай бұрын
Stop talking for our Queen zari surprise its means ata zari hanujuwq kama baba tee adafika iyo njo surprise manayake so stop tallking nosense about that dai and zari it was noma for them to show love together with their daughter birthday,s
@mutungi932 ай бұрын
Zari amtaka diamond but ni Mzee sana
@Bravo-or8oy2 ай бұрын
Diamond alivyozaa nae hakujua kama anazaa na mzee?
@msafiriomary8932 ай бұрын
Ukioa mwanamke arie zaa ujuwe umeoa mke wa mtu
@Floribert52 ай бұрын
Juma sema ukweli huwezi kukubali uzarauliwe juma wewe kibaraka wa boss na Diamond alifanya makosa angemwambia mume mwenzako siyo zarau ile ukiona kichwa chamwenzio kina nyolewa cha kwako tiamaji na yeye boss wenu atafanyiwa asicheze ana watu wa Uganda
@kichefuchefu23822 ай бұрын
Hiyo ndomanaake
@sarahsaimon40952 ай бұрын
Zari anakosea yeye ndio amemfanya dai kuwa km kwake apo nyumbani. Kwani ukiweka mipaka baina ya mzazi mwenzio kuna shida? Km kweli ana, Mume lazima amuheshim Mume wake.
@janethsamwel84572 ай бұрын
Kwani alio olewa ni nani shakibu Hana chake ndio maana kazalilishwa mwanaume msipende kuolewa ukiolewa lazima usikilize matakwa ya baba mwenye nyumba Sasa kaka yetu yeye kaolewa akae Kwa kutulia
@KhadijaSalum-nf5mf2 ай бұрын
Dida swadakta
@SalmaAthuman-hp3en2 ай бұрын
Huyu shoga ni mnafiki sana anapayuka tu zari amekosea sana alijua hana anachoweka mezani ilikuaje akaolewa nae 😂😂
@Ramadhansuleiman-wz9jg2 ай бұрын
huyu jamaa nichokoo nimeamini sasa
@thuraiyathuraiya4012 ай бұрын
Jamani mume ni mume tu angepewa heshima yake kweli kabisa hata kama daimond baba watoto ila mume ni mume
@hassansingano11502 ай бұрын
Kisheria watoto wa Zari sio wa Diamondi. Zari ni mkosaji kwa mumewe kama ni kweli walifunga ndoa.
@OmanOman-bx5du2 ай бұрын
Mwambino anaadabu yule nimume anapoenda awe na adabu na zali nae ajierewi
@farhannahkulishwaburekunam53602 ай бұрын
Wewe shoga kama daimond awe na mke halafu × wa mke wake Awe hayupo asikie kuna mwanaume sio heshima juma mmbeya mara zari mtu mzima kwani zari kwani mwanzo hukumuona hana kitu sasa zari bado anamtaka bado
@SaidMohamed-j2v2 ай бұрын
zari alikusudia tu yatokee yaliyotokea . huenda kamchoka shakibu
@labunaabouna61222 ай бұрын
Kwaufupi demu alozaa na Diamond mwimbaji wa tz hata kwa bilioni hafai hasa wakiwa bado wapo karibu
@Gudowabazoba2 ай бұрын
Nyinyi wote ni diamond hapo
@josephinegravasiano88602 ай бұрын
Dida Dida ndoa hutaki kuambiwa, hahahaha
@ZaiMwarab2 ай бұрын
Hiy n kwel kw nn asimuambiee mumewk sio vizur
@MwanaidiRulimbiye-y7q2 ай бұрын
Inabidi atoe taarifa na yule ni mume
@petroniesindarubaza24202 ай бұрын
Zari ni pumbafu sanaa kbs mwanamke anabaki anajibebi kwa ex atoke apoo ndio ni baba watoto wake ila.sio kwa ivyo ww
@AffectionateCap-fk8tx2 ай бұрын
Shamte atulie anajitetea yasimkute ya Shakib
@zhooshchindogote99392 ай бұрын
Banaa diamond hana hatia,,,nyumba ni ya kwake😂
@renatuswilson15772 ай бұрын
Shamte na Shakibu wanatofauti??? Mbna kama mna mnanga mama wa boss wenu???. Hahaaa.
@jumannejuma74322 ай бұрын
dida uposawa ila huyu jamaa
@Pendomamafay2 ай бұрын
Juma huna akili mbwa ww
@hamisimwinzagu66242 ай бұрын
We bwege Una mke au uchawa umekujaa
@umfahad26092 ай бұрын
Hili Juma lina shobo saana na Diamond. Neno likiwa kwa Diamind anapenda sana kimbele mbele. Juma punguza shobo. Acha macfa.
@salimsaleh65872 ай бұрын
Wale wanashngaa na maongezi ya juma lokole,ni shoga haezi kuelewa uchungu wa Shakib na pia anamtetea boss wake akitetea kibarua chake
@infinity21822 ай бұрын
Pale Diamond ndiye anatawala.Baba pale ni Platinumz anapomwaona Shakib hua anajiambia kichwani acha mtoto (Shakib) acheze na viatu vya baba.
@jacklinemsechu2212 ай бұрын
😂😂😂
@WahidaHaji-e9t2 ай бұрын
Lokole njaa inamsumbua
@AltamimSoud2 ай бұрын
Hata wewe juma kwa huyo basha wako lazima uage msenge wee hii kufirwa inakufanya mpaka akili huna
@Prophetelian2 ай бұрын
Ukiamua kuoa mwanamke mwenye mtoto ujiandae kwa yote
@tatuaamuuinyi96332 ай бұрын
ZARI ANAISHI KISHENZI.SIO KIZUNGU.WAZUNGU HAWANAGA HUO UJINGA
@omarzinga70462 ай бұрын
Unahusu mfano afu tusikutotee alo sema nani
@purityhoeger6552 ай бұрын
nyumba ya Diamond Zari na Watoto Shakib ni Mngeni 🤚🏽🏠
@SeverinoLuis-j1h2 ай бұрын
Ndio ni mgeni tena kaolewa ata simba akitoa uduma naye anakula
@doricedeluxe94862 ай бұрын
Ukumbuke diamond pia aliachwa mpaka zari akaenda kutangaza BBC kwahiyo usijifanye tumesahau.harafu zari nikama ruto.juma lokole nimnafiki ndumila kuwili huna lolote ww msaka tonge.