ANAPOISHI PATCHO MWAMBA/ASAHAU IDADI YA VIATU VYAKE/ANA MASHATI ZAIDI YA MIANNE

  Рет қаралды 75,743

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 155
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 5 ай бұрын
Kiukweli pacho ni mstaarabu sana binafsi nampenda sana❤❤❤
@BernardArmel
@BernardArmel 4 ай бұрын
Pacho is very simple, mstaarabu na yupo kabisa transparent.
@Mikeys-m9w
@Mikeys-m9w 4 ай бұрын
Tunakupenda sana Patcho ❤ Wa Congo Kwa Kuvaa na Kunukia Alooo 😊🫡🔥
@PienciaKoku
@PienciaKoku 5 ай бұрын
Wa Tz tunakupenda sana ila naomba hivyo viatu punguza kidogo uwagawie watoto yatima na watu wenye uhitaji kama inawezekana.❤️❤️🙏🙏
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
Mwache ana nia yake msiingilie maisha ya watu
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 4 ай бұрын
Ana bint mrembo❤❤❤❤ Wacongo salute kwa kuvaa
@GhanimaSaleh-b3b
@GhanimaSaleh-b3b 25 күн бұрын
😮mbn me nipo huku ila cwaonagi😅
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 4 ай бұрын
Nacho mstaarabu sana . Big up!!
@ChristianEinstein-t2j
@ChristianEinstein-t2j 4 ай бұрын
Kumbe amezaliwa Belgium/ ubeligiji safiii sana ndio maana mambo Yako ni ya kizungu zungu
@NeemaTosha-u3x
@NeemaTosha-u3x 3 ай бұрын
Amenenepa sana ❤
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 5 ай бұрын
La Sapeur ^^^💪🇨🇩🕵️🇹🇿🎼🎸
@Hapygideon
@Hapygideon 5 ай бұрын
Tunampenda na tunampenda Tena pantcho
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 5 ай бұрын
Hamumupendi tena kiboko ya wachawi
@Hapygideon
@Hapygideon 5 ай бұрын
@@hasanipoy3976 kiboko ya wachawi ameingilia wapi hapo,,nitazidi kumpenda maana kanitendea mambo makubwa sana mtuachie mtumishi wetu
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 4 ай бұрын
​@@hasanipoy3976😂😂😂😂😂
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 4 ай бұрын
Walkua mabest hyu na kanumba❤❤
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 ай бұрын
Saana
@MarthajoramMkwavi
@MarthajoramMkwavi 29 күн бұрын
❤ pacho
@NancyMrangu
@NancyMrangu Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤baba patcho
@essiesammy6505
@essiesammy6505 4 ай бұрын
Hongeraa saleeh umenunuaaa gariii
@HajiMgwami
@HajiMgwami 5 ай бұрын
WAANDISHI WA SIKUHIZI BANA, YAAN LEO UNAENDA KUMUHOJI PATCHO KUHUSU HISTORIA YAKE KWELI, AMESHAHOJIWA MARA NGAPI NAKUSEMA YOTE HAYO, MJITAHIDI KABLA YA KWENDA KUFANYA MAHOJIANO MUWE MNAPITIA KWANZA KUJUA NINI HAJAULIZWA..
@YasminaMkali
@YasminaMkali 4 ай бұрын
Chumba hakina mpangilio kbs.😂😂😂...Nyumba ni mwanamke jmn.
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
Suleh siku nyingine mtafute ray kigosi nae tuone maana kitambo
@moseskulola6913
@moseskulola6913 5 ай бұрын
Sisi WA Congo sio muzaa mashati more than 400
@tunupeter7566
@tunupeter7566 17 күн бұрын
Wife ajitaidi kupangilia chumba nimependa Pacho mkarimu sanaa
@echikyabu6154
@echikyabu6154 5 ай бұрын
Kweli mama kasafir
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 4 ай бұрын
Patcho mwamba❤❤❤❤
@zenasalum2231
@zenasalum2231 4 ай бұрын
Umemkuta na muhojiwa mwenyewe anapenda sifa basi weeee mambo yanajipa
@barretobacca9754
@barretobacca9754 5 ай бұрын
Duh! Noma sana
@GloriaNikiza
@GloriaNikiza 5 ай бұрын
Pacho mwamba mwana mboka
@btylove1870
@btylove1870 4 ай бұрын
I like Pacho sana ila huwa najiuliza miaka yote kuishi Tanzania ila kiswahili faswaha wapiii
@beatricerobert8985
@beatricerobert8985 5 ай бұрын
Ana utulivu wa kifamilia na wanapenda watoto ❤❤
@Tuu2019
@Tuu2019 5 ай бұрын
Pacho 10 Nyoshi 3.
@Hapygideon
@Hapygideon 5 ай бұрын
Tunampenda na tunampenda tena
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 5 ай бұрын
sasa koboko ya wachawi naye hahaha😅
@Hapygideon
@Hapygideon 5 ай бұрын
@@hasanipoy3976 masikini wewe kumbe hata kiboko ya wachawi humjui 🤔🤔
@abdulnasuma9729
@abdulnasuma9729 5 ай бұрын
Tajiriii
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 5 ай бұрын
Ila steven pamba na swaga za fimbo na koki zilimpendeza sana kwenye filam
@GloryBernard-j3m
@GloryBernard-j3m 3 ай бұрын
Me nikiwa na viatu pea nne yani naviangalia kila saa najisemea moyoni daaah nina viatu vingi😂😂😂😂kumbe😢
@ZulfatAbdallah-o8u
@ZulfatAbdallah-o8u 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 4 ай бұрын
Kanenepa pacho. Madhaallah
@adijaamur962
@adijaamur962 4 ай бұрын
Awagawiye maskini wanatembea Migu peau hawana chakula hata sehem ya kulala wanaishikama popo awasaidiye
@SaidIddy-k7f
@SaidIddy-k7f 4 ай бұрын
UNA HARIBU KIPINDI MY GEE SEMAA MITAA KAMA AWALI ULIVYO KUWA UNAFANYA
@McT-m1m
@McT-m1m 4 ай бұрын
Nampenda huyu pacho number mkongo sio mtanzania
@zaidiakagambo6100
@zaidiakagambo6100 4 ай бұрын
Humu anaweza kujificha nyoka akazaa Na akapata wajukuu 😂
@yunisimaiko
@yunisimaiko 4 ай бұрын
Hizo nguo na miviatu yote Hy si uwape tu wasiojiweza jmn kunamayatima hat kiatu hawana jmn
@ChoroTesla
@ChoroTesla 4 ай бұрын
Meona kichupa cha mkongo😅😅😅😅😅
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 5 ай бұрын
Nampenda Patcho hana tambo za kicongo kama wenzie hajichubui
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 5 ай бұрын
Sasa kiboko ya wachawi naye
@johnmwalwembe3036
@johnmwalwembe3036 5 ай бұрын
Nimejifunza kitu kwako pacho .mwamba kwenye mpanjilio wa kuza nguo na viatu ni mevutiwa sana
@mawlodafarida
@mawlodafarida 4 ай бұрын
Nampnda❤❤❤
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 5 ай бұрын
Apo kibaka akiingia kajipatia mtaji wa balo lake fresh anaenda kumwaga Karume
@viatorykashabizi2538
@viatorykashabizi2538 4 ай бұрын
Kwasababu tu anakujua,lakini kiswahili chako hakina tofauti na mbongo,manyema wa Kigoma. Unaongea kiswahili safi na fasihi kabisa. Vinginenyo,yeyote aliyeathirika na lugha yake mama aongeapo hutofautishwa na mwingine kwa lafudhi yake.
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 5 ай бұрын
Waoo jirani yangu pua na mdomo sinza E
@SipeKato
@SipeKato Ай бұрын
Ww unaishii wapi sarehe crasic maana ww KAZI Yako nikufatilia life stely za watu s ndiyo
@AllySalum-j9y
@AllySalum-j9y 5 ай бұрын
Anamtotooo mzuriii antakuaaa mkweweeeeeeee
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 5 ай бұрын
Jamaa amepotea sana
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
Kwa hiyo viatu vyake ndiyo habari umeona kwako ina maana , habari za kipuuzi kabisa,, mtu una akili timamu unaongelea viatu vya mwanaume mwenzio
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 4 ай бұрын
Enzi za Kanumba niliambiwa anamiliki ghorofa la kufa mtu ambalo wanaigizia movie yaani ukienda mbele na nyuma ni km nyumba mbili tofauti kumbe sio kweli
@ChoroTesla
@ChoroTesla 4 ай бұрын
Mamae na ww ukaaamini
@zeloterisasi141
@zeloterisasi141 4 ай бұрын
Jamaa ana lorry tatu za nguo na viatu
@Fredymwanzo
@Fredymwanzo 4 ай бұрын
Hu jama Ako naviatu bana
@rehemayona2223
@rehemayona2223 4 ай бұрын
Kwani Hana mke au dada wa Kaz mbona pachafu sana jaman
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 5 ай бұрын
Pachiw amezeheka kweliw
@MikidadiKambinda-tr6rl
@MikidadiKambinda-tr6rl 4 ай бұрын
Pacho. Wewe. Tunakupenda. Sana. Sisi. Wabongo. Ila. Tukuombe. Usije. Ukawa. Kama. Ndugu. Yako. Kiboko. Ya. Wachawi. Kwani. Sasa. Amebaki. Kutuchamba. Watanzania
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و 3 ай бұрын
Hawezi pacho anajitambua angekua mupenda sifa tungekua tunamuona yeye yuko busy namaisha yake
@nancyg8664
@nancyg8664 5 ай бұрын
kamera man ameingia bila kukaribishwa
@RoseeyRoseey
@RoseeyRoseey 5 ай бұрын
Kumbe nawe umeona 😂😂
@mtotiimkwizu
@mtotiimkwizu 5 ай бұрын
Nilikua najiuliza nimeona pekeangu au😂😂😂
@chani_tayra_official1860
@chani_tayra_official1860 4 ай бұрын
Saleh vip nyumban kwa gigy ??
@personpeter2221
@personpeter2221 4 ай бұрын
😂
@ndorobo205
@ndorobo205 5 ай бұрын
Pacho mjengo mbona wakawaida tofaut na madogo wa 2000
@RajabuHayyan
@RajabuHayyan 5 ай бұрын
Sasa si ya zaman hao 2000 mpya tuonyeshe yako
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و 3 ай бұрын
Inakuhusu nini wewe
@christaoman8890
@christaoman8890 5 ай бұрын
Hii mambo mtangazaji kuingia kwenye nyumba mpk chumban manachukua vidio vitanda.vya watu sio poa mi sijapenda kabisaa
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 5 ай бұрын
Pole utazoea😊
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
Mnafundishwa usafi kuweni wasafi muda wote 😂😂
@zaramuneer3257
@zaramuneer3257 5 ай бұрын
@@salehcllassic2325😂😂
@ramadhanwilbard8196
@ramadhanwilbard8196 5 ай бұрын
Mwenye nyumba mwenyewe ndiye anayekubari iwe hivyo;shida yako ni nini?alafu inabidi utambue kuwa watu maarufu wana mambo yao ambayo mengi yanakiyuka mila zetu za imani za dini na tamaduni za asili lazima uyajue hayo,hata mimi kuna mambo yanafanywa na Wasanii yanichefua na sitegemei kuyafanya wala kuyaiga na kama na wewe unachukia basi endelea kuyachukia hivyo hivyo na kukifundisha kizazi chako kisiige !
@MilembeLugwila
@MilembeLugwila 5 ай бұрын
Umenifurahisha​@@salehcllassic2325
@BeatriceMassawe-qy6bs
@BeatriceMassawe-qy6bs 4 ай бұрын
Ivi mpiga picha aliingilia wapi
@mrafm7285
@mrafm7285 5 ай бұрын
Rais anaishi uswazi ila wabongo Bwana
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 4 ай бұрын
😂😂
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 5 ай бұрын
Wakong maridadi mabishoo
@AshaRamadhani-px9ov
@AshaRamadhani-px9ov 5 ай бұрын
Mstaarabu sana patcho issue ni usafi😂😂😂😂
@magrethroman8518
@magrethroman8518 25 күн бұрын
Ni jambo la kawaida kutokupangilia vitu sometimes. Ila pili mke wake hayupo na wanaume mambo ya kupanga panga sio vitu vyao. Ameonesha uhalisia wa watu wengi ambao hawauineshi kwenye camera
@McT-m1m
@McT-m1m 4 ай бұрын
Sasa kwa nini hujajemga mpaka Leo pacho si kwa ubaya
@chunahbeivy3761
@chunahbeivy3761 4 ай бұрын
Seth bosco alikufa😳??
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 5 ай бұрын
Oza bien ni bistro heeee
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 5 ай бұрын
patcho ametisha mnoo humu
@Mjuni3
@Mjuni3 5 ай бұрын
Nguo zote hizo si uwape wahitaji ?
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي 5 ай бұрын
Minguo yote na mi pafyum lakin kitu cha maana ndani sijakiona zaidi ya viatu nguo na pafyum, hata makabati ya kuweka hizo nguo na viatu hakuna zaid ya kutupatupa to, analala stoo😢
@janvierramazani2189
@janvierramazani2189 5 ай бұрын
😂 atari sana
@WelimaAdonias
@WelimaAdonias 4 ай бұрын
Iyo nyumba Sio ya maan uko serious wewe
@personpeter2221
@personpeter2221 4 ай бұрын
​@kwan ni nymbayake WelimaAdonias
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 5 ай бұрын
Yaani wakongo wanajua kuvaaa tu wasafi ila nyumbaaa zao aaaaah zimechoka
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 5 ай бұрын
Haswa
@Taito-brand
@Taito-brand 5 ай бұрын
Brother yy anaish kwak na hy ndio hela yak kwahy ww kausha sana
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 5 ай бұрын
Kwani hii nyumba ina ubaya gani 😮ao unapenda wanao force maisha anesha nyumba yako
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 5 ай бұрын
Mmmmm ufisadi huo kwani hiyo nyumba imechoka au wer ndio umechoka hasidi weer😅😅
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 4 ай бұрын
@@SuleimanKhdija yangu najenga kigamboni ikkiiiisha njooo uone au utaona kipindi cha showbizz zamaradi tv
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 5 ай бұрын
Minajuaga tajili htari
@silasmwamburi9284
@silasmwamburi9284 4 ай бұрын
Utajiri kwako ni nini
@alsam4881
@alsam4881 4 ай бұрын
Ni bora hivyo viatu na mashati angepunguza na angegawa sadaka kwa watu masikini kuliko kujaza makorokoro ndani ya nyumba.
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 ай бұрын
Ushauri wako ufanyie kazi ni mzuri
@machinefannatic99
@machinefannatic99 5 ай бұрын
uko nje ya geti ila camera man yupo ndani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@RamblaMitumbi-c2u
@RamblaMitumbi-c2u 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 5 ай бұрын
Kitambo sana enzi izo miaka 2009 bongo movie ilikuwa ya moto nilikuwa silali Mbak nimuone huyu mwamba
@agustinoapolinar1623
@agustinoapolinar1623 4 ай бұрын
Uwe unasemaga na lacation
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 4 ай бұрын
Hapana. Sio sahihi
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri 5 ай бұрын
Hiyo anatafuya kiki
@peterdeus6093
@peterdeus6093 5 ай бұрын
Hamjui hata kudanganya, yaani wew ndo kwanza umefika uko nje, lakin camera man tayari kashaingia ndani kuchukua video ya mwenyeji wako anaekufungulia geti 😂
@lirastanley390
@lirastanley390 5 ай бұрын
Wehu hao hawajui uongo
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
Wewe Ni mshamba mjini nn😅😅 hiyo video isharekodiwa wanachukua vipande wanaviweka tuu
@xyz-v6d
@xyz-v6d 5 ай бұрын
Ni editing jamani.wakimaliza kitu producer anaunganisha vipande kupata mtiririko wa anachokisema mtangazaji
@peterdeus6093
@peterdeus6093 5 ай бұрын
@@Chakol123-k7s unaangalia video na bado hujui kinachoendele we si kichwa maji kabisa kama kweli una akili jaribu ku establish timeline utaelewa
@lirastanley390
@lirastanley390 5 ай бұрын
@@xyz-v6d weeeeee kwahyo uunganishaji Wa vipande kupata mtiririko sahihi ndio inapigwa hodi halafu mtu anonekana anatoka ndani mpk anafungua mlango na kumkaribisha mtu??? Kwahyo unaona wapo sahihi au wamekosea? Kama kamera man kaweza kuingia ndani ambaye ndio kafika nae eneo la tukio sasa hodi ilikua na faida gani?
@franktimoth9786
@franktimoth9786 4 ай бұрын
Du kila mtu na starehe yake pafyum na viatu duu
@SimonSimon-w1s
@SimonSimon-w1s 4 ай бұрын
Wakongomani kwakijisifu amnarorota jaatu
@IrankundaAnit
@IrankundaAnit 13 күн бұрын
Jiskilie acha kuwa na chuki na inchi zawenzako nyooo
@TreyCarlos-p2i
@TreyCarlos-p2i 4 ай бұрын
Mbona pa kawaida sana mbaya zaidi n anapanga nilijua kuna AÇ kumbe pana nyavu
@NtiruvakureRenovat
@NtiruvakureRenovat 4 ай бұрын
Uchafu mno…
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
Suleh Leo hamna ubweche 😂😂 piga story kula kwenu 😂
@supertal2943
@supertal2943 5 ай бұрын
😂
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 5 ай бұрын
😅😅😅
@ramadhantahila9131
@ramadhantahila9131 4 ай бұрын
amefananiana na Dude ama yahaya unaishi wapii
@nasibusaid4161
@nasibusaid4161 5 ай бұрын
Hamna mtangazaji hapo,
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 5 ай бұрын
Karibu utangaze wewe
@HadiaAme-x5f
@HadiaAme-x5f 5 ай бұрын
Lkn ndo anatangaza hadi leo nawe uko kwenu uko
@SalumuMandemla
@SalumuMandemla 5 ай бұрын
Uwo nao ushamba watu kibao awana una manguo ambao uya tumii
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 5 ай бұрын
Jina lenyewe user hapo ulipo uwe unasikiliza interview mbaka mwisho ndugu usiwe unakurupuka
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
Wape wewe nguo zako
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 5 ай бұрын
Mbona wasanii wanazo nyingi hawatumii na hawagawi
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 564 М.