Kiukweli pacho ni mstaarabu sana binafsi nampenda sana❤❤❤
@BernardArmel4 ай бұрын
Pacho is very simple, mstaarabu na yupo kabisa transparent.
@Mikeys-m9w4 ай бұрын
Tunakupenda sana Patcho ❤ Wa Congo Kwa Kuvaa na Kunukia Alooo 😊🫡🔥
@PienciaKoku5 ай бұрын
Wa Tz tunakupenda sana ila naomba hivyo viatu punguza kidogo uwagawie watoto yatima na watu wenye uhitaji kama inawezekana.❤️❤️🙏🙏
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Mwache ana nia yake msiingilie maisha ya watu
@AzaAzamhmod4 ай бұрын
Ana bint mrembo❤❤❤❤ Wacongo salute kwa kuvaa
@GhanimaSaleh-b3b25 күн бұрын
😮mbn me nipo huku ila cwaonagi😅
@sisterblessed-my9jd4 ай бұрын
Nacho mstaarabu sana . Big up!!
@ChristianEinstein-t2j4 ай бұрын
Kumbe amezaliwa Belgium/ ubeligiji safiii sana ndio maana mambo Yako ni ya kizungu zungu
@NeemaTosha-u3x3 ай бұрын
Amenenepa sana ❤
@suleimanjokoro5 ай бұрын
La Sapeur ^^^💪🇨🇩🕵️🇹🇿🎼🎸
@Hapygideon5 ай бұрын
Tunampenda na tunampenda Tena pantcho
@hasanipoy39765 ай бұрын
Hamumupendi tena kiboko ya wachawi
@Hapygideon5 ай бұрын
@@hasanipoy3976 kiboko ya wachawi ameingilia wapi hapo,,nitazidi kumpenda maana kanitendea mambo makubwa sana mtuachie mtumishi wetu
@fathiyahmuzney73674 ай бұрын
@@hasanipoy3976😂😂😂😂😂
@AzaAzamhmod4 ай бұрын
Walkua mabest hyu na kanumba❤❤
@salomewandya72574 ай бұрын
Saana
@MarthajoramMkwavi29 күн бұрын
❤ pacho
@NancyMranguАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤baba patcho
@essiesammy65054 ай бұрын
Hongeraa saleeh umenunuaaa gariii
@HajiMgwami5 ай бұрын
WAANDISHI WA SIKUHIZI BANA, YAAN LEO UNAENDA KUMUHOJI PATCHO KUHUSU HISTORIA YAKE KWELI, AMESHAHOJIWA MARA NGAPI NAKUSEMA YOTE HAYO, MJITAHIDI KABLA YA KWENDA KUFANYA MAHOJIANO MUWE MNAPITIA KWANZA KUJUA NINI HAJAULIZWA..
@YasminaMkali4 ай бұрын
Chumba hakina mpangilio kbs.😂😂😂...Nyumba ni mwanamke jmn.
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Suleh siku nyingine mtafute ray kigosi nae tuone maana kitambo
@moseskulola69135 ай бұрын
Sisi WA Congo sio muzaa mashati more than 400
@tunupeter756617 күн бұрын
Wife ajitaidi kupangilia chumba nimependa Pacho mkarimu sanaa
@echikyabu61545 ай бұрын
Kweli mama kasafir
@AzaAzamhmod4 ай бұрын
Patcho mwamba❤❤❤❤
@zenasalum22314 ай бұрын
Umemkuta na muhojiwa mwenyewe anapenda sifa basi weeee mambo yanajipa
@barretobacca97545 ай бұрын
Duh! Noma sana
@GloriaNikiza5 ай бұрын
Pacho mwamba mwana mboka
@btylove18704 ай бұрын
I like Pacho sana ila huwa najiuliza miaka yote kuishi Tanzania ila kiswahili faswaha wapiii
@beatricerobert89855 ай бұрын
Ana utulivu wa kifamilia na wanapenda watoto ❤❤
@Tuu20195 ай бұрын
Pacho 10 Nyoshi 3.
@Hapygideon5 ай бұрын
Tunampenda na tunampenda tena
@hasanipoy39765 ай бұрын
sasa koboko ya wachawi naye hahaha😅
@Hapygideon5 ай бұрын
@@hasanipoy3976 masikini wewe kumbe hata kiboko ya wachawi humjui 🤔🤔
@abdulnasuma97295 ай бұрын
Tajiriii
@abisaimuhanji36875 ай бұрын
Ila steven pamba na swaga za fimbo na koki zilimpendeza sana kwenye filam
@GloryBernard-j3m3 ай бұрын
Me nikiwa na viatu pea nne yani naviangalia kila saa najisemea moyoni daaah nina viatu vingi😂😂😂😂kumbe😢
@ZulfatAbdallah-o8u18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SharifaOman-bf1bn4 ай бұрын
Kanenepa pacho. Madhaallah
@adijaamur9624 ай бұрын
Awagawiye maskini wanatembea Migu peau hawana chakula hata sehem ya kulala wanaishikama popo awasaidiye
@SaidIddy-k7f4 ай бұрын
UNA HARIBU KIPINDI MY GEE SEMAA MITAA KAMA AWALI ULIVYO KUWA UNAFANYA
@McT-m1m4 ай бұрын
Nampenda huyu pacho number mkongo sio mtanzania
@zaidiakagambo61004 ай бұрын
Humu anaweza kujificha nyoka akazaa Na akapata wajukuu 😂
@yunisimaiko4 ай бұрын
Hizo nguo na miviatu yote Hy si uwape tu wasiojiweza jmn kunamayatima hat kiatu hawana jmn
@ChoroTesla4 ай бұрын
Meona kichupa cha mkongo😅😅😅😅😅
@zuwenaabdallah77485 ай бұрын
Nampenda Patcho hana tambo za kicongo kama wenzie hajichubui
@hasanipoy39765 ай бұрын
Sasa kiboko ya wachawi naye
@johnmwalwembe30365 ай бұрын
Nimejifunza kitu kwako pacho .mwamba kwenye mpanjilio wa kuza nguo na viatu ni mevutiwa sana
@mawlodafarida4 ай бұрын
Nampnda❤❤❤
@fettiemaganza14845 ай бұрын
Apo kibaka akiingia kajipatia mtaji wa balo lake fresh anaenda kumwaga Karume
@viatorykashabizi25384 ай бұрын
Kwasababu tu anakujua,lakini kiswahili chako hakina tofauti na mbongo,manyema wa Kigoma. Unaongea kiswahili safi na fasihi kabisa. Vinginenyo,yeyote aliyeathirika na lugha yake mama aongeapo hutofautishwa na mwingine kwa lafudhi yake.
@lilianwaflotina12885 ай бұрын
Waoo jirani yangu pua na mdomo sinza E
@SipeKatoАй бұрын
Ww unaishii wapi sarehe crasic maana ww KAZI Yako nikufatilia life stely za watu s ndiyo
@AllySalum-j9y5 ай бұрын
Anamtotooo mzuriii antakuaaa mkweweeeeeeee
@Mariam-fm8vq5 ай бұрын
Jamaa amepotea sana
@zebedayokatamaduni96765 ай бұрын
Kwa hiyo viatu vyake ndiyo habari umeona kwako ina maana , habari za kipuuzi kabisa,, mtu una akili timamu unaongelea viatu vya mwanaume mwenzio
@wilbatnyato46794 ай бұрын
Enzi za Kanumba niliambiwa anamiliki ghorofa la kufa mtu ambalo wanaigizia movie yaani ukienda mbele na nyuma ni km nyumba mbili tofauti kumbe sio kweli
@ChoroTesla4 ай бұрын
Mamae na ww ukaaamini
@zeloterisasi1414 ай бұрын
Jamaa ana lorry tatu za nguo na viatu
@Fredymwanzo4 ай бұрын
Hu jama Ako naviatu bana
@rehemayona22234 ай бұрын
Kwani Hana mke au dada wa Kaz mbona pachafu sana jaman
Hawezi pacho anajitambua angekua mupenda sifa tungekua tunamuona yeye yuko busy namaisha yake
@nancyg86645 ай бұрын
kamera man ameingia bila kukaribishwa
@RoseeyRoseey5 ай бұрын
Kumbe nawe umeona 😂😂
@mtotiimkwizu5 ай бұрын
Nilikua najiuliza nimeona pekeangu au😂😂😂
@chani_tayra_official18604 ай бұрын
Saleh vip nyumban kwa gigy ??
@personpeter22214 ай бұрын
😂
@ndorobo2055 ай бұрын
Pacho mjengo mbona wakawaida tofaut na madogo wa 2000
@RajabuHayyan5 ай бұрын
Sasa si ya zaman hao 2000 mpya tuonyeshe yako
@صالحالصوافي-غ5و3 ай бұрын
Inakuhusu nini wewe
@christaoman88905 ай бұрын
Hii mambo mtangazaji kuingia kwenye nyumba mpk chumban manachukua vidio vitanda.vya watu sio poa mi sijapenda kabisaa
@salehcllassic23255 ай бұрын
Pole utazoea😊
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Mnafundishwa usafi kuweni wasafi muda wote 😂😂
@zaramuneer32575 ай бұрын
@@salehcllassic2325😂😂
@ramadhanwilbard81965 ай бұрын
Mwenye nyumba mwenyewe ndiye anayekubari iwe hivyo;shida yako ni nini?alafu inabidi utambue kuwa watu maarufu wana mambo yao ambayo mengi yanakiyuka mila zetu za imani za dini na tamaduni za asili lazima uyajue hayo,hata mimi kuna mambo yanafanywa na Wasanii yanichefua na sitegemei kuyafanya wala kuyaiga na kama na wewe unachukia basi endelea kuyachukia hivyo hivyo na kukifundisha kizazi chako kisiige !
@MilembeLugwila5 ай бұрын
Umenifurahisha@@salehcllassic2325
@BeatriceMassawe-qy6bs4 ай бұрын
Ivi mpiga picha aliingilia wapi
@mrafm72855 ай бұрын
Rais anaishi uswazi ila wabongo Bwana
@tanzaniatouristsattraction16224 ай бұрын
😂😂
@DelightfulMacawBird-tl5hf5 ай бұрын
Wakong maridadi mabishoo
@AshaRamadhani-px9ov5 ай бұрын
Mstaarabu sana patcho issue ni usafi😂😂😂😂
@magrethroman851825 күн бұрын
Ni jambo la kawaida kutokupangilia vitu sometimes. Ila pili mke wake hayupo na wanaume mambo ya kupanga panga sio vitu vyao. Ameonesha uhalisia wa watu wengi ambao hawauineshi kwenye camera
@McT-m1m4 ай бұрын
Sasa kwa nini hujajemga mpaka Leo pacho si kwa ubaya
@chunahbeivy37614 ай бұрын
Seth bosco alikufa😳??
@MariamIbrahim-h7p5 ай бұрын
Oza bien ni bistro heeee
@othumanlorenzo2605 ай бұрын
patcho ametisha mnoo humu
@Mjuni35 ай бұрын
Nguo zote hizo si uwape wahitaji ?
@نجمةموبيبي5 ай бұрын
Minguo yote na mi pafyum lakin kitu cha maana ndani sijakiona zaidi ya viatu nguo na pafyum, hata makabati ya kuweka hizo nguo na viatu hakuna zaid ya kutupatupa to, analala stoo😢
@janvierramazani21895 ай бұрын
😂 atari sana
@WelimaAdonias4 ай бұрын
Iyo nyumba Sio ya maan uko serious wewe
@personpeter22214 ай бұрын
@kwan ni nymbayake WelimaAdonias
@FredrickMatiku-xf2uk5 ай бұрын
Yaani wakongo wanajua kuvaaa tu wasafi ila nyumbaaa zao aaaaah zimechoka
@ziadasalimu17305 ай бұрын
Haswa
@Taito-brand5 ай бұрын
Brother yy anaish kwak na hy ndio hela yak kwahy ww kausha sana
@SuleimanKhdija5 ай бұрын
Kwani hii nyumba ina ubaya gani 😮ao unapenda wanao force maisha anesha nyumba yako
@ukhtyrayyan78845 ай бұрын
Mmmmm ufisadi huo kwani hiyo nyumba imechoka au wer ndio umechoka hasidi weer😅😅
@FredrickMatiku-xf2uk4 ай бұрын
@@SuleimanKhdija yangu najenga kigamboni ikkiiiisha njooo uone au utaona kipindi cha showbizz zamaradi tv
@hezronjoseph4055 ай бұрын
Minajuaga tajili htari
@silasmwamburi92844 ай бұрын
Utajiri kwako ni nini
@alsam48814 ай бұрын
Ni bora hivyo viatu na mashati angepunguza na angegawa sadaka kwa watu masikini kuliko kujaza makorokoro ndani ya nyumba.
@elinamilyatuu73374 ай бұрын
Ushauri wako ufanyie kazi ni mzuri
@machinefannatic995 ай бұрын
uko nje ya geti ila camera man yupo ndani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@RamblaMitumbi-c2u3 ай бұрын
😂😂😂😂
@ukhutfatumah11545 ай бұрын
Kitambo sana enzi izo miaka 2009 bongo movie ilikuwa ya moto nilikuwa silali Mbak nimuone huyu mwamba
@agustinoapolinar16234 ай бұрын
Uwe unasemaga na lacation
@sisterblessed-my9jd4 ай бұрын
Hapana. Sio sahihi
@ClassicUsed-jg6ri5 ай бұрын
Hiyo anatafuya kiki
@peterdeus60935 ай бұрын
Hamjui hata kudanganya, yaani wew ndo kwanza umefika uko nje, lakin camera man tayari kashaingia ndani kuchukua video ya mwenyeji wako anaekufungulia geti 😂
@lirastanley3905 ай бұрын
Wehu hao hawajui uongo
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Wewe Ni mshamba mjini nn😅😅 hiyo video isharekodiwa wanachukua vipande wanaviweka tuu
@xyz-v6d5 ай бұрын
Ni editing jamani.wakimaliza kitu producer anaunganisha vipande kupata mtiririko wa anachokisema mtangazaji
@peterdeus60935 ай бұрын
@@Chakol123-k7s unaangalia video na bado hujui kinachoendele we si kichwa maji kabisa kama kweli una akili jaribu ku establish timeline utaelewa
@lirastanley3905 ай бұрын
@@xyz-v6d weeeeee kwahyo uunganishaji Wa vipande kupata mtiririko sahihi ndio inapigwa hodi halafu mtu anonekana anatoka ndani mpk anafungua mlango na kumkaribisha mtu??? Kwahyo unaona wapo sahihi au wamekosea? Kama kamera man kaweza kuingia ndani ambaye ndio kafika nae eneo la tukio sasa hodi ilikua na faida gani?
@franktimoth97864 ай бұрын
Du kila mtu na starehe yake pafyum na viatu duu
@SimonSimon-w1s4 ай бұрын
Wakongomani kwakijisifu amnarorota jaatu
@IrankundaAnit13 күн бұрын
Jiskilie acha kuwa na chuki na inchi zawenzako nyooo
@TreyCarlos-p2i4 ай бұрын
Mbona pa kawaida sana mbaya zaidi n anapanga nilijua kuna AÇ kumbe pana nyavu
@NtiruvakureRenovat4 ай бұрын
Uchafu mno…
@Chakol123-k7s5 ай бұрын
Suleh Leo hamna ubweche 😂😂 piga story kula kwenu 😂
@supertal29435 ай бұрын
😂
@Rogathe-Rogathe5 ай бұрын
😅😅😅
@ramadhantahila91314 ай бұрын
amefananiana na Dude ama yahaya unaishi wapii
@nasibusaid41615 ай бұрын
Hamna mtangazaji hapo,
@salehcllassic23255 ай бұрын
Karibu utangaze wewe
@HadiaAme-x5f5 ай бұрын
Lkn ndo anatangaza hadi leo nawe uko kwenu uko
@SalumuMandemla5 ай бұрын
Uwo nao ushamba watu kibao awana una manguo ambao uya tumii
@ukhutfatumah11545 ай бұрын
Jina lenyewe user hapo ulipo uwe unasikiliza interview mbaka mwisho ndugu usiwe unakurupuka